I must say meet him in person he’s such a good person and an inspiration n a serious man
@pheymack6682
Жыл бұрын
Ungera mkuuu
@festongonyani152
Жыл бұрын
Yes...mnyalu mwenye akili nyingi, HONGERA SANA KAKA.. Mzee wa madungujeshi,kazi ni kipimo Cha UTU...
@vemmusttraders-kw5sx
Жыл бұрын
Mzee wa Ndugu zanguni ndani ya Millard ayo tv 😂 huyu baba ananispire sana mm kama kijana siku moja na mm nitafika alipo inshallaAllah🙏🏽
@petermunuo2239
23 күн бұрын
Best nimefurahi sana,nimepata mwanga mkubwa kukuona hapa Naomba usikume kuonesha watanzania hata,Tena waeleze mateso yako,yanageuka kua inspiration
@Sharifarajabudebe
Жыл бұрын
Kutoka nje kufanya kazi hakikisha unajinyima na Kujifunza Kwa watu wengine
@mambazizephania
Жыл бұрын
Hongera kaka Mungu aendelee kukutetea na kukupigania
@lyrics_forum
Жыл бұрын
Niliagiza Gari kwake 2018 na Likanifikia kwa Wakati huyu Jamaa yuko Humble sana. Jamaa Hana Baya kiukweli
@amanimanase8798
Жыл бұрын
Hongera sana kwa mafanikio,lkn hii interview angeifanya sky bundala aiseee tungepata madini mengi sana kutoka kwa huyu mwamba
@joshuamuro9494
Жыл бұрын
Kweli kbsaa
@loitushulyamat2738
Жыл бұрын
Hongera sana nasary kwa kupewa sifa ya smartness na smart person
@hegiselkok9888
Жыл бұрын
Kweli huyu broo wetu Nassary katuwakilisha, kaskazin hatokag fala
@missminnatz
Жыл бұрын
Kujiamini, kuthubutu na juhudi ktk kazi na iman ktk unachokifanya, hard working pay hongera kila mt kazaliwa mtupu, yot ni kutafuta na nidhamu ya kazi, big up sana unatia hamasa kwa hawa vijana wet bongo wamelegea mwili mpk akili 😂😂, wakikutana na maboss wanaweza kuwafunilia mik*ndu ili tu waoate pesa. Mung awasameh kwakwel awape maarifa waamke wafanye kazi.
@LadislausOdilo
Жыл бұрын
Haha Yan kwenye kulegea miili na akili hapo umetisha
@LavishHatTV
Жыл бұрын
It's an exclusive Inspiration mashallah 👌💯🔥🔥🔥✅🔥 congratulations buddy ukija Kenya boss tucheki
@ThobiasWalila
7 ай бұрын
Bg up
@alextanzania
Жыл бұрын
Chris anajieleza vizuri na ana sound kama vunja bei.
@alphaleahibrahim8904
Жыл бұрын
wote wa nyanda zaa juu za kusini
@faithjonathan3845
Жыл бұрын
Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu
@abigaelraphael5139
Жыл бұрын
Naongezea hapo tatizo wabongo tukitoboa starehe zinakuwa nyingi sana. Angalia huyu kaka ni mfano wa kuigwa katengana na mke wake lakini anaijali familia yake bado. Ndo maana kafika mbali na ataendelea kufika mbali
@TheBestPhone7918
Жыл бұрын
Hongera sana fighter nakubali sana kupiga kaz hasa biashara utumishi wa kuajiliwa serikalin siukubali kabisa
@samniza1763
Жыл бұрын
We are proooud of you mnyalukolo, tell'm what we are made of, diasporans are disciplined, no chawas or viroboto, when we mean it, we mean it. That's why huwa hatuwaelewi viongozi wetu wapowapo tu, sio kwa wananchi but kula bata tu. Kazi kazi tu.
@geeva99
Жыл бұрын
Dah baby dungu imeenda kwa 11?!! Iyo fair sana gari nzuri sana iyo
@paschalmichael7250
7 ай бұрын
N.B kwenye biashara yoyote kuwa competative ws bei, wanaofanikiwaa sana ni wale wanaokusanya faida ndogo ndogo pesa izunguke
@ngambikomsu64
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ,hakuna asiyetaka ueekezaji shida ni aina ya mikataba. Kila mtu anapenda uwekezaji wa kuboresha. Hata wahindi walioichukua Railways TRC walikuwa wawekezaji.
@biasharaonline693
8 ай бұрын
Afu hivi kwanin matajiri wengi waliofanikiwa hawajafika mbali sana kielimu 🤔
@ericamwkyokile4681
7 ай бұрын
Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.
@franklaurent4042
Жыл бұрын
Huyu jamaa kwa kweli anastahili pongezi
@victorchris5144
Жыл бұрын
Apart from business man, this guy is a comedian tho😂😂😂😂 #madungujeshi #babydungu😂😂😂😂
@iddimngazija1957
Жыл бұрын
Kazi ni kipimo cha utu👏👏👏👏
@MwigaKatumpula-mi3zt
Жыл бұрын
Mwandishi bana unataka kujua kiwango Cha pesa MTU ana kwambia anaingia zaidi ya makontena 20🙌🙌😃😃
@OfficialA83640
Жыл бұрын
Kakaa nje miaka mingp huyu kiswahili chake kipo vizuri kuna watu wakienda nje wanajiona wapo wapi sijui kiswahili wanajifanya hawakijui vizuri lafudhi zinahama midomoni😂😂😂😂
@ziggertv3185
Жыл бұрын
Nikweliii ila jamaa alienda kusaka maisha sio ubishoooo
@OfficialA83640
Жыл бұрын
@@ziggertv3185 kabisa mm nina mtu namjua ana mwaka wa 20 huu yupo Japan na anaongea kiswahili vizuri tu sasa utakuta mtu aende Zanzibar tu miezi 2 basi akirudi atiiii atiii nyingii
@rajabuamiri5202
Жыл бұрын
Asante sana kaka umenijenga sana na kidogo nilichonacho
@kaliskaguzkalis4424
Жыл бұрын
Duh! huyu jamaa kweli amekaa ki Polisi Polisi, ongela mzee.
@kumbeinawezekana
Жыл бұрын
I can see your hard work
@Jifunze_Kiswahili1
11 ай бұрын
Kama ukikomaa, sehemu yoyote, ukikomaa. Lazima utatoboa tuu. Asante sana @Chriss
@salimmuhsin9907
11 ай бұрын
Na mm sikati tamaa namini iko siku insha'allah ntafanikiwa
@rogersmaokola3147
Жыл бұрын
Kaka hii interview imenipa elimu kubwa sana, na imefanya niwejasiri zaidi nitakapopitia changamoto Big up sana bro kwa kujibu maswali Kwa uzuri sana
@yama_virginhairthequeen1065
Жыл бұрын
Me too my mom always says don't Quit 😢
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
Жыл бұрын
Huyu alitakiwq ahojiwe na mirad Ayo
@ismailkasago8408
Жыл бұрын
This geneous should be protected Ndio wanao tunza Ajira za watu wengi.
@TALLUBOY
Жыл бұрын
Kuanzia leo ayo Marenji ntayaita madungu jeshi Leo umeongea vzl sana mwanangu Kwa kutuletea elimu ya mabandari
@hamisamanzi7234
Жыл бұрын
Shida mikataba jamaa kaongea,serikali angalieni mikata ya kuua nchi haifai,uwekezaji kwanza ulio na tija siyo wakiboya
@geofreybarama4000
Жыл бұрын
Namkubari sana lukosi anafanya kazi kiulafiki pia ni mtani sana..
@abigaelraphael5139
Жыл бұрын
Mungu hamtupi mja wake anaonekana ni mcha Mungu sana
@hodgebukaya5112
Жыл бұрын
Kwanza Hongera Sana Bro, Ubaguzi Kweli Upo Katika nchi za wazungu, Lakini Wengine Walikua Sio wabaguzi Bali Walikua Hawakuamini.
@bilid4128
Жыл бұрын
😅😅😅walikuwa hawamuamini
@AnethEdward-nf6sc
Жыл бұрын
Ubaguzi c nje hata hapa nyumbani hata ktk familia kikubwa Kila mtu apambane kuzishinda changamoto.
@sammymdemeka7937
Жыл бұрын
Good story it touches life! You are hero Son of Africa keep it up! You have made it happen
@mohamedomarikionga4681
Жыл бұрын
I Can See Your Hard Work Brother!!
@BupeIpas
Жыл бұрын
Aminia father naomba namna yako,ahsante
@omarymkamba3045
Жыл бұрын
Hongera sana jamaa ana nidhamu sana
@elizabethswai7777
Жыл бұрын
Anne Njeje njoo humu Kuna kk yako wa Isanga Mbeya,akipe Range Mokooo💃💃💃💋
@hassanmpemba5747
Жыл бұрын
Masha Allah ukijituma mungu atakupa tu kwani alishasema jisaidie nikusaidie
@contempo_builders
Жыл бұрын
Well said.
@abelsimon2997
Жыл бұрын
Hakuna fungu km Hilo kwny bibilia.jisaidie nikusaidie
@zawadichalale4047
Жыл бұрын
Hivi huo mstari nasikiaga sana unapatikana kwenye kitabu gani?
@mariamgodfrey53
Жыл бұрын
Kwenye bible hakuna andiko kama hilo
@mariamgodfrey53
Жыл бұрын
@@zawadichalale4047 kwenye bible hakuna andiko kama hilo hayo ni maneno ya dunia tu
@DavidMbwilo-qk1bz
Жыл бұрын
Waliokulia isanga mbeya hamna garasa tujuane hapa Kwa like watoto wa green city💥💥
@zaitunimwinuka6650
Жыл бұрын
Tupo
@rebeccampeta6650
Жыл бұрын
Tupo baba
@DavidMbwilo-qk1bz
Жыл бұрын
@@rebeccampeta6650 inapendeza
@mwasoprince3459
Жыл бұрын
Kwetu kyela
@PaulPhilimon-mm6jl
Жыл бұрын
Tupo wengi sana wa isanga
@SalmaAs-wl5bn
Жыл бұрын
Ongera sana kaka yangu uvumilivu ni kitu kizuri katika utafutaji nina shida kidogo mume wangu anahitaji kazi nisaidie yupo Tanzania kazi yeyote anafanya napitia wakati mgumu
@Freedom_fighters898
5 ай бұрын
Tatizo magari na vitu vyake vibovu sanaa. Nafikiri vitu anaokota huko ulaya
@Joshua-gl1pe
Жыл бұрын
Ayo TV 🔥
@angelosambi1087
7 ай бұрын
Nadhani akili kubwa duniani ni akili ya biashara na uwekezaji maana mazungumzo ya wafanyabiashara na wawekezaji huwa ni ya busara na utulivu kuliko mazungumzo ya wasomi ambayo mengi ni nadhalia. Bado najifunza
@fatumasaid9882
Жыл бұрын
Kwel kaka mtaj wa maskin ni nguvu zake mwenyewe
@antonyjrc5792
Жыл бұрын
Nmempenda huyu mzee na maneno yake ya kutia moyo
@Sharifarajabudebe
Жыл бұрын
😃😃😃Acha nitafute pesa ni nunulie madungujeshi Mabakuli siyataki😂
@alicejones6382
Жыл бұрын
😂😂😂
@othumanomari1589
Жыл бұрын
Hongera kwakutambua kaziya uporisi Niya unyanyasaji mungu Aibariki kaziyako go bress you
@mosesdavid-vm5hk
Жыл бұрын
uyo mjuba mzee wa madungu namkubari sana anasaidia vijana wengu kupata gari kwa bei cheeeeeeee
@lampadshigonko3006
Жыл бұрын
😅😅anatumia jina gan mtandaoni ili kumpata
@UpepoVlogs
Жыл бұрын
@@lampadshigonko3006 CHRISS LUKOSI
@boy-pq6ow
Жыл бұрын
Hongera sana uko vizuri.
@amirishauur5795
Жыл бұрын
pale nliposkia anawatoto 2 miaka 50 duuuh niko apa 29yrs 4 kids 3 suiters no marriage NTATOBOA KWELI
@serafinamalecela4728
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@zephaniampanya1138
10 ай бұрын
your story has inspired me in deep
@gadisonmichael7805
Жыл бұрын
huyu mwamba nouma sana nakubali kc mzee wa madungu jeshi
@usaskauswege8023
Жыл бұрын
Ugonjwa wa Sukari unatibika kirahisi. Kama interested na kupona utibiwe
@mabwetebrown5432
Жыл бұрын
Mtu Kama huyu alitakiwa kuhojiwa na Millard, Au vido Huyu mtu nilevo kubwa sana
@robertnyenza2988
Жыл бұрын
Naona Madungu jeshi naMinada mingi sana East Africa ukiacha Tanzania, Mungu akusimamie
@drisayaambulatoryvetclinic1514
Жыл бұрын
Huyu jamaa ni mpambanaji sanaa ,mwenyezi mungu akupiganie zaidi na zaidi bro uwepo mpaka mimi nikikamilisha hela ya kununua dungu
@experiuscyliro5313
Жыл бұрын
Big up sana kwa huyu Mnyakyusa/Mnyalukolo
@rademm8924
Жыл бұрын
Mhehe aliezaliwa Mbeya
@EleziaNzowa-el7gi
11 ай бұрын
Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo
@leganmichael6148
Жыл бұрын
Mtangazaji ongeza uwezo wa kufanya mahojiano, hasa maswali kwa mtu unayehojiana naye.
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Mbona madungu😂😂😂😂😂
@ReubenMonyo
6 ай бұрын
Hongera sana broo kwakwel umenifumbua macho niongeze bidii ya kupambana kwenye biashara yang kwakwel waliomsikiliza broo wetu naamn hawatokata tamaa ameamsha watu weng walioanza kukata tamaa asante sana nakushukr sana napia nawashukuru wote mulioamn kiiman mung awabariki🙏🙏
@hamadkipenzy6905
7 ай бұрын
Big up brother na big up kwa Ayo TV Ayo TV inapambana kuonyesha chachu ya maisha kuliko kukata tamaa na kujibweteka vijana tupambane tuache kupoteza muda muda nimali sana usikubali kuwa mzigo au tegemezi tumia vyema nafasi yako ulipo kuweza fika utakapo kila kitu hakikosi kikwazo
@georgeosmund727
Жыл бұрын
Milard set another interview na huyu blaza iwe exclusive.
@lucialeonard2675
Жыл бұрын
Nakuunga mkono
@LidyaRichard-m6b
Жыл бұрын
Umenigusa baba
@frankhaule8570
7 ай бұрын
Daaah aisee interview aijapendeza kwakuwa aliehoj hajamuhoj contents. Mtu unauliza et ni nan anaefahamuka umewahi kuonanae na watu wwnamfaham 😂
@NiceVenant-hf1yn
Жыл бұрын
Safi sana
@sagaotz
Жыл бұрын
Hongera sana
@ElizabethMintoi
7 ай бұрын
I must support this guy by buying a car from him someday.
@sixmelody4349
Жыл бұрын
BRO HAMEPAMBANA SANA NOMA SANA ANATUPA MOYO SANA VIJANA NAKUBALI SANA
@kazikazini1042
Жыл бұрын
Magari ya kutoka Uingereza ni ya kuwa makini nayo. Usishangae Interpol wakikutafuta.
@priscusgodwin
Жыл бұрын
Mengine yanaibwa?
@neemayatosha1618
Жыл бұрын
Wanayafichaga,Interpol wakitua bongo na polisi ndio wenyewe wanawashtua😂
@MedrickFredy-kb3uh
Жыл бұрын
My role model 🔥
@alloycemillinga1673
Жыл бұрын
Noma sana
@jumamussa2689
6 ай бұрын
Naomba Contact niweze kufika ofisini kwenu.
@RBSMABATI
7 ай бұрын
Mtani una overconfidence mzee. Umetisha sana
@johansenrauben6166
Жыл бұрын
Kwanza ni mupongeze lakini pia tuna omba kuunganishwa na hawa mahasala wezetu ili tupeane network na connection
@merrynancesimon1562
Жыл бұрын
Yaani huku ulaya ubaguzi wa rangi sio mchezo hongera sana my brother KC umevuka mnoo one love Asante kwa kutia moyo tusikate tamaa❤❤❤❤❤❤💋💋💋
@emiryfaida2437
Жыл бұрын
Mie nahitaji hiace commuter 2430cc ya mwaka 2003
@almasmanumbu7945
Жыл бұрын
Mafanikio Ni Siri kubwa Sana ya mtu atasema yote lakini ile secret hawezi sema abadani mtakachoona Ni utajiri wake 😅😅😅
@willyNdihokubwayo-l5l
Ай бұрын
Unase ma ukwer8
@irenemichael
7 ай бұрын
Mhehe tena kujiamin ni baraa
@shadrackkassale2968
Жыл бұрын
Mh kweli pesa nzuri yani 51 years kama 35 years
@aisharamadhani1948
Жыл бұрын
Mashaallah najipanga nikipata pesa nakuja kuchukua gari
@victaboy7273
Жыл бұрын
Anaongea simple, lakni vijana mjue siyo rahisi sana. Na pia tafuteni njia zenu, msiige
@Reusci
Жыл бұрын
🔥🔥
@thehoodmedia5332
7 ай бұрын
Mtangazaji anashindwa kuchimba madini
@seifkulwa3346
Жыл бұрын
Good history!
@MchagaUk
5 ай бұрын
Namjua ameishi mji wetu
@humphreymike1310
Жыл бұрын
Salasala sehemu gani mwenye kujua pls,,
@faithkaganda-k3s
Жыл бұрын
Oh!dear Lord i give all praise,honor and glory for us🙏🙏❤❤
@pendokissatu937
Жыл бұрын
Inspired❤
@hanifamziray277
Жыл бұрын
Hongera sn ukianguka nyanyuka usikate tamaa
@MwanaishaShattry
11 ай бұрын
Nimejifunza kitu kizuri hapa. Salute kaka❤
@hafsalucky1088
17 күн бұрын
Uko smart sn kaka, Umenitia nguvu ya kuchapa kazi🙏
@vickyshayo7880
Жыл бұрын
Hongera sana
@StanslausMaregesi-nq2dm
Жыл бұрын
so far huyu jamaa anakitu kikubwa cha kuinspire vijana wengi wanaojitafuta.. big up sana kwake na kwa AYO TV
@lilyelisante-cl1sl
Жыл бұрын
Nimemuelewa sn na nimejifunza sn na kanipa nguvu mara mbili ya kupambana yuko vzr interview yenye faida sn kwangu mb zimeenda kwa faida Asante sn Millard 💕
Пікірлер: 583