This guy he very smart The way he is talking is show respect
@TripleG834
Жыл бұрын
Kenya zipo
@athanaswilliam6940
Жыл бұрын
Nice interview... Upo real Sana brother... Hakika tujifunze toka kwako... Hujisifu unaongea ukweli kutoa changamoto kwa vijana.... Safi Sana bro!
@alexlimo6959
Жыл бұрын
Nikisema unanipea ghani nakubali GTi VW ...I love it
@magrethkilua3601
Жыл бұрын
Hongera sana, ni kweli ukipata tumia kakaangu ya kesho anayajua mungu
@gideon546
Жыл бұрын
🙏 🇰🇪➕️🇹🇿 - REAL BUSINESSMAN. Hard Working Gentleman. "GOD" BLESS YOU BRO. & Help Others. 👍 🙏🙏🙏
@sadickchakka3147
Жыл бұрын
V2 alvyo navyo huju mshua kama mm vile jipende mwenyewe kwnz nawengne ndo watakupenda ukiwa nacho tumi wakat ni sas maisha hayard nyuma🙏🙏🙏🙏
@ramadhanihamisi5596
Жыл бұрын
Habari ya siku kadhaa rafiki yangu, Bila Shaka uko pouwa kabisa,leo naomba ufahamu *umuhimu wa kukanda maumbile* Hili ni zoezi la kuaandaa maji yenye uvugu na kitambaa laini, kisha kuukanda uume kama unauchua kutokea kwenye shina mpaka kwenye ncha kwa karudia Kwa muda kadhaa. *Zoezi hili husaidia sana* 1 kuimarisha neuron transmitter ambazo husafirisha taarifa kuelekea kwenye Ubungo,hii husaidia utumwaji wa haraka wa taarifa kwahiyo humsaidia mwanaume aweze karudia tendo kwa haraka 2 zoezi hili husaidia kurudisha uwezo wa ngozi ya uume kustahimili joto la tendo la ndoa wakati wa kwanza wa tendo,hivyo hupunguza sana Hali ya kufika kileleni mapema. 3 kuimarisha mzunguko mzuri wa damu kwenye uume,zoezi hili husaidia sana damu kuweza kufika sehemu mbali mbali za uume mpaka kwenye ncha ya uume na kuufanya uweze kuwa na nguvu wakati wa tendo. 4,inasaidia sana kupunguza seli mfu pamoja na mabaki ya oxygen,ambavyo vyote hivi hudhoofisha utendaji kazi wa misuli ya uume. *Muda mzuri wa zoezi hili ni Asubuhi unapoamka* Naomba nikutakie Siku njemaaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@danielmkama24
Жыл бұрын
Bro we ni mtaalam wa hayo mambo? Unisaidie kitu??
@MpajiAlisoni
7 ай бұрын
Asante Kwa ushauli
@Kikikikikiki723
Жыл бұрын
Kuna wanaoishi maisha bora na kuna sisi wa "heri uhai"..😎 Now me and my friends here tunaishi exactly the opposite of what we thought our lives would turn out to be, when we were younger.😅
@hassancharo1496
Жыл бұрын
Help ophans
@TheNdaki
Жыл бұрын
Vuta Picha unaamka hujui kesho utakula nini, au utapata Shingapi ya kula kwanza...mengine utajua mbele kws mbele.. 😢
@TheNdaki
Жыл бұрын
"Yote Kheri, tuzidi kupambana hatujui yajayo..... Maisha ni kama boksi, hayatabiliki kesho ukiingiza mkono utaibuka na nini"
@ericpeter8900
Жыл бұрын
Hongera bro,niliona ukipita nalo hapa nyali mombsa bonge la gari
@diegomontenego5158
9 күн бұрын
Hongera broo Nikichopenda Unakauli nzuri Wewe ndio kati ya matajili wakweli Sio Kina Chiffu aseee
@zitongwang6278
Жыл бұрын
Keep it up brother , Ur so genuine and details orientated person , huna roho ya kukunja ..., Muwazi na inaelekea msafi WA Roho ✌️🔥🇹🇿
@rosegideon336
Жыл бұрын
Kab is a Ana one kana sio wa kukunja. Mungu huwaona watu hawa
@zitongwang6278
Жыл бұрын
@@rosegideon336 kabisa
@KHAMISKHAMIS-p6k
Жыл бұрын
UNCLE,Mashaaallah UNATUHESHIMISHA 👍👍👍. 11:25
@Waytozanzibar
Жыл бұрын
Halina tofauti sana na gari kangu Hilo.. anyway karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
@givembwilo141
Жыл бұрын
Nasikia mashoga kibao huko 🤣🤣
@NassirMohammed-p1h
Жыл бұрын
@@givembwilo141wee mwenyewe shoga
@omaryjumas6327
Жыл бұрын
@@givembwilo141Wako wengi kweli kweli, kila siku wanajazana kwenye maboti kutoka Tanganyika wakifika Zanzibar hawataki kurudi unyikani.
@matheobaha773
Жыл бұрын
Utalii unacost shiling ngapi za kitanzania
@mirajijuma454
Ай бұрын
pambana
@dottohami
Жыл бұрын
Huyu kaka Yupo Smart sana mashaallh hajisikii kabisa 🥰
@jeremiatitus4414
Жыл бұрын
Mtangazaji uko👍 jamaa Yuko vzr maisha mazur japo mafup , Mungu tumpe nafasi,👍
@hassansaid3833
Жыл бұрын
Nimependa kajieleza kwake Yupo smart Hana kelele muwazi. Ila hizo gari hapa UAE wanazipenda Wafugaji mbuzi na ngamia kwakubebea mavyakula ya mifugo tena nyingine wanaziweka tail 4 nyuma
@isakatogoro4697
Жыл бұрын
hata huyu mwamba pia ni mgugaji, huku Musoma ana mashamba yake ana 🙄ng'ombe zaidi ya 500 na mbuzi pia ndio maana kalipenda hilo gari
@AliMo-i8n
Жыл бұрын
😅😅😅😅
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
@@isakatogoro4697😂😂😂
@stephanomoses7694
Жыл бұрын
Huyu jamaa ni mfugaji mkubwa sana hapa Tz. Analisha nyama bunge zima za tanzania na nchi nzima. Pia analitumia kubebea kondoo wa sufi . Kumbe haya magari ni kwa ajili ya shughuli hizo asee. Matajiri bwana
@frankngoloka5416
Жыл бұрын
Wewe unalo gari la bei gani unalomiliki?tusipende kutoa kasoro wakati wewe hata gari ya miln 10 huna
@alibinali_
Жыл бұрын
Watanzania wingi wanaishi Mombasa ❤❤❤❤❤
@collinsandrew3425
Жыл бұрын
Very humble ,no arrogance no issues
@babybeast473
Жыл бұрын
Proud to say namjua personally
@swibewilliam4939
Жыл бұрын
Ukisha sema sio hapa tu Bali hata Nairobi..... Umemaliza .Anaye elewa ameelewa.. anajua standard ya wenzetu
@rosegideon336
Жыл бұрын
Daah natamani sana Magari makubwa. Hongera kk gari ya bei kubwa mno Big up.
@jamilaathumani5481
8 ай бұрын
Sio mchoyo uyu kaka,,inaonekana anaroho nzuri Sana,,Kila la heri kaka mungu akubaliki
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Gari hili ni zuri sana hongera bob, ila warabu huku Qatar wehu wanayapandisha juu zaidi ya hiyo na wasudani ndio hivyo tena wanabebea…
@kundeigang3879
Жыл бұрын
Wanabebea nn
@godfreymubumila3862
Жыл бұрын
Hiyo kitu ni noma nyingi sana mzee GENERAL MOTOR COPERARION G M C
@sulaymanwaziri4455
Жыл бұрын
Nikiwa Musoma napenda kulala sana hotel yako,, baada ya kuiacha hotel moja yapili kwa ukubwa baada ya yako,, ni mtu pekee ambae ninakuangalia sana ili siku moja nifike hapo,, tangu siku ulifanya ile sherehe yako pale Musoma sikiacha kutafakari namna ya kufika hapo ulipo fika,,
@AgnesMsomi
Жыл бұрын
Kaka Rama ongera sana kwa kutuheshimisha Musoma kwa gari zuri Kubwa kuliko Tz.
@SalimSalim-ec9jo
Жыл бұрын
Big up boss Ramos umetoka mbali Mombasa kisauni inakutambua
@gaspergasper9830
7 ай бұрын
PESA IPO IZO GARI ALIZOTAJA ALAFU HANA MOJA MKUU sio powa zote ni mapesa 🙌🙌
@KHAMISKHAMIS-p6k
Жыл бұрын
UNCLE,Mashaaallah UNATUHESHIMISHA 👍👍👍.
@Mumewangu
Жыл бұрын
Jamani . tunahangaika kutafuta pesa ya kila siku tukiipata tupo taabani. Lakin MTU ana gari LA milioni mia NNE .him mungu ambariki na ampe kwa wing I amin.
@mombasaraha1502
Жыл бұрын
Huyu jamaa yupo simple sna na hana kibri wala majivuno ingetokea ni hawa wabongo wenye viherehere wasanii 😂 umgetajiwa vitu hata hamna humo ndani kisha kweli huyu ametulia hana .majivuno wala hajuoni kuwa amewapita wanadamunwengine homgera kwa kazi nzuri
@masanajoseph2335
Жыл бұрын
Boss wangu huyo pindi Nafanya kazi regland hotel musoma jamaa mmoja mstarabu sana Tena sana boss hauna baya
@bellam.vyampi5528
Жыл бұрын
Aaaah sijui Kuna uchawi ganii kwenye hela,,watu wanawaza magari ya bei kubwaaaa,wakatii Kuna magari makarii sana na yabei yakawaida kidogo.
@hassanramadhan3418
Жыл бұрын
Napenda sana kumuona baba Kwenye TV ❤
@DumperClassic
3 ай бұрын
Dumper classic Nakubalii ulicho kisema jipendee
@AniriAmiri-gt8ul
Жыл бұрын
keep it up blo unatuwakilisha vizuri blood
@bANana-yf1qm
Жыл бұрын
Nilikutana na hii beast Nairobi,, Weeh ni mnyama kweli.
@athumanikisoka2759
Жыл бұрын
Huyu jamaa katudanganya kasema kaagiza mwaka jana mwezi wa kuminamoja kalipata mwaka huu mwezi wa kwanza then kaja mwishon kusema kua lilikaa bandarini miezi nane mpaka kulichukua sijui n mimi tu ndo nimefatilia hili😂😂😂
@samwellupimo1125
Жыл бұрын
Wewe ndio huelewi kitu
@khalidmusa1803
Жыл бұрын
Huyo kaka mkarimu sana. Ma shaa Allah Mungu amuongeze zaidi
@aliissa2926
Жыл бұрын
Mozambique 🇲🇿 hipo niliwai kuona Maputo moja rangi ya yellow
@Sisopotashiumz
7 ай бұрын
Hasaa milioni 400 ndio est africa lipo moja watu hawajaamua tu kulimiliki
@JensElm-k4k
Жыл бұрын
Vido vidox!!!! Upo vizuri sana katika fani yako you know how to ask questions Tena maswali ya maana. Big up vido
@georgenyoni9879
Жыл бұрын
Big up Broo,all I can say you have worked really hard
@bwirechrispus3092
Жыл бұрын
U don't know him ask us who knows him. He didn't work hard
@msusakandur1286
Жыл бұрын
Xxix to
@mosesachoka121
Жыл бұрын
I see this car in Nairobi,kilimani area.. with another guy ..who claims to be the owner too..
@DanielKanithi-n3q
7 ай бұрын
Uko na roho Safi nipe at Mimi probox juu mungu amekumbariki
@PreciousCaromathew
Жыл бұрын
But ajue ndio tulipigia campain ya hustler last year mwenzi wa 6,7, campain ya prezzo
@ayuenmadyt
Жыл бұрын
ati ni moja east africa. am even surprised there is one in kenya. hizi GMC zimejaa south sudan (am talking about SUV not a pickup)
@ruwaruwa1
Жыл бұрын
Hakuna kama hii East Africa wewe
@ayuenmadyt
Жыл бұрын
@@ruwaruwa1 then you don’t live in Nairobi. Or if you do then you live on the outskirts of the city
@shafiqshine3983
Жыл бұрын
Mchizi wangu ramaa congrats sanaa wahasbiallah
@samirsaid2087
Жыл бұрын
Njoo congo uku zitele hzo twabebea matofali tu yakujengea
@peteradamu4081
Жыл бұрын
Hilo la kwake tu.yaan niache kujenga gorofa ninunuwe gari la mil 400.mmh!!!😢😢😢😢
@josephatmaruka4612
Жыл бұрын
Mmmh! Kuna sehem katupiga huyu jamaa Gar aliagiza mwezi wa kumi na moja na kaanza kuimiliki January. Chakushangaza Bandarini lilikaa miezi 8. ????
@khadijamwenda1851
Жыл бұрын
Wewe ndo hujaelewa Kasema kabisa bandari ilikaa miezi 8 kasikilize tena
@josephatmaruka4612
Жыл бұрын
Aliagiza mwezi wa kumi na moja mwaka jana, akaimiliki January,bandari ilikaa miezi nane. Hapo ndo nimepata shida kuelewa.
@mosseskahemela2969
Жыл бұрын
Kwan huyo c ni mbongo
@LockenMunis
Жыл бұрын
Nimeliona changamwe ILO gari Mombasa pale ni zuri Sana na bonge yagari
@reginaldmushi9784
Жыл бұрын
✨🌙🦅🤘🔥I real Aprriciety this guy
@SaimonKazimoto-xt1zo
Жыл бұрын
Unatu especial sana broo ishaara mungu akuongezee.
@AziziAbdala-tw6uf
3 ай бұрын
kaka bora uandike kiswahil 😂
@ramakiliku6029
Жыл бұрын
Mashaallah tabarakaallah Sheikh RAMA
@alibinali_
Жыл бұрын
Ilikuwa Nairobi hiyo gari ikaja Mombasa jamaa kanunua hiyo GMC ni noma sana
@abubakarymaulidy5681
Жыл бұрын
Hongera sana kaka hauna majivuna kbsa katika maongezi yako
@Nickojunior
Жыл бұрын
Magari yote imemiliki Mpaka Bugatti😳😜
@lina53996
Жыл бұрын
Haifiki million 400 .hii gari ni used halafu ni ya mwaka 2017 .nasema ivi sababu mimi ninayo hii na nina ford f2.. usikutishe ukubwa wa gari
@andrewkibeliveradio
Жыл бұрын
Bro nasema gari limekaa bandarini for 8 months, aliagiza gari mnano mwezi wa kumi na moja. Ila, aliipata January 😮😅 sielewi
@tinanamalombe4444
Жыл бұрын
😂😂 mwenyewe sijaelew
@kaluluu2011
Жыл бұрын
Uyu bwana Hana mbambamba maana kataja mwezi tu mwaka ajasema huwezi kumuhukumu.... HAWA CYO WALE WABONGO KAMA YULE MBILI KIMO TAPTA TAPTA ANATUMIAGA MAGARI YA WATU MUONGOMUONGO.UYU PIMA MAELEZO TU UTAJUA YUKO REAL
@malikzafarani172
Жыл бұрын
MashaAllah hongera yake gari kali saana 🇶🇦
@thomasmwasongwe7790
Жыл бұрын
Hapana sio kweli Hilo gari kama hilo nililiona mnazi mmoja tena lenyewe ni dabo tire nyuma nilishuka ktk daladala nikarishangaa sana.
@roytv8276
Жыл бұрын
Nimeliendesha kitambo Sana kwenye GTA vice city mpaka nimelichoka
Hongera kaka .am a professional driver anaweza niajiri? From Nairobi
@priscillawilliam3603
8 ай бұрын
Huna majivno wala hujikwezi hongera sana
@ramadhanmasiku4105
Жыл бұрын
Wenzetu pesa mnazipataje mbona mi natamani kuwa na boxa nashindwa? mtungi wa gas nilinunua kwa kucheza mchezo "Upatu" yaan navurugwa hata celewi😢
@carppondohchadih4420
Жыл бұрын
Toa kafara
@isayamzaliwa9253
Жыл бұрын
Nimuongo uyo marekan elf 47 ndo million 400 kuagiza😂😂😂pumbav zake wa bongo wa ongo 😂😂😂
@hubimogela9167
Жыл бұрын
Kuna gari nimeagiza Iringa wanaitengeneza zinaelekeana sanaaa so zitakuwa mbili soon God bless me.
@emanuelgavile3503
Жыл бұрын
Kitakua kipembe icho
@Luscious6826
Жыл бұрын
@@emanuelgavile3503 😂😂😂
@abouking3452
Жыл бұрын
😂😂
@josiahessau1862
Жыл бұрын
sio moja east africa, kuna siku nilikutana na GMC mbili zinatoka bandarini pale riverside
@NaomiWekuke
Жыл бұрын
Walizipeleka congo
@noahmadali7150
Жыл бұрын
Gari ya kawaida hafu pick up ingekua wagon angalau hafu sio luxury mbona chuma la kazi ngumu ndomana liko juu
@dularwambo3243
9 ай бұрын
Yaan ukiligonga ilooo millard ayoo. Atauzaa mic zotee izoo mlipeee
@majaliwamussa9268
Жыл бұрын
Dah mtihani kweli Magari mengi hayo Ila kwa bongo linaonekana geni
@joeayako3305
Жыл бұрын
JIPENDE… very important.. love yourself and gift yourself whatever you can afford.. very humble guy.. unlike sonko 😂😂
@neelamfarouk7762
Жыл бұрын
Uyo kaka fala sana aje mombasa aona ma GMC .WACHA UFALA WW UMBU WALA HUKAI NAIROBI
@celestinniyububasha9152
Жыл бұрын
Kundanganyana vibaya huku kwetu Burundi gali Lipo Ila sijatembez Ila usiseme liko ryenyew east Africa uongo hiyo
@stainerwakwao5275
Жыл бұрын
Kenyan plate numbers 😊😊🇰🇪🇰🇪
@moriz254
Жыл бұрын
Anatoka Mombasa 2:51
@pitosjuma7224
Жыл бұрын
Gari hiyo Nisha iona kabla , tena kasulu Kigoma, kwenye ofisi Moja kubwa pale kasulu. Tena mwaka 2020.
@amanimanase8798
Жыл бұрын
Duuh aisee kumbe Tz hii hii kuna vijana wenye mkwanja sana aisee
@filbertnyoni2352
7 ай бұрын
Tafuta pesa mzeeee
@nicksononesmo5322
Жыл бұрын
Uongo kaka naishi kisasa dodoma hiz gar mtaani zipo kama mbili ukichanganya na moja ipo kama noah ila ni kampun ya GMC znakua tatu hamjatembea gar zpo nyingi
@gracekisumo241
Жыл бұрын
Aweee boss wangu mwenyewe huna makuu na mtu mimi nafarijika sana ukiwa na furaha na unapendeza Mungu aendelee kukuweka @RamadhanMsomiBwana
@papachamedia3739
Жыл бұрын
Kuna Rafiki yangu kutoka California ambaye yupo Geita kwa sasa anamiliki Gari la aina hiyo,hivyo siyo geni kwangu
@ONEdreamfilmtz
Жыл бұрын
Sijui nikwanini watu wenye Hela wanajiamini sana na hawana mambo ya kujisifu na maelezo yao yamenyooka sana
@givembwilo141
Жыл бұрын
😢angekuwa chief godlove hapo sasa
@hassanhancha1413
Жыл бұрын
@@givembwilo141😂😂😂
@benedictruthi2113
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂@givembwilo141 oya yule msenge anajikutaga keshaaaa malza Kila ki2 Yan manyoko zake 😅
@vokesafaris9506
Жыл бұрын
Jamaa Simple sana
@josephwairimu6222
Жыл бұрын
Awesome
@agnerapius7244
Жыл бұрын
Umeoa baba nahitaji niwe mke wako hata nikiwa wa 100000 nimekupenda❤
@manasekijangayamba2023
Жыл бұрын
Pambana kutafuta hela
@obedwilson
Жыл бұрын
Duuuuh😂😂😂 Umetisha
@colletatesha5265
Жыл бұрын
Hhhh😂😂🤩
@ahmadifataha6677
Жыл бұрын
Gari za kawaida tuu hizo sema wanalishwa matango pori
@BM_Smart2-6
6 күн бұрын
Jamaa katulia vizuri na anajieleza bila dharau, sasa niyo unamkota m'bongo mwingine gari ya milioni 28 tu ana kiburi barabarani anachomekea kwa dharau ushamba kibao
@GeorgeEbake
Жыл бұрын
Uko vzuri ukilinganisha na maisha ya uko kwetu afrika. Japo hapa yeyote anauwezo wakuimiliki. Wanazitumiaga sana kuendea Shambani kisa muinuko na ugumu
@G-JMK69
Жыл бұрын
Na wewe pia unayo kama hiyo ya kuendea shambani?
@Cyprian_infomer
Жыл бұрын
Kenya is the capital city of Africa 🇰🇪💪🇰🇪💪
@Motivationall_Dose
Жыл бұрын
Have you been to South Africa, Nigeria and the north Africa?
@kazikazini1042
Жыл бұрын
Ovyooo
@abdulkareemchande7204
Жыл бұрын
The owner is Tanzanian
@iannderitu9012
Жыл бұрын
Its the pride of Africa
@iannderitu9012
Жыл бұрын
@@abdulkareemchande7204 nop,its owned most by Indians,the perhaps Agikuyu tribe
@toprankmedia1984
Жыл бұрын
Wow great.. 👍
@papaamasauti1973
Жыл бұрын
CONGO zipo kibao
@abuuslater9242
Жыл бұрын
Hongera Tajili Rama wa Musoma Allah akueke kaka mkubwa🙏🙏
@mibuloedward9636
Жыл бұрын
Nyegezi stendi kuu ya basi tayali ina nyufa za kutosha tena kubwa kubwa na haina hata miezi 2 tangu ifunguliwe
@sarahclement3599
Жыл бұрын
Sio kweli kuwa ni moja East Africa, hata Kanda ya ziwa Kuna jamaa wawili wanazo
Пікірлер: 674