Kama unawapenda nandy na billinas like twende sawa
@evekiondo5828
4 жыл бұрын
So calm and composed.. i love all your interviews Billnass unaongea vzr sana na leo umejua kuzid kusimama ktk nafasi yako baba. Yaan akili kubwa zimekutana, shikamaneni hivo hivo mtafika mbali sanaa💪🏽😍
@doreennasike6298
4 жыл бұрын
Awww ❤️ Billinas leo ulikuwa so composed 👏👏👏... HUSBAND 💪 💙 MATERIAL oyoooo
@edwardnatharyblessed7067
4 жыл бұрын
👏👏👏 Hongera Sana Shemeji wetu @Billnass kwa ujumbe wako, hakika umeiva kaka, unaongea Kama baba wa watoto kumi, Dada ee @Nandy furahi Jamanii umepata mwanaume dhabiti na asiyekuwa na papara ❤️❤️❤️ I love you guys 💞🔥
@paularuthrabera8338
4 жыл бұрын
I like this upcoming couple billinasi so composed and humble man
@kadigatanzaniya4792
3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awajalie maisha marefu ndg zanguni
@benjaminjeremia6316
4 жыл бұрын
Og tena na tena hongera kadada kwa maendeleo
@winjoymunuo9529
4 жыл бұрын
Hongera sana bill nimependa majubu yako nandy pambana huyu ndio wako
@chalaaly4906
4 жыл бұрын
Nimwaname unaejielewa billnass. Mungu awasimamie saport sana kijana. Tutakuombea dua.
@aminanamoyo83
4 жыл бұрын
Inshallah na itakuwa,cha muhimu upendo na uvumilivu maana mahusiano subuhaana Allah mtihani. 🤲🙏
@levinajohn239
4 жыл бұрын
Nawapenda sana nandy na billinas mungu awape maisha marefu mkifunga ndoa
@royphotostore6535
4 жыл бұрын
watabwagana tu
@alidamgeni7051
4 жыл бұрын
@@royphotostore6535 una roho ya umbwa na siyo yamwanadamu na hauwezi Mungu amefanya na yatatimia tu
@nassorsada213
4 жыл бұрын
@@royphotostore6535 unaroh mbay kam ukimwi
@shushu8105
4 жыл бұрын
Royphoto store una rohombaya nyooo maviyako
@liliansige417
2 жыл бұрын
Wameshaoana na Inshaalah watadumu kwny ndoa yao
@rehemashafi4809
4 жыл бұрын
Mungu awajalie muowane mfike mbali inshallah allah
@hadija846
4 жыл бұрын
Amiin🙏🏼
@dorndet6179
4 жыл бұрын
Leo mi nitakuita Nenga kwa Mara ya kwanza.you smashed it keep growing.
@nassorsada213
4 жыл бұрын
Alie mlipia billnass Ada asijutue Maan leo nenga ameongea point Congrats baba mweny nyumb kwa uwepo wak maan tulikuzoom hatujakuon kumb ulikuwep Mung awatangulie kweny maish Yen ili muez kutimiz ndoto zen we na nandy
@hadija846
4 жыл бұрын
Amiin🙏🏼
@zenamadhan2517
4 жыл бұрын
Lkn mamke nandy katubwaga..eti ataemleta jpo chizi na wakati keshavishwa pete..angejibu tuu tumuachhie mungu..ingetosha
@evekiondo5828
4 жыл бұрын
😘
@nassorsada213
4 жыл бұрын
@@zenamadhan2517 nihatar mama hajazoa mamb ya interview
@vero57
4 жыл бұрын
HOGERA SANA SANA NANDY,FOLLOW YOUR HEART
@lilianjeremia1024
4 жыл бұрын
Anaongea kistaarabu sana inshallah watafik mbali
@taturamadhan1249
4 жыл бұрын
J
@hallmenaboud3192
4 жыл бұрын
Yani adi rahaa
@evequeen9157
4 жыл бұрын
Nawapenda sana
@hildaeliapenda3938
4 жыл бұрын
Saaafiiii billinas nandy umepata mume asiye tamaa mwenye malengo
@patriciamassawe5370
4 жыл бұрын
Uwiiiiiiiiiiiiiii I love you Billnass una miakiri wewe
@sarahpatricie9127
4 жыл бұрын
Nawapenda sanaaaaaaaaaaaa
@khadeejaabdullah7083
4 жыл бұрын
Ahsante Billnass
@berthacypriano9305
4 жыл бұрын
Safi nenga kwa maneno mazuri 👏👏👏
@mrs2918
4 жыл бұрын
hivi wabongo mkoje eti mlijua harusi kuna harusi inatangazwa hivyo au kuna harusi zina fungwa na majina ya kazi, jiongezeni basi, harusi ni ya WILLIAM na FAUSTINA na sio NANDI naBILLINASS
@jacklinemwanga1691
4 жыл бұрын
😩😩
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
🤣🤣umetisha
@rukiaaisu2309
4 жыл бұрын
Akili kubwa aisee
@hadija846
4 жыл бұрын
Nawapenda wote kwa kweli na mchumba wako😘😘🙏🏼
@joycewaziri4087
4 жыл бұрын
Mm jinsi ninav wapenda mpk naumwa
@joycekasimbazi9817
4 жыл бұрын
Kweli somo
@ndayushimiyeskitu1032
4 жыл бұрын
Napenda inavyo pendeza ❤️
@ndayushimiyeskitu1032
4 жыл бұрын
Napenda unavyo Tangaza❤️
@rhodamkungu4237
4 жыл бұрын
Safi sana, well said Billnas..mawe unayotupiwa, yakusanye halafu jenga daraja uende level nyingine. Watu wakishindwa maisha wanamtafuta mtu wa kumuattack. Kaza buti Nandy. Huyo Giggy kila mtu hampendi mara Amber Lulu..! Songa mbele, ndio maana Amber kampotezea.
@bellabakera
4 жыл бұрын
Gigy ni kenya west wa USA
@rhodamkungu4237
4 жыл бұрын
@@bellabakera 😁😁
@celinelihaka2362
4 жыл бұрын
We kijana unaonekana umepevuka kiakili. Unaweza kutunza familia. Fanya hima umwoe mchumba wako kabla wenye roho mbaya hawajawaharibia.
@Herieth-ou4lk
4 жыл бұрын
I love it.
@marymamntine1909
4 жыл бұрын
Mungu awatangulie
@jacklinewilliam1819
4 жыл бұрын
Nawapenda sanaa jmn kikubwa tu msituangushe mashabiki zenu
@fatmaally859
4 жыл бұрын
Me nawapenda sn msiachane
@aminaperis9022
4 жыл бұрын
I'm from 🇰🇪 ninawapongeza sana
@preciousgrayson2021
4 жыл бұрын
Oohoo
@egrajames6516
4 жыл бұрын
Hongera sana nandy
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Nenga achana na helen na mikufu wazaz wa nandy wakuelewe😂😂
@mariapialakanje3446
2 жыл бұрын
Nawapenda jmn nyie huwi BillNandy kwakweli we ndo mwanaume wa ukweli ni kma .....
@witnessjosephmtanke4757
4 жыл бұрын
Nandy mwambie jamaa yk avue hereni bana
@nassirmohamed8492
4 жыл бұрын
Ok
@rudiamganiexaudi1628
4 жыл бұрын
Naipenda hiiii capo
@Noah-se3ni
4 жыл бұрын
Nice interview Bernars 🔥
@balancedviewpoint7418
4 жыл бұрын
Wewe Bilnass unakaa kijana mtulivu na mwenye heshima zako. Kidogo familia ya Nandy hiko na vile wanafikilia ndio maana wako na mtasamo wa kucheleweza ndoa yenu. Jaribu kuelewa mbona wanakushuku ulekebishe hilo na muendelee. U Unakaa mpole na mkalimu, usiaje huyo mdada Nandy. Hiyo familia ya malezi poa sana. Kenya hapa twakuombea mazuri na ufanishi kwa vyovyote mfanyavyo.
@dinacelyn8647
4 жыл бұрын
Good
@tetasarah3455
4 жыл бұрын
J'aime cette chaîne sont des professionnels bravo et courage mes frères
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
Gigy money atafte lengne xaxa😅😅😅😅😅😅
@ziadaabdallah398
4 жыл бұрын
Ooh
@saumujuma6561
4 жыл бұрын
Nenga wewe unajitahidi sana
@yhasintakalenyula970
4 жыл бұрын
Nawapenda sana wadogo zangu Billnas na Nandy.Natamani muoane leo,kesho.Lakini nimeanza kuwa na wasiwasi sana na familia ya Nandy kama wanamkubali Billnas.
@dotinathalazaro4546
4 жыл бұрын
💔💔💔💔
@yumna128
4 жыл бұрын
Gigy ni chizi yule ajielewi anaropokaga tu
@rhodamkungu4237
4 жыл бұрын
Maisha yamemshinda, kazi yake kupigana na boyfriend hadharani. Angalia wenzake wanafanya vitu vya maana. God bless you Nandy. Keep it up..!
@yumna128
4 жыл бұрын
@@rhodamkungu4237 akili ana yule
@hadija846
4 жыл бұрын
Jinga Gigy danga Gigy kesha ishiwa na maisha wivu unamsumbuwa pumbavu zake. Nandy anapambana na maisha na hekima anazo😘🙏🏼😍
@mwanaidsalehe1109
4 жыл бұрын
Nandy usikubali familia iingilie sana mahusiano yenu nyie inavyoonyesha mnapendana ila kama dada yako simuelewi japo anapaswa kukushaur.
Пікірлер: 160