Dada mwenye heshma zake hadi unajivunia kuwa ni dadaako hongera mwaya very smart
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
Heshima ni kukataa ndoa kukubali uzinifu???
@vanessalaizer4363
4 жыл бұрын
@Serian Jamal heshima ya kuhalalisha uasherati na uku anadai wanasali sana, mwee
@aishakhamis2996
4 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@ashurahatibu5069
4 жыл бұрын
Nimempenda huyu dada mmnooo ni mstarabu na mpole mungu akuongoze na umuongoze zaid nandi wetu🥰🥰
@shiksshiks8494
4 жыл бұрын
A real sister is to support eachother kudos girl....hope watu wameelewa sio mtalkative waache kusema ana roho chafu....from the bottom of ma heart i love Nandy so much....much love from kenya🇰🇪
@karimahsalim2722
3 жыл бұрын
Pole yangu mi Nina Dada akikuta mtu ananisema vibaya nae anachangia na kuongezea ubaya hongera Nandy mshike sana dada
@veronicatweve8908
2 жыл бұрын
🤣🤣
@balancedviewpoint7418
4 жыл бұрын
Mlisaliwa warembo kweli dada. Mko na heshima sana pia lakini inaonekana hampendi huyo kijana sana. Kama kuna tabia fulani hampendi ni vizuri mmshauri apadili shauri Nandy umpenda sana huyo kijana. Umri wa Nandy pia muhangalie zio mtoto vile. Nandy alitoboa siri kwamba bwana mtarajiwa are amechangia sana kwa huo mradi wa biashara amefungua ya manguo. Mwisho, mjaribu sana msiwe mnajianika sana kwa mitandao. Mtandao ni mzuri. Inaeza ikakujenga, pia usipochunga itakumaliza. Maisha ya familia jaribu muendeze kimya kimya. Familia ni sensitive sana. Chanuka
@farhadhassansaid1297
4 жыл бұрын
Kwa kweli kaongea point, unafaa kumsoma mtu kabla kuoa sio kurupukwa tu na kuoa unaeza jilaumu na kuchukia ndoa pia
@tumakassim6286
4 жыл бұрын
Inaonesha bilinas hawamtaki kwenye hii familia
@swaumuabdallah4547
4 жыл бұрын
Ata mama yk kaek uzito
@maligeltabatholomeo8128
4 жыл бұрын
Pigia mstari yaani alafu awavungi wanaonyesha waziwazi awamtaki yaani
@jjboy5157
4 жыл бұрын
😂😂😂😂hata mimi
@kawawamamaya8543
4 жыл бұрын
Wasanii hawatakiw kwenye familia nyingi haswa hao wakina nenga
@neemakilomoni4258
4 жыл бұрын
Sana yani huyo kijana kama ana akili hapo sipo labda aokote magunia ya mahela 😅
@binbarwan7401
4 жыл бұрын
Ucshangae kuckia famly ya nandy hawampendi billnass maana hata mamayao ana mawazo km hayo wacha tungoje mwsho wa movie itakuaje
@JonathanRichard-e4c
3 ай бұрын
Msiwe na wivu . Mungu azidi kubariki ndoa yao.
@azizamvungi6409
2 жыл бұрын
acheni umbea nandy familiy ya nandy wanampenda sana billenas
@hawaynatimam982
4 жыл бұрын
Huyu Dada kaolewa na hakuna aliepinga, Bill hata kama Hana pesa ndo wameshapendana,,
@luluismail609
4 жыл бұрын
Kabisa yani ii familia ni hatar
@maryannonalo8872
4 жыл бұрын
It’s always good to listen to your seniors
@kawawamamaya8543
4 жыл бұрын
Wengi tunaona kuwa familia hawampend bilnas asiolewe na nandy, sio kweli ndoa ni kitu cha msimu sana, lazim wamshaur Mdogo wao vizur, ndoa ina mambo mengi mnoo wache waplay part zao kama ndugu, afu wasanii hawa hawatabirik kiruu,
@ferarimarando9435
4 жыл бұрын
Mmmmmm mbn kwa ruge hawakusema tusubiri kwanza wajichunguze
@Tunu254
4 жыл бұрын
@@ferarimarando9435 ruge kakaanae miaka 4 tena hadi nyumba moja aliishi nae so ilijitosheleza kusomana na pili rg ni mtu mzima na mwenye hekima bill ni kijana tena anapenda kujichanganya vijiwen na sehem km hzo bangi inahucka so ndo mana anatakiwa avute subra
@ferarimarando9435
4 жыл бұрын
@@Tunu254 OK bocc
@mariamdominicko4119
4 жыл бұрын
😄😄😄 ndio kwa sabu wanaleta usanii hadi kwenye vitu serious
@sekelaswebe4340
4 жыл бұрын
Hawa wanaona nandy akiolewa hawatapata pesa za nandy yaan ni selfish huyu dada yake kile kipindi anaenda kuolewa na ruge mbona hawakuona inabid apate muda
@زينابوو
4 жыл бұрын
Mbona yeye kaolewa na mumewe wote wanafanya kazi kwa nandy...yan hawa wanawaza pesa chezea mpare wee..wanajuwa nandi akiolewa htashikiliwa na mwanaume
@sekelaswebe4340
4 жыл бұрын
@@زينابوو 😂😂😂 na bilnas ashukuru yeye ndio anapendwa na binti yao lasivyoo
@زينابوو
4 жыл бұрын
@@sekelaswebe4340 yni..shida yao nandy aolewe na tajiri sasa wakitaka hvyo angeaza yeye dada mtu kufungua milango ya matajiri lakini kaolewa na mfanyakaz wa mdogo wake nandy sasa sibora hta hyo billins na mia moja kuliko hata hyo mumewe..hyu dada nimshezi sana
@aminaabdallah3644
4 жыл бұрын
Na kweli
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
@@زينابوو apo chacha ety nshaolewa nmeyaona🤣🤣🤣 badala axeme tu ukwel yuaogopa Nandy akiolewa majukumu yenye yuamtimizia yatapungua🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@veronicanditeze425
4 жыл бұрын
Hawa ni wazi hawampendi Billnass
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
So anataka waendelee kuzini????
@albs1448
4 жыл бұрын
Kifupi hawampendi, 🤣🤣
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
@@albs1448 Hawampendi but mdogo wake kadata mazima
@fatmaamran1335
4 жыл бұрын
Ndoa ni heshima,ndoa ni nusu ya dini..Bora waoane ..vijana wataendelea kuzin na ni dhambi
@saidiabdallah9665
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@fatmaamran1335
4 жыл бұрын
@@saidiabdallah9665 ndio
@ngaegelaamadi1044
4 жыл бұрын
Inavyoonesha hpo bill hawamtaki ila nand na billnass wanapendana
@samirambarouk8249
4 жыл бұрын
Uhakikaa wat wazma tushaelewa
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
Kabxaaa,,
@khadeejaabdullah7083
4 жыл бұрын
Dada kama dada
@jacquilinemakundi1841
4 жыл бұрын
Mbona kwa Ruge hamkupinga siyo tabia nzuri MTU anapopata mchumba mipango ya ndoa ni ya kwao Mandy ana utoto gani? Hats uolewe na miaka 40 changamoto za maisha na ndoa zipo tu usijidanganye watu wanaolewa ns miaka 40 baada ya miaka mitatu Hanna ndoa unamkosea sana muoaji hamuwezi kupanga mahusiano ya watu ni kosa usirudie tena
@marrymbiso4243
4 жыл бұрын
Kumbe wewe umeshamiliki maisha ya mdogo wako ndomaana ushamtabilia mateso ya ndoa yake,Mungu pekeake ndoanajua maisha ya mtu,kwaivi unataka aendelee kudanga eti eee
@Noah-se3ni
4 жыл бұрын
Very beautiful family ❤❤❤❤
@Waytozanzibar
4 жыл бұрын
Hayo ndio malezi sasa ! Sijui gigy kalelewaje 😂😂
@qatarqqt8013
3 жыл бұрын
😂😂😂
@ashrafrajabu6464
4 жыл бұрын
ila muda mwengne jaman hata public muwe na aibu aisee ya kuzungumza vitu vilivyomo kwenye moyo yenu mana hii familia bado hawajamkubali billnass inshort billnass hatakiwi lkn wanaonesha wazi wazi dah ukimskliza mama ake nandy, ukija kumsikiliza huyu dada utapata picha hapo
@rehemabakali494
4 жыл бұрын
Kbs
@fettysankaabdullah5353
4 жыл бұрын
Mwanaume asipokuwa na hela ata akitaka muoa dadangu sitak roho inauma kabisa. Wanaume tafuten hela mueshimike
@babylonyNgwembe
4 жыл бұрын
Mpuuzi kwel kwan mungu ndo alisema wanaume watafute pesa ndo waheshmike na wake watafute nn.
@fettysankaabdullah5353
4 жыл бұрын
9262babylony Ngwembe umemia nyie ndio wale wa kulelewa mfyuuu tafuten hela mkitaka heshima
@gulionigulioni3234
2 жыл бұрын
@@fettysankaabdullah5353 heshima gani hapo zaidi ya mboo?
@tunuyaomar5017
4 жыл бұрын
Huwiiii fyoko fyoko, unaeka kauzibe wakati bill ndie alieanza nae lakini alipokuja ruge mulitaka kumuozesha hata mgonjwa akiwa kitandani so munadhani zile njaa zenu ndio njaa ya bill.
@AhmedSalah-ri3es
4 жыл бұрын
Nyie familia ya nandy mnaona kma bilnenga kafata Mali za nandy wakat walikua kwenye mahusiano kitambo tu munataka akae nae mpka lini
@happynicholaus6474
4 жыл бұрын
Umeonae
@abukalenassim4004
4 жыл бұрын
Wanakera
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
Dc family i think they don't love Billnass,, wote ni wa2 wazma lkn muwazuie kuoana kwa sababu zisizo msingi, kama ww uliolewa wapata shda does it mean pia ddko atateseka??? Instead of kumpa baraka zenu mwataka azini adi azeeke
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
Nmeanza kuchkia hii family xan n i assure you wakiendlea na huu utoto wao watackia tu Nandy ameolewa
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
Hii family waseme tu ukwel hawamtak Billnass,, cio ktoa rzon nyingi mara wajuane vzr, ooh angoje kdogo adi lin??? Mbn wkt wa Ruge Allah ailaze roho yake mahal pema. Hamkutoa hizi sababu nyingi
@sekelamwangosi3289
4 жыл бұрын
Dah asemi shemej anasema yule mweeh hawampend bili
@tatuta6529
4 жыл бұрын
Wanafanana sana na dada yake
@salehalbasam41
4 жыл бұрын
Yn mbk sauti kidogo zinaendana
@khadijasalum2302
4 жыл бұрын
Azini tuu kama huyo bilnas muislam azini tu subhanallah
@lindabartai2346
4 жыл бұрын
Bilnas ni mkristu
@delaidelove8756
2 жыл бұрын
Ndo wameoana sasa😂😂😂
@asyakhatib7942
2 жыл бұрын
Weweeee 😂anavyojichekesha Kwenye shuhuli kama sio yeye
@aminakawawa1935
4 жыл бұрын
Ila wazuri kama mama yenu mashallah
@albidaya7144
4 жыл бұрын
Wamefanana
@antybabybintrashid2333
4 жыл бұрын
Mpaka sauti
@ashrafrajabu6464
4 жыл бұрын
ukichunguza kwa umakini familia hai respond billnass kuwa mume wa nandy
@kawawamamaya8543
4 жыл бұрын
Haha haha haha
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
Exactly bt i prmc u Nandy haez kubali hizi upuzi zao coz yuampnd xan Bilnenga
@azzamahamdu7039
4 жыл бұрын
Eti sisi watu wa dini.tunasali sana🤣🤣🤣mngeruhusu nandy KUZINI.?by the way wanafanana. Haya bana. Kila mtu na kaburi lake.
@jjboy5157
4 жыл бұрын
Fact😂😂😂
@kesslycompanyltd
4 жыл бұрын
Apo hapa mtu wa dini
@shaqrilaqazrnga3558
4 жыл бұрын
Dunia ya sasa ivi wote tunazini tu
@azzamahamdu7039
4 жыл бұрын
@@shaqrilaqazrnga3558 kama una khofu ya mungu Huwezi KUZINI
@magrethmkira6250
4 жыл бұрын
@@jjboy5157lkn kweli
@habibasallah8139
4 жыл бұрын
Mashaallah
@celinelihaka2362
4 жыл бұрын
Wakati mwingine familia huwa na wivu ingawa si kwa ubaya. Kunakuwaga na kakitu kwamba akiolewa...halafu sisi? Kama hofu ya kukosa attention ya mhusika. Mungu atusaidie maana mapenzi hayana tuition
@noradavid7729
3 жыл бұрын
Nimempenda buree uyu dad
@wilfredelimeleki4543
4 жыл бұрын
TUNAWAJUA WAPARE WENGI WENU NI WABINAFSI SANA/ROHO YA UCHOYO IMEWAKAA,NA SIWAOWI
@vannoragrace
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@sabrinamustafa8554
4 жыл бұрын
Sauti zao zinafanana
@shakylahamad8326
4 жыл бұрын
Kwelii
@auntiemylee3157
4 жыл бұрын
Lkn nandy mswahili xn
@dapiliharun7978
4 жыл бұрын
Sanaaa umeonaeee
@tumainiedgar08
4 жыл бұрын
Saaaanaaa
@nsanzabahizirahma7104
4 жыл бұрын
Ume mushawuri vizuri uyu jo dada kukurupuka siyo vizuri
Lakini Nandy ndiye ajiforci kwa billnass,Billnass yeye sioni kampenda Nandy.
@chainbre275
4 жыл бұрын
@@maurynshicco9224 hmna cha kulazimisha hpo wote wanapenda ila Bilnas alikurupuka kuvalisha Pete Nandy bila kufwatia taratibu za kwa kina bibi
@maurynshicco9224
4 жыл бұрын
@@chainbre275 ,,,kuna interview moja kabla warudiane,billnass alikuwa ashasema yeye hana mpango na tayari ana mpenzi,lakini yeye Nandy alitaka kabisa marudiano yao
@kyataonline5262
4 жыл бұрын
Nandy kumbe ameathirika na simu kumbe!
@nunuuali5316
4 жыл бұрын
Hongereni
@gaudensiamganga1695
4 жыл бұрын
Yeye ndo kapenda so km awamtaki uyo bwana yy kapenda bs
@anastazia.inanogamarc3030
4 жыл бұрын
Jamani huyu Dada hapendi kuongerewa vibaya yesu mwenyewe walimuongea vibaya dd tumeumbiwa hivyo ase.
@twiseghekisilu8845
2 жыл бұрын
Mapenzi bwana!! ona Sasa wameoana!!
@asyakhatib7942
2 жыл бұрын
😂😂yaan kama mie nengaa naanza kuwakomesha hawa Taratibu ata nyimbo nawatungia na zarau zao
@sukariyao6537
4 жыл бұрын
Ok
@zaitunijuma7831
4 жыл бұрын
tatizo upendo jaman moyo ukishapenda umependa ht mtu ukisema wanaon bure2 twa waombea
@asimaaathumani5739
4 жыл бұрын
Safi
@aisha-ro5fr
4 жыл бұрын
Waaendelee kukulanaaa zinaa kwanza yaani wakristo wanamambo yaajbu kutangaza zinaa
@grorybenson7843
4 жыл бұрын
We vipi kwan waislam hamlalan mbwaa wee unajikuta nan kwa mfano
@aisha-ro5fr
4 жыл бұрын
@@grorybenson7843 najikuta mchepuko wa bbako 🖕
@gulionigulioni3234
2 жыл бұрын
@@grorybenson7843 ni ukweli nyie ndoa zenu ni za vituko. Nandy anaolewa akiwa na mimba kubwa yaani mtoto ni wa haramu. Jiongezeni wakristo na ndiyo maana huitwa makafiri nyie.
@lilyblessed2565
3 жыл бұрын
Dah! Hii hatari sasa, mbona kama unawapangia wewe, unafikiri akiolewe baadaye ndo itakuwaje, na unapata nguvu ya kuhongea kwenye mitandao kuwa asiolewe Mapema? Jaribu kumheshim shemeji yako, mdogo wako kashampenda tayari
@asyakhatib7942
2 жыл бұрын
Apo sasa nakishaolewaa 🤭
@zulfamohamed4549
4 жыл бұрын
Mnafanana sura adi sauti
@mutwalesylvie7443
4 жыл бұрын
Wote kwao niwarembo nice
@grecioussilas9885
4 жыл бұрын
dada hapo unakosea..acha mtu aolewe ajue maisha ..akae ili aweje?ndo yake c ndoa yko...kama dada unatakiwa kumtia moyo c kumuambia hv..( miez 8 tu unasema unajua ndoa?)
@patriciaboniface9975
4 жыл бұрын
Kwa ruge walikubali ila kwa billnass wanakataa😎😎😎miez 8 unasema unaijua ndoa mmhhh bado mapema mno
@bernadethafrancis9539
4 жыл бұрын
Umeona sisi wenye miaka 15 tunawaombea waolewa, haijalishi heshima ya mwanamke iko kwenye ndoa.
@naomimabula2660
4 жыл бұрын
Wamekua wapenz miaka, sasa Leo unasema wasomane nn???.??.
@esperancenathali
4 жыл бұрын
Mnamwongelea mdada wa watu vibaya ila hajaongeaa lililo baya katik uchumba mna visiki kwaiyo visiki hivyo usipo kuwa macho unaweza kujikwaa na unaona alichosema natiki vema wasomane kwanza kila mtu aelekee panapo staili na la huyu liwe na huyu ok
@Mohabmts
4 жыл бұрын
Hata nashangaa ,sijasikia akimwongelea shemeji yake vibaya ila anashauri tu, kwani siri ya mtungi aijuaye kata.
@esperancenathali
4 жыл бұрын
Beatie Rehema usemacho ni Kweli anajaribu kuweka ushauri jamani lakin mawazo ya wengine kama yanaelekea wapi sijuwi
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
Wasomane miaka ishirini au??? Kwan mahusiano yao na kujuana kwao kmeanza jana???
@Tunu254
4 жыл бұрын
@@esperancenathali ndoa ni kitu kingine ile c shule kusema utasoma utamaliza ila ni sawa na kuwekeza maishayako.fmuda wako na furaha kiujumla unakua unatumain kukutana na vingi vizr kuliko vbaya ndo maana unaambia ukikosea kujaza mtihan kwa usahihi uctarajie kufaulu mana ni kosa kubwa maishan km utakosea kuchagua mtu sahihi wakuingia nae ndoan
@faudhiaomary9191
4 жыл бұрын
Kabisa umeongea pwent
@coolalatoolcoolalatool7996
4 жыл бұрын
Kwanza kujuwana alafu ndoa,jamani wakiristo mtihani
@rukiamsomi6869
4 жыл бұрын
Kafanana na mama ake huyu
@abukalenassim4004
4 жыл бұрын
Sasa munasema Familia ya Christo lakini mutataka mutoto awe kweye zzina
@shaniamgunda7838
4 жыл бұрын
Achaga umbeya Kwan asomane wakati wanakula mahali amkujua
@amazing_grace5392
4 жыл бұрын
She is beautiful😍
@issamariam4807
2 жыл бұрын
😂😂😂
@vanessalaizer4363
4 жыл бұрын
Sasa yeye ndie anampangia Nandy kuweka utamu ndani ya nyumba? Kila mtu na serikali yake eboo
@aaa64sa13
4 жыл бұрын
Hehe....ajuwa dada akiolewa tu hali kwake itabadilika naona nitegemeo la maisha yake. Mitihani
@vanessalaizer4363
4 жыл бұрын
@Aaa64 sa ni kweli usemayo
@ashuuuaisha9122
4 жыл бұрын
sa sa yeye ameshaolewa mwaka jana huyu.
@saumsalim9966
4 жыл бұрын
@@aaa64sa13 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 xx wanataka azini tu na wanaxma ameokoka
@gaudensiamganga1695
4 жыл бұрын
Dada uyu ameongea.point lkn nimemwelewa ktk kuwa na subila na umakin
@Mjomba_Side
4 жыл бұрын
Nandi ikitokea kachelewa show huyu dada yake anaweza kupanda kwa jinsi wanavyofanana
@vanessalaizer4363
4 жыл бұрын
Show gani unaizungumzia??🥱
@mwanaidyibrahimu8861
4 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 Ahahahaa kwani ulijuwa ipi???
@vanessalaizer4363
4 жыл бұрын
@Mwanaidy Ibrahimu show ziko za aina nyingi, alivosema dada yake anaweza kupanda ndio nime😳😳shtuka🤭🤭😁😁
@mwanaidyibrahimu8861
4 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 Dah haya bana umenifanya nicheke sana
@vanessalaizer4363
4 жыл бұрын
Mwanaidy Ibrahimu 😁😁😁😁
@zabibunduwimana4612
4 жыл бұрын
Inahoneka iyi familiya ahijamukubali Nenga ata kidogo ila kama wanapenda wafunge ndoa
@stevendominick2450
4 жыл бұрын
Mko vizur san
@janepherkhisa1801
4 жыл бұрын
Inaonekana huyu no mpenzi wa mama na Nandy ni mpenzi wa Baba.Familia hawamtaki Billnass
@hamenyaanthonympeke5047
4 жыл бұрын
Huyu dada anakawivu achawaone punguza wivu
@jjboy5157
4 жыл бұрын
Wivu gani tena
@زينابوو
4 жыл бұрын
Nikwe kabisa...mimi nashangaa hyo mumewe mbona yko kawaida sana mana angekuwa na utajili wanaotaka wao nandy aolewe nae angeaza yeye kuolewa na tajir kufungua njia za matajir... bora hta billins yko na duka lake mwenyew anajipatia kiprsa chake..kuliko hyo mumewe wanashinda wote na nandy kwenye mziki hyu dada ni maginuni mbambavu zake
@radhiaoman2454
4 жыл бұрын
Sauti pia zinafanana kidogo
@elizabethmwandu6937
4 жыл бұрын
Mnafanana sana jamani ,unaonekana una heshima sana.
@nassorsada213
4 жыл бұрын
Dad mtsarabu jaman
@msowanelson5452
4 жыл бұрын
We mbona auwimbi na mmeffanana
@jumamofu9573
4 жыл бұрын
Ebo
@raziamajidy8284
4 жыл бұрын
Mungu ndo anaejua kesho ya mtu hivyo acheni wao wafanye maamuz maana wanapendana wenyewe
@rosemarymusanga9575
4 жыл бұрын
Poaring interwie....interwie da kurudi rudia ina Poo..... Uyu mtsngazaji bure kabisaa
@happynicholaus6474
4 жыл бұрын
Hawa awamtaki nenga
@kareemalamoody6345
4 жыл бұрын
Mbona baadhi ya wantanzania munapenda kuishi Bila ndoa ambapo ni uzinifu
@yudatadeshayo4434
4 жыл бұрын
Nenga bora amchune tu nandy then asepe hapa hata pewa mke wala
@mwanaidsalehe1109
4 жыл бұрын
Dada jitahid utafute vya kwako na wewe naona kama humpend billnas sababu ya pesa za mdogo wako.acha waoane
@halimamiss8878
4 жыл бұрын
kweli hapo ni mali tu inawasumbua
@daimonmalekano6086
4 жыл бұрын
Oya bill piga chini window
@davidissa9767
4 жыл бұрын
Bill anamnyonya nandy matako kwhyo hwezi kumwacha
@salmaathuman9156
4 жыл бұрын
Benange hatakiwi hii family😂😂
@samiamsuya9159
4 жыл бұрын
Wapare tuwazurjamni kama una bisha kunyaaaa tikiti
@keyakeya8911
4 жыл бұрын
Hamuwazidi warangi pyeeeeeeeeeee
@samiamsuya9159
4 жыл бұрын
@@keyakeya8911 hahah kila mvambangoz huvutia kwake
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
@@keyakeya8911 tenaaaaa
@khadijaomari9344
4 жыл бұрын
kila kabira kuna wazuri
@babylonyNgwembe
4 жыл бұрын
Wazuri ila wabinafsi kwny mali
@abubakaryalmas7673
4 жыл бұрын
Acha waoane hakuna cha kusomana wala nini kwanza washakwichikwichi sana. Alafu mbona wapo wengi tu uchumba miaka 5 alafu ndoa miaka 2 inavunjika 😂😂😂
@jjboy5157
4 жыл бұрын
😂😂😂2 years divorce fresh tu
@rabsonchisumo6640
2 жыл бұрын
Huyu dada ni mshenzi ana promote umalaya
@ladyfarajadanda8575
4 жыл бұрын
Kwel uyu Dada anavyoongea yuko sahihi kwbisa
@lilianjeremia1024
4 жыл бұрын
Wanafann sana
@salumshaban9319
4 жыл бұрын
Saut mmefanana
@NS-ru1yf
4 жыл бұрын
Mh
@tusajigwemathias3758
4 жыл бұрын
Mi hawa naona hawayaki mtoto aolewe na billnas sasa mahari walichukua za nini hawa????
@babylonyNgwembe
4 жыл бұрын
BILLNAZ HAWEZ MUOA NANDY WATU WA KASKAZIN WANASHIDA SANA KWNY MAHUSIANO HASWA SWALA LA MALI HVYO NANDY NA NENGA INAONYESHA WAZI MWAMBA NANDY NDO ANA UWEZO BUT SIYO NENGA HVYO NDUGU WATAMSUMBUA SANA MAANA WAO UKIWAANGALIA WANAWAZA MALI NA NDO TABIA YA WATU WAKASKAZINI WALIVYO.
@magrethjohn8576
4 жыл бұрын
Mapenzi na Nandy ndo anamlenda Nenga balaa
@edwinnyabikwi560
3 жыл бұрын
M
@agnessmsacky6657
4 жыл бұрын
Kama siyo huyo nandy mngejulikana wewe Dada wanandy hata huyo mumeo aliye kuoa unawakika utaishi naye kwakua amekupa miaka thelasini chunga Sana ulimi wako
@elizabethminja6254
3 жыл бұрын
Wewe mbona unawahi kujibu kabla ujasikiliza ujumbe 😂😂
Пікірлер: 262