Huna baya anko jay wangu wangapi tunamuombea huyu mtu afya njema ❤❤❤like hapo bas
@ankojay_
4 ай бұрын
Ahsante 🙏
@StellaMalando
4 ай бұрын
@@ankojay_Mungu akujalie upone haraka Anko
@TyT-h5l
4 ай бұрын
Allah akupe shufaa ya haraka In sha Allah Ankojay
@ashajuma438
4 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi upone haraka
@FatumaRashid-m1e
4 ай бұрын
Pole ankojay
@Fatima-s1v8s
4 ай бұрын
Asante ankoj naomba unavyotucheleweshea lisa basi tuletee ya kijasusi tukikosa lisa tupo na ujasusi anko wetu mnaoniunga mkono gonga like
@maseleenaesleen8149
4 ай бұрын
Tushkuru kwa hiki alichotuletea unaskia Kabisa mtu anaumwa lakini amejikaza akatuletea mzingo lakini bado haushkuru😢
@MelisaSelena
4 ай бұрын
Yaaani sie binadamu hatuna shukukulani kbx@@maseleenaesleen8149
@neemamwachepha213
4 ай бұрын
Anko mapes mgonjwa hata sauti imebadilika, Allah ampe shufaa apone
@Ahmada15
4 ай бұрын
@@maseleenaesleen8149ni kweri kaka yetu anaumwa😢
@SelemanAlmas-i2g
4 ай бұрын
Ni kweli tusiposhukur kidg hata kikubwa hatutashukur mungu ampe afya
@christinahaule-p8i
Ай бұрын
Fred ni mwanaume mbinafsi sana yani anaroho ngumu sana na mbaya sana yn anambukiza wanawake maradhi ya ukimwi binti Angel mungu atakupa mwanaume mwema na mwenye mapenzi ya dhati ❤❤❤
@salmahasani5169
4 ай бұрын
Mimi nakupenda sn anko jey nakuombea mungu upone mafua jmn wangapi tunaompenda anko jey gonga like
@Shadia544
4 ай бұрын
Haya BINTI ANGEL jamaniii kafanyanini tena tunasikiliza hili tujuwe ANKOJAY WETU POLE KWA MAFUA✌️✌️✌️
@linetkhavugwi209
4 ай бұрын
Hii lazima nisikize mrembo wangu lastborn anaitwa angel ❤❤❤❤❤
@KhadijaKiwele
4 ай бұрын
Anko pole kwa homa mwenyezi mungu atakusaidia utapon amin inshalla🙏🙏🙏
@NadzuwaGofwa
4 ай бұрын
Jamani Ankojay pole kwa kumwa mungu akupe shufaa kipenzi cha wengi❣️❣️❣️💝💝💞💞
@nadrasalum6039
4 ай бұрын
Haya wacha nikae kwa utuo nisikilize binti ANGEL ❤❤ kweli anko j wetu unaumwa pole sana Allah atakupa shifaa inshallah twakupenda 🥰
@ankojay_
4 ай бұрын
Ahsante 🙏
@nadrasalum6039
4 ай бұрын
@@ankojay_welcome 🤗
@nooraahmed6948
3 ай бұрын
Hakuna simulizi tamu Kama lisa asante sana kaka mungu akulinde na hasad wacha tusikilize binty angel
@MoniraMonira-dg3cd
4 ай бұрын
Nakuombea mungu anko upate hafuweni ya araka InshaAllah
@RahmataMuhsin
4 ай бұрын
Ankoje pole mungu akufanyie wepesi inshallah from unguja🎉❤
@DorcasMuomba-gd3sw
4 ай бұрын
Asantee anko jay shukrani 🌹 you want ila unatutesa hivi tunaumwa kukosa Binti Lisa ❤❤❤❤❤❤
@maseleenaesleen8149
4 ай бұрын
Anko jay pole kwa mafua Mungu akupe uponyaji wa haraka 🙏❤️
@Salhah-v9h
4 ай бұрын
Mbona mm kirasik. Nakua mtu. Wakuchelea😢😢😢ANKOJAY. Asante. Leo japo. Hukutuletea LIS. Lakin nathaman kesho. Utup buludan❤❤❤❤❤❤ tena. Nasikia sautiyak nikam ww. Nimugonjwa polesan
@fetreshazKhamisi
4 ай бұрын
Ahasante sana anko jay kwasimulizi mpya ila naona sauti anko jay aikosawa pole baba 🇴🇲🇴🇲😘😘
@MaryMary-kq3nh
4 ай бұрын
Naisi, Bint Angel ita tuburudisha ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@lilianeerica3318
4 ай бұрын
Mimi nakuombea afya njema maana unatupatia burudani kabisa hata kama uko mwenyewe unajitahidi kutufurahisha ubarikiwe❤❤❤❤❤ uzidi kupata pesa na Baraka nyingi na amani❤❤❤❤❤❤
@Maryalphoncedr4xo5yp8b
4 ай бұрын
Mashabiki wa anko mpole anko anaummwa mafua ila bado anatupenda naaasi tumpende acha tuenddelee naa Angel kafanyaje tena huku ila nahizuni coz sauti ya anko hapo poa 😢😢😢❤❤❤❤❤
@EddaFredy
4 ай бұрын
Watu wanawahi hatariiiiii ubarikiwe anko jay jay❤❤❤❤
@FatmaHassankhamisi
4 ай бұрын
Asante anko jey 🎉🎉 tupo pamoja tujuwe Binti angel kafanya Nini Tena 🎧🎧🎧🪑🪑🪑🪑
@ghanimamohammed5305
4 ай бұрын
Nilijuwa binti Lisa 🥺🥺mh haya twende tukamsikilize binti angel ananin tena🤔🤔
@racheluwda6552
4 ай бұрын
Ankojay tunakupenda sisi mashabiki zako mungu hazidi kukulida kila siku na kazi yako🙏🙏💝💝
@moeshajuma1271
4 ай бұрын
Kwani ako j umgonjwa, if yes then I'm so sorry may God gives you strength and quick recovery..thanks kwa mzigo mpya
@MariamMingimingi
4 ай бұрын
Jamani mbona nimechelew naombani like zangu japo nimechelew ❤❤❤❤
@MamakeJanetuser-ds8sz1mw4r
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤ hii simulizi ni tamu pia ni kali sana kuna mahari nimelia kwa Fred kufanya unyama wa kuambukinza ukimwi
@RahelIbrahim-id2li
4 ай бұрын
Ni mmbaya sana
@MamakeJanetuser-ds8sz1mw4r
4 ай бұрын
@@RahelIbrahim-id2li yaani unajua tuu vizuri kua wewe ni mgonjwa but unambukiza bila kuchoka
@lisazainabu3626
4 ай бұрын
Tirio kua tumesuboria anything from anko jy tugonge like apa kama na wew urikuwa umeboeka kama mimi tujuane apa🎉🎉🎉🎉🎉
@aishasidi6673
4 ай бұрын
Mm apa
@lisazainabu3626
4 ай бұрын
Uwezi ni fikia mim🤣
@SelemanAlmas-i2g
4 ай бұрын
Mim pia haunishind
@saumunyadzua
4 ай бұрын
Binti malaika ka fanya nn tena🎉🎉🎉🎉maua kwa babies love ❤
@Ivyagua
4 ай бұрын
Leo n mimi w kwanza bita n lake
@rebeccazagabe
4 ай бұрын
jmn siamini leo najigamba mimi wa kwanza kumbe munalala youtube simulizi ina sa mbili tu mumecha kuwa wengi 😱😱
Wow,kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love
@IRENEMENGI
4 ай бұрын
Anko j unaumwa mafua leo pole sana
@Raynat-u1k
4 ай бұрын
Nani km mama, like nyingi❤ ziende kw mamazetu , mungu awalinde daima🎉🎉
@RosecharisterJohn
3 ай бұрын
Reds tunamengi ya kujifunza katika hii simulizi uncle jay mungu akubariki sana kwa kushea ulichopewa na mwenyezi mungu ubarikiwe🙏🙏🙏🙏
@ZuwenaIsmail-vb4md
4 ай бұрын
Kujeni Kujeni Kujeni kitu kipya kwa Hewa 💞💞💞💞💞💞
@Babyfaty-m3y
4 ай бұрын
Dakik 2 watu washajaa na mm lake zangu🤣🤣🤣🤣🤣
@JumaAmani-uh4vq
4 ай бұрын
Pole sana ankoj sauti hinasema wazi auko poa mungu akupe shifaa ya haraka inshallah
@anoldminja8901
3 ай бұрын
Dah hii ni nzuri sanaaaaaaa
@RoseMbuya-cn5dg
4 ай бұрын
Anko wetu uko na homa sauti yako Leo imechenji pole sana🎉❤
@ankojay_
4 ай бұрын
Ahsante 🙏
@RahelIbrahim-id2li
4 ай бұрын
@@ankojay_Uwe na afya njema
@Halima-kk4er
4 ай бұрын
Pole sana Anko wet Allah apume afueni ya haraka magua yaishe
@AishaSalum-r7m
2 ай бұрын
We Kaka unasauti nzuri mpaka naogopa ❤ 🎉🎉
@StellaMalando
4 ай бұрын
Hakika Mungu akujalie afueni ktk mafua yako..
@josephineuwizeye8250
4 ай бұрын
Anko jay pole saana na mafuwa!Mungu akuzidishiy nguvu Ansante sana kwa kujikaza
@LissaBosh
9 күн бұрын
Mungu ni mwema sana huziwe zuia Riki ya mk2
@MwanatumuJumaa-rj4fg
4 ай бұрын
Kigongo kipya kutoka kwa babie love .pole zako Anko naona sauti leo inakusaliti ila tupo na wewe.lets healing b your portion In the name of the Almighty God.
@ZuwenaIsmail-vb4md
4 ай бұрын
Chezea kulala you tub kwenye simulizi za anko Jay 😂😂
@RoseMbuya-cn5dg
4 ай бұрын
Jamani mashabiki WA ankojay Mimi wakwanza Leo naomba Tu like zenu anko pole na mafia 🙏🙏
@ankojay_
4 ай бұрын
Ahsante 🙏
@AishaAljadidi
4 ай бұрын
Aya
@StellaMalando
4 ай бұрын
v@@ankojay_Pole sana Anko
@NeemaHurio
4 ай бұрын
Pole anko jay na mafua inshallah. Utapona.
@KhadijaGabriel
4 ай бұрын
@@ankojay_pole sana ankojay na mafua jmn
@RahelIbrahim-id2li
4 ай бұрын
Upendo wa kweli hubeba mapungufu ya wapenzi wao,simuliz nzuri ,asante msimuliaji wetu bora sana na tunaokupenda sana,hongera mwandishi kwa kaz nzur
@Fatima-s1v8s
4 ай бұрын
Allah akujaalie anko wetu upone haraka inshaaallah cikumaanisha kwamba atoe ssa ivi simulizi ya ujasusi ni ombi na sio lazima mnielewe
@Princess20011
4 ай бұрын
Uncle j can i get like from you please 😢😢😢
@LyidiaSilayo
4 ай бұрын
Nami nipo kwenye family ya anko j ❤❤❤🎉🎉
@NasraKaneza
4 ай бұрын
Mungu akubariki anko j kwakaz nzur san💃💃🥳🥳
@anthobarengeke3200
4 ай бұрын
Anko jey pole na Homa. Hongera kwa kujitolea
@fatmasalum8334
4 ай бұрын
Kweli anko unaumwa mafuaee pole sana mungu akupe wepesi ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@QueenAntony-l7w
3 ай бұрын
Daaah ankojay apewe maua yake jmn🌷💐🥀🌺🌷🌸💮🏵️🌻🌼🍂🍀🌿
@girukwishakaclaudine5374
4 ай бұрын
Acha ni 🪑🎧 Binti ANGEL ahsante AnkoJay 🙏
@EmmeMrrras
4 ай бұрын
Poa anko❤❤❤.lisa wapiiiiii
@halimaabdulla3568
4 ай бұрын
Mmh huwa sicoment lakini leo hii sauti imeniuzunisha kwa kweli Pole sana anko jay mungu akupe shifaa insha Allah
@MishyYusuph
4 ай бұрын
Kumbe nimechelewa,ila nimo,Ahsante sana Anko kwa muendelezo wetu huu mzuri wa simulizi yetu, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
@ReginaMwenzelatifah
4 ай бұрын
Asante sana kwa simulizi yenye mafunzo tele nashukuru nimejifunza mengi
@Loy-g2m
4 ай бұрын
Anko jay pole san kwa mafua Mungu akuponye alaka 🙏🙏
@RahelIbrahim-id2li
4 ай бұрын
Baby love hongera kwa kazi zako zinaeleweka na zina mafunzo ,hongera msimuliaji wetu mahiri sana nakukubali saana wew jamaa kwa kaz yako ya usimuliaji
@wertqwe8326
4 ай бұрын
Ubarikiwe mana sikuchungulia huko na hatuoni kitu asante anko jay bt vyenyeunaongea nikama ambaye uko na mafua pole
@mwajumamatalingana767
3 ай бұрын
Ooooh Binti angle nimeamini kabisa asilimia miamoja alichokuwa anakitafuta amekipata❤ oo kingine bila kusahau tuletee chombo kingine zaidi ya hiki....😢😂😮
@donaldchacha
4 ай бұрын
Babie Love ana kipaji chakutunga simulizi nzuri na yenye mafundisho pia, kogole sa na a Na ebie Love
@RahelIbrahim-id2li
4 ай бұрын
Yuko vizuri saaana na msimuliaji wetu maarufu sana anko j
@NadzuwaGofwa
4 ай бұрын
Leo kidogo nimewahi jamani kila siku mimi ndie wamwisho
@issasauga1456
4 ай бұрын
Mungu akupe afya njema ank j
@RosecharisterJohn
3 ай бұрын
Ni kwel reds tunamengi ya kujifunza katika simulizi hii uncle jay unajua kushea vizuli kile ulichopewa na mungu 🙏🙏🙏🙏🌹
@sabinamasangwa293
4 ай бұрын
Ilaah ankoo mafua yanamtesaga mara nyingi jmn polee saan dear mungu akufanyie wepesi upone harakaa
@RachealMwaganjoni
4 ай бұрын
Asante snaa ankojay simuliz nzur yenye mafunzo nimejifunza mengi,mungu akuponye❤❤❤
@salmaebrahim2058
4 ай бұрын
Hongera Sana mwandishi wetu dada wetu simulizi ni tamu mnooooooo na ina mafunzo ya kutosha hivyo kuumwa sio ndio mwisho wa maisha kula vizuri na kulala mapema unaishi hongera Sana Damian kwa upendo wa dhati bila kujali Kitu kwa mtu anae mpenda kaka umetisha 😂😂😂 wanaume kama Damian wapi hila ni adimu mnooooooo kuwa pata na ukipata mpendwa jishikilie mwenyewe
@BethMdoe
4 ай бұрын
Woow me wq mwisho t nipe t like za zawad 😅
@christinahaule-p8i
Ай бұрын
kwenye maisha usikate tamaa ingawa utapitia chamgamoto nyingi lakini usikate tamaa
@reachelchemtai2604
4 ай бұрын
Hukimiwi hunaombe Kwa Jina la yesu tu na hunapona hugojwa kama mweingne mungu Hana wazi. Asente Sana ANKO JAY
@aminah9557
4 ай бұрын
Pole Anko J na mwenyezi Mungu akupe shufaaa ya haraka
@fatimafoaani2263
4 ай бұрын
Pole my wetu kipenzi anko Jay kwa homa, asante pia kwa kazi nzuri umeupiga mwingi hongera sana anko Jay ❤❤❤🎉🎉🎉
@Rayfortunatus_0
4 ай бұрын
NIMECHELEWA DADA ENU KIPENZI MSININYIME LIKE WATU WANGU NAWAPENDA MNOOO❤❤
@samsung-zb3xi
4 ай бұрын
Njomara yakwanza kwa sim'mx napata mwanamuke mwenye musimamo unasikiaga nirishirwa kuvumiria 💐💐💐💐
@shazimna
4 ай бұрын
duuuuuuh pole usiposikia ya ulimwengu dunia itakufunza
@ZuwenaMasudi-t6r
4 ай бұрын
Ankojey tunakupenda sana my❤❤
@moreenfelluzy3243
4 ай бұрын
Jamn hiii stol bwan dahhh had rah San anko jay maua kwako jmn 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂💞💞💞😍❣️🎈🌸🍓🌹🥀💤💙🔥🔥🔥🔥🔥😂
@HappyBeltod
4 ай бұрын
Masha Allah anko jay unasauti nzuri Kwa washabiki wako Mungu akuponye mafua jaman
@nellylewa4457
3 ай бұрын
Asante tumepata mafunzo ankojay ❤❤❤🎉🎉🎉
@زينزوادي
4 ай бұрын
Polesana akj nasikia unaumwa Mungu akuponye❤❤
@wertqwe8326
4 ай бұрын
Anko pole sana kwa mafua ❤🇰🇪🇰🇪
@tinobryminja4712
4 ай бұрын
Wowww nimewahi Leo
@soniblessed7815
4 ай бұрын
Thanks you anko Na fathari eda hosi tunakupeda zadi kuliko simulizi iyo sauti nikama siyo yako
@YasintaHongela-j4s
4 ай бұрын
Angel kila mchuma majanga hula na wanyumbani kwao na mwanakulifaindi mwana kuliget tuliza ball maisha yaendelee
@jokhajj
4 ай бұрын
Ukiona mtu ambae upo nae kwenye mahusiano anaongelewa vibaya kuwa anatabia mbovu ni malaya mmbwaaa tuwage tunaskia ona yaliyo mkuta angel kapata mimba na ukimwi juu inauma sana aise 😢
@FunnyClownfish-uc6ye
2 ай бұрын
Masikini naogopa ata kusikiliza😢😢
@kamikazikevine1069
4 ай бұрын
polesana anko jay naskia sautiyako kweli unaumwa mafuwa pole kaka jay
@VivianNzingo
4 ай бұрын
Asante anko jay kwa simulizi tamu 🎉🎉🎉 tunakuombea utakuwa sawa ❤❤
@ankojay_
4 ай бұрын
Ahsante sana
@TsfighoCjkgoyy
4 ай бұрын
Pole sna Ankojey htka nimechelwa ila Pole kwa mafua
@KhadijaKassim-k8d
4 ай бұрын
Asante sana ankojay. Nimewahi ❤❤❤
@KasmatKiupa
4 ай бұрын
Anko jey asant kwa simuliz tam Ila sauti yako Leo naisi Kam unaumwa mafua pole kipenz chetu mungu atakuponya 🙏🙏🙏
Пікірлер: 396