Nimekuelewa sana. Huna mambo mengi namaanisha huna maneno mengiiiii. Majib yako Ni 💪💪Bob junior HESHIMA KWAKO
@GodfreyCharles-zf2cw
29 күн бұрын
Yaa
@muhibbualii4580
2 жыл бұрын
Bob junior tunamkubali tangu zamani huku Kenya akiimba oyoyo 🤗
@bekalovezone7578
2 жыл бұрын
Safi sana bob junior one love
@zubeirzubeir9539
2 жыл бұрын
bob junio nakumbuka ngoma yako ile ya mista choklate inatok ilikua kwenye harusi mkesha kijijini ilinipaisha sana
@meaningoflife651
2 жыл бұрын
Aisee uyu kaka ni so humble
@machudeissa113
2 жыл бұрын
Nimeikubali sana amapiano ya bb levo, unaweza sana junior.
@babiddi8620
2 жыл бұрын
Haja itengeneza yy hem fuatilia kwa umakini
@abdibilledahir5257
2 жыл бұрын
Kila nikimuona Bob Junior nakumbuka ngoma yake ya zamani ya madem walaghai ❤❤❤❤❤
@MBGolden
2 жыл бұрын
Safi sana Blood
@asyamgeni9819
2 жыл бұрын
Si unaona bob junior alivyomsaidia daimond mbona hajakaa kila siku kusema kama alimsaidia mondi kama hapa si unaona tulikuwa hatujui kama album nzima kamfanyia yeye ndo kwanza hapa
@hgcbj635
2 жыл бұрын
Safi bob 💓
@subirajohn728
2 жыл бұрын
Safi bob junior❤️❤️❤️❤️❤️
@anjelinakasembe845
2 жыл бұрын
Oyaaaaaaaaaaaaamesikia another witness
@philbertemmanuel7630
2 жыл бұрын
Bob junior 🔥🔥
@dinnoboy6232
2 жыл бұрын
Bob junior Anaongea poa Sana👏👏👏👏
@officialmartin4432
2 жыл бұрын
Diamond mchawi wa kupitiliza kawapoteza wote hawa haisee kweli mungu yupo
@wamoroboy8963
2 жыл бұрын
MCHAWI NA MUNGU WAPI NA WAPI SASA WEWE UPO UPANDE GANI
@kennedyluvegah9186
2 жыл бұрын
True ni mchawi sana
@mudhihirissa274
2 жыл бұрын
😂😂😂 sema tu unachuki na nasibu kwa maendeleo yake acheni bhana kumsingizia mtu mambo mabaya mungu hapendi riziki kapewa na mungu nyie mnasema mchawi
@ikouwasi7644
2 жыл бұрын
@@kennedyluvegah9186 mbona hata wewe mchawi
@ikouwasi7644
2 жыл бұрын
Mbona hata wewe mchawi
@zaiiomary8970
2 жыл бұрын
Mwaka huu tutayajuwa mengii mnooo😴😂😂😂
@m.mmarckus6298
2 жыл бұрын
Ujue mwaka unaisha vibaya huu haya mambo simadogo.mziki ulikuwa zamani siyo miaka yass nivita tu.ndomana sijawahi uweka kichwani mziki wa ubongo wa freva
@mrsinia3064
2 жыл бұрын
Uliuweka wap matakon au 🙄
@m.mmarckus6298
2 жыл бұрын
@@mrsinia3064 ongeza tusi jingine halitoshi hilo
@dollarskatembobob8896
2 жыл бұрын
Ninyi bengo 📺 jirekebisheni,ambacho mtu hajazugumza ndicho mnaweka kwenye caption. Ninyi wa nonko sana
@nuryahsaid4226
2 жыл бұрын
Good job
@majiniuhaimnu9150
2 жыл бұрын
Saf sana bobjunio unajitambua pia unasema ukwel utafk mbali
@loicejohn6740
2 жыл бұрын
Nakupenda Bob junio
@djtwinstar254
2 жыл бұрын
👌👌👌👌👌🔥
@awadhrajabu1403
2 жыл бұрын
Mtangazaji Kwanza Jua Namna Ya Kuuliza Mana Unaongea Kama Ndege Wakati Swali Dogo Sana Unatumia Maneno Mengi Kuliko Ulizo
@seiphsidysamata8708
2 жыл бұрын
saf broo hauna kinyongo na mtu ndo maisha yanayohitajika
@devidirogasiani7286
2 жыл бұрын
Inapendeza sana
@balegadaffi801
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😎😎😎
@sophiankwera9020
2 жыл бұрын
Bob junior kumbe yupo mweeee
@jeremiahcharles6027
2 жыл бұрын
😁😁😁😁 walimwengu
@mwitarafaeli8967
2 жыл бұрын
Rais wa mashalobalo sema jambo
@starfordalex4139
2 жыл бұрын
Hatuhami WCB
@wise9268
2 жыл бұрын
Mbengo TV CAPTION NA CONTENT HAZIJAWAI KUSHABIANA #MNABOA
@mrope348
2 жыл бұрын
Kabisa, mimi ninawaunfollow
@Majanga-d4h
2 жыл бұрын
wasenge me mwenyewe nawa nishawa unsubcribe
@wamoroboy8963
2 жыл бұрын
@@Majanga-d4h Tatzo nn sasa BANDO au
@hawamanirambona3039
2 жыл бұрын
Mpwaa
@ndekelaausi3301
2 жыл бұрын
Kapoa huyo halafu anajikomba WcB noma sana
@MarkKariukiWaweru
5 ай бұрын
Nice one . This is good. May God continue blessing you . @IBRAAH @HARMONIZE @KONDEMUZICWORLDWIDE @LOVEFROMKENYA🇰🇪🇰🇪🇰🇪 @TANZANIA🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@sicaliusthobias2789
2 жыл бұрын
Huyu prizenta kuma kweli maswali yake yakigombanishi
@karimujuma6595
2 жыл бұрын
Na we funguka c alikueka ndan wakti umempa msaada mkubwa Sana teje
Hakuna nini wala nini diamond kawaacha mbali sana ndio maana wanamdis sana
@uwimanauwimana7692
2 жыл бұрын
Umeona Eeeh wabongo fitna wamesha shindwa kumuangusha wameona bora waingie na fitna ya maneno ndo watakae mueza 😁😁
@armandoleonardo6966
2 жыл бұрын
Falou certo Bob Júnior
@angelkitandala3861
2 жыл бұрын
Unasauti nzuri mdada
@annasanana5192
2 жыл бұрын
Oyoyo🔥🔥 bob junior❤❤
@GodfreyCharles-zf2cw
29 күн бұрын
Maneno yabinadamu
@omarkalita816
2 жыл бұрын
Nimegundua kitu hawa wana habari wakati mwengine niwa chonganishi
@billylovebillybillylovebil580
2 жыл бұрын
Tume missi nyimbo zako jaman rudi kwenye gam
@babaqueen5788
2 жыл бұрын
Bob junior hatari oyoyo oyoyo dar
@tabithajohn3352
2 жыл бұрын
😂😂💔forget the interview... izo glass kavaa zipo kama zangu ah meshtuka🥺😂💔
@omanoman2044
2 жыл бұрын
Hahaha et nimestuka
@asdfhdv9230
2 жыл бұрын
Tambuwa daimond anatumiy uvhawi uyo babu junior anamtengemey mungu
@zuhurasalim4926
2 жыл бұрын
Eeh huyu mchonganishi mtu wa habari simuoni kama ana ethics za utangazaji
@sashah_ace8598
2 жыл бұрын
bora aysee umejisemea simpendagi kiukwel hajui hata 😅😅nakaonaga huku kwetu kanajifanyaga hako katangazaji kamepatia maisha
@hussenhemed1050
2 жыл бұрын
@@sashah_ace8598 🤣🤣🤣 muhamasishaji wa Simba huyo jamani muacheni
@tualibojoaotualibojoaotual6603
2 жыл бұрын
Very nice
@davidephrahim4298
2 жыл бұрын
1:44 Nani kasikia romance badala ya rumours kama mimi??
@aminmohammed4249
2 жыл бұрын
Huyu mtangazaji ni waki......kama hujui kizungu bora kukausha tu
@josephkapinga652
2 жыл бұрын
Hata mm nmechekaaaa sanaaaa
@saidomar5025
2 жыл бұрын
Daaah jamaa kwer anamjua sana sadala
@tumuhadam8963
2 жыл бұрын
Kweli broo
@doppewaxy282
2 жыл бұрын
Jamaa mnafiki sana,tena jamaa ana njaa sana,kweli umasikini sio mzuri,huyu jamaa nyonzo,tena bob umekwama mzee,
@zenahbayeh7371
2 жыл бұрын
Yap wasafi 4 life
@ramadhanikilumile1363
2 жыл бұрын
Watu wengi hawasemi kweli, Sharobaro ilikuwa pia ni mali ya Alikiba. Alikiba ndio alitoa kibali cha Diamond kurekodiwa Sharobaro.
@juniornamao527
2 жыл бұрын
Sharobaro ni mali ya bob junior
@chieframso3600
2 жыл бұрын
Huo sio ukweli kwani Ally kiba alikua anaitaja tu sharobalo record ila alikua anaidharau sana so diamond ndio kaja kuitambulisha sharobalo record ukweli ndio huo
@unclepwechnov1381
2 жыл бұрын
Sharobaro records haijawahi kuwa label ya Kiba, they were just friends. Label ni ya Bob Junior 100%.
@beckermartin1885
2 жыл бұрын
Bob junior
@officialreydiva7722
2 жыл бұрын
Gud
@mariamnjama3963
2 жыл бұрын
Mwanaume haongei unguruma kwa vtendo vya sfa bwana mnakwama wap wasanii🤣🤣
@husseingwanone7825
2 жыл бұрын
KONDE GANG 4EVERY BODY
@shabansalum9283
2 жыл бұрын
Kukicha diamond mkiamka diamond jamani
@meshajoni5662
2 жыл бұрын
Snichii uyooo,achaasemwee
@mayahassan1330
2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 Nipe mkono tushindane
@mwanauwanikhalfan1747
2 жыл бұрын
Watasubiri sana ashuke mana yuko kwa trend kila siku bila kutaka wao wanaona wanamshusha kumbe wanazidi kumpandisha
@sadikisaidy9640
2 жыл бұрын
Baba levo siomsani wa wsb
@kingdeniscrocodile
2 жыл бұрын
Nakukubal always
@Tanzania788
2 жыл бұрын
Nc
@kicheko1252
2 жыл бұрын
#smartbraintv
@abubakarswahib3994
2 жыл бұрын
Abubakari
@abubakarswahib3994
2 жыл бұрын
Jiga
@shamimusharifutv5098
2 жыл бұрын
Kweli kabisa Bob
@yusuphukhamisy2799
2 жыл бұрын
Kwel bob
@chembayaburudani4448
2 жыл бұрын
MNAUTAFTA UBAYA WA DIAMOND ILI MKAPE YULE MWENYE MWILI WA NGURUWE AZIDISHE DRAMA ZAKE LAKINI KWA BOB JUNIOR HAMJAAMBULIA KITU MLICHOKITARAJIA, MBENGO TV ACHENI UNGESE HAMUELEWEKI
@ashaali7154
2 жыл бұрын
Hathubutu kumsema vibaya kwani kula yake iko WCB huyu sasa atatiaje kitumbua chake mchanga?
@mohaali770
2 жыл бұрын
Dada uko na maneno mengi taacha uteam wa maungaa
@estamsholo4076
2 жыл бұрын
Hongera sanaaa junio
@Atu966
2 жыл бұрын
Bob junior askii jamanii 😭😭nani ameona ilo
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@onlymubbi9481
2 жыл бұрын
Ka ongeya vema sana
@sadikisaidy9640
2 жыл бұрын
Huyoni chawa
@cashmoneytz2759
2 жыл бұрын
Muuni kichwa sana
@festokiraryo.6107
2 жыл бұрын
Dada hujui kuuliza maswali
@tiamo726
2 жыл бұрын
Eh mateam yamenyamaza
@issa_yusontv9953
2 жыл бұрын
Mtangazaji jifunze kuuliza maswali yamsingi
@magneticofficialtz
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/rqaDupiVk2eegYo He ni shidaaaa uchi wa mnyama kabisa duh...
@mtshebehussein4442
2 жыл бұрын
na wewe si alikuripa au bure
@yunushamis2361
2 жыл бұрын
Itamsaidia na nn porojo tu afanye kaz hatuingizi pesa kwa usengenyaji.
@carloskallomo7953
2 жыл бұрын
Ambao wameangalia bila kulike embu like👇🏽hapa tujuane viburi
@shefamchina438
2 жыл бұрын
Hey niaje nonashida na nyie kwaajili ya inter vew
@abdulrahmansaleh9903
2 жыл бұрын
kumbe nae huyu anarlement za uchawa
@RuzoOwzy
2 жыл бұрын
Hizi channel km hii, sijui zinapataje subscriber. Title tofauti na video. Maswali yanaulizwa kwa uwoga uwoga. Harmonize ameshasema wazi ya kwake. Mwandishi wa habari anauliza kutupiana maneno. mmezingua sana wenye hii chanel.
@vidisefania5051
2 жыл бұрын
Nikweri
@yahkiwera3611
2 жыл бұрын
Duhg
@mamuwamarlowmarlow1253
2 жыл бұрын
Bobu unajua toa ngoma
@johnnysilayo3024
2 жыл бұрын
Headlines ni tofauti mabwege nyiee
@cax1338
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@samaduabdallah9476
2 жыл бұрын
Hivi viblog ndiomaana uncle Magu alivifungia kwa sababu ya ujinga kama huu
@Lamarttown.
2 жыл бұрын
kuweni proffesional kwenye kulinganisha caption na maudhui ya ndani tcra inabd iwafatilie watu km nyinyi wezi tuuuuuuu
@officialraymond4532
2 жыл бұрын
Nice
@mauwarashid4823
2 жыл бұрын
kaka junio_mpaka laha unajierewa_ sana kwakweri unauoendo
@januaryjohn4771
2 жыл бұрын
Ukiwa na mafanikio lazima watu wakuattack sishangai hamonize anavomchafua diamond platnumz
@nacebamr4722
2 жыл бұрын
Ujielew we jamaa ukikua utajifaafanua we unajua nn kuus maisha yake yey na harmo? yaan mwanaume mwenzako analilia ugal wake leo hii anatokea mtu wa kumkwamisha na asiependa mwana afanikiwe kias kile boya mmoja unakuja unaongea ovyo ungekua ww ungeonaje.
@shafiamustafa7856
2 жыл бұрын
Kwa hyo ukiwa na mafanikio ndo uwaumize wengine
@kimbazekimba1629
2 жыл бұрын
Bado cjasikia hata swali moja la maana
@kibokutiwanatanyika1540
2 жыл бұрын
Sauti yote hiyo?? Au, unatuhoji sisi wewe mdada,?
@mandyuwimana7735
2 жыл бұрын
We traitor sa wameku chukuwa Kigoma ulisema nini ? Sulimkata Alikiba eti ana ona wivu kwa Mond...
@nikkimbishiunju2402
2 жыл бұрын
Bongo bwana eti msanii anaomba label 🤔
@st.monicachoirsakinaarusha8282
2 жыл бұрын
Uyumtangazaji nimsenge
@amosmgeta1718
2 жыл бұрын
Iv Bob junior alikua wap Kama alikua anajua? Aache kierehere kwa mwanaume sio good.
@msukicompanyltd1761
2 жыл бұрын
Wanamsitiri tuuu Ila Mondi Ni mnyonyaj
@revocatuspaulo6716
2 жыл бұрын
@@msukicompanyltd1761 kakunyonya. Mkundu au
@baltazarishayo3661
2 жыл бұрын
Huyu Sister bana, interview zake huwa sielewi kabisa, anaongea kuliko msanii, anarudia maswali. Pls jipange bana.
@philippeter198
2 жыл бұрын
🤣
@o.ballek.e4265
2 жыл бұрын
😂😂😂Hautaelewa ata ukilazimishwa
@michealjoseph3207
2 жыл бұрын
Huyu dem nlimkuta pale Amsterdam kwa zena pale anaongea kuliko mteja mwenyewe huyu sijui mswahili wa wapi
Пікірлер: 200