Mwizi ameletwa kuwatetea wezi . Hilo jedwali lake hakujibu hoja za mpina twambie kwa nini waagizaji walisamehewa kodi wao wakatuuzia bei juu. Mzee danganya ulio wahonga sio sisi tunao kutazama na kukusikiliza.
@irenekalinga323
24 күн бұрын
Huna point Mzee nchi inawatu waelewa ila ipo siku mtajuta tutakumbizana Kama kuku mitaani nyinyi tuchukulieni Kama hatujielewi
@ChristineElias-bn4dw
24 күн бұрын
Nenda kwenye point achana na kutoa mifano Alfu mtuachie mpina wetu
@mickyjoseph5492
24 күн бұрын
Mafisadi plus mafisadi is equal to mafisadi plus plus.
@user-oh6pc7zd4s
24 күн бұрын
Hata Mpina ndie fusadi mkubwa alikuwa kwenye serikali ya kifisadi akiwa waziri.serikali hiyo ilikthiri kweye mauaji,utekaji,ubambikiaji watu kesi za uongo,kupiga watu risasi tena kenye bunge uwanjani mchana kweupe huku akina mpina wakiwa wanezizima camera za cctv wakiwanyanganya watu mali zao na kuzichukua wao binafsi mfanno prebargaining mabilioni yote yale yaliyochukuliwa hayakurudi hazina,wizi wa uduwani na wabunge nchi nzima mpaka pemba ushenzi wote huo waratibu walikuwa ni akina mpina.Huna unalojua wewe unazikiliza uvumi tu nenda kacheze kifuuu na mchanga.
@w.j6088
24 күн бұрын
Muhuni tu naye huyu hana point yoyote, wananchi siyo vilaza tena
@OscarAsukenie
24 күн бұрын
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.
@zxcvbnmmkh
24 күн бұрын
Nguo zimeshavuka siku nyingi. Uongo wa Mpina kama wanavyodai ujibiwe kwa taarifa ya kitaalamu waambatanishe ushahidi kama Mpina ili ijulikane, wazi. Pia watuambie vielelezo vya Mpina amegushi ama ni halali, je kwa mujibu wa sheria utaratibu ulifuatwa ama ni maamuzi ya watu wachache?. 😮😮😮
@EmanuelMandoo
24 күн бұрын
Porojo za nini! why bei iko juu kuliko nchi za jirani
@machujamathias7165
24 күн бұрын
Leo ndio mmetoka mlikuwa wapi, afuu baada ya mkubwa wenu kukamatwa, unaonesha sura ya mla rushwa
@KimonKambene
24 күн бұрын
siasa nyingi sana
@MrutaJusto
23 күн бұрын
Katumwa huyu
@PeterNyange-o5v
24 күн бұрын
Mmmm
@napoleonmutungi6866
24 күн бұрын
Nadhani huyu anapotosha kusema serikari haiweze kuhujumu kampuni ambazo ina hisa kwani wanaohujumu ni watendaji sio serikali kama entity
@musahamza7086
23 күн бұрын
Jizi hata kujieleza linashindwa
@user-gx4jx4gv9l
24 күн бұрын
Huyu mwizi tu.
@hamisijuma3276
24 күн бұрын
Heri ungenyamaza, unazidi kuharibu mada
@OscarAsukenie
24 күн бұрын
Ukiona jambo linatajwa wazi baada ya kusemwa na mbunge, kuna asilimia karibu 80% jambo hilo lilikuwa na watu wengi nyuma yake. Kwa nini wasiseme kabla ya mpina kusema?
@MusaOgwoko
22 күн бұрын
Wako wengi ufasadi hoeeeee
@user-lx7ez3rq4c
21 күн бұрын
Machawa na makupe
@billimambo9517
24 күн бұрын
Bashe anatapatapa alishapigwa BAO na kamanda mpina
@user-ze6lx9ng6s
24 күн бұрын
Ninyi bodi ni genge la, mafisadi, waziri bashe ni wakutumbuliwa,
@AnnoyedDove-oo3kk
24 күн бұрын
Hoja ni kwamba kwa nn sukari bei juuuuu mpina is correct hata usituchanganye mzee
@SanziNzige
22 күн бұрын
Hii NCHI magufuli aludi jamani MUNGU mludishe magufuliii?.tumeachiwa Nini hii Sasa jamani
@barakakevela245
24 күн бұрын
MUWE MUNAWEKA MAMBO MAPEMA ILI KUFANYA WATU WASIILAUMU SERIKALI NA NDUGU YANGU BASHE SASA MNAMUACHA BASHE MPAKA ANACHAFUKA
@richardnott4403
24 күн бұрын
Mbona wazalishaji juzi wamesema hawaitambui hiyo sukari iligizwa nani
@linogodson6478
24 күн бұрын
Tatizo sio uagizaji tatizo mfumo WA Serikali umefuatwa kama kanununi ilivyotajwa anaetakiwa kuagiza NI mzalishaji
@hildandumbalo5827
24 күн бұрын
Mh Mpina kawatikisa sasa ni Sukari tu mwachieni mzalendo huyo
@waluohopaulo2116
24 күн бұрын
Mpina alitumwa na wafanya biashara wakora wenye wana ficha sukari ndio bei iongezeke wapate faida haramu
@ZainabuBakari-yb4vj
24 күн бұрын
Kweli kabisa
@SanziNzige
22 күн бұрын
Pumbafu wewe mnatetea wizi hakuna lolote.tika hko huna lolote na kabashe kako
@jumatophili
23 күн бұрын
Muogo wewe
@JacksonBoaz-yu8uk
22 күн бұрын
Acha kutudanganya mzee alieleza ukiona watoto wasimba wanachezacheza jua kuna mama yao ama baba yao nyuma,sisi siyo wajinga hizo poropoganda kamweleze mke wako
@OscarAsukenie
24 күн бұрын
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.
Пікірлер: 34