Mungu akupe nguvu sana sana utuwakilishe tanga na tanzania kwa ujumra
@issaissah8832
3 жыл бұрын
Daah Safi Sana mwakinyo mungu kwanza
@mbwanaambamba9639
3 жыл бұрын
Nakupongeza na naamin utafanya vzr inshallah lakin nafikir utakua umeteleza kusema baada ya swahaba omary Allah amridhie unafwata ww hapna Bora ungesema wakitoka maswahaba kwa ujumla wao bila kutaja jina maana wote walikua ni Bora na wenye kujiamin Zaid ya yyte yule
@abilugome7461
3 жыл бұрын
Kateleza Sana sio kidogo
@spabiton7989
3 жыл бұрын
Una weza bro pambana
@mobellamobenimpenda7055
3 жыл бұрын
MashaAllah
@edwardcosmas6359
3 жыл бұрын
Ngumi zinauma jamani
@stephenmatiko2585
3 жыл бұрын
Hope you're doing more great
@sekishafii3896
3 жыл бұрын
Daaa ukopoa sana
@robisonmabaso4720
3 жыл бұрын
Watanzania bana
@salehsuleiman1218
3 жыл бұрын
Tupe heshima ya nchi yetu kaka
@saidinyoni2463
3 жыл бұрын
Takataka twaha kiduku
@kacherosimba5762
3 жыл бұрын
sema tuna jazana upepo sana kujimini vipi yani tuwekeni sawa
@rashidbakari2238
3 жыл бұрын
Pambana kaza mkuu
@mwinukafundibombanjombe
3 жыл бұрын
syduna Omary Mukhtah
@muddyslayo6206
3 жыл бұрын
Bro na kuku bali mwazo mwisho ongla mno
@ngaleathuman5162
3 жыл бұрын
Mwakinyo$antony
@dicksonnickson862
3 жыл бұрын
Asee jmaa angu unpgaa ngumi
@ndeziboysanga
3 жыл бұрын
Wa tz tunakutegemea ongeza juhud
@cyrusharper2355
3 жыл бұрын
Unamuogopa twaha kiduku🤣🤣🤣
@Tap2showsportslive
3 жыл бұрын
Jaribu kuwa na maono makubwa! Ngoja nikupe mfano, mtu yoyote anapofanikiwa uwa anachukia Sana kurudisha atua zake nyuma arudi alipo tokea! Mwakinyo anaangalia mbele zaidi anaitaji kutengeneza cv yake sio apigage kwaajili ya sifa!! kaisha vuka uko. Apigane na uyo kiduku aongeze nini???? Mwakinyo ni bondia namba moja Africa kwa uzito wake ! Ana focus kubwa
@cyrusharper2355
3 жыл бұрын
@@Tap2showsportslive baba anaogopa ,Kama namba moja c mtoto kalilia nyembe ampe Basi 🤣🤣🤣,Kama ajadhalilika ,kwa twaha yule wa moto mamaaaa, subir tr 26 uone tunavyomuua kwa Mara ya pili dula mbabe 😀🤣🤣
@Tap2showsportslive
3 жыл бұрын
@@cyrusharper2355 😀😀 Sawa kaka lakini sio kwamba anaogopa kaisha vuka uko ngumi za mchangani!! Kiduku na mbabe wamepigana mara ngapi kila siku wao tu!!!? Wataishia hapa tu... maana pigana kwaaji wapate sifa tu 😅
@cyrusharper2355
3 жыл бұрын
@@Tap2showsportslive mbabe kalilia wembe cc tunampa hatuna shida ,ata ake myweither apa leo c tuko tayar , kwaiyo cc Kama tunalilia wembe tupen mnaogopa nini?? Mtoto wa kiume atakiwi kuwa muoga ,aje atupige aendelee ma Mambo yake 🤣🤣,Kama ajanyang'anywa kijiti🤣🤣,na ndo anachoogopa kwamba atapokonywa ile nafasi🤣🤣🤣🤣
@Tap2showsportslive
3 жыл бұрын
@@cyrusharper2355 😀😀 yeye afikili tena kurudi nyuma atapoteza heshima yake akiendekeza sifa!! Kama ingekuwa hivyo hata uyo mywether ungekuwa unasikia kila siku anapigana! Lakini ukiwa bondia maarufu unakuwa unaitaji kupigana mapambano official tu! Sio ngumi za mtahani bwana Cyrus 😆
@TangaTVonline
3 жыл бұрын
TANGA BOY USHINDI LAZIMA #makorora
@aishamaulidi7425
3 жыл бұрын
Ila mwakinyo nakukubali na twaha nae namkubali yupo vzr vp sasa mbona kama unamkwepa twaha?
@armanichicandow1225
3 жыл бұрын
Hana lolote. Kama anajiamini ipo pesa anayoitaka apigane na Twaha kiduku. Muoga tu huyo. Hiyo ndo kazi yake then hataki pesa. Anaenda kupigana na wazungu kwa dollar5000
@Tap2showsportslive
3 жыл бұрын
Jaribu kuwa na maono makubwa! Ngoja nikupe mfano, mtu yoyote anapofanikiwa uwa anachukia Sana kurudisha atua zake nyuma yani arudi alipo tokea! Mwakinyo anaangalia mbele zaidi anaitaji kutengeneza cv yake sio apigage kwaajili ya sifa!! kaisha vuka uko. Apigane na uyo kiduku aongeze nini???? Mwakinyo ni bondia namba moja Africa kwa uzito wake ! Unajua ilo??? Ana maono makubwa...! Kiduku ni nani??????
@muddyslayo6206
3 жыл бұрын
TWA ndo mdu mdugani ss na ww kama syo mchawi mwngin tu
Пікірлер: 38