Kumbe inauma pacome azizi walikataliwa magoli yaoo na na uyo uyo nyiee mlikaa kimy leo zamu yenu na sisi tunacheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allymohamed2724
4 сағат бұрын
REFA YANGA ASHINDE SIMBA
@Tee-King
5 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 bado mtaenda kwa GSM ana waharibia mpira.
@LeonardGilbert-ox5ul
4 сағат бұрын
Nyoko minio we siku zote mnafungwa anasababisha kayoko
@sandalakabalo5442
5 сағат бұрын
Hilo tagazo nasiki elfu tano tano za a kayokoooo,kwahiyo bado anadai hela zake kuibeba yanga
@zeyanaalhabsi8636
3 сағат бұрын
Maneno ya mkosaji pole64gb pitishia coca cola baridi upozee koo pole kwa machungu ya goli
@williamsiwale9776
2 сағат бұрын
Panyo pako
@SalumMwankemwa
Сағат бұрын
Umeongea kiume ila kamati ya ufundi ya Simba inazidiwa kila upande Amina manara
@Muhammedually
4 сағат бұрын
Aliye pewa hirizi alianguka jana mtashinda vp na nyinyi mlisha zoea uchawi
@HalidMuhammad-gi9qy
4 сағат бұрын
Yaani huyu gb 64 mimi naona kama shoga tu mbona cku mlioifunga.dodoma jiji refa alifanya nini pididy njoo chukua gb 64
@SuleimanHarun-v4l
6 сағат бұрын
Kama simba hatutasoma halbadri kayoko atatusumbua siku, zote
@BrunoNamanga
4 сағат бұрын
Pole sana sana...... Mmekutana na kisiki .. Kapombe kateleza tu kawaida. Na Kagoma alikuwa majeruhi Usilaghai watu Bwanaaaa..... Pen unaona upande mmoja na pen ya Musonda hujaiona we kweli MAHABA NIUE..... UMEKWISHHHHAAAA YANGA WALICHEZA KIUME ... SISI TUNATAKA WOTE MUWAKE😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fettiemaganza1484
3 сағат бұрын
Anajitetetea maana aliongea sana kabla ya mechi afu suala la kujifunga kwani bila kuzidiwa utajifunga?? Ye alisema yanga imejaa wazee lkn walokata moto ni wao sasa sijui anaongea nn mpuuzi huyu anataka kuwaaminisha watu upuuzi wake
@NemesMasawe
Сағат бұрын
Nakuelewaa sanaaa gb 64
@MathayoRajabu
2 сағат бұрын
Asante kwa kuitengeneza Yanga maana katika watu wanao itengeneza Yanga wew upo na Simba unaibomoa
@swaleheukwaju2225
4 сағат бұрын
Hilo fungu analopewa na mangungu imesaidia sana jamaa asiwashambulie tena viongozi lazima atetee tu kwani muamala hautasoma tena 😊
@ramajr3762
2 сағат бұрын
Kumbe huyu awakukosea kumtumbua uwalimu yani off side unalazimisha liwe goal.
@MussaKitaluta
4 сағат бұрын
Tatizo Simba mnaamini sana uchawi ndo maana mnaferi Kila siku. Chezeni mpira
@JuhudiKasanga-yq5ks
4 сағат бұрын
Huyu 64gb ndo anaihujumu Simba toka akaanza kujipendekeza timu inaharibika Kila siku huyu mnafiki TU waachievakina kisugu timu yao ndo wenye uchungu sio wewe
@MasoudMganga
4 сағат бұрын
Msenge huongei mambo ya mana
@tonyliverpool2394
2 сағат бұрын
Ujamfunga yanga Mara 4 mfululizo muongo tutajie iyo miaka mi 4 mfululizo ?
Kazi kweli kweli yaani hatufungani mpaka tologane 😂😂😂
@SillinusNyanda
2 сағат бұрын
Umeongea vzr sana.Mungu mwema sana
@JoelMosses
4 сағат бұрын
Kapombe alianguka kwasababu alilewa pombe😂😂😂😂😂😂😂
@NasraNjunde
5 сағат бұрын
Sahihi kaka goli lenyewe mpira ulitoka nje
@hekimaoscar6527
Сағат бұрын
Kijiliii iiiiiii
@AmurJecha
2 сағат бұрын
MAREHEMU KADHULUMIWA❤❤❤
@AloyceMwasapili
Сағат бұрын
Wewe umezaliwa juzi hujui mpira
@RajabuhamisiHassan-qv5wm
42 минут бұрын
Umeongea pont
@YonaDaimon
3 сағат бұрын
Namkubali sana gb64
@MlawaClemence
3 сағат бұрын
gud point 🙏
@JoshuaMmali
26 минут бұрын
Yaan hata mo angekuwa refa ahmed ally kibendera kuwashenyeta kuko pale pale
@amrisaleh8804
5 сағат бұрын
GB.64 ukovizuri sana nakuku bali sana kikubwa tusiwatupie.lawama wachezaji wetu kikubwa tua ngalie timu yetu Simba nguvu moja
@AlexKanuya-fs2vr
Сағат бұрын
Yule maneno tu Amna kitu broo
@EmanuelMuna-w2q
54 минут бұрын
Ni kwa nini VAR haikutuika katika mchezo wa jana? Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana. Yanga hatuwaamini tena kabisa. GB64 waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka san kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League.
@alimohammedomar3412
5 сағат бұрын
Miaka ya 94 mwenyewe ulikuwa mapajani kwa mamaako unanyonya
@faheemwasingle8488
Сағат бұрын
Basi tufanye ilikuwa sare
@dastankinyenya5973
2 сағат бұрын
VIVA GB
@FrankKipingu
Сағат бұрын
Hega kwanini usiachane na soka la bongo tu ndugu yangu anzisha hata tution kubwa la maana upate fedha mbona pcm uko vizuri tu mipira hiyo waachie wa mpira
@FumaoFumao-d8w
4 сағат бұрын
Nakuelewa sana GB 64 yote uliyosema ni kweli wachezaji viongozi tulieni
@EmanuelMuna-w2q
43 минут бұрын
Ni kwa nini VAR haikutumika katika mchezo wa jana? Haina maana kabisa kununua VAR-systems kwa fedha nyingi sana, kuzinduliwa na Mheshimiwa Majaliwa na hatiaye kuziweka mashine zote kabatini. Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana. Hawa waamuzi wa mchezo Tanzania hatuwaamini tena. Yanga hatuwaamini kabisa. Tunawafahamu sana wote hawo. GB64 waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka sana kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League. Kuendelea kujadiliana mitandaoni haisaidii kabisa. Kinachohitajika hapa tu ni serious action plan ya TFF kutekelezwa haraka.
@hekimaoscar6527
Сағат бұрын
Tulia dawa iingiieee
@ISAYABUCHINDIKA
2 сағат бұрын
Kaka umeongea ukweli kabisa viongozi wawe makini kabisa kuhusu hilo swala
@PascalJoseph-u4n
59 минут бұрын
Akuna Malefa bongo hapa
@MussaRqjqbu
5 сағат бұрын
Kawaida ya wasenge hutabiri mambo kwakua Wana vikao vyao ok
@hassanrashid9436
Сағат бұрын
Ali komwe hana secret moja mbona hakusema kabla ya mchezo??? yale ni maneno tu wala gb usiingie kwenye maneno yake ni mbwatukaji tu yule.
@KijanaMollel-zj2cs
3 сағат бұрын
Shida Simba awa chesei wachesaji woto inafaa ikimutoa kibu ana mueka kama chasambi
@Jerryminenewtony-fc5cp
2 сағат бұрын
Ukiwa na adui 10 ujue mmoja yuko upande wako,hivyo kuna kiongozi mmoja ambae wa simba yuko upande wa yanga
@RussellHome-c1e
Сағат бұрын
Sijaona hizo penalty yaani uguswe nje useme penalty kweli nyie wehu ateba penalty ipi au mpira umeangalia pekeyako chumbani sio team bado hiyo shukulu mechi za taifa mlikuwa mnakula 10
@sijaonamjungufinias481
3 сағат бұрын
GB 64 Hayo mambo ya tradition siyo ya kuongelea hapo na huyo kamwe mlopokaji tu hana chochote
@saidmansoor8528
2 сағат бұрын
Ni yule ALIEMLAZIMISHA ROBATINHO KUMPANGA MANULA ILHAL MGONJWA SI BADO YUPO AU MMEPUGA!!!!????
@DaudSichula-m1p
3 сағат бұрын
Live umeongea point
@jacktani2280
3 сағат бұрын
Wewe ndipo navi kabisa, nyie simlihonga refs?
@DaudMwanrdy
5 сағат бұрын
We haujui mpira
@AbubakariMussa
Сағат бұрын
Nyie Simba,kila mkifungwa mmeonewa mmelogwa,lini mtakubAli ??.mchezaji asiguswe.Chezeni Boli litembee ,Iko siku.na nyinyi."YOU HAVE TO ADMIT THE DEFEAT AS WINNING,AND, LOOSING IS PART OF LIFE " ONE DAY YES. Wachezaji walicheza vema si kama huko Ni swala tu la kutumia nafasi zinazo patikana.
@ignatiuskaishe34
19 минут бұрын
Ila wakipewa penalty ya uwongo kwa Dodoma Jiji ndo wanamuona refa anafaa.
@SalvatoryMtunga
4 сағат бұрын
Huyo pumbaaaaaaaaaa.
@merickshadrack4509
2 сағат бұрын
Lkn mbona yanga kapata penalty hamuongeii pili beki wa alie mzuiaa dube akiwa mshambuliajiii wa mwisho alisthilii red card mbona hamu isemiiii ndugu zangu
@BrownAndrew-i4u
3 сағат бұрын
Mbona avaa jersey ya Liverpool 🤔🤔
@saidbakari7998
2 сағат бұрын
Ila kayoko
@stevenobure8241
5 сағат бұрын
Amekuwa mpole sana leo
@kassidpandu866
5 сағат бұрын
Mwaka 94 mlifungwa mara 4 mfulululizo
@fettiemaganza1484
2 сағат бұрын
@kassidpandu866 1991 yanga walianza kuwafunga simba mara nne mfululizo au hyo huitaki
@HABIBHASSAN-wf5mr
4 сағат бұрын
GB 64 KILA MWAKA MANENO YAKE YALEYALE INASAIDIA NN ACHA UJINGA WW
@ignatiuskaishe34
23 минут бұрын
Kwani simba msimu huu , hamjabebwa na refa ?
@Taito-brand
5 сағат бұрын
Mwaka upi na mwaka Upi
@leonardfungo
4 сағат бұрын
GB TUMEFUNGWA KWA MIPANGO YA TFF NA KAYOKO USIHANGAIKE.
@farakisenterprises6146
3 сағат бұрын
Tatizo Ahmed Alli
@SamsoniMwihambi
4 сағат бұрын
Nimetotaarifa CAF penat tatu kayoko amekataa Kesho akaripot hizo tuhuma
@SefuAbedi-f8q
4 сағат бұрын
Nyinyi mlisema ubaya ubwela kisugu anajuwa wanganga wote
Sababu mme wafunga Simba fatiria mpira wewe mwanga
@HamisRashid-xl4mn
4 сағат бұрын
MPUMBAVU NI WEWE UTOPOLO KATUFUNGA MALA 4 MFULULIZO SIKIMPLA NIMIPANGO MNABEBWA KILA SIKU NAWAMUZI WENU WAJINGAWAJINGA HAO WEHU NYINYI UTOPOLO WEUPE KABISA HAMNA LOLOTE WAJINGA NYINYI ENDELEENI KUBEBWA
@tonyliverpool2394
2 сағат бұрын
Sasa na sie tungepata nafasi zote za magoli yangekua mangapi pumbafu zako yanga nguvu mbele nyuma mwiko
@geraldbagole4494
4 сағат бұрын
Kijili Hana kosa,wala Camara.Wachezaji wasiguswe,Viongozi ni KAZI yenu kujua kwanini inatokea.
@ZaliyaSaid
4 сағат бұрын
Kapombombe alinguka kwa Nini muzunguze
@salimharrasy7047
4 сағат бұрын
Simba muache kulalamika sana. Tengezeni team. Ligi bado kwisha.
@fettiemaganza1484
2 сағат бұрын
Kwa singida black star hawachomoi kwa jkt hawachomoi hamna hamna basi wapate droo weshapoteana hawa kazi kubattle na yanga tu wakati wanajua kabisa hawana wachezaji wakuwashindanisha na yanga
@ClementMwampamba
2 сағат бұрын
Kama haunawazo la kutoa ili tuone acha kuliko kutukuna mpumbavu acha na inaonyesha wewe ulietoa wazo hilo hauujui mpira jifunze kwanza
@SefuAbedi-f8q
4 сағат бұрын
simba bado jengeni titu yenu waganga sio dili ubaro wa kikosi utakupa matokeo
@allytwalib7787
4 сағат бұрын
hapa ukiangalia macho ya hao wanaolalamika utagundua kwamba hata kile wanacholalamikia wanajua hakipo maana tuliokuwa uwanjani tuliona kabisa kibu kaotea hata kocha fadru hakushangilia maana ilikuwa ni offside ya wazi... tusitafute vichaka vya kujikingia maana hata huyo ateba alikosa goli lakini move yenyewe ilikuwa tayali kaotea na kama angefanikiwa kufunga simba wangeshangilia... kwani refa alimwambia kamala aufuate mpira uliokuwa unatoka aurudishe kwenye mchezo na kusababisha goli, au alimwambia kijiri ajifunge mpira ambao tayari ushagonga mwamba na kurudi uwanjani ! tatizo tunakuja ya matokeo uwanjani na kuamini tunashinda ilhali mpira unadunda ... tengeneza kikosi ambacho hata wakitoka key players watatu wanaoingia wanakuwa kama wale waliotoka na kuendeleza momentum ya timu sio kurundika wachezaji ambao watawavyonza wengine na kupunguza momentum ya timu...
@stevenobure8241
5 сағат бұрын
Timu ya ubaya ubwela 😂😂😂😂😂
@christopherkazumba1952
3 сағат бұрын
Mpumbafu ww wakati ww
@ZaliyaSaid
4 сағат бұрын
Kachezeshe wewe kama lefa humwerewi
@kamazimamuganyizi6932
27 минут бұрын
Twaambie alietufunga ninani?
@allymohamed2724
4 сағат бұрын
Timu unatengeneza wachezaji wanaumizwa.na mwamuzi, timu utaipata wapi
@SembucheMahiya
4 сағат бұрын
Chamaaaaaaaaaaaaa
@Esterkomba-ef7eb
5 сағат бұрын
Nyinyi ndiyo mchawa wabaya
@LindaMbilinyi-n3n
5 сағат бұрын
Sisi tumacheza mpira wao bize kuwanga halafu tutegee kushinda??mbwa hyo
@saidmansoor8528
2 сағат бұрын
Hata mimi nashangaaa ninyi mmeshinda jana kafunga kijiri sasa fujo kelele za nn
@JohnMakao-is9fm
10 минут бұрын
Point 3 muhimu
@MsafiriShabani-n8x
4 сағат бұрын
Refa mpumbavu sana
@ErnestBoniface
4 сағат бұрын
Wewe akili huna
@StanslausFilbert
4 сағат бұрын
Ww unazoo???
@twahakabajemi9716
5 сағат бұрын
Hili pumbavu tu!!
@SHAMSHEDY
4 сағат бұрын
Bradh uko vizur saaan
@RackertoneyRhmes
2 сағат бұрын
Camara akae bench
@DaudMwanrdy
5 сағат бұрын
We haunaakili kadi nyekundu na penati ya musonda ujaziona au
@stevenobure8241
5 сағат бұрын
Tupe hizo rekodi na takwimu 😂😂😂😂 aache kudanganya umma
Пікірлер: 151