Katika nyimbo zinazo gusa maisha halisi ni kama hii kama unaakili kaamakini nauutafakar wimbo huu kali Sana big up Kwa bright nabibie Jolie
@saidhatibu9565
3 жыл бұрын
Safiiii unaakili Kam mm
@PiusCharles-qj9mu
Жыл бұрын
Biga up kwa hawa WA wiki bright na joile
@urio655
6 жыл бұрын
Bonge moja la ujumbe.. hii ndo aina ya nyimbo ambazo jamii inahitaji. BASATA wanatakiwa watoe tuzo kwa nyimbo kama hizi. 👏👏👏
@dennicmtn5269
6 жыл бұрын
kweli yani
@jasminrashidi4163
6 жыл бұрын
Dogo yuko poa sana aisee
@collethamponzi6661
6 жыл бұрын
NYC song
@annannyari519
6 жыл бұрын
Nice song
@orestandomba5710
6 жыл бұрын
Haswaaaaaaaa
@emanuelkabasa2120
4 жыл бұрын
Kama bado unaangalia hii nyimbo gonga like ili tuende sawa
@user-cs4xb7yy2g
7 ай бұрын
❤❤
@bantokenya6599
6 жыл бұрын
Kaka Bright mbona naona nyota yako iking'aaa kwa bidii uliyo nayo na kipaji nakukubali kila siku 😍..Gonga like ya Bright apa kama unamkubali👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@mahmudmkali5725
6 жыл бұрын
ths boy is doing gud
@bantokenya6599
6 жыл бұрын
Mahmud Mkali sana aiseeeeh
@iamsamoo_tz
6 жыл бұрын
kazi nzuri ndugu yangy
@dennicmtn5269
6 жыл бұрын
kweli bro bright anamoto Wake
@bantokenya6599
6 жыл бұрын
Dennic Mtn umeona kijana anavopanda ngazi pole pole namkubali sana tu ujue
@salindemwangana61
Жыл бұрын
During my campus days I bumped into this sound ..I loved its naturally sound. Zambia 🇿🇲🇿🇲 signs for being present.
@jaclynjulius2899
6 жыл бұрын
Nyimbo imetulia sana na nmekuwa nikiirudia sana kuisikiliza.. Video IPO simple sana lakn nzur..nimeipenda.
@charlesndege1446
3 жыл бұрын
Hii ngoma ina ujumbe mzuri kwa wanandoa wavumiliane kwa hali yeyote ile👍
@mamakee8005
6 жыл бұрын
254 mko wapi🙋🏽♀️🙋🏽♀️🙋🏽♀️good music 😍😍😍
@ronaldnganya2125
6 жыл бұрын
Rozie McKenna 255
@lissakidiavai1115
9 ай бұрын
The end of 2023 and I'm still here i have listened to this song the whole of this year ❤
@fidelisferuzi5503
5 жыл бұрын
Wimbo mzuri, tungo na ujumbe safi kabisa. Sio siri Bright na Jolie mmeitangaza lugha yetu adhimu ya Kiswahili. Big up for the fine export!
@hendrylema5640
5 жыл бұрын
kaka bright umeutendea haki huu wimbo nimeupenda sana kila mda nauangalia kila mda siuchoki hongera sana kwa kazi mliyofanya bigup
@gervasmunishi5374
6 жыл бұрын
hii ngoma niliickia saluni, ikabidi niiwekee bando fasta kwa mangi. cjakosea kufanya hvyooo big up Bright...
@drizzlesly6009
2 жыл бұрын
One of the most underrated singers in east africa..this is dope upto date
@KingRuben-ct6cv
5 ай бұрын
Aaaa kwel huu wimbo naukubar sana ila bs 2 jama nahuyo bibie wako sawa ila mapenz ndo yanakaa Ok do wabongo 2livyo😅😅😅
@bashiruhamisi6465
6 жыл бұрын
Daaah..... Nataman wawepo wanawake wa hvi na mm nimpate
@LeilaSpembo
2 ай бұрын
Naipenda sana hii nyimbo big up bright namkumbuka sana ex wang moodi aliipenda sana hii nyimbo kipind nasomaa
@williamalex4792
6 жыл бұрын
Nimeipenda sana sauti ya huyu dada yaan imeenda na hii nyimbo
@kindandakudingwa7514
5 жыл бұрын
Kama Maunda Zorro
@careemutunajuailayupovzr9227
3 жыл бұрын
Yuko vzr
@justinesanja5069
3 жыл бұрын
Soma iyooooooooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🍗 we have been
@justinesanja5069
3 жыл бұрын
Da way home now
@lilangachodas6951
3 жыл бұрын
Nimeshare kwa wife Fatma Kalonga, imerudisha mapenzi yetu ya miaka 20 nyuma, pamoja na uzee wetu lkn tumeilewa, inacover all ages! Big up dogo keep it up!
@honorebarzack
6 жыл бұрын
Kweli huyu dada kani furahisha sana big up sister love from USA🇺🇸
Mlivoenda mnafaa hata kuwa wapenzi kabisa. Hii song ni classic, safi sana
@jazilarajabu6628
5 жыл бұрын
Man Sure Official mazonge nakukubali sana
@mayrahamis9051
Жыл бұрын
Dada sauti nzuri Sana duuuu"
@fedrickpaul6733
6 жыл бұрын
hujawahi koseaga mzee baba toka nione kaz yk yakwanza, kaza tutafka, ulaya nas tishaaaa mbayaaaaaaaa ###@brigth#
@frenkphillemon9044
6 жыл бұрын
Ivi basata wako wapi nyimbo kama hizi ndo za kutoa tuzo! kwanza zina bonge la ujumbe unasikiliza every where!! bright kaza buti nyimbo imegusa maisha ya wengi nikiwemo na mm japo siyo mlinzi lkn!!! weka like twende sawa
@damianmapunda8938
6 жыл бұрын
Boy! You deserve to be awarded with BASATA for this song by Educating the Community!
@mamasanja2322
4 жыл бұрын
diamond
@simpletv2708
6 жыл бұрын
Unajuwa sana weweeee kwann yn nakuchungulia nakuona kuleeeee kaz ngangangaa hvy hvy usiwachie hta upenyo
@irenekimaro8934
5 жыл бұрын
Yan hii nyimbo kwa siku nahisikiliza hata Mara mia haichosh jamn huuiii braht big up uko vizur sna yan sichoki ingekua inaonyeshwa kua mtu anaisikilisha Mara ngap ni mm
@fednarndmosh7068
5 жыл бұрын
ningekuwa na uwezo ningempa bonge la zawad lakin nakuombea kwa mungu azidi kukuwezesha kuimba zaid na zaid
@shaxonboy_
3 ай бұрын
Tunaochek hiki chupa 2024 tujuane
@slayqueenvevo8118
6 жыл бұрын
Hivi nikisema Bright ndio mridhii wa Diamond nitakuwa nmedanganya +254 Tonga like
@emmanuelmkeba7901
6 жыл бұрын
Hawafanani huyu nyimbo zake nyingi zinafundisha
@minzageorge2486
5 жыл бұрын
Namuombe awe juu kuliko hata modi
@emmanuelgavile2737
5 жыл бұрын
Hapana ila diamond no destroyer fireee
@thaudenciamalya2585
5 жыл бұрын
Diamond haoni ndani, Bright ndo mpango mzima. nyimbo zake zinaelimisha jamii.
@jacobojoseph4138
Жыл бұрын
Dodoma nimekumbuka sanaa baada yakudaiwa kodii aisee
@user-do1oq6tp7r
6 ай бұрын
Big up xn Bright naelew xn hii song
@daudieliya4816
6 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana inamaneno ya kuelimisha.all in all mnajua kuimba na mmeitendea haki nyimbo yenu
@kilangodole4425
6 жыл бұрын
Bonge la ngoma huu ndiyo mziki sasa now kila niendesha gari ndiyo nyimbo inayonifariji Gud sana ukikaza utatoka ila game ngumu hongera umeanza vizuri
@user-ro1fg5ur9l
Ай бұрын
Kama unaangalia hii nyimbo mwaka huu 2024🎉🎉 gonga like apa
@bright_tz
Ай бұрын
🙏
@pound_tz7248
6 жыл бұрын
kumamamaee bonge ngomaaa aisee usipotoboa na hii bc mchawi wako yupo vizur
@eddoboy1920
6 жыл бұрын
hahahahaaaa!!!!!
@hansmahmoud5134
6 жыл бұрын
Aki hii ngoma ni zaidi ya umri wao Allah awaangazie vijana kama hawa ndo waitaji kupewa support nakusighniwa
@phesto_platnumz2864
6 жыл бұрын
Ataàlii sana brait alikiba mwenyew akasomeee🙌🙌🙌🙌
@ricksonlyimo5594
4 жыл бұрын
We huna akili kabisa yaan mfalme wa music king kiba umfananishe na huyu mdudu wa juz tu
@nicojacintobacar4503
11 ай бұрын
Unaistaili kumpa mauawa🌹🌹🌹🌹🌹
@meresianachristian1063
2 жыл бұрын
Atariii nakupenda sana uh wimbo achni to
@MichezoTanzania24
6 жыл бұрын
tisha sana bonge la couple mpya ya kiburudaniii usimwache jolie mna match style yenu ya muziki kweli bright trust me
@Lee-bd9xd
4 жыл бұрын
Hii nyimbo imebeba bonge la message kuhusu uvumilivu kweny mapenz !! big up sn !
@rairambarairamba5086
5 жыл бұрын
JAMANI love kama hiiii imeenda wapi duuuuuuù love Kali hiiiii song linaimba uhalisia wa maisha penda hiii pia pole sana
@joemwaka5214
6 жыл бұрын
jombaa umeniandikia mm hii nyimbo! salute
@adolfmrope4210
5 жыл бұрын
Yaan we acha umetugusa wengi sanaa
@jackjack6090
5 жыл бұрын
Ngoma nzuli sana inasikilika mpaka Texas 🇺🇸👉🏻🇺🇸
@thierrytitichristian46
2 күн бұрын
The only Bright 🔥🔥🔥🔥
@marcowelano2245
Жыл бұрын
sijui kwanini Tanzania vipaji halisi tunavichukulia poa sana aisee
@eddoboy1920
6 жыл бұрын
We Bright utanimalizia Mb zangu kudadadek yani hii ni Mara ya mia mbili na moja naiangalia hii ngoma
@allypatrick7060
6 жыл бұрын
umeonaeeee!
@iddihmashono7306
6 жыл бұрын
Eddo Boy hata mie sichok
@salomepaul3989
5 жыл бұрын
Eddo Boy hahaaaaa kabisa
@junithamwasile7337
4 жыл бұрын
Yaan acha tu nyimbo za huyu kaka
@tecnosparck2751
3 жыл бұрын
Because nice song me to i like
@epifaniamponda5676
6 жыл бұрын
nami nampendaga hivohivo japo hanakitu najua tutapata 🔥🔥🔥🔥🔥 najua mapenzi yakweli huendeshwa na hisia na mapenzi ya tamaa huendeshwa na pesa
@daudymwangateko2004
5 жыл бұрын
epifania Mponda video
@starlonejadamskp8224
4 жыл бұрын
Kabisa yan
@d2dv65
4 жыл бұрын
Bonge LA ujumbe.
@rosedaniel9210
4 жыл бұрын
Kweli
@user-rz8hn7ew8t
6 ай бұрын
Mwenetu nyota tyuu ila ngoma zako 2024 natoboa nazo
@user-se5zb4qh2f
9 ай бұрын
Wimbo wangu wa kipindi chote
@edsoniminani5785
5 жыл бұрын
Hii ngoma nimeshaiangalia mara kibao ila siichokii wa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿mko wapi?
@happynesskilango995
6 жыл бұрын
iko mahali pake hii ngoma yani imetulia alafu ujumbe umebamba kinoma noma ,,,,,,, nice xaaaaana
@NickShineumunyiki
6 ай бұрын
dogo unaweza ❤😊 much support kutoka kuria ya Kenya🇰🇪
@salmamuhamed9647
6 жыл бұрын
bright na Jolie hii nyimbo mmehitendea haki sana kwa mlikuwa mnajuana toka mda nawapenda sana
@meredouble9897
6 жыл бұрын
Very good song, I can say song of the year I’m in love 😍❤️❤️ watching from Chicago,USA 🇺🇸
@stephenomondi7246
6 жыл бұрын
hi ❤ sweeti
@meredouble9897
6 жыл бұрын
Stephen Omondi hi 👋
@stephenomondi7246
6 жыл бұрын
Furaha Sifa hahahhaah iyo so ni cool sana swty waaa
@davidayo989
4 жыл бұрын
Good song
@imanitutu
6 жыл бұрын
demn im in love, iyo truck iko hot sana
@davidmombek4833
6 жыл бұрын
Ngoma tamu sana nimeilewa bright unajua sana una kipaji hiii ngoma imenigusa kimaisha NA mkee wang
@mohisac6017
3 жыл бұрын
Mwendo huwo huwo kijana utafika amini nyimbo zako zaelimisha sana na haya maisha tunaishi kazi poa sana
@khalidykitepa438
6 жыл бұрын
daaah bonge la ngoma bright wa home ifakara tunazidi kusaport kazi zako safi endelea kukaza man bright wengine tuko njiani
@msodokitv2855
6 жыл бұрын
wewe fundi sana bright,kaza kamba utafika mbali sana blood
@khadhiriramadhan5984
Жыл бұрын
daah nikitzma hii video nakumbka nliopitya awali hii nyimbo inajumbe mzurii .for 2022✌✌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@exaviamaurus4135
5 жыл бұрын
Who else is the best dan u bright!!!!!! Nakupenda bure
@sporttv5033
6 жыл бұрын
Hii ngoma iko powa sana @bright@jolie
@crispinmkane9108
5 жыл бұрын
Binge ujumbe ppngez kwako kaka
@samsonthomas3618
6 жыл бұрын
penda sana kitu kipya kaka. ngoma inaniburudisha sana kabisa tena inanifariji sana . tupo sana kaka. from here Sydney Australia.
@meshackyovini6094
5 жыл бұрын
Kaka umenigusa sana MUNGU akupe maisha malefu minakupa %10000%
@hancykinshaga5650
6 жыл бұрын
@bonge la ujumbe I like the way they sing>>>>>::;;;;.................
@princejaymondonesphory1411
6 жыл бұрын
song of de year bright salut sanaaaaa mkali ngoma ni fireeee
@rehemadhenyi464
4 жыл бұрын
Much love to my best Jolie from all the way USA Orlando Florida state! 🙏
@williamdeng76
8 ай бұрын
I love ❤this song . Daily life struggles , poverty, hopeless and true love ❤ gets stronger. I listen to it everyday. From Australia
@hitchhikers-m1i
6 жыл бұрын
Ngoma ya mwaka hii na ndo nyimbo Ambazo jamii inazihitaji ....Na anayeichukia hii nyimbo atakua na ya kwake tu kichwan
@rhemalidyo7037
2 жыл бұрын
Cette musique est vraiment éducative pour les mariés 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@hamphreyhlyatuu5215
11 ай бұрын
Vraiment
@niphaswiden3569
6 жыл бұрын
Imenigusa saana hii nyimbo shukran kaka
@Kib-jsanley
9 ай бұрын
Mtu wangu mbona unapoteya sana nini tatizo sijisikiye ata bien jisi uñapoteya bright idole wangu❤❤❤
@carolgasper2121
6 жыл бұрын
Ni wachache sana wasanii wa sasa kuweza kutoa ngoma ya namna hii hongera sana Dogo yan hii wanaskiliza na kutizama watu wa rika zote siyo mi kwangwaru
@jumamlungira7961
6 жыл бұрын
Bright heshima kwako bg up
@nino_tz
6 жыл бұрын
Waya mwanangu @bright kaz nzur sana
@nusrathmussa6463
5 жыл бұрын
wanaofanana na wasanii
@HEAVYCHIDDY
3 жыл бұрын
wakenya mpo kweli huu wimbo upewe likes zake kutoka hapa kenya broo kali sana nakam tutengeneze moja kali bro love your manegment all
@sankajoseph4627
7 ай бұрын
Safi nyimbo nzuri saaana
@kibokongurai5090
6 жыл бұрын
nyimbo nzuli sana hii inanikumbusha maisha yangu kabisa
@ammyallt2292
3 жыл бұрын
Rip magufuli wetu
@stellahmasinde3032
Жыл бұрын
Navipenda sana jamani nyimbo ya hisia na ujumbe wa kwenda da
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
6 жыл бұрын
Umefanya video nzuri sana this time duuuuuuuu kali sana hii video.
@tunumlokoz1002
6 жыл бұрын
Jamani Mimi sihishi ham ya kuisikiriza dogo amenikosha sana! Kwenyeukweri tuwe wawazi!
@habibaramadhani9708
5 жыл бұрын
hivi nikupe nn wew kijan daaaah uwiiiii
@erickhaule8680
6 жыл бұрын
yaani Alikiba hakoseagi jamani moto mwingine huu
@edwinnzioka451
6 жыл бұрын
nimeipenda sana hii nyimbo.. shabiki toka 254
@selinamashoko2490
5 жыл бұрын
Ipo poa sana....fresh kwa ujumbe mzuri wa huu wimbo
@zclassicfashionz1573
6 жыл бұрын
Nakupenda hivohivo baba, japo mambo sivo.... Jamaniiii
@halimamikinda4432
5 жыл бұрын
Nakukubali sana Bright,, huu wimbo unahitaji views nyingi zaidi
@emmanuelsanyiwa9728
6 жыл бұрын
Bright is very talented kiukweli...he is the real musician...kip it up boy...and jolie ooh mom u killed it
@LeilaSpembo
6 күн бұрын
Nawependa sana❤❤❤
@ebbyramadhani
5 жыл бұрын
Hii Nyimbo nzuri mpaka nimesahau kama imetoka mwaka jana Nkajua imetoka mwezi Huu.
@shemuchaula5060
6 жыл бұрын
a very good work of art from you jolie n bright.. every star was once an amateur.. it has to be remembered always that talent is cheap but dedication is ever expensive.. you two have a long way to express your talent through music... do not give up.
@hizamitambo7630
6 жыл бұрын
Nimekuelewa mzee baba bgp
@Iwatchplustv
5 ай бұрын
we still need type of music ,good content ,the story is dope shout out to the Director
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏
@papafikiri
2 жыл бұрын
Sifahamu Kiswahili naomba mnitafsirie maneno ya wimbo. Ni wimbo mzuri sana
@mariammariam2475
6 жыл бұрын
Nakukubali sana braith
@danterey
6 жыл бұрын
Kazi nzuri sana. Nimeipenda.
@zclassicfashionz1573
6 жыл бұрын
Dah! Vijana wa Bongo ni soo.... Nimeipenda hiii shiling ya ua kwl ™ⓩⓒⓛⓐⓢⓢⓘⓒ
@jamessingano5821
6 жыл бұрын
dah! cna comment kabisa,bright mdogo wangu unajua
@leonardchogogwe2126
3 жыл бұрын
Yan hii nyimbo haiishi utam kila niskilizapo
@mwitafrancins4776
6 жыл бұрын
Uuuuwi bonge LA ngoma aisee yote uliyo yaimba yalinikuta kaza mzazi
Пікірлер: 1,1 М.