Tunaokubaliana nyimbo kuwa Ina ujumbe mzurii sana gonga like apa❤
@WesterMbenga-bz8vo
13 күн бұрын
B2k
@neaboy4032
5 ай бұрын
Ngoma zangono zinakaa no 1 on trending afu Ngoma zinazo elimisha zinapuuzwaaa. Jamani tutokomezeee hii kitu tuipandishee hii kaziiii❤
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@abdulikinyata8649
5 ай бұрын
Kweli hata sijui kwa nn🎉🎉❤
@abdulikinyata8649
5 ай бұрын
Noma sana❤🎉🎉 @bright @bestnaso#bright#bright
@tetetvlamu9224
5 ай бұрын
Mm kinachonishangaza kwanini huyu best nasso anaimba vizuri na ajabu hatoki watanzania shida ni nn lakini
@mrbrighttz
5 ай бұрын
@@bright_tz😢😢😢
@johnshimuda8331
5 ай бұрын
Umasikini mbayaa bright ft best nasso nyimbo isiyochosha kusikiliza kama umeusikiliza zaidi ya mala 1 gonga like tuondoke na ngoma
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@KachamsodokkZahabu
5 ай бұрын
Ngoma ipo kwa hewaaaaa jamani naomba like 10 zinanitosha wana mara tunajua saaana❤❤❤❤
@bright_tz
5 ай бұрын
Umetisha
@KachamsodokkZahabu
5 ай бұрын
@@bright_tz💥💣💥💣
@TurkanaDigitalMedia
5 ай бұрын
Shoka moja safi linalo kata vizuri. Nipeni likes za Bright tz pamoja bestnaso....this guys never disappoints
@bright_tz
5 ай бұрын
Thank you for support
@estomiailomo7844
5 ай бұрын
Nilisha wai sema huyu kijana ni muimba mziki mzuli unao elimisha ila sisi mashabiki tunapenda ngoma za mapenzi kuliko hizi zinazo elimisha hongera sana kijana Songa mbele bila kujali maneno ya wapinzani wako mashabiki tubadilike hizi ndo nyimbo ❤❤❤❤
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana Kaka mkubwa
@JeanClaudeRwayangire-pg3ts
5 ай бұрын
Tunashukuru sana,Songa mbele
@kidogojento5368
5 ай бұрын
Bright we ni favorite kwangu miaka yote una melody moja nzur sana 🙌🏽 sijawahi ku comment lkn leo nime comment 🥰 hongera Bright
@bright_tz
5 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@MahamoudBonele-oq7yc
5 ай бұрын
Nakubali xana
@Felista_tz
5 ай бұрын
Sinaga kawaida ya ku comment ila hii imebid nyimbo nzur sn very creative
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana
@sautilive
5 ай бұрын
Mziki wa Maisha Huu 🔥🔥🔥❤️😘 @simpho star✨
@bright_tz
5 ай бұрын
Nomaaa
@alyne7710
5 ай бұрын
Kwanza nikupongeze sana yani ile kuwaza tu ufanye kazi na Best Nasso nimekupa 100% huyu ndugu nimoja ya wasanii walio amini mziki wao na kuupa heshima best nasso anajuwa nini anafanya mmeimba vizuri sana hongereni sana miyamba❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@bright_tz
5 ай бұрын
Thank you
@abdulikinyata8649
5 ай бұрын
@@bright_tzumeua sana kaka ukiwa na best naso hakuna jambo lina feki ni utamu juu ya utamu
@philipomvanga2450
5 ай бұрын
@@bright_tz 💥💥💥💥songs 🎵 la moto sana
@niyorukizaelias8142
5 ай бұрын
Naso your songs will never get old big up .Burundi tunakusoma
@bright_tz
5 ай бұрын
Be blessed Asante Sana
@user-mm9hs3qf5h
4 ай бұрын
Good song bright nabubali sana mwananangu uku Burundi tunakupata 100%
@bright_tz
4 ай бұрын
🙏
@goodluckkigwenenge8953
5 ай бұрын
Wasaniii wa tz hakika wameanza kubadilika kama hawa aiseeeh ujumbe safi hauna ata doa nimependa sana ngoma hii❤❤❤❤
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏
@abdulikinyata8649
5 ай бұрын
@@bright_tz ❤❤ kazi nzuri sana good job
@user-uv5rf5zn3v
5 ай бұрын
Ndio tatizo la tz ngoma za maana azipewe sapoti kabisa Ila matusi wanaojifanya mziki wawawakati ndio wanapewa sapoti bongo akuna sapoti ktk mziki mzuri
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏
@NeymarBruno-ed1hh
Ай бұрын
Ngoma kali sana ndug mungu awape nguvu kila kukucha ❤❤❤❤❤
Hii hapa Sasa kazi yakimaisha..wimbo wa wataftaj Wimbo wenye ubora na ladha Kwa wapambanaj kimaisha... Wabongo tulivo eti Hiz nyimbo za hivi ndio tunazibania Milango yakuingilia mjini. Bright umelenga sana kumpa kolabo Best naso
@bright_tz
5 ай бұрын
Asanteee
@h.mau9989
5 ай бұрын
Kali sana hiz best naso anazipayia sana
@bright_tz
5 ай бұрын
Nomaaaaa
@RichardJonathan-rc6df
5 ай бұрын
Komaa dogo mungu Yuko pamoja sana na wewe
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@herychami9717
5 ай бұрын
Ssfiii sana ameimba vzur zaid
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana
@allanmapito3688
3 ай бұрын
From eldoret Kenya ngoma yako tumeipenda sana
@bright_tz
3 ай бұрын
Asante sanaa ubarikiwe
@MackImelda
Ай бұрын
Nyimbo inagusa sana hi
@malkavoice2570
5 ай бұрын
Hii ndio kazi nzuri ya kisasa ya sanaa ya muziki haya tuwaone wabongo wataipa thamani gani basi hata wadau wa muziki waachane na maslahi waangali vipaji kwa faida ya kesho ya vizazi vyao
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏
@J2Boy-tp5ek
5 ай бұрын
Anae kubaliana namm gonga like tuondoke nayo gomahii inamafuzo kwavijana tunao jitafuta, shere video hii washikaji wajifuz
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏
@Kadomuxt
Күн бұрын
Kwer kabxa hata mm imengusa saana
@JonhUrubani
5 ай бұрын
Nakukubali sana mwamba tena umeimba na mtu ambaye duu Adi utamu
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@alexalfredi7912
5 ай бұрын
Bright pamoja sana brother aise ngoma yako nimeielewa mno
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@Marsemo
4 ай бұрын
Nyimbo ina elimu kweli,hongera kaka zangu
@bright_tz
4 ай бұрын
🙏
@user-mb2ne3ww1i
5 ай бұрын
Bright amenikumbusha mbali sana daah,,,,
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana
@JOZZELMEDIAOFFICIAL
5 ай бұрын
I love your vocal and lyrical, hapana brooooooh...
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@elvismasinde5476
5 ай бұрын
Ngoma kali sana we appreciate from Kenya 🇰🇪 🔥🔥🔥
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana
@KaroliMagana
5 ай бұрын
Big up my brothers tuko nyuma yenu🎉🎉
@bright_tz
5 ай бұрын
Be blessed Asante Sana
@willsonmanyuka4021
5 ай бұрын
Bonge la wimbo hongera sana
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@goddamwakimi5889
5 ай бұрын
Oya hawa wana wameumiza sana hii ngoma daàh
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@isakadaniel6194
5 ай бұрын
Wimbo Kama huu ata midia hautapigwa kwa kua hajatukana
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏
@KeliKenya
2 ай бұрын
Kaka hapa unyama saana bright nakubali sana toka 254 kenya 🇰🇪
@bright_tz
2 ай бұрын
Asante sana
@pc_boy426
5 ай бұрын
Good Music❤🎹
@bright_tz
5 ай бұрын
❤🙏
@Delightson48
5 ай бұрын
Bright. Never Give up Keep it fight your time is coming soon. Amini katika Mungu ndy kakupa kipaji. Kila mutu na muda wake ni swala la Muda. Nakukubali your talented
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@petersimon2115
5 ай бұрын
Noma sana mmetishaa ngoma bora hii ya mwaka
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana
@user-it8yu9ox2o
5 ай бұрын
Best naso mbona unakaa kimya sana wakati ss tunakukubali sana msanii wetu wa musoma tunakupenda sana hizi ndo ngoma sasa za kuelimisha❤❤❤
Bright you are bright broo wewe umeniimbia mm upo vizuri sana
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@shabaninayopa-nw9cf
5 ай бұрын
ujumbe mzur nyimbo nzur bg up bright
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏
@josephobado7725
5 ай бұрын
Ngoma hii ipo vizuri sana
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@barakamusanailon1465
5 ай бұрын
Nawakubali sana Yani big up
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-jj7vq5ns6e
5 ай бұрын
Nooooma sana tutafute pesa tuachane na maneno ya walio shindwa, mungu awabaliki sana 🙏
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@icyoung8950
5 ай бұрын
I Love Best Nasso❣️Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@mariasixmund7964
5 ай бұрын
Wasanii wangu niwapendao kwenye nyimbo moja hatar🔥🔥🔥
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏
@DottoSaidy-wc9nn
Ай бұрын
Kaka nakubali sana ngoja zako
@husnamohamedy4132
2 ай бұрын
Dogo hapa umeuaaaa Ngoma yamoto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 had inaunguza❤❤❤❤
@bright_tz
2 ай бұрын
🙏
@abditari7998
5 ай бұрын
hongereni sana fantastic song best naso
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana
@Smart_melody_music255
5 ай бұрын
Sasa hapa hom boy wangu hcho kitengo kilimkaa Ni hatari ogopa mi nipo tayari kuwaongezea views zaidi ili ngom uende alaf bro bright gem bado inakuhtaji usikae kimy Tena nimefurahi kuiona hii korabo SEMA him boy fungua Basi hcho kijiwe HTA like kwetu alaf umuajri mtu. Kiufupi mmetishaaaaaa mi ntaipushi ngoma yaaan ntashare
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@nzitogondwe9976
5 ай бұрын
Mmegusa Ngoma kali madogo hongera sana one day mkija tunduma Nina zawadi zenu karibu boda tunduma mpakani na Zambia
@bright_tz
5 ай бұрын
Ameen Inshaallah, Asante Sana
@user-zj6ec4is9y
5 ай бұрын
Yaaan dg usikate tamaa piga ngoma Kali toka unaaza
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏
@opinyemoses8470
5 ай бұрын
It's sad that such songs don't get the credit that they deserve. Kazi nzuri.
@bright_tz
5 ай бұрын
Thank you for support
@user-bw2yi6sq8h
5 ай бұрын
Nasoo ft bright🔥🔥
@bright_tz
5 ай бұрын
Fireee
@ebengapierre8826
3 ай бұрын
Best naso unajua kihukweli asa uyo jama kama anahitwa Nani uyo kahuwa vibaya amehimba vizuri nyote muko pw kabisa jamani wapeni ❤❤❤❤❤😂 yao
KAKA BRIGHT & KAKA NASO OG ASANTE SANA NGOMA KALI UJUMBE SAFI SANA . KIZUR ZAID UMEMUONA MWAMBA WA MASHAIR NASO KAFANYA POA HAPO PIA ❤❤
@bright_tz
5 ай бұрын
🙏🙏
@EdgeAmir
5 ай бұрын
Both of my favorite artist from TZ on the same song.
@bright_tz
5 ай бұрын
Thank you for support
@KhadijahRamadhani-mw3wh
3 ай бұрын
Naomba like 3 kwajili yapongezi kwao❤❤❤
@bright_tz
3 ай бұрын
🙏
@WinnyGeof
5 ай бұрын
Fanya Tuwasiliane bro nina hit moja nataka nikupe kama zawad
@bright_tz
5 ай бұрын
Ok
@user-nx1db1hu8b
5 ай бұрын
Ngoma kali sana god bless ifike mbali coz inaelimisha sana sichoki kuangalia big up sana mungu awape maisha marefu
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana Kaka
@lelomellowtz
5 ай бұрын
Hongera kwa mziki mzuri Kuanzia Bila Mungu sitoboi, Ungesubiri na Nitakukumbuka umekua na idea kali sana za kimziki. Keep up with the hustle ubarikiwe mzazi.
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante Sana Kaka
@terrigan2967
5 ай бұрын
Delivery 😊
@bright_tz
5 ай бұрын
Asante
@hdtv2167
4 ай бұрын
Nimeitazama mala tano. Naombeni liki ili kama ume upende huuu wimbo
Пікірлер: 1,8 М.