Mungu akutie nguvu na akupe uzima myaka mingi ili uzidi kuokoa ufaamu wetu ili tujue injili ya kweli ni ipi namshukulu Mungu kwajili ya uwepo wako kwa watu wote wanao itaji kujua injili ya kweli na Mungu akubaliki wewe ba familia yako
@FransisAloys-f7u
3 күн бұрын
Duh!Maandiko yanatimia,mungu amsamehe
@AdamJulius-z5i
3 күн бұрын
Mtafte mbarikiwa mtoe wimbo ninyi tunawategemea Sana ktk kizazi hiki🙏🏼
@MeshackChimesela
3 күн бұрын
Mmmmhh mimi nanyamaza yangu macho mungu naomba unisamee
@EstherOdindo-s4i
3 күн бұрын
Watakufuru na kumtukana Mungu wa mbinguni pamoja na watakatifu wake. Daniel na Ufunuo wa Yohana. Basi tusemeje ?wakristo watunze Imani yao.
@PatrickjumaJuma
3 күн бұрын
Pastor. Cassian amen
@Saidi1581
3 күн бұрын
Huyu kaka anaweza kupata laana Mungu amsamehe sana ajui afavyalo
@GEOFLEYFREENIELLUKA-id7tl
3 күн бұрын
Mungu atusaidie Kwa kweli
@Pendopasilika
2 күн бұрын
Haaa!! Anataka laana? MUNGU wangu!!
@estherwamboi7683
3 күн бұрын
Mm nashindwa na binadamu yaani hicho kidendo ya wewe kupumua ni ktu kikubwa cha kwanza kinafaa ujue mungu yupo jiulize kwanza nan alikueka hai tumboni mwa mamayako umekuja dunia ukiwa mtu mwenye hujielewi mungu akakupa fahamu hukuzaliwa ulivo umekua hio sio ktu ya kuamini kwamba kuna mungu jaman uzima unaeza kufanya ujisahau kweli mungu wahurumie maana hawajui wasemalo😢😢
@DAVIDMAGHANGA
3 сағат бұрын
MUNGU hachezewi na hazihakiwi anaweza kufanyia kitu ukaichukia dunia
@FransisAloys-f7u
3 күн бұрын
"Anaenikana mbele ya watu nami nitamkana mbele ya baba yangu aliye mbinguni"
@MGALILAYABillionaire
3 күн бұрын
Ewe mwenyezi Mungu msamehe maana hajui anachokitenda. Hivi jameni! Aaaaah! Matusi yote haya kabisa anatoa kumtukana Mungu. Namhurumia sana. Maana yatakayompata ulimwengu utashuhudia. Mpumbavu hujisemea moyoni: "hakuna mungu" wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema!. Mtu asiye na hekima ya Mungu hawezi mheshimu Mungu. Lakini fimbo ya Mungu ikishuka juu yake ataamini bila kuhubiriwa. Niliona mpumbavu kama huyu sehemu ya kwetu.... ambaye alipanda shamba lake na kukawa na mazao mengi lakini wakati wa kuvuna maharawe ulipokaribia kulinyesha mvua kubwa na mazao yote yalioza. Jamaa huyo alipofiika kwa shamba lake alipoona jambo lilofanyika alitukana Mungu sana, naye hapo kwa hapo alipokea kichapo cha mbwa kuingia msikitini, bila kujua na kuona anayempiga. Sasa huyo mzee mpeni muda mchache tu atajua kwamba Mungu yuko na anajipigania. Heri kichapo cha shetani kuliko cha Mungu... Fimbo ya Mungu ikimpata hakuna atakaye msaidia.
@MpajiSolomon-lt9we
4 күн бұрын
Niko malawi unanibariki sana mtumishi wamungu
@JoyceMkini
3 күн бұрын
Jamani hum mtandaoni kuna nini tena tunafundishwa au watu kutupiana mneno nuru itangaza kweli
@brighterantony8707
3 күн бұрын
Amrudie Mungu haraka
@EstherOdindo-s4i
2 күн бұрын
Maandiko yakamilika,.na huyu si mwanadamu bali ni lusifa kajaa mtu ili akamilishe maandiko maana huwezi ongea bila kutumia mtu wanyama ili ayatamkie wanadamu Duniani.ole wao wasio tubu
@JuliethMshiu
4 күн бұрын
dhambi zote zinasamehewa, isipokuwa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakakifu. Asikiaye na afahamu
@mastorymlilo009
3 күн бұрын
HAKIKA ...... MUNGU:(YESU KRISTO)hamwachi mwanadamu.... Ila mwanadamu humwacha Mungu..... Bibilia inasema iko njia ionekanayo machoni pa mtu kuwa ni njema.....!! Lakini kwa Mungu....!! Ni upuuzi....! Hivyo kutofautiana kwenye ibaada na imani ni kwasababu watu wamekataaa mafundisho ya kweli na yaletayo uzima na kufuata mafundisho ya mashetani..... Na kuabudu kwa mazoea... Na kitendo hiki hufanya roho mtakatifu atufundishae kweli yote kuto kuwepo kabisa makanisani....!!! Hivyo shetani kutumia mbinu mbalimbali kwa kutokukubadilisha maana ya kuamini isipokuwa ndani unakuwa umekufa..... Tunahitajika sana kuomba Mungu atusaidie Mathayo 17:21
@hezekiamhapa7395
3 күн бұрын
Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna MUNGU
@JoyceMkini
3 күн бұрын
Jamani wakumwombea huyu mtu asilaumiwe siyo yeye anahitaji maombi
@JoyceMkini
3 күн бұрын
Inawezekana ana vuta maana mtu akivuta hakili yote huwa inahama Mungu akutanane nae mwenye
@malkiarosemuhando3310
4 күн бұрын
Khaaaaaa?!!!!! Uuuwiiii? Ni kushiba au?
@Visionofeagle9689
3 күн бұрын
Hii kali kama pilipili napita zangu 🧑🦯
@martinahlighare6495
3 күн бұрын
Mmmm, za mwisho zimetimia. Kama kamkana Mungu muumba wa vyote, yeye kaumbwa na nani? Ina maana anaishi kwa nguvu zake mwenyewe na akifa mwili wake utatokomea pasipojulikana. Aombe rehema kwa Mola ambaye anafanya aishi.
@eunicekengajaha2953
3 күн бұрын
Mhhhhhh jamani😢😢😢😢😢
@thomasmapunda-gp5lv
3 күн бұрын
mafuta ya upako yamehamia kwa surat jinn
@BukelebeTv
4 күн бұрын
Amina
@RehemaMtono
3 күн бұрын
Hakuna aliyeshindana na MUNGU akashinda huyu anayesema Mungu nimpumbavu kitakachompata namuonea huruma unamtukana aliyekuumba hee makubwa haya
@SamwelMdamanyi
3 күн бұрын
Unamjaribu? Yeye yupo
@anjelinaAnjela-ip9oj
3 күн бұрын
ZABURI 51_54 neno lasema Mpumbavu amesema moyoni hakuna MUNGU wametenda uovu wa ufisad na kuchukiza
Пікірлер: 33