Nikupe shauri mutumishi wa mungu,wanaweza kukuondowa duniani,lakini abaweze kuondowa ujumbe wako,ao neno la mungu ❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@PhennyBunde
18 күн бұрын
hata dunia hawawezi kumwondoa kama Mungu wa kweli yuko naye,hivyo ni vitisho tu,inekuwa hivyo kina Danieli,Modecai,Yusuph na wengine wengi wangeondolewa kwa mapenzi ya wanadamu
@emmanuelmbaga2155
Ай бұрын
Mtumishi nimekuwa nikikufuatilia sana nilichojuwa unaroho wa mungu ndani yako hivyo bas usiogope binadamu yeyote yule maana hata unayo yatenda kwenye bibilia yapo mungu akutunze na kukulinda
@MichaelParingo
Ай бұрын
@@emmanuelmbaga2155 hakika🤝
@JamesOwino-n8r
Ай бұрын
Mimi nakusupport asilimia Mia mtumishi kwa kunena kweli 🇰🇪 🇰🇪
@FurahaDorcas-q2u
Ай бұрын
Kabisa huu nyimbo imenibariki sana, mungu akubariki n'a akulinde
@HenryMulindikabidji
Ай бұрын
Ndugu yangu nakupenda sana tena sana kwa kazi utendayo vita ni kubwa lakini Sisi ni washindi tu kwa jina la yesu
@ClospaBanza
Ай бұрын
mtumishi wa mungu ninyi tuko nyuma yako juu ya kusema ukweli yesu christo akulide🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏
@MusyokaJoseph-r4v
Ай бұрын
Mungu akupinganie siku zote hawatakuweza Mungu yupo pamoja nawe usiogope tuko pamoja nawe tunakuomba sana mtumishi nyimbo zako zimenitoa mbali sana ata nitafunga kwa ajili yako mipango yao naishidwe kwa jila la yesu kristo
@jameskenzedex
Ай бұрын
Am from Kenya have been following you Pastor Pascal ur a superbrand ambassador of God no weapon formed against you shall prosper in Jesus name 🙏 ur covered and protected by the blood of Jesus Christ ..... They will never defeat you your spiritual words from God who is above all we need be covered
@josephfkinyaghakinyagha7046
Ай бұрын
Very true
@emmanuelmaluda
Ай бұрын
Asante Sana unafanya vizr mtumishi Mimi nakupongeza kwa huduma hi naomba mungu atuongezee watumishi Kama wewe
@JasminBabulal
Ай бұрын
Mtumishi wa mungu. Tunakushukuru sana mungu yupo pamoja nawe kila sehemu saa dakika hata sekunde yesu yupo pamoja nawe na mungu atakupigania.
@alimwimikesahwiurea0097
Ай бұрын
Wahuni wote wa kudanganya watu kwa ngozi ya kondoo lazima wakuchukie lakini wanamchukia aliyekuita. Usiwaogope wauwao mwili halafu hawana cha kufanya kwa roho. Mwogopeni auawaye mwili na kisha roho kuitupa jehanamu. Hawa wa kuuwa mwili nao hawajui watakufa lini. Is just a difference of time.Keep it up man of God. Matapeli acha watoe mapovu yao.
@MosesShileka
Ай бұрын
Mjo O Mooo Mo M Mo.oo
@ElishaMolla
Ай бұрын
Mtumishi wa Mungu samamia Imani yako kabisa kwenye hii nyimbo niukweli kabisa yani mtu wakaimbiwa ukweli wanachukia mhhh mungu yupo atasimamia 🙏🏼🙏🏼
@ruthmasabo21
Ай бұрын
God bless you you man of god May God continue to protect you🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@BalakaMbughi
Ай бұрын
Ilakusema ukweri mtumishi wamungu hii nyimbo nimeikubari sana ameen
@selinageogre2881
Ай бұрын
Mungu wa mbinguni akutetee Mtumishi
@MLIMA-WA-MINISTRIES
Ай бұрын
Amen Ev.paschal BWANA YESU KRISTO WANAZARETH akusaidiye na uwe na moyo wa ushuujaa Amen.
@fadhilimrope5134
Ай бұрын
Aminaaa ubarikiwe mtumishi, kwa kutufumbua macho, Mungu akubariki sana
@CharlesDarwin-q7j
Ай бұрын
Mungu akupiganie mtumishi wa Mungu tunakuombea maana niliposkia tu huo wimbo machozi yalianza kunitoka bila kujua imekuwaje God bless you so much
@SammyWarioba-p8j
Ай бұрын
Amen, amen Mtumishi wa Mungu. Nema ya Mungu wetu i juu yako. Pigana vita vitakatifu, acha Mungu aitwe na abaki kuwa Mungu na mtetezi wa walio wake kutokana na tuhuma za ulimwengu.Taji ijuu ya wahubiriwao injili ya ukweli, na ole wao walio wanafiki kwa kujiitia jina la Mungu na vyeo vikuu kwa dini na ili hali wao ni mbwa wa mwitu makanisani.
@mengindegeya2780
Ай бұрын
Mungu ni mwema songa mbele vaaa ngao ya imani japo si rahisi amina!!!
@michelilunga1435
Ай бұрын
Homme de Dieu @Pascal Cassian , J'ai toujours ete fortifies de tes chansons depuis toujours et il n'y en a pas deux comme toi dans le monde musical chretiens. Je te benis et que Dieu te garde longtemps que possible pour que tu achrve son oeuvre et surtout rien ne puisse te nouire. DRC. Homme de Dieu Michael.
@ZerubaberiMika
Ай бұрын
Paschal sharoom,Mungu aendelee kukupa neema na kibali walio kinyume cha haki ya Mungu wasikutishe Mungu yupo pamoja nawe.nakupata vizuri, bwana AZIDI kukupa neema.
@LaurenciaMarco
22 күн бұрын
Mungu hatakusaindia endelea kutufungua fahamu zetu mungu hakubariki sana nakumbea kwa mungu huendelee kusema ukweli
@bisimwagabriel6244
Ай бұрын
Mungu akulinde Pastor uwa una tufumbuwa macho kabisa Awa manabii wachalitesa sana kanisa onya bila kuchoka Mutumichi
@fatumaminyeko1875
Ай бұрын
Amen Amen MUNGU akulide mtumishi wa BWANA
@DennisMungai-pf6rb
Ай бұрын
Mungu akusaidie'''sio sawa kuhukumu watumishi wasio wako...Mungu ndie hakimu wa haki''
Sema rafiki yangu usimuogope mtu yeyote zaidi ya Mungu tu❤
@IsakaKiyalo-s3v
Ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu ni kweli kwa ambae anamwabudu mungu ambae ni anatambua kweli ya mungu na atasikia najua wengi wataenda kinyume nawe kwasababu Dunia ya saiv kweli imekuwa haipo machoni Pao ila wanataka mafundisho yaliyo kinyume na kweli ya mungu ubarikiwe sana mtumishi wa mungu wewe sema kweli ya mungu mwenye kusikia na asikie neno hili asema bwana
@erickjuma2562
10 күн бұрын
Mungu wa mbinguni afyate kimia kinywa chafu kipingacho ukweli ilikuzuia mwangaza na Nuru unaomulikia watu iliwakatoke gizani kwenda nuruni katika jina la Yesu Kristo Mungu mwenye nguvu Baba wa milele mtetezi wa wote wa mjao Mungu mtakatifu wa mbinguni 🙏🙏🙏
@AlexAbraham-o2t
Ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu hakika mungu hajawahi kuacha mtumishi wake mungu yuko pamoja nawewe
@Deboraclementgm
Ай бұрын
Amen amen usiogope mungu wa mbinguni atakutetea na kukutia nguvu
@thomasernest4363
Ай бұрын
Bwana Mungu Yuko pamoja na wewe tangu mwanzo Sasa na milele kwa kweli umeugusa moyo wangu neno na lidumu milele.pia mambo hayo ni mhuri na Kila mwenye sikio na asikie neno Hilo. Amen
@benardpeter3562
Ай бұрын
Amen Mungu akulinde Jana Leo na hata milele
@elishaathanas769
Ай бұрын
Amina
@mouzinhocorneliojacob3551
Ай бұрын
Deus te protege o servo de Deus cada vez mais sempre e te dá vitória durante longa jornada 🇲🇿
@EmmanuelLucas-of3pc
Ай бұрын
PIGA KAZI MTUMISHI UKWELI LAZIMA USEME WATU WENGI TUWEZE KUOKOLEWA UNATHAWABU KUBWA SANA KWA MUNGU🙏🙏
@monicaawino3916
28 күн бұрын
Never give up wambie ukweli na damu ya yesu ikuzikire Kwa hayo yote 🙏🙏🙏
@KambuaMulunde
Ай бұрын
Huu wimbo umenibariki sana I say
@MakaliusNgua-y9g
Ай бұрын
Dah? Kumbe ukweli unawauma mpaka wanakushitaki Ila awataweza labda MUNGU aluhusu wewe uzulike kwa maana bado anahaja nawe mtumishi na tunakushuru Sana kwa kutufumbua macho kuusu kanisa zetu na Mambo yanayo fanyika MUNGU akubaliki mtumishi paschal🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ClaudeChala
Ай бұрын
Mungu akulinde
@StelaJohn-nj5yf
Ай бұрын
Mungu akutetee Mtumishi wake..
@PasiweloMpembe
Ай бұрын
Usiogope mtumishi mungu yupo pamoja nawe. Na hakika injili lazma isemwe
@emmybynith-y8i
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu unaongea ukweli kabisa
@DaddisoPro
Ай бұрын
Mungu akulinde mtumishi wangu
@MariaidifonsiNgelaNgela
Ай бұрын
Amen mtumishi ubarikiwe sana kwa kutufumbua macho
@agnestunu5527
Ай бұрын
nimekuwa nasukumwa sana nkuombee toka nilipo skiza huu wimbo..MUNGU akulinde sana akuekee ulinzi kama yebesi...wao wako na ulinzi unao onekana kwa macho lakini wana wa MUNGU tunalindwa kuliko wafale wa dunia hii
@LaurenciaMarco
22 күн бұрын
Wimbo wa Dunia iko mwishoni imenisaindia kiamini tunakushulu sana mtumishi wa mungu endelea kutupa ukweli
@PerisWanjiru-z8n
Ай бұрын
Mungu atakupingania muchunganji wa Mungu juu unasema kweri mtupu juu ya Neno la Mungu
@stevensteven4513
Ай бұрын
Daaah Ebwanaeee Huyu Mwamba ni 🔥🔥🔥 unataja Hadi BURUDOZA 🤣🤣🤣
@Franckmulaj-Officiel
Ай бұрын
Mungu akubariki mutumishi wa mungu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@LinaJames-q8k
Ай бұрын
Nakupenda sana mtumishi umetufungua sana tuliokuwa timefungwa
@emanuelabely8840
Ай бұрын
Mungu akusaidie ndugu yangu mungu wetu ni mkubwa
@ByamunguErnest
Ай бұрын
Mungu atakupigania .na mahadui zako🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@antonioremigioandeniandeni8186
Ай бұрын
Hubarikiwe mtumixi wa mungu
@mikejmusic254
Ай бұрын
Basi watu wote wakulao wataliwa;na adui zako wote watakwenda kufungwa;kila mmoja wao; na hao waliokuteka nyara watatekwa;na wote waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo. YEREMIA 30:16-17 Mungu yupo nawe usiogope.
@josephkafumu3006
Ай бұрын
Usiogope we imba bana wasikutishe mungu Yuko ndani yako
@pracksedachrispine5504
Ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu,endelea songa mbele Mungu yupo pamoja nawe.
@FrJosuéSaidi
Ай бұрын
Mungu akushike mukono, mutumishi , usi wa ogope wale Wana uwa mwili lakini. Hawa wezi kuuwa roh🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@PeterMahona-zd3oz
Ай бұрын
Mungu akutie nguvu akupinganie na kushindie akutete namadui wakae kimiya kwajina laYESU
@PATIENCEKIRINDIRO
Ай бұрын
Mungu aku tiye nguvu mutumishi
@erickjuma2562
10 күн бұрын
Mungu wa mbinguni aliyeianzisha uduma kama alivyo hai na kama haishivo utaishi katika mipango za aliyekupeleka yeye ni mwaminifu na ni mwokozi hatakuokoa na adui wote watajikwaa na kuanguka na kufa kama vile HERODE watakumbana na mauti ya kigafla wata potea pamoja na kumbu kumbu zao zitafutwa asema Bwana Mungu wa mbinguni Mungu mwenye nguvu Baba wa milele mtetezi wa wote wa mjao 🙏🙏🙏🙏
@FhDg-mg1gn
Ай бұрын
Mungu akulinde kaka
@PrinceMbwana-i5o
Ай бұрын
MUNGU akulinde mtumishi wa MUNGU ameni ameni ameni
@BoniphaceMaganga-c3t
Ай бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi wa mungu kwel lazma isemwe.
@SarahMauka-ii1gd
Ай бұрын
Injiri iyendembeleee mungu muokowe mtu mishi wako amini
@ASHERIYOSIAANDREA
Ай бұрын
Mtumishi MUNGU akubariki.sana
@SelinaDorcas
Ай бұрын
Usihofu Wala usiogope maan mungu yuko pamoja nawe
@sporahlazaro6619
Ай бұрын
Yesu walimua .lakini bado anaishi ndani yetu.watakua wewe Ujumbe wako hautakifa .Mimi siogopi kufa Kwa ajili ya Bwana.Mungu awe nawe
@jameskenzedex
Ай бұрын
I love and fill the strength you owe from God Amen
@SuzyMuhando-yf8do
Ай бұрын
Mungu akutanguliye mtumishi
@ImaniPaschal
Ай бұрын
Mungu atakupigania na atakushindia katika hili
@QueenNyondo-h1m
Ай бұрын
Mtumishi mungu atakulinda na atakupigania 🤝🤝
@Evangelist-Joseph-sikanyika
Ай бұрын
God will always stand with you no matter what, our God is faithful His name is indomitable worries
@josephokumu993
Ай бұрын
Mutumishi wa mungu usiogope sisi kama kenya 🇰🇪 tuko nyuma yako kwa maombi
@felislifestyle
Ай бұрын
Mungu akulinde siku zote
@ImaniTinda-h6x
Ай бұрын
God be with you
@israelisponsor8755
Ай бұрын
Hawawezi kushindana na nguvu ya Mungu katika jina la Yesu kristo
Kaka mungu mwema shetani yupo tumuombe mungu sana ssna
@Mtumishnoel
Ай бұрын
Mungu wetu yupo hai atakutetea usiwe na shaka 😭😭😭😭
@utawalarecordstudiosnairob5929
Ай бұрын
mungu akutangulie kwa jina yesu. ushindi upo kwa nguvu ya roho wa mungu
@johnambrose7223
Ай бұрын
Nakukubali sana mtumishi
@ByamunguErnest
Ай бұрын
Mungu atakugankia🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@perisomungala6354
Ай бұрын
Uko mkweli kaka, mungu akufunike na damu yake
@mwassajoseph8675
Ай бұрын
Ni kweli kabisa KANISA limefika pabaya kiasi cha kutuchanganya tuabudu Nini !! Naamini wakijitokeza wapinga shetani wengi kama ww Basi KANISA linaweza kurudi kwenye misingi ya kibibilia
@teyllalugazia
Ай бұрын
Fanya kazi ya Mungu, wanao kosea hadharani wakosolewe hadharani ili watu wajue kuwa wamekosea
@AyubuMagulo
Ай бұрын
MUngu ashie milele atakufa hadi umalize kazi ulio itiwa na bwana wewe nilikua kina ni sauti ya mtu aliae nyikani Amina Mungu awe nawe hata nafasi tupo nyuma yako KIIMANI. Ukijua watu viongozi wa madhehebu wanahubiri mapokeo.tofauti na mafundisho ya YESU KRISTO na mitume.uwe mwaminifu hadi mwisho wa kazi ulio times kufanya hadi kifo Amina mie Ayubu MAGULO.
@AyubuMagulo
Ай бұрын
Mimi ni AYUBU nilimwita jina sauti ya mtu aliae nyikani Amina tulioitiwa jina lipasalo kuabudiwa lazima tutafika Injiri hivi ndio njia. Hakuna uhusiano wowote katika tawala za dunia hivi na YESU KRISTO hakuna. Swali sanamu na KRISTO YESU mnaendana.?au akisali na YESU KRISTO tunae mhubiri? Kwani tawala zote duniani zipo chini ya 666. Yaani chini ya mnyama. NIWAULIZE mnalala kanisàni kuombea watawala swali 666 itabadilika imekiri KRISTO YESU?hapo ni kwa uchache Tu
@JohnMewa
Ай бұрын
Ameeen 😢
@perisomungala6354
Ай бұрын
Watu hawamtaki mungu, wanafanya ya Dunia, wajuwe kwamba, baada ya maisha ya humu ulimwenguni, Kuna mbinguni
@MondlaneGasparRachide
Ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor.
@janemhangomhango5841
Ай бұрын
Mimi nakuelewa wote kwenye picha hapo hakuna mkweli apo
@alimwimikesahwiurea0097
Ай бұрын
Alberto Valentino ni kipofu wa kiroho. Huenda ana majini na mapepo mengi sana lazima alalamike maana sindano imemwingia. Ndugu yangu nawe Valentino tangu sasa ukutane na mkono wa Mungu wetu MTAKATIFU, ANAYEWEZA YOTE, ASIYE NA MWANZO WALA MWISHO, ASIYEBADILIKA, WA MILELE, ANAYEJUA YOTE,
@SaidyHassan-w9k
Ай бұрын
Binadamu huwa akiambiwa ukweli anachukia ww kaza buti
@agnesmwangi2808
Ай бұрын
may God protect you
@DirectorRich2024
Ай бұрын
Amina mtumishi
@JustineJohn-J7
Ай бұрын
Imagine mtu alikuwa bongo fleva amekombolewa na bado baadhi ya watumishi wanamuandama
Пікірлер: 217