😂😂😂😂😀😀😀...odemba anazuga eti analia. Du! 😅😅😅 kisa nchimbi. Mh!. 💃💃
@talents7934
Ай бұрын
Muda si mrefu mtasikia ametekwa😢😢😢😢 hapo bongo watawala wamekuwa na Hofu kwa sababu ya matendo yao ya kipumbavu njooni mnikamate nipo hapa New York city kama mnaweza😮
@VictorJoseph-e4m
Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@peterilimwa5754
Ай бұрын
ht mm nawacwac
@JJ-fb9jp
Ай бұрын
Duh
@ntibashimadicksonmathiasna2915
Ай бұрын
Jaman kwa vile Nyerere kashakufa kwanini ccm isife
@MauFundiElectronics
Ай бұрын
Sitokuja kuipenda CCM yaani CCM na andazi nachagua andazi ✅ hila sio CCM yaani kuna viongozi wanakuta hii inchi sijui ya babu zao wanafanya wanavyotaka hila ipo siku tuu mbichi na mbivu zitajulikana.
@barakamachard1944
Ай бұрын
Kwani kushiriki mdahalo lazima????
@MauFundiElectronics
Ай бұрын
@@barakamachard1944 kojoa ukalale kenge wewe.
@BenezethBwikizo
Ай бұрын
Ni uhuru wako, jua ccm ni taasisi kubwa na yenye watu wengi wenye mahaba nayo, wewe endelea na saccos yenu
@emmanuelqaday6949
Ай бұрын
Kupenda na kutokupenda ni hiari yako wanaoipenda ni wengi sana
@barakamachard1944
Ай бұрын
@@MauFundiElectronics sawa binadamu 😂😂😂
@ThomasAlute
Ай бұрын
CCM sawa na nyani haoni kundule napia asingeweza kwenda kwa sababu CCM Haina hoja ya kujibu napia ndio watekaji wakuu wa watu kupotea
@PatrickJulius-uy3yb
Ай бұрын
Miladi ayo nawewe ckuizi pesa za ccm zimekurevya maana hauna ripoti za msingi zaidi ya kusifia sifia unapoteza ubora turio kupa karibia uwe Tbc
@MaguguStore
Ай бұрын
Miladi yupo vizuri hizi taarifa za mchongo no evidence hata siku moja hatoi uchafu kama huwooo
@mamboshepea8888
Ай бұрын
Ulitaka aripoti udaku ndo usifie...acha mihemko ya kijinga😣
@godfreymasele8853
Ай бұрын
Star ni chawa wa Chadomo. Sasa kama makstibu wengine walikuja huyo wa CCMZ hakuja. Mlishindwa nini kuendelea na huo mdaharo? Siasa za kitoyo hizo za kutafuta kiki. Mnatumika vibaya na Wapinzani
@MACHOYATAI-jk6fu
Ай бұрын
Unaumwa wewe chadema inanguvu gani mpaka wawe na chama nchi hii@@godfreymasele8853
@godfreykeita9804
Ай бұрын
Na asipo kua makin sns watamwacha mbali sana
@AlexcpetroCpetro
Ай бұрын
Vijana amkeni acheni ujinga CCM majambazi kabisa wauniiiiiii wakubwa
@efraimumwakibibi4303
Ай бұрын
Mjinga wewe hujitambui
@Mosmwampa
Ай бұрын
@@efraimumwakibibi4303ujinga wake ni nin Sasa. Jitathimin kama mjinga sio wewe mwenyewe
Wewe ndio jambazi. Mpuuzi wewe@@efraimumwakibibi4303
@stephanokaaya1881
Ай бұрын
Hujafanikiwa kumiliki akili kabisa huna tofauti na huyo mwandishi anaeigiza kulia. Kapigwa na Mke nyumbani anakuja akilia mnadhani sababu ni Nchimbi na Ccm.
@arielnmichael
Ай бұрын
Sijaona matumizi sahihi ya Akili Timamu kwenye sababu za machozi yake..
@bestqualitymusic3955
Ай бұрын
Na kwanini uone sababu
@Moosamly
Ай бұрын
Huwez elewa kwasababu bado Umtoto
@SaidAlly-uh4qw
Ай бұрын
Huyu kuma kweli kinamchomliza nini anajua kila mtu hana kazi kama yeye?
@fortyyellu9971
Ай бұрын
Hamna kitu hapo.. CCM WAMEKIMBIA MDAHALO.. hicho chama kimeshachoka kinatakiwa kitolewe madalakani tu
@MenAbdy-ct1iz
Ай бұрын
Ivi bado Kuna mtanzania anapenda CCM kweli binadam wanavyoteseka odemba ameniliza sana nimelipa sana kwakweli huyu nibinadam mara moja
@IssaKigwanya
Ай бұрын
Ccm niya hovyooo kumanina zao
@walidmgonja3644
Ай бұрын
@@IssaKigwanyawewe ndiye mtu wa hovyo usiyechagua la kuandika
@hajihassan5433
Ай бұрын
Subiri 2024 na 2025 ndio utajuwa wapo au hawapo.
@GerrardLaizzer
Ай бұрын
🤣🤣🤣sijui
@DannyWiston-xo4hx
Ай бұрын
Mimi siteseki unateseka wewe Fanya kazi Acha ujinga
@JacobMbosalee
Ай бұрын
Yapo mambo Ya kulia Bwana Odemba.mtu kuto fika tuuu basi wewe ndio ulie???🤣🤣🤣🤣
@centraldistrictcouncil1888
Ай бұрын
Umama huo tunauita analijae kisa mtu haikufika kwenye event
@Mosmwampa
Ай бұрын
Ufikiri wenu ni finyu, mmefikiria katumia ghalama kias gan kuandaa mdahalo huo
@efraimumwakibibi4303
Ай бұрын
Odemba kumbe hujitambui???
@rashidabdallah5825
Ай бұрын
Mwanaume unaliaje kama yule bi harusi aliokua anamlilia mme wake hajatokea ukumbini
@Donyo-rh8do
Ай бұрын
Sasa ndio Julie hivo🤨 mbona mambo ya kawaida Sana hayo. Hili sio jambo la mwanaume kulia whee..
@kagorojr
Ай бұрын
Ccm wasanii sana mbona hamkutoka mwanza kukanusha ikiwa hamkuthibitisha kushiliki mlipo iyona promotion achane uwongo ccm tusha wazoea
@BonifasiAmosi
Ай бұрын
Si kuzoe bali ni kuwachoka
@isaliisu3408
Ай бұрын
CCM hawapendi midahalo wala hawapendi kukosolewa
@frankbrandan5127
Ай бұрын
CCM wanachoshidwa kutambua ni kwamba saiz ni 2024 na sio 1980 huwez kudanganya watu kirahis ivo kwa Dunia hii ya saiz vyanzo vya taarifa ni vingi CCM wasifikil kwamba hii nchi watu wote ni wapuuuuz
@JacobMbosalee
Ай бұрын
Machozi Ya uongo hayo😢😢😢😢😢
@yordanyona1234
Ай бұрын
Kaka pole sana ila ndio viongozi wetu
@NtamamiloGibson
Ай бұрын
Odemba do not give up keep going.
@AbubakariKisuju
Ай бұрын
inaonekana amegharamia mamilioni ya fedha
@StephanieGerald-qj8vt
Ай бұрын
Pole mate mwaya ila odemba bwana😂😂😂😂😂
@wilsonandlea8614
Ай бұрын
Mirad ayo kwasasa nakuchukia Sana niseme ivyo maana tumekupandisha sisi natutakushusha sisi maana umekua kalibu na ccm
@EliaoniTerry
Ай бұрын
Ndg ODEMBA, WEKA BARUA ZA MWALIKO HADHARANI, PAMOJA NA MAWASILIANO YOYOTE ULIYOFANYA NA HAWA MAKATIBU WAKUU, AU VYAMA VYAO.
@rkcomercialenterprises3209
Ай бұрын
Haya,jibu hilo,jingine
@anuarymyekakimolo4785
Ай бұрын
Yakazi Gani? Nia ilikua kushindana nao? Ama waje kujenga hoja? Akiweka hiyo iliweje ? Kwani lazima wafike huko? Halafu ikiwa ni kweli apeleke mahakamani au? Busara ilikua kwenda bana hivo vingine ni kuleta vita badala ya Nia njema ya mdaharo wakuu siyo wakuumiza hisia za watu bure bila sababu hadharani we huoni ni aibu kwao?
@thomaslali705
Ай бұрын
Sioni kinachokuliza on a serious note.
@MgazaMhina
Ай бұрын
@@thomaslali705 kama huoni kinachomliza ni sawa ila wapo wanajua kuandaa kipindi cha Tv ugumu unatoa matangazo tangia tarehe 6,halafu mwisho wa siku kipindi kinakufa bila sababu za msingi,harafu ccm ndio chama kinachoongoza serkal kwahiyo ni muhimu chenyewe kufika,kwa haraka huwezi kuelewa ila ukiangalia kwa jicho la kiungwana ccm wamekosea.
@matalo0551
Ай бұрын
Hivi kweli ww n mtanzania mzalendo? Jitafakali ndugu yangu....taifa linahitaji midahalo Kama hii@@thomaslali705
@wisdomfolks
Ай бұрын
Nimelia sana ccm dawa yenu ipo karibu
@StephenSalash
Ай бұрын
Pole mwandishi ni utawala wa serikali yetu
@ibrahimaziz7158
Ай бұрын
Ss odemba kamanda tunakuamini unalia Kwa ujinga namna hivi hutoshi
@sallyeliya5213
Ай бұрын
Vyama vipo lukuki(hivyo makatibu nao lukuki),halafu mdahalo usifanyike kisa katibu wa chama kimoja kutohudhuria,bila shaka hao waliosusa mdahalo kisa katibu mwenzao kutohudhuria,hao ndiyo tatizo kubwa zaidi kuliko huyo ambaye hakuhudhuria.Tuache mihemko,kama nikujitafakali makatibu wote wajitafakali,kiongozi mkubwa kabisa anasema "sito shiriki mdaharo kisa yule wa chama fulani hakuja,kwani mlikuwa mmemfuata huyo kiongozi wa chama ambaye hakuhudhuria?!,hizo tabia za kususa mziache,wanaume hawasusi,aiseee!,mkisusa watu wanakula tena na vyombo wanaosha,na ninyi mnataka tuwaite viongozi,viongozi ambao mkiguswa mnasusa😂😂hamjajifunza tu kwavtabia hizo za kususa😂aibu tupu,
@CopperBelt
Ай бұрын
Kuna sheria lazima ufate sheria ili upate ridhaa katibu mkuu hupata ratina za kazi zake
Huyu odemba alikuwa anatafuta kiki sasa imekula kwake ccm siyo pakutafutia kiki na utalipa huo ukumbi
@mossessimon2493
Ай бұрын
Ccm waongoo
@simbarajabu4157
Ай бұрын
Wahuni hawa bola nchimbi ulivyokosa kwenda ni mhuni tu huyo jamaa
@GodlvJohn
Ай бұрын
CCM hainaubavu wa midahalo ccm ipe kazi yamaguvu,chadema ipe kazi ya kutumia akili na maalifa,
@KephaMapogo
Ай бұрын
Lakini nyakati zinabadilika wanapaswa wasijisahau
@emmanuelmayunga1518
Ай бұрын
Pole bro machoz yako hayataenda bure,,Mungu atakulipa usichoke
@ntibashimadicksonmathiasna2915
Ай бұрын
Milard Ayo kuwa makini sana
@ambokileasheengai1140
Ай бұрын
Kwahyo ndio ulie hebu tuondelee upuuzi huko wako
@carolinerubeya7817
Ай бұрын
Unalia nini aisee kwa mambo ya kawaida 😂😂
@hamoudcreator6343
Ай бұрын
Yani Unalia Kisa Dunia..😂😂😂
@Moosamly
Ай бұрын
Unataka amlilie mkeo??
@TM.Sullusi
Ай бұрын
Nikikumbuka walivyokimbia midahalo kipindi kile cha "MCHAKATO MAJIMBONI" Tido mhando akiwa bado Tbc 🙌🙌😂😂
@KudraWanguvu-em1xw
Ай бұрын
walahuna sababu ufuate talatibu unataka uonewe huruma unafanya hadaa
@jifunzeonline8899
Ай бұрын
Chawa sana Mpuuzi Millardayo
@ShukurkollAngel
Ай бұрын
Unajifanya una uchungu sana, hamna lolote hapo wewe comedian tu !
@frankpeter4178
Ай бұрын
.....CcM ni Andaz linalooza lenyewe
@TitoRufizi-xb2ub
Ай бұрын
Cccccccccm,hovyo sana nyie waoga tunawajua mbona wenzenu walifika,hamuna hoja za kuongea nyie ccm😅
@GodlvJohn
Ай бұрын
CCM Ilishaisha hata nikiitisha mdahalo kati ya wana ccm namwanangu wa darasa la 3 ukweli nikwamba hakuna mwana ccm atakae simama na akaweza,ccm inawafanya wa tz, wawe wajinga utakuta mtu hajala siku mbili lakini anasifia ccm,umekoswa huduma hospotali unasifia ccm tu,maisha magum kwako au kwanduguyo nk nisela mbovu za ccm ilani mbovu za ccm,Wa tz achanana uvyama hasa ccm ccm ikaepembeni japo miaka 5 tu, naamini kwa sera za chadema ccm mtapotezana na mtaomba radhi kwakukaamiaka 60 madalakani kila kitu uhuni tu kama vifaa vya mchini vyamda mfupi yaani maendeleo fek, alafu wa miaka 5 maendeleo yakweli
@peterilimwa5754
Ай бұрын
ccm mmekimbia bhana shame on you ccm
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
Ай бұрын
nilichogundua Millar dayo ni mnafikia Sana hakika taarifa zako za kipuuzi Sana amini hata ungeandika vipi tunajua Ccm baada ya kukupa chochote umekuwa amini Ccm na andazi Bora nikachagua andazi hamna Cha kutudanganya upuuzi wa viongozi wetu tunauona Wala siyo hadithi Tena laana ziende kwao na family zao pepo wataisikia tu
@StephanoAlmas-z6n
Ай бұрын
Sio kweli...kisa ni katibu basi mtangazaji anaachiwa lawama zote...akubali tu "KACHIMBAAA" Dah! Ila hawa watu wanaofanya nchi km Mali Yao! Aya bn...
@BraytonMwakitalima
Ай бұрын
Odemba yame kukuta mana wewe na ccm ni damu damu Leo umejionea mwenyewe
@samwelnevele7796
Ай бұрын
Mwandishi huyu tumchukulie hatua kwa kudharirisha chama
@Mussapeter-ct1fu
Ай бұрын
akakosa mawasiliano!! seriously!!mdahalo ulitangazwa mapema sana na alipaswa kuwepo kwa vyovyote vile
Sema king odemba na SNS ndio waandishi wa habari TZ
@justinemico1871
Ай бұрын
Hii ni njia ambayo Mungu amepanga kukuinua utakuwa juu Sana mwandishi, chozi la mwanaume halitoki bure
@SimbaJumanne
Ай бұрын
Analia nn sasa
@FurahaNelson-z6c
Ай бұрын
Sio kweli
@ScienceandTalent
Ай бұрын
Analia kwa kuwa anapenda kazi yake...
@MjuniLaulian
Ай бұрын
Mijitu ya ccm ni sawa mijtu isiyo na vichwa uyu ajalia bila sababu ujue yeye ni mtoa wazo katka chombo anacho fanyia kazi nikiasi Gani ameingiza asala kwani odemba SI mwenye kituko Wala pesa za kulatibu mudaaro ni kituko au mkurugenzi au kampuni wamemuweka katika wakati mungumu
@Digital_Security_Tz
Ай бұрын
Sasa alitegemea watashiriki wakati hawana hoja za msingi 😂😂😂😂😂
@WhiteMgeni
Ай бұрын
Alikimbia ninyi ccm mmezoea uongo na kunawia mwenzenu nakuona mpo sahihi kwa Kila kitu
@DicksonMagesa-r7h
Ай бұрын
Tatizo huna hoja za maana ndio unalia hivyo
@happymrema7487
Ай бұрын
Mmmmmm hamn tunaona sisi sio watoto
@emanuelhonest1043
Ай бұрын
Adui wa Tanzania ni viongozi wetu wenyewe iko wazi wala haipigwi
@Moosamly
Ай бұрын
Uundwe MJADALA MWINGINE NCHIMBI awepo ASISINGIZIE
@lugelosanga5798
Ай бұрын
Ccm oyeeeeeee ccm oyeeeeeee yani mbaka mtuuue akili zitukae sawa watanzania ni mabogas kabisaaaa
@DanielleMendel-tt2ik
Ай бұрын
Kama makonda angekuwa katibu hadi sasa angeshiriki😢
@batashqiraa9936
Ай бұрын
Hii pia ni ktk ushahidi wa kuonesha unafiki wa ccm
@begukulemosobe9685
Ай бұрын
Tutaamini vipi hayo mambo jamani
@anuarymyekakimolo4785
Ай бұрын
Don't take it personal bro take it easy msifike mbali na hawa watu
@nicholauskilosa5336
Ай бұрын
Uwe makini utatekwa 😂😂
@chrithicksambo2287
Ай бұрын
Chama cha wahuni
@nashnene6326
Ай бұрын
Huyo odemba ni lofa tu! Hii nchi ilikombolewa mwaka 1961, machozi na uchungu huo umetokea wapi? Si mwandishi wa habari yule ni chadema na akamlilie mboe anawakamua pesa zao
@RobertshijaMakumi
Ай бұрын
Pesa zp mbona Marekani wamepata uhuru kitambo midahalo ipo!
@AthanaseKiyoja
Ай бұрын
Ccm ni mzoga,hauna jinsi umechagua kuoza.Nchimbi na kinana ndiyo pekee tuliokuwa tunawatumaini.Kumbe Nchimbi ndiyo wa hovyo kiasi hicho!Sasa tutawapiga vita kila kona.Mmeumbuka.😊
@eliurumamalisa4700
Ай бұрын
Kitendo alichokifanya katibu wa ccm sichakiungwana kilaaniwe.......
@FurahaNelson-z6c
Ай бұрын
Kinyonga
@alexaudax-rm8sz
Ай бұрын
Ccm Aina hoja ishaishiwa lazima wakimbie ndo walivyo hao ccm awana hoja hao zaidi ya ubabe tu
@stephanokaaya1881
Ай бұрын
Wewe una hoja gani kama sio unashadadia upuuzi
@MashakaMagesa
Ай бұрын
Pole odemba
@johnikhemwita5078
Ай бұрын
Pole Odemba.
@mohamednamtimba2409
Ай бұрын
mamae kumbe na wewe unajua kulia, ulipania kuikamia ccm kwenye mdahalo na maswali ya kipuuzi oohh utekaji mara sijui nini, wajanja wamekustukia na kukuacha solemba
@FaridiMohamed-dd4hr
Ай бұрын
Kinachomlza ninin huyu nae🤣🤣🤣🤣njaa mbaya sana
@DavidTuya-n8p
Ай бұрын
Soma comment za wa Tanzania wezako ujue uwezo wako wa kufikili kama wewe sio chawa kama chawa
@FilbertMsongela-xt9tq
Ай бұрын
Kaka chuki binafsi haijengi chozi la mtu mzima linamaana sana omba sana kisitokee Cha kukutoa machozi
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Sasa HAPO cha kufanya kutoa machozi ni Nini?
@Mosmwampa
Ай бұрын
Yaan wewe sio mjinga ni mpumbavu
@FaridiMohamed-dd4hr
Ай бұрын
@@Mosmwampa kama mama ako
@meshacknyandongo577
Ай бұрын
Hapa Millard tunakuona wewe ni kada wa ccm nani amekutuma uriport hii habari
@Stellastella-yi5vu
Ай бұрын
Odemba Yesu ni jibu atajibu Kwa wkt wake usilie
@jumannendayigeze2899
Ай бұрын
Hii kali kweli😂😂😂😂 hoja zikikosekana siasa inachukua mkondo wake ! yaani uongo unaokubalika ndio siasa zenyewe
@renatusgasembe3338
Ай бұрын
makatibu muheshimu mwaliko na vyombo vya habari mnaharibu professional za wenzenu
@MwatijaFikoti
Ай бұрын
Hao ndiyo kijani.
@bakarikayugwa3295
Ай бұрын
Kuna media zimekua kama kivuli au kisogo au kuramba makalx. Habali za upande mwingine hazilipotiwi ila zingine nyenyenyeeeeeee
@SaadMuganyizi-r3z
Ай бұрын
Sasa ccm mnataka mubembelezwe huyo ameingia gharama kukodi ukumbi sio utawala bora mmezidi majivuno disqualified hamfai kabisa mng'atuke
@SaadMuganyizi-r3z
Ай бұрын
Kazi ya chama ni kuwahudumia wananchi na kuondoa kero zao mmepewa dhamana kutumikia kwa dhima ya utawala bora na munalipwa kwa hayo bila aibu mnakaa kuhojiwa tumechoka uadilifu hakuna tena mmepoteza sifa mjiuzulu tutawaelewa
@jumashedafa
Ай бұрын
Analia kwa sababu hajaja au unalia kwa sababu ya gharama? Na kinachokuliz ni nini kama si kutumika kisiasa? Au mliandaa mpango gan zidi yake? Machozi yako yanatoa tafsir nyingi...Hebu lia pale panapostahik ila hilo si la kukuliza...Au unalia kwa sababu umepoteza time za watu? Na pia hilo haliwez kuliz mbele ya halaiki ya watu..Cheki wapi umekosea na usirudie tena ikiwa makosa ni yako
@abellutonja4589
Ай бұрын
Kila kitu mtu akiwa tofauti na nyie anatómica kisiasa hoja ya kijinga kabxaaa
@Mosmwampa
Ай бұрын
@@abellutonja4589machawa wa CCM tunawajua. Hawataki kushindana Kwa hoja, kazi kuteka watu tu. Ila siku zao zinahesabika
@MaguguStore
Ай бұрын
Anatoa machozi kweli huyuu jamaaa ni mnafiki sana
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Mwenyewe sijaelewa analia Nini?
@Mosmwampa
Ай бұрын
Huwez kuelewa ninyi si ndio machawa wa CCM. Hakuna baya linalowagusa. Watu ndg zao wanatekwa, wanamwita katibu kujadili ajenda za kuhusu usalama anaingia mitini
@israelkisaila8401
Ай бұрын
@@Mosmwampa alifuata utaratibu?
@Mosmwampa
Ай бұрын
@@israelkisaila8401 kwahiyo hakufuata utaratibu Kwa CCM tu, kwenye vyama vingine alifuata. Ni vile tu CCM wanajuaga watz hawana akili ya kupima mambo. Sababu hizo hawakutakiwa hata kuzisema
@israelkisaila8401
Ай бұрын
@@Mosmwampa sasa mtu ukimwalika,hasipotokea ndo tulie jamani? Mbona kwenye SHUGHULI nyingi tunawaalika watu na hawafiki,shida ipo wapi? Mimi Kwa kweli bado sijaelewa vizuri,mnielekeze,why alie? MTU tu kutokufika kwenye mwaliko wake??
@daudmpemba8019
Ай бұрын
Mzee wa hard talk, katoa machozi da!!😢
@GoodluckAmos
21 күн бұрын
Inaonekana njama zote zilikuwa kwa ajiri ya ccm sa analia nn yan nchii bana ujuru kama unapitiliza sasa unakiongoza chama tawala kukipeleka kama unavyotaka
@margarethpolepole7438
Ай бұрын
pole baba yangu hiyo ndiyo Siasa wangekataa mapema
@AntonPiusi
Ай бұрын
😂😂😂 kwa nn analia kisa mdahalo,,,,aisee bado tunavijana wa aina wengi
@denniskado3990
Ай бұрын
Ccm mkia juu mwendo wa ngirii.. hawana uwezo wa kufanya midahalo
@rajabumtuga7372
Ай бұрын
Hii tahatifa karipot milad pekeyake. Kwann. Mbon cjaon media zingine
@abuubaya7614
Ай бұрын
KATIBU KAJIONGEZA COZ ANAJUA ANGEKUTANA NA NONDO ZA KUTOSHA😅😅
@benagriculture1761
29 күн бұрын
sasa oleee wenuu nisikiee odembaa kapoteaaa
@kalumunakalumuna7403
Ай бұрын
imagine kpnd kinaandaliwa kwa gharama kubwa,alafu mtu anakimbia
Пікірлер: 414