Mbarikiwa kakaangu umtumishi wa mungu wa walio hai mungu akulinde sana watoto wako wako salama kwa jina la yesu usihangaike nao maumivu uliyo nayo ni makali sana najua unafahamu kwa habari ya mungu wa dunia hii hagai alishaongea mungu anasema usiogope
@verdianabanabi2205
2 ай бұрын
Wengine wanaona kama kichekesho ila subiri majibu ya mungu atakavyojibu. Rco mwogope mungu jitafakali.
@davisnkoba2683
Жыл бұрын
Mtumishi wa BWANA Mbarikiwa Daniel wa sasa God be with you in all in Jesus mighty name amen
@Deusbenedicto
Жыл бұрын
Taarifa kwa yeyete aliyeshiriki kifo Cha mtoto huyu wa mtumishi huyu malipo haya hapa hapa duniani😢
@agustinohizza1395
Жыл бұрын
Kama unauwezo wa kuona mbali muiteni mmalizane kutatokea kitu kibaya mbele
@HamzaFamily-sw4td
Жыл бұрын
Machungu ya wa Tanzania 🇹🇿 yatajibiwa na mungu asiye lala .
@FidesferdinandikimtiKimati
Ай бұрын
Hiiii nchi mungu atatoa majibu sahihi
@personalitiesan9806
Жыл бұрын
Human beings of this caliber are very few and they're ever straight away, discerned and very strong in their spiritual world......he literally speaks from his very bottom of his heart and He's been injured internally please jmn mwacheni Aishi vizuri kama watanzania wengine.#let Mr mbarikiwa live peacefully and let's not hold grudges over each other please please please 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emanuelkinoko9126
Жыл бұрын
Huyu ndo mtumishi wa Mungu sasa siyo hao wengine wasaka tonge! Hakuna wa kukugusa mtumishi watakufa wao kwa jina la YESU MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.
@shahiidabdallah3579
Жыл бұрын
Hakuna tatizo hapo tatizo niufahamu walugha ,mchungaji afunzwe kiswahili,na sanaa yalugha.
@SOLOMONADAMS-v6q
4 ай бұрын
Kaka Mchungaji amechanganyikiwa
@AyubuRashid-j7g
2 ай бұрын
Huyu mchungaj kavulugwa huyu mzee jakaya mbona yuko sawa kabisa
@OnesmoStephano-mk8wj
2 ай бұрын
Wambie nass tunajua kila Mungu atawanyosha tu..awa ndo.watakua kuni tupate joto uko mbinguni na wachukue dhambi zetu mahana wana of ya Mungu ila wakae wajue.kwamungu ajui ulikua nani duniani Mungu anajua tu.mtumishi.ubarikiwe
@ashaomari-rb1uu
Ай бұрын
Sema kweli daima
@rogersiddy
Жыл бұрын
Ameeen yawarudie wenyewe kwakweli🙏🤲
@EliasMoleley
5 ай бұрын
Pole Sana mtumishi wa mungu japo mungu yuko upande ya watumishi wake soma yeremia 29,11 usijali mungu yuko upande wako
@NellyMadeni-yv6fd
Жыл бұрын
Mbarikiwa ni mtu mwenyehaki, Mungu hawezi kumwacha. Poleni mnyemtesa mtu huyu kwakua hamjui nguvu ya Mungu, mtajuta sana
@honoratamafala6968
Жыл бұрын
Huyu Mchungaji,alifiwa na mwanae ,badala ya kuliwazwa aliendelea kuchomwa moyo.anahitaji sana kutulizwa na kusikilizwa kwa ukaribu.
@princemahamba242
Жыл бұрын
Atulizwe na mme wake tuko busy
@youngsachafurniture5482
Жыл бұрын
@@princemahamba242 ww choko ujafiwa
@popekatalango9409
Жыл бұрын
hebu nifahamishe hapo kikwete kamchomaje moto huyu bwana?
@kavulatikivurunzi
Жыл бұрын
Sanasana unachokisema kweli MUNGU Ana ahadi nakikwete mnaemchukia
@AbdulqadirChamakope
5 ай бұрын
Wapi kamtaja Samia, acha kuchanganya mafile mchungaji. Wewe, mara humuogopi Mungu 😂
@mzuandamlalli8654
Жыл бұрын
🎉❤baba mungu yupo nasi
@MbarakAhmedAbdalla
5 ай бұрын
Huyu jamaa anaongea kwauchungu sana naujue kama nikweli yatafanyika kweli hii kweli inauma sana
@Focusm-se2sd
Жыл бұрын
Kikwete ni mtu mbaya sana ila mungu atasimama juu ya nchi hii
@khalfaniutaly1303
Жыл бұрын
wewe ni mtu jeuri mwache mzee apumzike acha roho mbaya itakusaidia nn
@ThadeoJohn-or2uw
Жыл бұрын
Kweli mtumishi wa mungu hawatakuwa salama na hio bandali maana wananchi wengi wameumizwa
@edsonnelson4464
Жыл бұрын
Sema bandari siyo bandali
@rosemarysulle9288
Жыл бұрын
Tumeumizwa sana wa Tz mioyo yetu inavuja damu.lkn mwenye dunia yake yupo,naye ni Mungu naye atahukumu kwa haki.Amen
@SamweliZaburi
Жыл бұрын
Wape vidonge vyao kwani serikali hii inaonea sana kuanzia serikali kuu hadi vijijini mungu anawaona
@mwalitv4555
5 ай бұрын
Unahekima ila huna busara....
@NokorenKuluo-xd7wn
Жыл бұрын
Pole San mtumishi wamungu kwaunayo yapitia hao wote mungu atawajibu kwayote yanayo fanya kwa mtumishi wa mungu na kwa watanzania wote mungu yu hai
@sayunimkongwa9830
Жыл бұрын
R c o mbeya yatakurudia sio muda.
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Huyo RCO Mbeya anashindana na Mungu mwenyewe na apandae ubaya atavuna ubaya alioupanda.
@jacksoncharles5411
Жыл бұрын
Walikuwepo watu kama HERODE nk,but mwisho wao haukuwa mzuri,hakuna aliyewaumiza watu wa MUNGU wakabaki salama,R.C.O mbeya na wenzako mnaotumia vyeo vyenu kuwaumiza watu kwa nia OVU,kuna haja ya kujitafakari,hayo madaraka hamjazaliwa nayo,hivyo hamtakufa nayo,kumbukeni nje ya vyeo kuna maisha mengine.NB:Mmezaa na mnavizazi,hawa mnaowatesa nao wamezaa na wanavizazi,kuweni makini sana ktk kila mfanyalo juu ya bin Adam wenzenu,yatakuja kuwaghalimu ninyi au vizazi vyenu.
@DanielOrkijape-qi4xk
Жыл бұрын
Na nikweli amekamatwa au niongo tuu kama nikweli alikamatwa makofi kwa kila mwananchi
@gwaatemaalaay
Жыл бұрын
I'm
@marleymwampashe8896
Жыл бұрын
@@DanielOrkijape-qi4xkpum 3:11
@leahmhanze611
Жыл бұрын
Vita yetu si juu ya damu na nyama
@zainabumohamed8541
Жыл бұрын
Mungu ana Siri nyingi tumwachie yeye
@JosephKulwa-rc7en
Жыл бұрын
Utawala ulikua kwa magufuli saivi maumivutu
@PMMakula
Жыл бұрын
Zaburi 89:7 [7]Mungu huogopwa sana barazani pa watakatifu, Ni wa kuhofiwa kuliko wote wanaomzunguka.
@RobertGwelela
Жыл бұрын
Hiyo Zaburi 89:7 Mungu huogopwa Sana barazani pa watakatifu wake.Anachomaanisha hapa Ni kwamba Mungu anaheshimiwa Sana.Mtu wa haki hatakiwi kuwa mwoga.2Tim 1:7 Mungu hakutupa roho ya woga.hata ufunuo 21:8 Mungu anawakataa waoga.Sisi tunatakiwa tuogope kutenda dhambi ila Mungu tumheshimu Sana.Mtu utamwogopa Mungu endapo unatenda dhambi,,Kama ni mwema Basi Mungu utamheshimu na kumfurahia Sana,na hauwezi kumfurahia unayemuogopa.Hata ktk familia mtoto anayemuogopa sana baba ni yule anayetenda mabaya lkn anayetenda mema Sana anakuwa rafiki mkubwa wa baba.Mungu anapenda sisi tuwe huru Sana kwake kwa maana ya kwamba kila tunaloliona gumu kwetu tuwe radhi kumweleza ili atusaidie,Sasa tutamwelezaje Kama tunamuogopa?.Hata falsafa pastor aliyosema ame copy kwa Marehemu Ruge Mtahaba kuwa Muogope Sana Mungu na teknolojia,Maana yake tumuheshimu Mungu,yaani tuwe makini na tunayoyafanya ili tusikosane na Mungu.Lkn tuziheshimu teknolojia kwa maana ya kwamba tuwe makini na tunayoyafanya kwenye teknolojia kwakuwa yanaweza kuhifadhi kumbu kumbu za tuliyowahi kuyafanya kwenye teknolojia.Kama yalikuwa ni mabaya kisha sisi tukakataa basi teknolojia inaweza kuyaonyesha kwa dunia nzima.hata ukisikia mtu anakwambia wewe uwe na hofu ya Mungu,anamaanisha Mheshimu Mungu,au uwe makini ktk matendo yako usimkosee au usimkere Mungu,Maana unayemshimu ni lazima utapenda utendee mema sio mabaya.
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Mungu huogopwa na waovu ila wema humsogelea na amesema maovu ya wanadamu ndio hufanya Mungu aonekane ni mbaya.
@EsterNdalu
3 ай бұрын
Amina
@getitdoneright1938
Жыл бұрын
Huyu msoga anacheza kete anajua kuwa swala la a bandari limenuka na litawalipukia na anatafuta mahala pa kujinasua yeye na familia na genge lake.
@aristidesvedasto7855
Жыл бұрын
Kabisa kanafiki tu kumbe unakajua eee!
@mashramadhani1989
Жыл бұрын
Pamoja na yoooote anayohusishwa kikwete lkn ktk utawala wake alitoa Uhuru wa kukosolewa Kwa SERIKALI yake
@getitdoneright1938
Жыл бұрын
@@mashramadhani1989 uhuru wa kukosolewa hautoki kwa raisi bali katiba ndiyo inayoruhusu freedom of speech
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
@@getitdoneright1938 kweli, ila wakati wa magufuli hakuna freedom of speach. Jee katiba ilibadilika au?
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Ni sasa unamsikiliza??
@denisipaulo7785
Жыл бұрын
Wamemkosea Mtumishi wa Mungu Sasa watakula ujinga wao tuko pamoja mtumishi
@laurentngussa1735
Жыл бұрын
Apandaye ubaya atavuna ubaya anaoupanda kwa wakati asioutarajia, Mungu ni mhukumu wa haki siku zote.
@AndreaNzunda-f7o
Жыл бұрын
Samia ni dictator na ni jambazi alishauza nchi hii long time
@juliusjohnii7823
Жыл бұрын
Mungu mkubwa, Tunakaribia kufika, na tuta fika kwa kishindo kikubwaaa.
@eleonorabokewarioba4420
Жыл бұрын
Sikutegemea kama Tanzania inaweza kutesa wana inchi wake kwa namna hiyo juteni kabla siku za Bwana hazijatimia kwani Bwana alisema ukiua kwa upanga kwa upanga itakufa
@petermwenda6470
Жыл бұрын
Hawa watu wanataka kujamba wajambe wao Tu, tukijamba Sisi tunaharisha
@AsumtaTandarusi
Жыл бұрын
Mungu akutangulie mtumishi pole sana kwa pito lako mwachie mungu ashugulikenao🙏
@gloriousmwankotwa882
Жыл бұрын
Vita si yenu bali ni ya Bwana , Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya. Nyamaza kimya mtumikie Mungu aliyekuita naye atapigana vita yako mtumishi wa Bwana. Haya yanatokea kukutoa kwenye mstari, mwache Mungu akutetee.
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Mbona sasa wewe haujanyamaza na komenti haijajiweka yenyewe??
@gloriousmwankotwa882
Жыл бұрын
Ni neno LA Mungu ndo linasema hivyo mpendwa, kwamba Bwana atatupigania nasi tutanyamaza kimya, sio maneno yangu.
@ThobiasMarandu
Жыл бұрын
Kumbe Hata Rais Kikwete anajua Kuna Kukamatana Kuzuia Watu wasitoe Maoni, Kwa Hiyo Anajua Watu Wanagogwa!
@timboxlee919
Жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu, ongea mtu wa mungu,,
@PeterMollel-c3s
Ай бұрын
Mungu atakuweka daima watakuacha wao mtumishi mbarikiwa mungu akusaidie zaidi jaman
@omarhemed448
Жыл бұрын
Watanganyika waoga. Muche ni mbarikiwa atememadini
@PiusMapunda-gx8pu
3 ай бұрын
Na woga wetu ndio unaotuumiza,Nchi inatawaliwa na wapemba. jamani watznia tuamke wachache wanauza Nnchi jamani tuamke.tuamke.
@PiusMapunda-gx8pu
3 ай бұрын
Rais wa katika huyo hatufai hatujamchagua cc.Oooh Bai bai Tanzania tukija kushtuka hatuna kitu.
@mohammedgogo3327
Жыл бұрын
Shida ni kwamba shamba la Bwana heri, ng' ombe za Bwana heri, majani ya Bwana heri, mwendesha mashitaka ni Bwana heri, mtoa hukumu ni Bwana heri, mahakama ni ya Bwana heri, kwahiyo watanzania hatuthaminiwi Ila asiye na mtu ana Mungu. Wana wa Israeli walilia mbele za Mungu baada ya mateso, lakin Bwana wa majeshi aliwasikia kilio chao na hatimaye Mungu aliunyosha mkono wake. Wakawa guru.
@JulianaCelestine-o1f
Жыл бұрын
😊😅
@psgospel3490
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, Mungu akutie nguvu zaidi ulivuke hili nalo. Naweza pata mawasiliano yako kama hutojali🙏
@mnanasuly2585
Жыл бұрын
Mtumishi gani mpumbavu kama huyu
@stevennjalika-in1fo
Жыл бұрын
Baba mungu atasimama kwa RCO na wenzake hao mungu yupo ,mungu yupo,,,,,,,,,!
@prisilakimario2102
Жыл бұрын
Kila mtu aombe kwa iman yake,maan MUNGU ndo hana mpinzan.Nimwanzo na mwisho.🙏🙏
Sikiliza full kupitia link hii ameulizwa nini kuhusu nani na kajibu nini. Ndipo ufananishe na vitendo vya askari wa samia kuwaumiza wanaokosoa kzitem.infoxrP98R31iDc?feature=share
@linkreuben3108
Жыл бұрын
Serikali ingeyamaliza tu na huyu Pastor; UPANGA unaokuja mbele ni HATARI!!!
@Pharadge
Жыл бұрын
kama ya Mackenzie
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
@@Pharadgea Mackenzi amekujaje hapa??
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
@@sifawayesu7079 Amekuja kwa bajaji😆😆😆
@mohdsaid7488
Жыл бұрын
Sasa wewe mungu humuogopi then yeye tu ndie atakaekuokoa hebu tuliza fuvu kwanza
@yohanayohana5558
4 ай бұрын
Hakika huyu baba ameongea kwa ukali sana
@alipomwamahonje
Ай бұрын
Mwenyezi Mungu iponye nchi ya TANZANIA ponya na wanasiasa Ponya maumivu ya watanzania Mwenyezi Mungu inua viongozi watakao ongoza Taifa hili kwa haki
mashetana tutawakabili kwa dua za mangamizi ALLAH atadilili nao madamu watu wana dai haki NAWAKABIZI KWA, ALLAH ANAJUA KULIPAMACHUNGU MWENYE NGUVU ANAYEBIGA MAPIGO MAZITO YASIO NA MFANO AMEEN
@GeraldYamoya-hx3wc
Жыл бұрын
Pole sana kuishi kwetu ni Kristo kufa ni faida usiogope
@FikiriniMwaluko
23 күн бұрын
Kusema kwamba Mungu atatulipia si kweli mengine ni sisi kwani Mungu anasema tazama nimewapa akili!! Wakati mwingine tutumie akili zetu na Mungu akitusaidia
@titonsimbazi5532
Жыл бұрын
Mikataba ya badali hatuitaki.
@edsonnelson4464
Жыл бұрын
Sema bandari siyo badali
@salomewandya7257
Жыл бұрын
@@edsonnelson4464writing error
@barikimollel7890
Жыл бұрын
Watumishi Wa Mungu ni wakati Wa Kuomba Sana Mwonapo mambo kama Haya Tujueni Kabsa Iblisi yupo Kazini Huyu ni Mtumishi wa Mungu anahitajika Kusikilizwa Sio Kuzalilishwa wakati yupo Kwenye Nchi yake
@mghuna
Жыл бұрын
Huyu r.c.o analalamikiwa sana ajiangalia sana hata km ni kiongozi watachokaa watu
@KabonekeFathili
6 ай бұрын
Dah,,,,, mbarikiwa baba MUNGU akutunze mtumishi,, jaribu ni kipimo Cha imani yakupasa uvumilie mtumishi kwa uchungu nakuskiliza 😢😢
@alexkalonga5323
Жыл бұрын
Brother mi nakushauri kitu kimoja haya mambo ungeyaacha tu, utapotea pastor!
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@PASTOR_SHITINDI
Жыл бұрын
Wameua mtoto wake hawezi KUNYAMAZA hata kama ningekua mimi
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
Tangu walipo uwa MTOTO wake walimpoteza hawezi kunyamaza
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@mestonisimzosha203 mtoto wake aliuwawa akiwa kakaa kinya au akiongea!?. Na akiendelea kuongea ndio wataogopa wakae kimya!?. Dsasa endeleeni kumpa moyo yakimkuta mabaya sijui kama na nyie yatawahusu
@kiatu
Жыл бұрын
Kuna kitu bongo hakiko sawa.
@rawhiyasultan5778
Ай бұрын
Amina kubwa mtumishi wa mungu,Mungu ibariki Tanzania
@NywageTv
Жыл бұрын
R c o mbeya mabaya haya anayopitia mchungaji huyu yatakua juu yako
@MariaMgeni-r7d
20 күн бұрын
Pole mtumishi wa mung kwa unay pitia
@mashramadhani1989
Жыл бұрын
Tanzania tunakoelekea kubaya wazi wananchi walishaumia sana na wizi mkubwa kwa mali ya umma na hasa pale wanapoona baadhi ya viongozi wanashiriki kuhujumu uchumi
@abi-onlinetv4181
Жыл бұрын
Ndugu yangu. Unafuata hizi propaganda bila kujua
@Jal210
Жыл бұрын
Hasa hao walikuwa wakiendesha nchi hapo awali
@mnanasuly2585
Жыл бұрын
Yes tena kanisa katoliki wapetuibia sana kwa kupitisha vitu vingi bandarini bila kulipa kodi
@SleepyBacon-hy2lv
Ай бұрын
yupo mungu aliyekausha bahar ya sham atafanya njia pasipo na njia
@Msakati-b1z
Жыл бұрын
Ila huyu mwamba nimeekuwa nikimfatilia kwa karib sana ila mwisho wa siku kwa udogo wa elimu yang na ufaham wang nahis huwenda afya yake ya akil haiko vizur ,sawa umefanyiwa ubaya lakn ww umekuwa mtu wa kulaum kila siku ,na siku zote unaambiwa unapo laumu usimalize maneno mana kuna siku utashindwa pa kuanzia ,we n mtu mzima eb kuna mambo jarb kuyapotezea mana hata mtu akikufatilia inafikia hatua anakuchoka mana unaongea upumbavu ,ni mtu wa guru chuki zimekujaa ww eb tupumzishe mchunguj unazingua...hata hy clip ukiangalia n ya mda sana ila una ungamisha unganisha ili kuwaaminisha watu na unachokieleza
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
@user-oh8sk4wy3r. Yeye katuma ujumbe wewe unaanza kumsikiliza si utakuwa mpumbavu? Ukiona clip yake we pita. Hivi kuna haja gani kumfuatilia mtu anaye kukera?
@philemonkageleja3858
Жыл бұрын
Kaa kimya kuhusu Mwakipesire wewe! Tunampenda na wamtoe gerezani haraka sana!.
@GraceMhoja-zc7yg
9 ай бұрын
Mungu ndo ajuaye
@IsmailKitundu
Ай бұрын
Yakaisali muachie kaisali nayamungu muachie mungu kazi yakuhukum sio yako kwanini unajivika jukum ambalo sio lako muache mungu afanye kazi yake
@OmbeniLuka
Жыл бұрын
Viongozi wa serkali wanacheka watanganyika wanalia
@alloycejames5285
6 ай бұрын
Sijui ndugu yangu kama ni Mungu kakutuma...ila kwa maoni yangu ungefanya kazi ya Mungu uliyoitiwa...
@mckobatz5861
4 ай бұрын
Kama ipo sauti na maoni ya Mungu juu ya anachofanya hakuna wa kumzuwia ndugu
@LydiaMuhoja
Жыл бұрын
Mungu wangu akulinde na maadui kila wakati mtumishi wa Mungu, vita ni vya Bwana mwenyewe
@FloraSilvester-s1o
Жыл бұрын
Ni lazima uteswe kama kristo achilia umpe Mungu nafasi akujibie wala usijitaabishe maana kisasi chetu ni Bwana atulipiae ebu nyamaza Mungu akuonyeshe namna anashughulika na mambo yetu
@emmanuelmodest7457
Жыл бұрын
Kikwete alisema kweli kbsa
@ShepherdMfuse
Жыл бұрын
Mtu wa Mungu yaache Haya Mambo hayana Manufaa Kwako wala kwa Watu wa Kanisani Kwako kama Unahitaji Kuingia kwenye Siasa sawa ila Kama hauna Maono na Siasa tuendelee kuihubiri Injili tuliyoagizwa haya ya Siasa hata Samweli aliyempaka Sauli Mafuta ya Ufalme alikaa nayo Mbali
@KassimAlly-xp4dz
Жыл бұрын
Huyu mwamba aise anaongea kwa hisia sn
@gabrielmoses6860
5 ай бұрын
Maneno ya Kikwete yanahusika viipi hadi unaanza kumtuhumu Baba wa watu. Nimesikiliza kwa umakini maneno ya kikwete ,kwanza alikua anajibu maswali aliyokuwa anaulizwa na waandishi wa habari. Kikwete hakufahamu bro, hawezi kuhangaika na wewe!! Watumishi wa Mungu tuungane kumuombea mwenzetu hajatulia kiakili bado!!!.
@joelandekile3933
4 ай бұрын
Usilojua ni sawa na usiku WA Giza
@GabrielPetro-qj2mk
Жыл бұрын
Amen masihi wa mungu
@abrahamnyagawa1304
Жыл бұрын
Asante Sana, mtumishi wa MUNGU aliye juu!Kwamba,who are they,by the way,unanitia nguvu na ujasiri mkuu.keep it up, God's there,with you endeed!
@kombo8785
Жыл бұрын
Aaaaaa hii Sasa Ni hatari nikwa ajili ya tamaa.ila bwana mjue hakuna aliye juu ya wote
@emanuelandedela7901
Жыл бұрын
Mtumishi kafanyaje jamani mbona sielewi!! Hadi naogopa anavyoongea
@alfrediaugustino1026
Жыл бұрын
Hii tabia ya police kunyang'a cm ipo Tanzania tu pekee
@SaSa-n2t1w
Жыл бұрын
Nchi zingine haina haja ya police kuchukuwa cmu wao wanadukiwa cmu tuu na kuchukuwa ushaidi na km wakichukuwa kesi ikiisha au ukimaliza kifungo wanarudisha cmu yaani lever ya kuiba cmu hakuna
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Labda wanafidia na kulipa hasira zote kwa raia yaani hawatosheki na mishahara yao.
@alfrediaugustino1026
Жыл бұрын
Wana singizia et wanaenda kufanya uchunguzi kwenye cm kama unawasiliana na wahalifu wakija wanakuambia eti ulikuwa ulikuwa unawasiliana na magaidi kwaiyo cm yako utaacha Kwa uchunguzi zaidi .yaani hii nchi mahaskari wengi ni wezi Sana vituoni wanakuibia bila kukunyang'a cm unawapa mwenye, kituo cha mbagala maturubai nimeacha cm kituoni na laini yake Hadi leo sijarudishiwa toka mwaka 2016 na ukipiga haipatikani yaani hii nchi ujinga mwingi upo Kwa mahasikari wengi wao ni wezi wananyang'anya Mali ya mwananchi kupitia nafasi ya uongozi alionayo kuonea watanzania sababu hawana nguvu ya dola .
@abdillahiabdallah438
Жыл бұрын
Nyinyi mnataka nchi isitawalike RCO hongera wewe upo kazini Fanya kazi kisawasawa , na Mkuu wa mkowa wa huko usitetereke wasikutetemeshe
@MUSSAPAUL-qo8hj
Жыл бұрын
Tunataka itawaliwe na haki sio umalaya, wizi na ulevi
@albertmbise2670
Жыл бұрын
It is matter of time Tu ila ku na siku kitanuka na hao unawambia waone watu kwa kigezo cha kufanya kazi basi juu kuna siku kitakukuta wewe au mmoja wa familia zako
@MUSSAPAUL-qo8hj
Жыл бұрын
@@salimmalaka256 wewe ni shetani na unaishi kuzimu UFUNUO 9:11
@janethpallangyo3855
Жыл бұрын
Wewe ni wale wanywa damu za watu
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Aaaah kumbe kazi yake ndio hiyo??? Sawa ......mwenzake
@mohdkhamis1031
Жыл бұрын
Mbona makanisa yanatoka povu kipindi hiki😂😂😂
@katwigayona8041
Жыл бұрын
Acha watoe povu shida yako nini
@kawiche4911
Жыл бұрын
Makanisa Ni jingo Wananchi wamechoka ufisadi tangu uhuru Sasa ndugu tetea haki . Pigania haki za Taifa hili Serikali yetu mikataba hovyo kila kukikucha sasa tusimame pamoja. HAKUNA WA KUTUTETEA TUSIMAME WENYEWE KUOKOA TAIFA LETU
@abi-onlinetv4181
Жыл бұрын
Wamechanganyikiwa hawa
@agustinohizza1395
Жыл бұрын
Yanaong'ozwa na roho wa bwana nyinyi mnaongwa na nani.
@janethpallangyo3855
Жыл бұрын
@@abi-onlinetv4181 na wewe je???????
@winnyleonardkapere661
Жыл бұрын
Tusicheze na mtumishi wa Mungu!
@issaabdi9129
Жыл бұрын
Wewe nyamaza acha kutafuta umaarufu. Baki sehemu yako ulipo.
@kawiche4911
Жыл бұрын
TUNALAANI UGANDAMIZAJI NCHINI WATANZANIA TUNALAANI UFISADI NCHINI TUNALAANI UBADILIFU WA FEDHA ZA UUMA TUNALAANI MKATABA WA DPW USIOKUWA NA TIJA KWA WATANZANIA HATUTARUDI NYUMA KUTETEA TAIFA HILI WIZI WA MALI YA UMMA TUTASIMAMA WANAMAPINDUZI NI WATANZANIA
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Mbona haujanyamaza wewe chawa??
@IbrahimuJaphet-hx2ns
Жыл бұрын
Wewe hauna haki ya kumyamazisha mtu anapo onesha hisia na maumivu aliyopewa Kwa udharimu wa serikali wewe ni nani umyamazishe mtu unahaki gani,?
@matrida-w3o
29 күн бұрын
Mtumishi majibu yq mungu hayapo mbali lazima alipe mpaka kizazi chake
@masoudamini8623
Жыл бұрын
Mbarikiwa una mapepo ya chadema Una mapepo ya chadema Nenda ukaombewe😂😂😂
@BlessingsBaraka-x6j
Ай бұрын
Wewe unajua .uchungu wa kufiwa na mtoto tena utubu
@atomicexposior6012
Жыл бұрын
Awo watoto wa pwan kumama zao wanatuma sungu sungu wawapige wavuvi Awana resen ya elfu ishilini watu wanaiba mabilion ya era Kofi awapigwii
@RaphaelMlaga
Жыл бұрын
Wewe Acha kupiga mikwara povu la nini? Unamapepo? Mtu mzima unaongea hovyo? Acha afande afanye kazi yake kama unamakosa uachwe?
@fredrickjohnson2692
Жыл бұрын
wewe unaongea hivo kwakuwa usha kufa, na unakufa sikusio nyingi. ajari, bunduki, magonjwa ya kansa, na wanyama pori, mbwa mwitu, vitakutafuna
@MUSSAPAUL-qo8hj
Жыл бұрын
Nyie bila shaka chakula chenu ni Damu za watu et!!!?????? Nyie ndio mapepo na majini Wala Damu ila Mungu wa kweli wa haki atayalipa tu
@josimo7083
Жыл бұрын
Kakojoe kalale
@janethpallangyo3855
Жыл бұрын
Mpumbavu wewe
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Sawa mtakatifu usie na mapepo unaeiwazia mema Tanzania hata hutoi mapovu kama yeye
@IbrahimuJaphet-hx2ns
Жыл бұрын
Haki ya kuwa hai sheria ya 1984 na. 15 ib.6, Kama serikali wameshindwa kusikiliza kero na malakamiko ya huyu mtu ni dhahiri kuwa wanajua alichokifanya mtu wao wa usalama wa taifa na badala yake kumpa mtu wa MUNGU kesi ya jinai N.k hiyo sheria wametunga wao Hakuna mwenyehaki ya kutoa uhai wa mwenzake inakuwaje huyo jamaa bado yupo uraiani na kwenye ajira wakati mwenzake analalamika kamuulia mtoto alafu kunawatu wapuuzi humu wanakujaku comment utumbo aise kama haki haita tokea kwa kuongea kunawatu watajilipua nawaambia tunaomba haki ionekane maana jambo hili lipo wazi.
@jumamnemo8383
Жыл бұрын
Huyu ni mgojwa anaumwa akili.
@gloryngowo2663
11 ай бұрын
Wewe mwenyewe umesema haumwogopi mungu na wewe ni mtumishi wa mungu je wao wanawezaje kumwogopa mungu mmmmmmm
@USACAUDIOVISUALMATERIALS
Жыл бұрын
AFYA YA AKILI IKITETEREKA UNAJISIKIA KUROPOKA TU.
@naimarishedy1523
Жыл бұрын
Pimwa akili kwanza. Yaani kupewa uhuru wa kuabudu mnajidai kumaliza amani ya nchi. Acheni ubinafsi kwani mambo hayaongeleki. Acha zako😊😊😊😊😊
@MurunguwetoshaDeheaven
Жыл бұрын
Broo inatosha nyamaza
@williamsenkoro2210
Жыл бұрын
Kauliwa mtoto wake mkuu
@noeleliasi8401
Жыл бұрын
akinyamanza mawe yataongea
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Mbona haujanyamaza wewe na komenti yako ya kipumbavu hapa??
@juliusjohnii7823
Жыл бұрын
@@sifawayesu7079ibu kistahaa mpendwa sifa. comment ya huyu ndugu haina ubaya wowote, hata Mimi ningemshauri mtumishi wa Mungu kuwa tabu hii sasa inatosha,, hivyo tumlilie Mungu wetu pekee , twende mbele zake kwa hoja tumkumbushe tunavyo simama upande wake siku zote,na yeye sasa asimame upande wetu ye ni mwaminifu anafanya kabisaaaaa sawa na haja zetu. Kuliko kuwapigia gitaa mbuzi, wasipocheza tunawaona wapuuzi. Wakati wao hawaelewi mziki. Tunakosa maarifa, fahamu wengine hawamjui Mungu wetu kama farao, hivyo wataendelea kupingana na mapenzi ya Mungu,, hawa wanahitaji saaana miujiza inayo tokana na maombi makuuuu ya kumlilia Mungu bila mzaha.
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Kikwete ametuuza ila MUNGU yupokaribu kukulipa
@mathiasmanonga3939
Жыл бұрын
Pastor bora ungehubiri tu siasa itakuponza huiwezi waachie wanasiasa wewe hubiri tu ndugu
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
Kweli
@modestapeter2997
Жыл бұрын
wewe unajua maana ya neno siasa? au umekalili tu hata hujui kua hata baba yako au wewe kama unafamilia na kunamambo una amua basi nawewe ni mwanasiasa
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@modestapeter2997 neno hubadilika maana linapokuwa kwenye sentesi fulani. Alicho kikushudia ni serikali. Anamaanisha aache kuisema serikali ahubili dini yake.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ujuacho wewe kuwa ni siasa mimi najua ni injili. Kwani kwangu injili ni kupinga ubaya tu mwanzo mwisho. Hivyo hicho ujuacho wewe kuwa ni injili hubiri wewe.
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile nitumie link ya video zako nione na wewe mahubili yako ili niweze kuelewa kweli na wewe unapenda injili
@namsifubwana2152
Жыл бұрын
Shujaa wa Mungu hongera sana. Hao watu tunawatumia kitu kizito chenye ncha kali toka kwa Mungu
@popekatalango9409
Жыл бұрын
kuna mtu anaweza kunieleza uhusiano wa clip ya kikwete na hiki anachozungumza huyu bwana? kauli ya kikwete ilikuwa ni kupinga na kukosoa wale wenye kuzuia mawazo ya watu kifupi wale wenye tabia ya kuwanyima watu uhuru wa kutoa mawazo yao,na yeye ndivyo alivyokuwa hakuwanyima watu fursa ya kutoa mawazo yenu,sasa kosa la kikwete ni lipi hapo? jiepusheni na chuki zisizo na msingi, chuki ikizidi huondoa maarifa, kama kuna mambo yalimpata huyo bwana pole zake lkn amejaa chuki na ghadhabu tena inazielekeza au kuzihusinisha na clip ambayo haina uhusiano wowote na anachokizungumza,wengi humu wanasapoti na kupongeza eti sababu anaezungumza ni mchungaji au ni shekh,tukatae haya mambo kama shekh au mchungaji amezungumza lililo sawa yapasa kulipokea kama sio la sawa yatapasa tulikatae,sio kupongeza tu sababu ni mchungaj
@mohamedmagongo9348
Жыл бұрын
Huyu Jamaa ni chizi, anadai hamuogopi Mungu.
@mimimimi-pg5uk
Жыл бұрын
mohamed huna akili. tafakari maana ya alichokisema sio unajamba tu@@mohamedmagongo9348
@thomasrichard7465
Жыл бұрын
Si arudishe sim zao, Serikali hii ni honevu sana
@MaxyimillianyValelian-ey6hl
Жыл бұрын
Et hat mie nashangaa cion uhusiano
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
Жыл бұрын
huyu mwehu bila kufanya uchungaji huko kondoo wako wanapotea
@fatmaallyabdul1732
Жыл бұрын
Mungu akuponye na hasira Mch.
@manjoriwakunesa7006
Жыл бұрын
Ninegundua wewe nimwehu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wewe sio mwehu. Umeshinda anza kushangilia
@ladislausmoris9638
Жыл бұрын
Jinga ww subr yakukute utamuunga mkono
@tielyelibariki8958
Жыл бұрын
Mungu akatende bandari yetu haiwekezwe wenye nchi pamoja na wanasheria wetu tumegoma
@popekatalango9409
Жыл бұрын
ni ujinga mtupu,mmejazwa kwa ujinga wenu,TICTS waliomaliza mda wao pale bandarini walikuwa ni wawekezaji wamedumu pale kwa miaka 30 wameingia toka utawala wa mkapa wamemaliza mkataba wao juzi tu hapa walikuwa ni wawekezaji wewe mbumbumbu hilo ulikuwa hujui
@kombomakame5778
Жыл бұрын
Mchungaji gani ambaye huna adabu kama unajisifu unajisifu humuogopi Mungu,unaonekana hata akili inahitaji kupimwa, Mtumishi feki uliyejaa hasira na chuki, unatoa povu lisiloisha, umeshindwa hata kuficha chuki zako, una gubu kama mwanamke, unatoa clip ya kikwete ambayo haina uhusiano na Mh.Rais Samia, hiyo habari inahusiana na uongozi wa mwenda zake. Utawatisha wasiojielewa, huna lolote, njaa inakusumbua, Mungu hapangiwi kwa utumbo wako.
@luganomunuwavanu9369
Жыл бұрын
Kama huyu ni mchungaji feki basi tunayo kazi ngumu kuwapata wachungaji wa kweli
Kaifuatilie full ukaone maswali alikuwa anaulizwa kuhusu nani? Adamu alimwogopa Mungu kwa sababu ya dhambi. Hata wewe unamwogopa Mungu kwa sababu ya midhambi. Ila kwa watu wake ametaka wasimuogope bali wamkaribie. Mwogope Mungu ikiwa unatenda midhambi. Fuatilia clip nzima uone swali lilihusisha uongozi wa samia au Magufuli kzitem.infoxrP98R31iDc?feature=share
@wilfredlukowo9476
Жыл бұрын
Mpumbavu huchangia kipumbavu.yuko sahihi
@allylumba8860
Жыл бұрын
BASI SASA NASEMA BADALA YA .MTUMISHI WA MUNGU MBARIKIWA NIMELAAN MAISHA YAKO MAGONJWA NA TAAB YATAKUWA JUU YAKO USIMGUSE MASIHI WA BWANA
@winnyleonardkapere661
Жыл бұрын
RCO ahamishwe, jamii imemkataa
@TumainiNgonyani
Ай бұрын
Mungu akulinde sema ukweli
@zakariakapinga9862
Ай бұрын
pole sana mtu wa mungu
@BennRich
Жыл бұрын
Iv huyo mkuu wa mkoa anajidai nini au yeye ananguvu sana kuliko wananchi akome kuwatisha watumish wa Mungu
@StewartUkason
5 ай бұрын
Duuuh ... Kwa kweli huyu mtu ameamua kujitoa mhanga.
Пікірлер: 1 М.