Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@abdallahmdangadachi7030
3 ай бұрын
Itakua waandishi wenu wamekuja juzi dar hawajawahi kuona makonda wa daladala wanavyoruka kwenye daladala wakati bado zipo kwenye mwendo😅😅😅😅😅
@abdibilali4186
3 ай бұрын
.😅😅😅😅😅😅😅kweli aiseee
@bakarimkulima3034
2 ай бұрын
Kabisaaaa😊
@sportscodesentertainment2753
2 ай бұрын
Wanaburuza hadi mguu
@tycoon9540
3 ай бұрын
Dakika 1.57 mtangazaji anasema Rais wa Msumbiji ni Mr Manyusi Hii ni aibu na fedheha kubwa sana kwa hadhi ya chombo hichi mtangazaji kushindwa kujua jina la Rais wa Msumbiji na namna ya kutaja hadhi yake (Title) Anaitwa Filipe Nyusi,, na ukitaja jina la Rais usitaje jina kwa kuanza na Mr bali ni Mheshimiwa
@nehemia397
2 ай бұрын
🤣🤣🤣 tunajali basi mkuu
@alexmavika5033
3 ай бұрын
Ni kweli hujui jina la Rais wa Mozambique?
@LucasSabida
3 ай бұрын
Waandishi hawa wanatudalilisha sanaaa Hawajui madhara ya kukosea kutja jina la kiongozi
@muhammedyussuf8406
3 ай бұрын
@@LucasSabidamheshimiwa manyusi
@Rmollelmichael
Ай бұрын
Sasa hii inawasaidia nini Watanzania WENZANGU au watanganyika wenye akili timamu???
@exaverysimon1064
3 ай бұрын
KWAN KARUKA AU KASHUKA😂😂😂😂😊
@rajabukipara3008
3 ай бұрын
Jaman HABAR Zenu mbon Hazina Ubora,, Yaan Habar na Tukio n vtu tofaut kabsaa, Jigunzen kw Wenzenu, Mtupe kilicho bora bhana
@RevCharlesJPeter
2 ай бұрын
Itakuwa labda amepinguza weledi
@jumannehassan3949
3 ай бұрын
Safi sana
@DeogratiusAndrew-zi7zv
13 күн бұрын
Mtangazaji hauna uzoefu au unaumwa maana unaongea kwakurudia rudia habari, unaongelea mpaka gari linavyo enda kupaki ,ebu kaa sehemu usilize ulicho rekodi
@SALEHSALEH-lk5jr
3 ай бұрын
Wavaa suti hawawezi kuruka kutoka kwenye Gari labda ffu wakiwa rear guard
@VitusVedasto
3 ай бұрын
Na mayoko Yao kibao bure bado wamebana sare zao😂
@GibsonNtamamilo
3 ай бұрын
Hajaruka chochote hapo😂😂😂
@renatusfbupamba5181
3 ай бұрын
Najaribu kuwaza.. Ujumbe kama huu una manufaa gani kwa watazamaji?
@FadhilyOthman
3 ай бұрын
Wa bongo ndio wenye nchi ss mijicho kuvimba tu
@bakarimkulima3034
2 ай бұрын
Sjaona kitu mbona😅😅😅😅
@Basagamp4
2 ай бұрын
Karukaje?.....Sijaonaaaaaa
@innocentshayo9341
3 ай бұрын
Kwani kuruka hivyo si hata wapiga debe wa daladala wanaruka sana..tena kwenye spidi kubwa kabisa...
@mussakasela1937
3 ай бұрын
😂😂
@RegisMilambo
3 ай бұрын
Mnakosa habari
@nehemia397
2 ай бұрын
huyu traffic anaweza kuwa amesimama hapo mpaka leo ...mpeni ruhusa wazee wa hapa ipo
@emanueltesha584
3 ай бұрын
Namuona dada mariamu yupo makini sana
@bhmulizeanahamawasaf1189
2 ай бұрын
Daah nakubli walinzi wetu wana mbwembwe
@LaurentMatigili
3 ай бұрын
Sasa apo ameruka nini..,Yani wabongo hovyo kabisa 🚮.,
@othmanabdallah3146
2 ай бұрын
Philip nyussi we mtangazaji ni zero bure
@NyamtigaIbrahim
3 ай бұрын
Cjaelewa Kittu Hata Huyo. Alieruka Cjamuona
@msafirimiracle6613
3 ай бұрын
Mbona tunaona makondakta wanaruka vizuri zaidi?nchi hii bhana!!
@OmbeniLuka
2 ай бұрын
Gharama kubwa kwa nchi maskini
@abdallahkambangwa7215
3 ай бұрын
Mr. manyusi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, umeharibu jina la kiongozi
@josephdimosopantaleomadegh7599
2 ай бұрын
Ipo siku ndakuwa raisi
@alexmavika5033
3 ай бұрын
Mtangazaji umeshindwa hata kufanya utafiti wa kujua jina la mgeni rasmi?
@abdallahmdangadachi7030
3 ай бұрын
Eti manyusi 😅😅😅😅
@anoldshirima3291
2 ай бұрын
Unamaliza mb zetu kenge ww
@lichstudio2024
2 ай бұрын
Dunia simama nishuke,😂😂😂
@muhsinikoki4060
2 ай бұрын
akuna kitu apo
@silivestatesha9262
3 ай бұрын
Mimi naeza ruka kwenyeungo
@yasiniSwedi-qg5oc
3 ай бұрын
HP ulinzi auhtajiki kwakpi haswa mlishindwa kumlinda alie staili ulinzi jpm bc hpo hmn chamaana
@usembiphonedar5632
3 ай бұрын
Kweli ndugu! JPM jina ambalo halitafutika kwenye mioyo ya Watanzania maskini wengi tunamkumbuka! Mungu ampe pumziko lenye amani na amwangazie mwanga wa uzima wa milele! Ameni.😭😭😭😭😭😭😭!
@pendomalisa9308
3 ай бұрын
Kwani mko wapi
@amanifue7443
3 ай бұрын
Mtangazaji rudi shule, bado una ungaunga sana.
@josephdimosopantaleomadegh7599
2 ай бұрын
Walinzi wote wanaangalia seemu moja
@msowamhokole7714
3 ай бұрын
Inchi Ina amani lakini ulinzi mkubwa ivyo daaa akuna wa kumzuru rais
@KingZinho-z2u
3 ай бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@vladimirputn1809
3 ай бұрын
Manyusi😂
@jonijoogabriel3728
3 ай бұрын
Kwani kunashido
@GeradyKennedy
3 ай бұрын
habari ya kuokoteza
@johnsonbubinza4646
3 ай бұрын
kwa mwendo huo ata mtoto anaruka
@FadhilyOthman
3 ай бұрын
Karuka ukuti
@issaHamis-v1y
2 ай бұрын
Games
@adamhashim3352
3 ай бұрын
Anazidiwa na makondakta
@AshaMwamba-i7g
15 күн бұрын
Hahahaaaaahaaa
@imanuelimushi1756
3 ай бұрын
Mbwembe tu. zausalama.
@samuelemmanuel3400
3 ай бұрын
Wanzanzibari hadi usalama wataifa wa bara😂
@kanzucentre3468
3 ай бұрын
Mbowe anasema RAIS TUMEWAKOPESHA
@joyceshoo9822
3 ай бұрын
Dah! Waandishi wa mchongo
@saidkipalo4427
3 ай бұрын
Na Zanzibar askari na wanajeshi asilimia 70 na wa kutoka huku bara fresh tu
@robertphilip385
3 ай бұрын
@@joyceshoo9822Joyce na wewe umetokea wapi huku wetukutane Kwa wanachi kesho tunamshusha dube
Пікірлер: 71