MUNGU awajalie maisha marefu mzindi kuliubiri njina lake katika KRISTO YESU
@ezekielndaga2756
2 жыл бұрын
Nimeipenda hii,ubarikiwe sana ndacha,Mungu aendelee kukutumia kuwaweka watu ktk kweli..endelea kuwafundisha naimani wataelewa tu na wengine wanaelewa ila ni mioyo migumu waliyonayo
@jilardinbenamurihassan1764
2 жыл бұрын
Nimehelimika vya kutosha mwalimu kwa somo hili maana nilikua nimechanganyikiwa kwa mda mrefu na utatu
@lewiskims8890
2 жыл бұрын
The Problem wid thse guys wanataka kumfananisha Yesu na mtume woa, kujaliwa kwa watu hao wawili ni tofauti sawa mbingu na ardhi, Muhammad alijaliwa ki ushetani shetani bt Jesús ni nguvu za Mungu.
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
confused element
@abdikadirabdulahi731
Жыл бұрын
Mungu akuongoze umepotea maskini
@gatekanene5753
2 жыл бұрын
Waislamu wanaongozan wakiwa vipofu walimu vipofu wa fuasi ndo poteley mbali masikini natamani YESU KRISTO aje leo ili awaguse sikiyoni maan kazi ipo kwa kweli Shetani ndo ameshimika mizizi ndani ya Waislamu
@jacksonchaula6010
2 жыл бұрын
Tubuni na kuiamini Injiri maana Ufalme wa Mungu umekalibia
@ndikumanainnnocent7796
2 жыл бұрын
Mashallah sheikh Yusuf very strong knowledge 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@actionboori6581
2 жыл бұрын
Knowledge or nonsensensical comedy
@janenjenga5639
2 жыл бұрын
Yusufu is a comedian
@sirikwamollel448
2 жыл бұрын
Amefaa kasu ya iluminat kweli
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
Pole sana kanzu ni takatifu.. kulingana na kitabu chenu.
@sirikwamollel448
2 жыл бұрын
Ndio maana haijashonua
@11thhourlabourerministry68
2 жыл бұрын
Amen
@ezekielmwamba9106
2 жыл бұрын
Huyu Yusuf kazi yake ni ushabiki na vijekesho lakini mafundisho hana. Mwalimu Ndacha hongera Mola akujalie kwa mafundisho mema.
@ramazecha8862
2 жыл бұрын
Ndacha kzi yke ni kukashif Dini hla hna mafundisho
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
Heri comedy kuliko kuwa na imani dhaifu.
@suzanaagustinookelo4953
2 жыл бұрын
@@ramazecha8862 Rama Mungu anakupenda na hataki upotee
@ndikumanainnnocent7796
2 жыл бұрын
Asalam alykum www safi sana ma sheikh wetu musicoki kufundisha haki
@ramazecha8862
2 жыл бұрын
Mashallah shekh wetu Yusuf wambogo
@stoispapi2380
Жыл бұрын
Ukweli? Is this how you preach the truth.
@ezekielmwamba9106
2 жыл бұрын
Na korani wanayotumia ni ya kushangaza mbaka shura ya majini, ng'ombe, nyuki nkd.imechanganyikiwa.
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
Hayo yote ni viumbe wa Mungu ... Uislamu haubagui. Hiyo sio hoja. Tafta hoja
@suzanaagustinookelo4953
2 жыл бұрын
Adi mashetani ni shidaaa
@mercylinemercy2408
2 жыл бұрын
Kiukwel huyu usufu ako na shida asaidiwe maana anacho kiogea hakielewi sina elimu ya kiivyo lakin mafundisho ya yusufu haipeleki mtu maahali.
@ezekielmwamba9106
2 жыл бұрын
Hakuna siku Muislamu ataelewa Yesu ni nani sababu hata hawamtambui kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu.
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
Uwongo kabisa..sisi waislamu tunampenda yesu tunamuamini na tunajua hata babu yake...sio kama nyinyi...mnamuamini yesu kwa mdomo tu ..
@ramazecha8862
2 жыл бұрын
Yesu sio mungu Wala sio mwana wa mungu ni mtume tu
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
Hakuna mkristo anaamini biblia imagine
@suzanaagustinookelo4953
2 жыл бұрын
Maskini rama
@suzanaagustinookelo4953
2 жыл бұрын
Pole
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
Clearly you can see how christianity is hard to prove without making several verses to be one.
@lewiskims8890
2 жыл бұрын
Hakuna vle Durán na mtume wake watamwelewa Yesu ni nani mpaka kiama. Ndugu yangu ata uongee kingeleza bila kumjua Yesu its all in vain jahanamu inakukonlea macho
@sirikwamollel448
2 жыл бұрын
Yusufu ameleta sarakazi ya kubabanya na kutumia vitabu yeye ndio ameandika
@clencysimuli1773
2 жыл бұрын
Wambugu anafikiria kama mtoto wa pre unit anasoma biblia vitafauti
@conkfabrimendaking7093
2 жыл бұрын
Mwalimu wa kiislamu amekuwa na hekima nzuri sana na lugha zake ni nzuri hana matusi kabisa wala kebeh kwenye matamshi nje na maandiko lakini
@abdikadirabdulahi731
2 жыл бұрын
Umesema ukweli huyu mwenye joho nyeusi anafundisha
@conkfabrimendaking7093
2 жыл бұрын
Wewe umependezwa na elim ya nani kat ya hao wawili
@abdikadirabdulahi731
Жыл бұрын
Mwalimu was kislamu
@ondabuvincent4542
2 жыл бұрын
Yusuf just a comedian bure kabisa
@actionboori6581
2 жыл бұрын
This guy Yusuf knows nothing, he can only make a poor comedian not a teacher. Useless.
@mwoso
2 жыл бұрын
Kwa ufupi, yesu mwana wa mungu ana uungu wa Baba yake. Ndipo kwa sababu ameridhi jina mungu.
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
Wapi andiko yesu anasema,Mimi yesu mungu
@mwoso
2 жыл бұрын
@@stoispapi2380 wacha nikutolee maandiko na usome kwa maakini Kama unataka kuelimika. Na usipingane na yalioandikwa Bali uelimike Kama unahaja . John 10:30-33,leviticus 10:33, John 8:58/Exodus 3:14, John 1:1/ John 1:14, John 20:25, Mathew 14:33, Mathew 28:9, Titus 2:13, John 1:3 , colosians 1:16-17/Genesis 1:1 na mwisho Hebrews 1:8. Ubarikiwe katika jina la yesu Kristo.
@mwoso
2 жыл бұрын
@@stoispapi2380 ni vizuri kuuliza wenye walitangulia pamoja na vitabu vyao Kama kuna Jambo huelewi. Hao ndio marafiki wenyu wa karibu na ni wakristo jinsi qurani inasema!
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
@@mwoso Yesu hakupewa biblia. Yesu alipewa injili na tunaiamini. Sasa wewe nataka uniambie ni nabii mgani alipewa biblia?
@stoispapi2380
2 жыл бұрын
@@mwoso na kama unataka kusema biblia ndio injili pia unipe andiko inayosema biblia ndio injili. Kwanza hakuna jina "biblia" kwenye biblia yote. Hata sijui mbona nakuuliza kitu huwezi jibu
Пікірлер: 67