Miaka haiiendani. Hata Baba yangu havipendi. Anapenda vya miaka yake.
@allyadam9796
24 күн бұрын
Huyu jamaa kumuelew unahitaji d 6
@OneniMahenge-wm8ji
19 күн бұрын
Mwamba hajawai kukoses Yuko vizur
@SwediOnesmo
24 күн бұрын
WCB for life 😂😂😂😂
@WazirBoy-fe5ew
28 күн бұрын
Njaa tu
@stapinuswilliam860
13 күн бұрын
Dudu madini
@alexshabani2012
28 күн бұрын
Hauko mkweli
@SwediOnesmo
24 күн бұрын
Mbona sikupati mzee ...🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇸
@salumuseif3324
27 күн бұрын
konki Leo kazngua
@user-hd7vt8fk5t
25 күн бұрын
Redio na tv anazo huyo konk
@taifaramadhan8684
27 күн бұрын
🔥🔥🔥
@husseinkonz5192
26 күн бұрын
Dudu wachane pumbavu Sana hao
@MeenaHassan-fd9vv
28 күн бұрын
dudubaya ni wcb hawezi kuisema vibaya wcb
@jimmyhabarugira4232
28 күн бұрын
Akiongeya vibaya kuhusu Wasafi ao W. C. B nyiye hao hao mnamsifiya akigusa upande mnao shabikiya oooh huyu ni Wasafi Ushabiki maandazi utawatesa
@errydeo8865
27 күн бұрын
That of coz makes sense! Ungekua wewe w.c.b ,ungeisema wcb?
@HappyKitindi
24 күн бұрын
Juzi kati kamchana diamond kwny jukwaa kamsifia kiba watu mkafurahi, Leo kachana upande wa kiba mmeanza kumkebehi. Msema kweli haigemei upande wowote😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@cisselamerverille5286
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kesho tena
@malkavoice2570
23 күн бұрын
Wewe ni msanii hauigi kwanii usiimbe mwaka wa ngapi huu hatukusikii?
@DaliCamussaJoaoCamussa-qc7nv
24 күн бұрын
Dudu baya ni fala 2
@eliadaniel216
20 күн бұрын
Toa sababu za ufala wake jitaid kuelewa elimu na akili maana yake
@mrfashion1687
28 күн бұрын
Sasa crown hapo ipo wapi???? Kwanza mtangazaji ana matatizo ya L na R
@mpallaupdates
28 күн бұрын
Kwenye Mitokasi za Watu Usijipe umuhimu
@JamesMoses-jd1yq
28 күн бұрын
wew ni mpuuzi fulani yaani hakili ndio huna
@mrfashion1687
27 күн бұрын
@@JamesMoses-jd1yq sio hakili ni AKILI, kajifunze kwanza kuandika ndo uje ucoment hapa
@mrfashion1687
27 күн бұрын
@@mpallaupdates sio mitokasi ni mitikasi
@ValentimMohamed
28 күн бұрын
Wewe ni bwege mpumbavu, tunakujuwa iyo ni dacho.
@dominicfrancis4073
21 күн бұрын
Umeongea ukweli konki👊✊
@user-vy9zx2vx3u
24 күн бұрын
we ushapotea kenge weweeee sauti mbaya kama umebanwa eti na na huyu nae alikua muimbaji
@kpmadai7729
20 күн бұрын
Jamaa ana hoja asikilizwe
@youngtone4333
26 күн бұрын
Mi siwezi kukaa kuhangalia tv matangazo yanazingua sanaaaaa yaani siwezi kuhalibu mda kijinga jinga
@Kuminamoja1995
28 күн бұрын
Ndo nini sasa
@mpallaupdates
28 күн бұрын
Umeona nini
@alexshabani2012
28 күн бұрын
Unaongea pumba ni wivu uyo
@ArnoldaCyprianhamis
27 күн бұрын
Kakojoe ulale ng'ombe wewe
@ChescoSamson
28 күн бұрын
Mtangazaj angalia nawatu wakuwahoj huyo madawa yashamuhalibu hapo Hana hela ninjaa t
@mpallaupdates
28 күн бұрын
Njoo wewe tukuoji
@JamesMoses-jd1yq
28 күн бұрын
@@mpallaupdatesmtangazaji wachana nao bwana unajibu mpaka machokoo
@ArnoldaCyprianhamis
27 күн бұрын
Kakojoe ulale ng'ombe wewe # konki 3 master oil chafu pamoja sana mzeee
@GodlistenAlen
27 күн бұрын
Hapa Bongo, nasikiliza na kutazama interviews za celebrities wawili tu, dudu na Sugu.
Пікірлер: 44