Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya subra dawa iendelee kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran
@BURHANKENYA
Ай бұрын
Shukran
@MwangiMuhammad-q8r
Ай бұрын
Mazbut walllah,,, Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabatakatuhu,,Allah awahifadhi nawapenda sana
@BURHANKENYA
Ай бұрын
Waaleikum salam
@hamisikassimmwatamu7949
Ай бұрын
MashAllah MashAllah sheikh Mohammed kassim alienda wapi siku nyingi
@BURHANKENYA
Ай бұрын
Yuko Madina anaongeza elimu
@bibleknowledge-b1y
Ай бұрын
mungu wenu ni tofauti na wa kwetu..
@BURHANKENYA
Ай бұрын
Wa kwenu Yuko wapi
@bibleknowledge-b1y
Ай бұрын
utamjua kupitia biblia wala si kitabu bandia kingine....Ndio maneno aliyotuarifia...
@spartachize122
Ай бұрын
Tatizo lenu mnafata maneno ya mapastor na sio Bibilia siku mkisoma vzr Bibilia mtajipata mnaenda sawa na sisi
@bibleknowledge-b1y
Ай бұрын
Hakuna kitabu kinafanana na biblia na hakuna mtu tu nje ya Yesu Kristo wa Kweli anaweza kusoma biblia... Biblia sio kitabu cha hadithi... Unasoma vibaya kwa sababu hupendi ukweli... Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zako... tubu acha kudanganywa...
@josemu870
Ай бұрын
- Sema: Enyi watu! Ikiwa nyinyi mnayo shaka katika Dini yangu, basi mimi siwaabudu mnao waabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu. Lakini mimi namuabudu Mwenyezi Mungu anaye kufisheni. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waumini.
@bibleknowledge-b1y
Ай бұрын
Mnapotosha na mawazo yenu ya kibinadamu...
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Tafuta elmu
@bibleknowledge-b1y
Ай бұрын
Elimu ya uongo..elimu ya kweli kaitafute..
@MuhashamKhalil
Ай бұрын
Assalam aleikum,sielewi kwani ni uploading yenu inakuwa nusu nusu
Пікірлер: 19