Vicky hupendezi ku act Mjita, wewe ni mdada mzuri, mpole na mstaarabu
@aishalovesesibe
3 ай бұрын
Reha yote atatowa😂 muke naye ameshinda njaaa😂😂😂
@JullianaEmmanuel-tm5xg
4 ай бұрын
Yaaan kama ushauri tu, kufa sio sululisho, ila tu n bora kuchukua maamz mengn
@PillyEliasa
3 ай бұрын
Jamani kunambi sijui Ana roho mbaya kweli maana anapenda kuigiza roho mbaya kweli yani duuh 🤔😢
@HappyMtawali
4 ай бұрын
Nimewai likes ata 2 bàs nawapend ❤🎉🎉
@abdulkarimmkachuka2810
4 ай бұрын
Ukowapii
@abdulkarimmkachuka2810
4 ай бұрын
Njowasapu
@Walcottmarley
3 ай бұрын
Wee
@ZAHARASALUMU-l6m
4 ай бұрын
😮Tina nawe leo umepatikana maan kila move unaigiza mchepuko ila saiv si umeona jins wenzako wanavyopata tabu kweny ndoa ee wakat we unawachepukia🎉🎉🎉🎉🎉
@sarahnjeri-tz8eu
4 ай бұрын
Yaani Tina kajiua juu ya mapenzi bora ageondoka aende zake,leo Victoria naye anatisha hadi kuvuta sigara😂😂😂
@PHILOMENAKADAWI
3 ай бұрын
🥱🥱🤣🤣🤣
@sarahnjeri-tz8eu
3 ай бұрын
@@PHILOMENAKADAWI bado sijaamini😂😂😂
@FailaQueen-qm4dt
3 ай бұрын
Natamani kuhuta wanaume wote ma mbwa lakini nashindwa sasa baba yang ni mwanaume tena nikikumbuka nina watoto wakiume na shindwa 😢😢tu ila kunambi umeniumiza sana kwa kweli 😢
@ENOCKTVSHOPSHOP
4 ай бұрын
Wakumi na nne wapi like zangu
@PaulinaLorry-b4m
3 ай бұрын
Tina nilikupsndA ulipojimwagia maji kwenye dada wa kazi
@Kinyua-ye8kk
4 ай бұрын
Tina acha ujinga wajiuwa Kisa mwanaume
@joycemuenimutua4506
4 ай бұрын
Tina my dear ujitoe uhai juu ya mwanaume,nijikute😂😂❤❤ from 🇰🇪
@Kinyua-ye8kk
4 ай бұрын
Kunambi tamaa hiyo imekufanya upotezee watu wawili
Nani kasikia uwe wangu usimpe mwingine naenda kukopa hera bank😂😂😂😂😂😂
@MariamRiziki-o8x
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤yu guys from 🇰🇪 likes basi wana donta tv❤❤❤❤
@MaA-kn9ty
4 ай бұрын
Mm wa 2 kutoka 254 🇰🇪 🇰🇪 naomba like zangu hata 5 hongera Wana donta 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ShukuraniPeter
4 ай бұрын
Aise,donta TV mumefika mbali kabisa😊😊
@dottoaron3661
4 ай бұрын
Mnooo🤣 mteja wa kwanza jmn🤣🙌
@JaphethLuhimbika
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Maria-dg6ik
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢
@BahatiKadenge-n5r
4 ай бұрын
😂😂😂😂 much love from the best move ❤❤❤❤
@SELPHNTIGITIRA
3 ай бұрын
Wangapi wameona nyumba anayoishi victoria ni ile ya mama ntilie
@arikibok4735
3 ай бұрын
❤❤❤❤
@Ngoybanza15
4 ай бұрын
Sauti haitoki vizuri
@shakilasharifa9
3 ай бұрын
Burauwin Ongeza sauti ya kulia😅😅😅
@olivamushi7985
4 ай бұрын
Muwe mnabadilisha hilo shuka jamani move zoote shuka moja badilishen😂😂😂😂
@sophianyambura-ou9kg
4 ай бұрын
Tina congrats
@EsterWilla
4 ай бұрын
AFuuu mnaludiaaa ludiaaa
@AntiGidion
3 ай бұрын
Mi nawapenda2
@Lill12llLil888
4 ай бұрын
Ssa yatufunza nni waume zetu wakichipuka tujiue au
@rukiahassan7001
4 ай бұрын
😂😂😂.hapo napo amekosea kutuonyesha kujiuwa
@SaidaAli-kr3bi
4 ай бұрын
Nice❤❤❤
@marialumbanga
4 ай бұрын
Nampenda lina anavokuwaga mpole
@Irenepamphil
2 ай бұрын
Vicky sitapenda character yako hapa😢
@JeanineNTAKIRUTIMANA
4 ай бұрын
Kunambi uko mutoto mubaya sana nakuchukia
@EunicemouriceMourice-qe3rw
Ай бұрын
Vick tabiaaa iyooo aikupendex
@drinnerfuraha1161
4 ай бұрын
Victoria sigara tena 😂😂😂
@PAULINENTINYARI-gi8se
4 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉
@SharifaOmary-f5c
3 ай бұрын
Ila kunambi jamani!!!😢
@symonmosess5323
4 ай бұрын
Uyo na sigara wapi na wap😢😢😢
@SaraaSaraa-i1j
3 ай бұрын
Hawashuka hili labda la dawa zao maana kila move shuka iloilo
@MussaMwalim-w5m
3 ай бұрын
Kuna mda ubataman kufa kwa ndoa za siku izi
@kayali6543
2 ай бұрын
Kujiuwa kisa bwana? Such ldies exist bado?😢
@JEANNOTKAKULE-l5q
29 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@MARIAMUHUSSEIN-c7y
4 ай бұрын
Jaman kunambi kwa nn umemfannyia hivo😢😢
@STANLEYKINYILI
4 ай бұрын
Kenya Watching
@mwanamisimwapula8392
4 ай бұрын
Sasa walia nini kunambi na alikua hakufai😂
@sophianyambura-ou9kg
4 ай бұрын
Kunambi acha ujinga
@AminaNgumba
6 күн бұрын
Yaan vicky hiz nguo hazikupendez kutokn n shape yako bor uvae madera
@EvelyneKatimi
4 ай бұрын
Nzuri sana
@MercyMercy-l1k
4 ай бұрын
Viktor. Hiyako ya Leo nikali❤❤❤🎉🎉
@symonmosess5323
4 ай бұрын
Mbna inakoroma
@MariamRashidi-n7u
4 ай бұрын
Wakwanza kba😂😂😂😂😂
@EsterWilla
4 ай бұрын
HataA nimepigiee magumu kias gan siwez jiuaa aseee nijiueee kisaa toto la mtu hapana
@نيجي-ن1د
3 ай бұрын
Kaz kuliacha na upuuzi wake tu na umove on na maisha yake
@RizikiZiki
4 ай бұрын
Wamwisho mm uyu 😅
@drsumatz7539
4 ай бұрын
Dawa hazifanyi Kaz haraka hivi mtu akijioverdose/suicidal....... Umewah kutuonesha hraka immediately baada yakumeza ndo ukafa et !!!!???
@ghislainekyubwa1643
4 ай бұрын
Wewe haujui sinema ni kama hadithi? Katika hadithi mtoto huwa anazaliwa na kwa hizo hizo dakika anakomaa na anakufa. Ungeta, wewe binafsi, wapeleke mda gani ili dawa zifanye kazi?
@drsumatz7539
4 ай бұрын
Kunambi unapenda hiko kisuruali 😢
@MpJoskuh
4 ай бұрын
yap, nakubali
@MagdalinAkinyi
3 ай бұрын
😂😂
@sadothleo7624
4 ай бұрын
Content imeharibiwa na upepo
@AthumanJuma-mz5gd
4 ай бұрын
Buku ata pika Nini ata Mimi na mtetea kwailo
@deborahnyiransabimana
4 ай бұрын
😭😭
@fatuma6011
4 ай бұрын
Kuna acha upuzi 😂😂😂
@PatrickBenjamin-b3n
4 ай бұрын
Vicky non no sipendi ile
@sofiakinyia2734
4 ай бұрын
😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@barakaashley
4 ай бұрын
Unatishia kunyea unga😂😂😂😂
@MauwaAuwa1991
4 ай бұрын
Nimefika sija chelewa
@hoseanguvumojamiboki4827
4 ай бұрын
Mpumbavu moja
@JullianaEmmanuel-tm5xg
4 ай бұрын
Yaaan kama ushauri tu, kufa sio sululisho, ila tu n bora kuchukua maamz mengn
Пікірлер: 94