Viki mpenz nakupenda saaana unavoigiza ila hiyo mikope nataman hata usiwe unabandika maana unapoteza uzur wako wa asili
@janemumbua4683
4 ай бұрын
Mimi wa kumi na nne kucomment na nimelike kwa wote mlionitangulia so naomba na mimi like hata kama tano nitafurahi 🥰 Kazi nzuri wana donta plus 🎉🎉🎉
@rukiahassan7001
4 ай бұрын
Vicky wewe mjinga sana huwa unajifanya kuact vizir lkn inaonyesha uhalisia wako umnyama sana.
@PaulinaLorry-b4m
4 ай бұрын
Ukumbuke ni maigizo cyo kweli, lknvicky hakutakiwa kuact hicho kipande
@rukiahassan7001
4 ай бұрын
Vicky wewe series zako zinafaa ziwe xa ustaarabu na sio za manyanyaso au ukahaba
@willykijanaa
4 ай бұрын
Mupo vizuri kabsa DONTA PLUS
@RrShd-vq1xy
4 ай бұрын
Mm nimekua wa sita leo😂😂😂 kama wapenda donta plus 😢😢😢gongs like hata kama tano😅😅😅😅😅
@numpefikimwaipopo
4 ай бұрын
Hata Kama wa Kwanza Sasa wewe like za nini wewe ndo utoe like Kwa wahusika mnatuchosha
@salehmutuwalazima
4 ай бұрын
Kazi nzuri
@BonithaKomba
3 ай бұрын
Victoria hayoo makope ni bora ukatoe tuu maana urembo unapotea 😂😂😂
@ENOCKTVSHOPSHOP
4 ай бұрын
Wanane wapi like za donta TV zije kwangu
@samiasalum9690
4 ай бұрын
Da vick umependeza huko kwa kichwa❤❤❤❤❤❤
@نيجي-ن1د
4 ай бұрын
Ila hiyo roho mbaya hajapendeza kabisa tumemzoea ustaarabu
@edithamikaya-hw3gl
3 ай бұрын
Kweli kbs
@sarahnjeri-tz8eu
4 ай бұрын
Victoria najua unaigiza vizuri sana ila hapa umekuwa mkali bila huruma😂😂😂
@SuzanyJohn
4 ай бұрын
Vick shoga Ang ukali haukupendezi hata kdg alaf pia mekapu haikupendez na hiyo mikope kaaa kam jini shumleta na hayo manywele hayajakupendez
@IrankyndaAline
4 ай бұрын
Vik ihiyisasa nitumachi haki umechonganisha chaukwr juma umememea wuwongi
@sophianyambura-ou9kg
4 ай бұрын
Vick acha kuwa hivyo
@MauwaAuwa1991
4 ай бұрын
Nimefika sija chelewa sana
@MayengDulu
4 ай бұрын
Kama mama wakambo kazi poa sana
@sophianyambura-ou9kg
4 ай бұрын
Woooooiiiii
@RukiaMbarak-s2k
4 ай бұрын
Uwamuzi mzuri sana Browny hongera 🎉🎉🎉
@Amina-i4r
4 ай бұрын
Victoria hufanani na hio roho 😢😢😢😢daaaa sijakuzoea hivyo😂😂😂🎉
@SuzanyJohn
4 ай бұрын
Na hilo gauni jekundu kaaa halikupendeziiiiiii
@PeterOmayo8
4 ай бұрын
𝑀𝑚 𝑛𝑑𝑖𝑜 𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑡𝑜𝑘𝑎 𝐾𝑒𝑛𝑦𝑎
@PuritySalama-yv6to
4 ай бұрын
Mpige kofi la nguvumjinga sana marim
@EuniceJoel-m9i
3 ай бұрын
we Vicky usinichekeshe bhana nenda kwa master kucha
@NicletteKh-q8j
4 ай бұрын
Nime wahi leo jmn like hâta moja si kawaida mm kuwa wa 6nakuaka wa mwisho tuh
@Kinyua-ye8kk
4 ай бұрын
Vick Sio Sawa kabisa unavyofanya
@نيجي-ن1د
4 ай бұрын
Kabisa sio vzur
@LightnessUrio-fo7mq
4 ай бұрын
Aki wew unaroho mbaya mhmhmhmh namikope iyo km mchawi
@jestinamwilapo8653
4 ай бұрын
Victoria na hiyo mikope umekuwa kama jini duuuu, acha roho mbaya
@sophianyambura-ou9kg
4 ай бұрын
Kunambi think
@BahatiKadenge-n5r
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@BahatiKhamed
4 ай бұрын
Sio vizur ivo kutesa shem wako
@FatherofBrightRoshan
4 ай бұрын
More life watu wangu team kelvin hongela🥰🥰🥰🥰
@denique438
4 ай бұрын
Vick una roho nzurii huwez ata kuigiza roho mbaya
@emorutnicholas1893
4 ай бұрын
Watu wa kuomba likes kwa kipindi yoyote mtandaoni watoe mavi na kamasi kwenye ubongo zao
@lavinekezabarezi
4 ай бұрын
nawapenda sana❤❤❤
@ZAHARASALUMU-l6m
4 ай бұрын
Vicky hiyo tabia umesomea lini jmn mbn haukuw hivy dad angu
@نيجي-ن1د
4 ай бұрын
Ni acting tu sio uhalisilia ila kuna watu wako hivyo kwenye hii dunia
@MagdalinAkinyi
3 ай бұрын
Noma sana😅😅
@Fatma99-ve7ys
4 ай бұрын
Tina ukivaa nguo kama izo mbona wapendeza
@ZAHARASALUMU-l6m
4 ай бұрын
😂😂wamwisho leo Jaman 😂😂😂😂😂 naombeni like hata 100 t jmn😜😜😜
@UmmuLeila-r2z
4 ай бұрын
Juma uko vizur
@joycemuenimutua4506
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Mariam kimekuramba 🎉❤ from 🇰🇪
@ShabaniMdeme
4 ай бұрын
Mara hii vick umecheza part isoyako kwakwel
@AnnaMathias-h3s
4 ай бұрын
Hayaa Sasa wachonga majeneza kazi mnayo...
@HadijaKasiwa-ho4ny
4 ай бұрын
Vicky acha kuzingua bana
@AghHh-v3f
4 ай бұрын
Victoria achakero namweziyo sipendi kwakweri wewe kitakukuta 😮😮😮😮
@evaristochillinga9038
4 ай бұрын
Daah sio shemeji hyu
@Mwanaisha-h4h
4 ай бұрын
Mbn huyo juma kafanana na vick
@BethiGody
4 ай бұрын
Victoria bna izo nywele na iyo mikope jumlisha wanja imekukaa vibaya😂😂😂
@Maria-dg6ik
4 ай бұрын
😂😂😂😂😢😢😢❤❤❤❤❤❤
@GloriaMtana
4 ай бұрын
Victoria ulianzq lini hizi tabia jamani
@habibamura5255
4 ай бұрын
Roho mbaya 😢😢
@MariaJackson-p2n
4 ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@sophiegedo9338
4 ай бұрын
Kama unakubali donta tv gonga like hapaaa
@Fatma99-ve7ys
4 ай бұрын
Vick roho mbaya ww
@edithrwechungura2768
4 ай бұрын
kwani kuna mashemeji wanafanya haya?
@AbdulmarickIbrahimu
4 ай бұрын
mm wa kumi na mwisho naomben likes zenu
@annamnyazi8206
4 ай бұрын
❤❤❤
@EmmyChaula-fx4ir
4 ай бұрын
Hio staili ya kichwan ya vic,,😂😂😂
@shakilasharifa9
4 ай бұрын
Mariyam kaumbuka 😂😂😂😂
@roudhamahmoud763
4 ай бұрын
Nely hizo nywele kutochana ndo vipi
@KasiwaManda
4 ай бұрын
Mariam Abe 😂😂😂😂😂😂
@TantineZuzu
3 ай бұрын
Jamani Victoria acha kumutesa shemeji yako mbona unafanya ivo 😢😢😂😂❤❤🇧🇮🇧🇮
@IrankyndaAline
4 ай бұрын
Vik kinawumana😅😅😅😅
@roudhamahmoud763
4 ай бұрын
Viki wa moto umekarambuka skuizi😂
@Kinyua-ye8kk
4 ай бұрын
Acha unafiki Mariam
@aaminaasljbgbvf745
4 ай бұрын
Kama ni mimi ningekuzabuwa kofi mmoja ukaja mwambie mumewake😂😂😂
@Thuma-g8o
4 ай бұрын
Viki kavaa foronya
@edithamikaya-hw3gl
3 ай бұрын
Vick hata hupendezi kuigiza ukiwa narohombaya.
@hanssrukwa1604
4 ай бұрын
Kwaiyo alie edit kazi hii hiyo maik ameamua tu kutuobyesha au ndo anajifunza kazi? Jaribuni kuwa makini na kazi zenu bhana tunawavumilia adi tuna choka
@RaheemaOmani
Ай бұрын
Kazi nzuri Wana Donta
@ZaiDolis
4 ай бұрын
Da vick mbona haufanani na hiyo tabia jamani
@JeannetteManirambona-o6m
3 ай бұрын
Vicky acha roho mbaya leo umenikera
@LucyLucy-me5ge
3 ай бұрын
Katika muz zooote hapa nimepoteza mb zangu chikamoo vick😅😅
@RhoidaKhwele
3 ай бұрын
Hv vicky una miak mingap
@HalimaKibarua
3 ай бұрын
4:01
@Priscillakagendo7
3 ай бұрын
Vick aai wee ni msechi
@LoiceKatana-ci1tx
3 ай бұрын
Mwisho wa ubaya aibu vicky
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
3 ай бұрын
Yani nimenchukua Mariam mpaka nikasaau kama ni movie
Пікірлер: 99