Doreen kiukweli dawa zako ni nzuri sana kiukweli zinasaidia mnoo
@edsonnelson4464
Ай бұрын
Hongera kwa kujiamini, maaana hizi shughuli za Tiba za Asili na Tiba za Jadi wengi huwa hawapendi kujitambulisha maana baadhi ya, dini hizi zilijaribu kushawishi waaafrika waachane na tiba hizi wakisema ni mambo ya kishetani na ukiendekeza huko unaaambiwa huendi mbinguni, especially wa umri kama wako
@jasmintemu7238
29 күн бұрын
Kweli huyu ni ndungu na Nandy babake na mfaamu❤
@ClarahMwase
Ай бұрын
Dawa zake ni nzurii sanaa sanaa..😊
@JELSONMAUKI
Ай бұрын
Sawa shuhuda 😅😅😅😅😅😅
@surusuru1994
Ай бұрын
Mash Allah kumbe wakwtu kwmama❤
@JELSONMAUKI
Ай бұрын
Kweli kabisa nazidi kuona utofauti ya kuwa na elimu na kutokuwa na elimu. Kashamaliza degree yake lakin akaona hili hili afanye kazi ya ndoto yake akaona asome vi Short course lakn angekuwa hana elimu hasiongeona haja ya kupata elimu kuhusu tiba asili angeimgia mazima mazima 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@ChristineElias-bn4dw
Ай бұрын
Sio mbaya kwani kuwa mganga ni ajabu xnaaaa kaah
@JELSONMAUKI
Ай бұрын
Hyo kaah 😅😅😅😅
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Shida ya dawa ya asili,walio wengi,myuma yake kuja spirit/roho(nguvu za giza) Mungu ametuumbia mimea vzr,ila adui ametumia mawakala ili kuzitumia na nyuma yake kuna mashart wakati Mungu hakuweka mashart
@miaduana
Ай бұрын
Wana damu kali, wanafanana balaa
@vibetz9991
Ай бұрын
Tiba asili is the best
@jinnahsameer
Ай бұрын
Kaka kama hutojali naomba namba yako
@mwajumamohamed6426
Ай бұрын
tutampata vipi
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Wamefanana ,warembo kwao
@elizabethwanjiku7831
Ай бұрын
Ni binamu tuu. Wacheni kumuingiza Nandy
@fortunataangelo5575
Ай бұрын
Jamani Instagram anatumia nani?
@Keyjop
Ай бұрын
Mmmh ..nyie wanaume wanaponaje Kwa style hii 🤣🤣🤣🤣
@auntiemylee3157
Ай бұрын
Weee wazii tena
@KideNetworks
Ай бұрын
She is a Virgoo
@elizabethwanjiku7831
Ай бұрын
Madhabahu ya kishetani na nguvu za kuzimu. Heri upande wa Mungu
@edsonnelson4464
Ай бұрын
Upi, kwani huo siyo upande wa Mungu? Kwani nani aliyeiumba mimea hiyo na kuiweka duniani?
@JELSONMAUKI
Ай бұрын
@@edsonnelson4464. Shida ake kasoma kichwa cha habari hajasililiza interview hyo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅. Amin hicho 😅😅😅
@mrsanna7820
Ай бұрын
Kwanini hiyo Instagram account amukuandika apo kwa screen?
@ashakisongela1891
Ай бұрын
Ni dada yake mtoto wa baba yake mkubwa anaitwa doreen au zuhura
@Catherine-mh8sw
Ай бұрын
Ni mwislam au naona anaitwa zuhura
@MariamKichawele
Ай бұрын
Wanavyokataa utadhani Nandera ni malaika kashusha hvy hana ndugu,hawakawii kusema hata baba ake sio baba ake jamani
@Shafikimanga7
Ай бұрын
Aliye edit ndio aliyepiga picha hizo?
@elizabethwanjiku7831
Ай бұрын
Kiki tuuu
@nancyg8664
Ай бұрын
😂😂 kama wewe umezoea kiki peke yako, wengine hawana izo mambo
@channyanjen9047
Ай бұрын
Njoo anampa Nady madawa
@LoveAron
Ай бұрын
Mh!!!! 😳😳😳
@AfricaQueen
Ай бұрын
@@channyanjen9047 umezoea matunguri ndio maana wayasema haya wacha chuki weweeee mkosa riski Na muwaza uchawi sikiliza kwa makini hii sio tunguri unaelewa maana ya dawa ya asili wewe🫵🏾pumbavu kakojoe ukalale 😏😏😏🫵🏾🤪
@MagomaPato
Ай бұрын
Ndio sababu Nandy amejoin Alikiba na Harmonize kwenye uchawi...kuroga youtube account za Wasanii wa WCB...Aibu Tz😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
@elizabethwanjiku7831
Ай бұрын
Udaku utakuua. Hayo umetoa wapi
@israeluronu9958
Ай бұрын
@@elizabethwanjiku7831😂😂😂😂
@RonnieBertin
Ай бұрын
Wewe akili zako haziko sawa. You need medical attention
@nancyg8664
Ай бұрын
sometimes kuna comments zinashangaza jmn uwenda anaecomment ni mgonjwa wa akili so tusishangae
@braitonurio
Ай бұрын
Ehhh
@AishaOmaromar-w2t
Ай бұрын
Uyu sio dadake Nandy akome
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Ila wabongo sa unabisha nn😂 Ushaambiwa ni dada yake mtt wa baba yake mkubwa
@Nuru9568
Ай бұрын
Ni dada ake kweli Mtto wa baba ake mkubwa
@anethonesmo6390
Ай бұрын
Punguza makasiriko Nandy n binadamu wa kawaida kama ww na anandugu kibao
@nancyg8664
Ай бұрын
kwahyo nandy hana ndugu au unataka kusemaje
@hellendaniel3809
Ай бұрын
Unajikuta unajua watuuuu😂😂😂😂. Unachekesha
@aishaabrahaman9957
Ай бұрын
Anatumia jina gani Instagram
@anifamickidard4555
Ай бұрын
Sio Dada yake aache kutafuta Kiki
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Wanafanana kabisa Umemsikiliza ? 😅ni dada yake, mtt wa mkubwa na mdogo
@svt3
Ай бұрын
Ni dada yake baba zao mkubwa na mdogo kama Idris Sultan na Lulu diva, kama mke wa Barnaba na Dully Sykes
@Ms_Nuuh
Ай бұрын
Wew ndo unatafuta kiki
@nancyg8664
Ай бұрын
😂 kwan nandy ni mdudu ata asiwe na ndugu binadamu baadhi mpoje nyie
Пікірлер: 95