mchungaji wa ngombe haezi ombea watu kanisani...POINT..NIPE LIKE
@jaycvevo9843
Жыл бұрын
Namkubali dogo ..from Kenya show some love
@user-vv5xd3ye4i
6 жыл бұрын
WEE JAMAA NAKUTAFUTA UKACHAFUE KWENYE NGOMA YANGU MPYAAA MAMAEEEEE... Uko hot 🔥🔥 joh
@nangasulachika688
5 жыл бұрын
nakubar cna
@sayuniurassa2826
6 жыл бұрын
This has never happen this is pure hiphop safi sana mwana wewe ndie best wa kumi za mangamizi
@malulujr
6 жыл бұрын
mwanaume shujaaa ndo maana akapewa vichwa viwili.kama unakubaliana na mwana gonga like twende
@malulujr
6 жыл бұрын
fifi baada ya kuuelewa huu mstar hako kakicheko ulikocheka sasa ni nouma nimekaelewa fifi
@ibrahmustaph2549
5 жыл бұрын
Jakaya akirudi leo kuhusu mm nipo radhi
@mrjackchananashon4
5 жыл бұрын
Usiniunge mkono hii miwili ina nitosha
@double8tz
4 жыл бұрын
ila mwanamke sanaa ndo mana kapewa midomo miwili
@ninjadamour5592
6 жыл бұрын
1. Flow Unique 2. Lyrcis za Kizazi 3. Anasikika.. 4.Anafurahisha na Kufundisha Pia Mwana MKALI... Real Emcee
@akramburuhani1247
Жыл бұрын
Anajua sana
@dullamitego5839
21 күн бұрын
unyama unyama unyama n mwingi mdogo wangu @matrex nomaaaaaaaaaah
@stewarthoulreennasri4159
5 ай бұрын
Noma sana huyu Mwamba
@emmanuelngenza4300
6 жыл бұрын
Mwanaume shujaa ndo mana tuna vichwa viwili 😁😁
@dannyeliya9010
3 жыл бұрын
Gonga like hapa kama ume muelewa jamaa yupo poah sana
@hassankissu7639
6 жыл бұрын
Oyaaa huyu jamaa ni noma sana
@kimudymc3808
4 жыл бұрын
Uy jamaa alud tena uyo noma
@jamalmullerjordan
6 жыл бұрын
ani mi nimeingia apa kwa dakika 10 tu ata sitaki likes zenu from 254 kenya
@asumanishafii7493
4 жыл бұрын
Hutoeza hii show
@isaiahdavid4597
11 ай бұрын
kaa la moto should see this ,., ,.Bongo hip-hop
@shadeemzawa2321
6 жыл бұрын
Mtwara mahood Gonga like kama unamkubali MATREX MICHANO
@matukiostendterminal8811
5 жыл бұрын
Noma
@meekidady9279
6 жыл бұрын
Mamaaaah aliemzaa uyu Jamaa alitisha chaajabu ila aliezaliwa anafurahisha kinoma
@sharulchenja2167
4 жыл бұрын
"eti para ni kalio lisilo na hisia za ngono"...😂😂huyu jamaa fala sanaaa
@bongoskills7008
5 жыл бұрын
Huyo atokei mtwara bari kwa Lindi mjini, mwanangu sana toka Lindi seco, kitambo sana
@mobaisa1704
4 жыл бұрын
kwaio unampinga mwenyew??😂
@omariontz2936
6 жыл бұрын
Kizazi sana matrix nomaa big up
@riffaybabesh9441
6 жыл бұрын
Jamaa yupo vizuri sana anaijua midondoko na kupangilia mashairi kwa ustadi. ILA dj sama unazingua midundo imepooza sana.
@dullarhymez5240
6 жыл бұрын
riffay babesh hakuna Dj apo chenga tu
@dausonkidenya7135
6 жыл бұрын
+Dulla Rhymez truu kazngua dj
@bakariabdul7088
6 жыл бұрын
#Gonga like km unamkubali matrex mnyamaaaaaaaa..,.,. #anakufa Juma then alazwe mahali pema Amina.,.,.,.,., #
@ramanolmwilax2520
6 жыл бұрын
matrex nomaaaa umetsha brother kaza usibweteke na sifa"TT empire"
@imadida6302
4 жыл бұрын
Matrex mwamba matrex hip hop ipo inaishi kwake
@lithmanchaza1865
6 жыл бұрын
kunichukia ni sawa na kuchambia panga
@odamanbarnaba6582
6 жыл бұрын
Tisha sana mkali .... Yani ni zaid ya noma huyu jamaa
@dkensmopainvevo3683
6 жыл бұрын
Nimejikopesha nini hadi useme najidai💯💯💯😂😂💪💪💪💪💪💪
@Richbwaxs
5 жыл бұрын
Matrix 🔥shabiki wako uyu from Kenya 🇰🇪 💞
@mnedykarim777
6 жыл бұрын
Whataaaa fantastic rapaaa..... nmeelewa sana michano yako jamaa matrex
@SaleheKsozy
4 ай бұрын
Kufulii🔐ina funga lakini haijawai kuftulu😁😁
@tmarleypaul9052
5 жыл бұрын
nimejikopesha nini adi useme na jidai
@ltprod3714
4 жыл бұрын
the dj really giving hard back to back instrumentals
@abasmwika3432
Жыл бұрын
Mtoto mbaya sana huyu nilikua sijamsikia daah
@aloycedaud6059
6 жыл бұрын
Dah bro we noma noma sana jina na vina vinaendana
@dronemiguel2230
6 жыл бұрын
Huyu Dj ndo kaipozesha hz dakika 10 Za leo
@rodgersmsosa4471
3 жыл бұрын
Mooooo
@goodluckydavid5331
3 жыл бұрын
kuvaa nguo mpya ... huleta mwendo wa KUNESA. #Mc mnoma sana.
@rajabushomari2910
6 жыл бұрын
Dah Mchiz anajua sana
@deejaymatiangi5063
3 жыл бұрын
Kijana ameuwa mbaya sanaaa
@costanembuka9812
6 жыл бұрын
sawa home boy.. pamoja sana. 💪💪💪💪
@mwanasharifaahmadi6115
6 жыл бұрын
matrex nomaah,, anasema usifurahi kuolewa kumbuka saba analiwa bata,, hahahahahhahahaahaa alafu unachana kimakonde sijaelewa lakin umetisha mpedwa kila la kheri be 💪 utafika mbali usikate tamaa baddest
@mobaisa9475
5 жыл бұрын
Mwanasharifa Ahmadi nakupenda chiupanga vina, kakayo amtwetwe mzungu wa kwali umbemtwala mchina,,,,, tafsil yakee Napenda unabopanga vina, kaka ako amemchukua mzungu ww cjuw utamchukua mchina?/ Kk ake anaemtaj apo n konde boy
@sokolobrand7077
6 жыл бұрын
Asali tam kuliko ndiz ila nyan hatambuhi hilo licha ya stress kama hz bado sipungui kilo msushe #jay_nas aje kuangamiza hapo jamaa anajua sana hiyo ni moja ya lines ya ngoma zake
@ibrahimshabany8513
6 жыл бұрын
kicheche akikutaka usibishe ili ayakumbuke maisha mzalishe
@bakarichijumba2008
6 жыл бұрын
Matrex umetishaa safi sana Mtwara Boy
@mobaisa9475
6 жыл бұрын
Matrex the best raper,, #punch__unit_maneno_is_busness
@mbutatheswax7926
6 жыл бұрын
Up
@mobaisa9475
5 жыл бұрын
Huyuu jamaa n hatar
@tracejeezy8917
6 жыл бұрын
PUNCH AFTER PUNCH 🔥🔥🔥
@meshack2559
4 жыл бұрын
Jamaa anajua kutunga vina vyeny radha, jamaa fund fund kinoma noma
@saimonsingaile584
5 жыл бұрын
yan dj summer ungekuwa unajua cjui ingekuaje maaaana huwa unaboa kishenz cjui hata ulipataje nafas hapo
@deogratiuskombe5789
6 жыл бұрын
Umetishaaa Sana
@housechildren1250
6 жыл бұрын
Huyu jamaa hatari sana ..nampa salute
@wakushineclassic798
6 жыл бұрын
Ebanaee blessd sana nimekubaliii #matrex noma sana
@shaibinhojr3209
Ай бұрын
Kiufupi dakik 10 za maangamizi imebakia histry sas😊
@mussajoseph7746
6 жыл бұрын
Moto wa Ntala uo 🔥🔥
@zachariambasha1391
6 жыл бұрын
Jamaa nomaaaaaa
@tomplexbrigedier2282
5 жыл бұрын
Unaweza jomba....
@muhsinhafidh5490
6 жыл бұрын
safi sana broo.
@asifiwemashine992
6 жыл бұрын
Mwana anajua sana huyuu apewe muda
@muhsinhafidh5490
6 жыл бұрын
nimekubali bigup kusini kukovizuri jr mwambie frida asipende lafuzi ya tanga tu.
@samboy9177
6 жыл бұрын
Mamaeee noumaa sanaaa mshkjiii
@edwardcharles1066
5 жыл бұрын
bro uko vzr hongera kwel we mchano matrex
@hassanomar1041
6 жыл бұрын
Jamaa yuko sawa sana mno
@benardamuga510
6 жыл бұрын
napotunga tungo,tunga uzi ufume suruali #mchungaji wa ng'ombe hawezi kuombea watu kanisani.
@jonaskatoto7514
3 жыл бұрын
Sound Kama Roma Mkatoriki👋👋👋
@patriceenos8681
6 жыл бұрын
Matrix nomaaaaa sana..........................
@emmanuelsambay8571
6 жыл бұрын
Hiki kichwa bro..... Kaza but utafika mbali
@oscarmwanuke7439
6 жыл бұрын
safiiiiiiiiiiiii oya anajua sana
@seifbaus7
5 жыл бұрын
Hip pop iko juu tn sana
@miltonemusumbah2544
6 жыл бұрын
This is Amazing...... Rating 8.5/10
@salmahfoudh6121
5 жыл бұрын
umetishaaa saaaan mzee naququuubal mitwer forever
@elialotha5272
3 жыл бұрын
Nakubali xan
@petromahava865
6 жыл бұрын
matrex noma...anajua sana
@prosperngowo6181
15 күн бұрын
Matrix noma🙌
@mndigaboy2534
6 жыл бұрын
Dah Fifi umecheka sana ebufanya kutimba kwenye kumi zamaangamiz bhna nakisubiri wewe tu
@alwatanafrikan5910
6 жыл бұрын
Fifi anajua nini bwana? Wakati Rapper kibao wapo mtaani.
@elisanteephrahim7444
6 жыл бұрын
So far the best kwa hii game! Sana sana sana!
@rodgersgingila9367
6 жыл бұрын
dis head z noma toka ktambo
@kumwambamc5801
6 жыл бұрын
kama KZitem ingekuwa naweza kutuma voice ningetuma oyoooooooo noma sana matrex
@allyallymohdabdallah3373
5 жыл бұрын
Atarisanaaaaaa
@eliabujohn5472
5 жыл бұрын
Uyuu jamaaa anajuaaa san
@kuruthumuswedy7837
3 жыл бұрын
Wap wa 2021
@danielwilfred2609
6 жыл бұрын
I see a bright future upon u bro lyrically sophisticated
Пікірлер: 332