“ma undergroung ndo wanafanya hip hop inangara” Respect brother Professor J
@richardcastro2386
6 жыл бұрын
🙋
@jacksonmkwela6824
6 жыл бұрын
kiukweli mzee baba sijakusoma kabisa narudia tena sijaona kama mchama!! the best
@zerpaul8981
6 жыл бұрын
umefanya poa wasiojua awaoni wameshikilia tu apo ulipo uliza mda
@jumayusuf1694
6 жыл бұрын
Umezinguaaa niki2 halaf mbona hujiaamini unaoneshaaa unatizama saa kila sekunde. Mleteni nchama the best& haidary scoba wafanye yao
@yusufmsuya9
6 жыл бұрын
weusi blessed........nikki poa sana
@zaituniathumani8659
6 жыл бұрын
hiphop is harder than math's nikk you have killed it..#from R chuga tunawakilisha™
@dennischarles8524
6 жыл бұрын
Safi Sana, I like those rymes, lines zina akili na ubunifu mkubwa, we want to listen to u more.
@ramadhanthabith6668
4 жыл бұрын
Lunya na s2kizzy kam nawaona
@mtokambali801
6 жыл бұрын
Only under grounds can kill 10min, some one like Scoda mc, Nchama the best & Maarifa big thinker.
@omillomi1206
6 жыл бұрын
kweli an
@baloziubalozini5074
6 жыл бұрын
Ana midondoko mingi mikali + lyrics tamu Ila hajatoa mzigo wa Kutosha so binafsi naweza sema hajazitendea HAKI DKK 10 ZA MAANGAMIZI
@didamugya6039
6 жыл бұрын
Huyu jamaa anaongoza kwa Lylics skills bongo, the man is genius though dakika 10 zimemuangamiza😁
@jackkileo6740
6 жыл бұрын
dida mugya inaitwa lyrics sio lylics
@hassanwazir3458
6 жыл бұрын
dida mugya acha kupotosha kwa lipi alofanya na Ana lyrics skills zipi upuuzi kafanya fala uyu asiejuaa kuchana miaka yoteee nilioiona kwenye game in short hawezi
Oa irudiwe nawaona wauni kibao lunya na frida oyaa s2kizz nawauni kibao
@theoriginals3240
6 жыл бұрын
nickiii mavina
@mkomenijumamkomeni6513
5 жыл бұрын
Niki Ni noma sana
@ahmedkhatibu5387
6 жыл бұрын
ebana weeee,,,,,,salute mkubwa Nick wa pee
@chikirasaid6575
5 жыл бұрын
oyyya nakubali babbu unajua had uunakera
@anohwizman6605
2 жыл бұрын
Aliuwaa Sana mkaliwade wa R
@mbishitrump5621
6 жыл бұрын
Nikki wa pili kazana tizi mzee umepwaya japo una mistar ya kurudia
@gloriaringo9363
6 жыл бұрын
holaaa holaa !!!!!!!!!! nice Kaka
@edsonmtatiro2622
6 жыл бұрын
Yuko fit jamaa aisee
@franklampard342
6 жыл бұрын
hizi dk 10 za maangamizi kuna siku zitakuja kumwaangamiza baadhi ya emcees
@daudadam1453
6 жыл бұрын
frank lampard hahahahahahahaha kweli jamaa
@mussadembelle2845
6 жыл бұрын
Dakika 10 ni nyingi sana kwa ma fake rapa lakin siyo mbaya umejitahidi
@ikoziboy4488
4 жыл бұрын
Freestyle inakuwa tamuu wakiitwa marapper maundergraund bhana huyu star anazingua
@isacknguvumali3445
6 жыл бұрын
Huyu ku flow hawez hivi vitu ana weza young killer. Napenda music wa nikk wa pili ila kwa hili limekutoa Ko
@billycage5672
6 жыл бұрын
kaishiwa mistar nn mbna anaomba pooo....
@fundisalum5874
6 жыл бұрын
Naona kila mara anacheki saa kwa ukuta kweli hakuna kitu hapo.....bado lunduno watakuwa hip hop harisi siooo haoo....
@lomgoldtz907
6 жыл бұрын
god bro good blees
@jaystar1004
6 жыл бұрын
Mtu kaimba vtu special lakn mnaleta ujuaji mwingiiiii........mnashkilia tu hapo anapouliza mda......kwel anasizi sana lakn co kwamb kashndwa..#nikki katisha bn
@dobidotz3696
4 жыл бұрын
Aibu yako bro
@elishamachilu5414
6 жыл бұрын
Aisee sijaona aliYEweza kumfuniKa HIDARY ESCODA A YOUND KILLER kwenye dk 10 za maangiziii...hawa wengine wanazinguaa saaana
@heriprince6166
5 жыл бұрын
Elisha Machilu ushawah iona ya Bonta Maarifa ww?? Jamaa ana'flow had anaambiwa muda umeisha bad0 anataka aendelee..
@jordaninosenti3549
2 жыл бұрын
Noma sana nakumbushia Dk 10 zirudiwe tena
@chandenyatto2497
2 жыл бұрын
Huna lolote bora uimbe taalabu sio Mc wew
@musasadiki3898
6 жыл бұрын
Sometimes Lina mistari interesting lakin limezinguaaaaa, limepwaya li Nikki. Hahahaaaaaaaaaa.amepotea
@mbishitrump5621
6 жыл бұрын
Haidary scouda & selementally bado wameangamiza dakika 10 mpaka leo hii
@eddiedonald7483
6 жыл бұрын
Nikki ana mistar mikali ila dakika kumi hapana maana tunataka mtu atakaetupa mizuka sasa nikki toka dakika ya kwanza anachungulia saa af ana sizi sana adi anakata stimu.. laiti angeunga bila kusiz siz angekua ametisha saana
@sefagomez6883
5 жыл бұрын
Da Unajua mpaka unaboa Niki
@princefd3921
5 жыл бұрын
yereeee
@meshakimmale2003
5 жыл бұрын
kumi za mangamizi wote mmeka kwa watoto wa kike stosh na kiu girl
@mnedykareem3927
6 жыл бұрын
Nimekuelewa nikki ila dzaini ka beat zpo chini sana
chid benz ndo baba laooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
@masaimara3750
6 жыл бұрын
jamaa kanyea debee, kila wakati anaangalia mudaa...hapa maangamiz yamemuangamiza for real..tokaa
@sambayoo6441
4 жыл бұрын
Niki ww bado me namkubali maktric noma
@maryremmy9112
Жыл бұрын
Weeeeeee 🤙
@allanausi5099
6 жыл бұрын
hamna kituu .... respect tu maarifa
@boyclassic5122
6 жыл бұрын
Saafiiiiiiii sanaaaaaaaa
@amourmohd3510
6 жыл бұрын
duh kweli verse for money broo
@dr.abdinassir6807
6 жыл бұрын
ningeomba #Nikki angalie alichokifanya *#Maarifa* alafu ajiulize *niaibu msanii mkubwa umeshindwa kumaliza dakik 10 dah* 😂😀😂😀 I can't believe kk
@emmanuelmzava4191
6 жыл бұрын
Dr. Abdi Nassir kafanye ww hzo dakika 10
@officiallyimo6772
5 жыл бұрын
Hapana
@dhatianafi4409
6 жыл бұрын
Niki uko vzr sana kaka
@jakaonlinetv1920
6 жыл бұрын
#bado sana
@tchipppo
6 жыл бұрын
ua sana mweusi haters utawajua tu.
@madeduwatanashat6342
6 жыл бұрын
yuko njema sanaa jamaa
@zakariagerald6381
6 жыл бұрын
Hahahah mzee baba dk zimekutoa jasho...... umejitahid though
@angelmacha5773
3 жыл бұрын
2012 watching
@rechohorogo8087
5 жыл бұрын
Niataliiiiiiiiii
@evelinekaaya586
4 жыл бұрын
Full xanah ding
@zompasevenludovick51
6 жыл бұрын
afu ndo mnajiita wakali wa Hip-hop bongo...tumuacheni Chidbenz abaki kuwa Chidi aseee
@lawrencealfred1707
4 жыл бұрын
Iko sawa
@hajjichibu8117
5 жыл бұрын
namuelew xna niki 🎧🎤
@nicholauswiliam8876
4 жыл бұрын
Ngumu nyeusiii haina kwereee
@crispingerald3000
6 жыл бұрын
ninoma minamjua jama haadikang kwenye dafutal anaandikanga kichwan ndosfa ya jaman
@frankjokonea5653
6 жыл бұрын
masuperstar wanazingua tuu
@jovinoryoungpoisonjames6270
6 жыл бұрын
nyinyi nima k mnaocomment kua Nikki si kichwa mm nampa miamia
@samsonkusupa6809
6 жыл бұрын
sasa maanake nn AF wakisema yang killer anawakalisha mnaanza kutoka povu
@nonamenoname-vx1lb
6 жыл бұрын
lain hakuna kutumia nguvu jamaaa anateleza vizuri bila kutumia mbavu
@ToyTz
6 жыл бұрын
jamaa ana mistar mizur sana tena yenye ubunifu ila anasiz sana
@fdkdonard8489
6 жыл бұрын
mwenge Wa Uhuru sio #Bamaga
@hisammaziku4658
6 жыл бұрын
good show man
@cholokanji7139
6 жыл бұрын
mm naona niki ndo kaketa mistar yenye man kuliko awi wanao frestyle lkn hawaongei vitu vyamana mstar ipo mingi lazma ufikirie pale
@oscarjoshua9284
2 жыл бұрын
Nan kamuona s2kiz
@allytunda8489
5 жыл бұрын
Kalii @daddyboy
@AdolfManyanga
6 жыл бұрын
Haya maangamizi ya nik hata hayawez kuua mbu
@mickskillstechnology7511
6 жыл бұрын
Mastar kwenye dk kumi za maangamiz wanapwaya, leten ma-underground ndo wanayoosha au legends wenye mikato ya freestyle kama zila na stamina
@UndersqoMuzik
6 жыл бұрын
Wa Pili🔥🔥🔥🔥🔥
@immadc2339
5 жыл бұрын
gud sound hip hop
@gilesbashaje775
4 жыл бұрын
Nakubali kaka
@mtokambali801
6 жыл бұрын
Kaangamizwa na dk 10😸😸😸😸😸😸
@promramson80
6 жыл бұрын
vituo vingi mnooooo
@miltonemusumbah2544
6 жыл бұрын
Amelemewa. Hivi hakuna msanii ambaye ameweza kuangamiza dakika kumi za maangamizi akazizika kama CHID BENZ.... Naomba kujua ni saa ngapi hii show huangushwa live kwenye radio ndiyo niwe naitegea live
@mzalamohalisi6754
4 жыл бұрын
Hawa Jamaa amnakitu kabisa wana bebwa na miadia to nilijua atanimalizia MB zangu Hip Hop aiwezi kabisa puzi akuna mistari myepesi kama karatas
@noahefelemu9395
6 жыл бұрын
Respect
@swaggadiv
4 жыл бұрын
Nacheki young lunya na S2KIZZY Kumbe walikua wanajipanga saizi ndio baba yao
@rashidyjumanne8107
3 жыл бұрын
Mhhhh
@saviongaila3546
6 жыл бұрын
Apo ndio Tofauti ya NIKKI MBISHI na ma MC wengine inapoonekana
@mudyhamady5859
6 жыл бұрын
juuue hawawez kufanana wote m namkubali huyu anatoa mistar mikali sana
@sonofjesus1832
6 жыл бұрын
dula nakuomba tuletee na six O'Clock ktk dakka10
@humphreydastan1032
6 жыл бұрын
Nikki amezingua kaya
@evanskidero8697
4 жыл бұрын
VIP
@mnyakitz2007
6 жыл бұрын
midundo iwe ya hip hop ...tuu uyoo DJ sometimes anawazingua rappers ...
@Prem_Rich
6 жыл бұрын
Amani na Upendo Daimaaaaaaa
@tomplexbrigedier2282
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.....hadi unaomba pooooohhhhhh!!!!! rapa mzimaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀 #UMEANGAMIZWA KAKA.... MPKA JR. ANAKUAMBIA HII BEAT BADO HUJAITENDEA HAKI 😂😂😂😂😂😂😂
Пікірлер: 222