mpaka sasa nimeiyangalia hii zaidi ya mara 20 ruf mc ni cheche kama umeiyangalia mara nyingi zaidi kama mimi bonyeza like 🔈🔉🔊📢📣📯🎼🎵🎶🎤🎧📻🎷🎸🎹🎺🎻💿📀📹📷📺🎬💻🔌
@honestkichuna2927
5 жыл бұрын
Me maraa kamaaa 100 Hv
@sobiborexaud3016
5 жыл бұрын
Niamini mimi japo sifufui watu
@husseinchiaseeds2653
5 жыл бұрын
Ngoma huwezi kuishiba
@rashidbakari2238
5 жыл бұрын
N kisanga itabaki kuwa juu mawingun
@ivanchriss2256
5 жыл бұрын
Bdo sijaona kma Raff
@rasdarkvanbraize
4 жыл бұрын
Kama na ww Umerudia mara buku3 kama mm..ww n real Hiphop.. Raff 🙌🏻 Salutee Blessed Una bonge la Panki hadi kiduku Chalalama😂
@comradehamimu2763
6 жыл бұрын
mjanja sijanjaruki/mshamba nakaza kamba wenzangu wanakaza buti/mm ni bora kwenye ubora upi?/mtoto anatema asali naishia kumlamba nyuki😀😀😀😀Raff shkamoo
@nurunjematv9834
6 жыл бұрын
Kwa kweli Raff Mc shikamoooooooo mzee baba planet Bongo kipindi pekee kinatuletea madini ya ubongo wa fleva
@kiokomutua3209
5 жыл бұрын
From Kenya mc raff apewe platform hapa Kenya...talanta inaonekana apa east Africa ....only platform. ...can feel the content and it's acceptable. ...Nairobi inatii tutakimbia ka baboons. ..speed inataka limit ya khaligraph jones#kemusic
Jamaa ni zaid ya Raf nnazozifaham...#UNIQUE kimidondoko mpaka njia.
@charzlee8808
6 жыл бұрын
huyu mwamba ni hatarr xanaa aisee kwenye michano🎧🎤🎵
@fazeelshomary8743
6 жыл бұрын
Huyu mwana anastyle kali sana ya kuchana huchoki kumsikiliza
@athumanhotty227
6 жыл бұрын
anajuaaa mpaka haielezekii
@emmanuelasheri7037
5 жыл бұрын
One of my best hiphop mc in Africa #salute
@kapolesyaba3133
6 жыл бұрын
duuuuuuuuuuuuuh! maana halisi ya mziki ni burudanii. nimekuelewa sana RAFF MC!!!!
@isaacsqueezer912
6 жыл бұрын
Daaaaah raff noma san sijui nilikua wap mda wote
@salimunurdini1448
5 жыл бұрын
isaac squeezer noma sana
@yusuphmbasha6706
6 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌Raff mc Hayaa leten na sight more tumalize kbsaa
@omarysimion5057
6 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌 watu wasiyojulikana noooooma s aaaaa na free eee eeee sh sana anajua
@kinarazemaster7321
6 жыл бұрын
Jamaa katishaaa,,,, weee Chuga (Evance) Mara ya Kwanzaa huyu jamaa nilimjua kwak0 nlip0kuuliza wasanii una0wafuatilia,,, Uliniambia huyu ndi0 wa kwanza
@machedaboy2520
6 жыл бұрын
dah jamaa kaua mbayaaaaaaaaaaaa
@emmanuelasheri7037
3 жыл бұрын
Haya ndo maangamizi saaa,2021 naludi tena kupata vibe za hatari,ukishindana na raff mc ni sawa na kuchezea umeme wa grade ya taifa
@jafalifadhili4096
6 жыл бұрын
Hii ndo hiphop alisi Jamaa mkali kinoma
@benardamuga510
6 жыл бұрын
Kali sana Mr wrap mc.likes.
@kevinkevoo3154
Жыл бұрын
Uuuuuuuuuuuwiiiii unguzaaaa studio Choma chomaaa maik
@roqerz
6 жыл бұрын
Sigangi njaa nimeacha kiporo ndani😂😂😂😂
@bonnysure5131
6 жыл бұрын
Raf mbayaaaaaaah! Chuga balaaa mjue sana mkali
@paulokiwango21
6 жыл бұрын
i love hip hop from my childhood.raf mc nakuelewga sana
@WildStanley01
6 жыл бұрын
Raff umeuwaa baba
@erickdioniz1330
6 жыл бұрын
Raf mc is the best since day 1
@mr.performance2533
6 жыл бұрын
The definition of true rapper
@charlesnghwaya1619
6 жыл бұрын
Mwana anajua sio siri heshima kwako mkuuuuu
@titodickson8232
6 жыл бұрын
Raff mc ni sheeda aseee
@mahmoudhussein2095
6 жыл бұрын
najinyongea kisha nachomea fasi.....umewaharibia kinyama man... safi sana
@DogoJanjatz
6 жыл бұрын
Raff is baddest rapper!! 🔥
@mandelamolel6310
6 жыл бұрын
DogoJanja hatar
@mtakatifutv9967
6 жыл бұрын
Sebadon mnamjuaaa??
@emmanuelasheri7037
5 жыл бұрын
Janja nyie si ndo mmekimbia uku,jamaa anatutoa upweke ,mitembeo hatari hadi raha, anapita hadi raha one of my best rapa in africa
@alexjackson8874
5 жыл бұрын
sasa dogo mpekolaboo moko chali ni kwiki
@gerardcharles6033
6 жыл бұрын
so most beautiful talented RAFF MC big up!!!!
@jimmymwandenuka8690
6 жыл бұрын
ahahahaha huyu ni raff mc style yake hamna anayefikia uwezo wake
@denisevarest8675
3 жыл бұрын
Raff mc noma snaaa.chuganian mojaaa ujatuangushaaa man..
@sixbertwilliam8363
6 жыл бұрын
naWAtwanga mtapepetwa na chin bees... MAKONGO HOMELAND
@mathewtuwei1031
4 жыл бұрын
This is the best rapper in TZ Flow na skill easy "...Unataka kushikishwa shika cha ukuta..."🤩🤩🤩 followed by Chuma
RAFF MC ana UFUNDI, SWAGGs, N POWER YA KU M CONVINCE SHABIK WA 10 MC ASIKILIZE KIPINDI @GRAYSON LETEN WATU KAMA HAWA
@adinanimkumbo6633
6 жыл бұрын
Hawa ndo watu wasiojulkana list hii hap 1.raff mc 2boshoo ninja 3.hidary scoda
@amadeucdenis4294
6 жыл бұрын
tiki kubwa
@officialkdee35
5 жыл бұрын
1. Boshoo braza
@emmanuelgabriel6619
5 жыл бұрын
nakubali mbba
@mathewtuwei1031
4 жыл бұрын
Na Chuma mbeya
@farajimwaipungu3200
3 жыл бұрын
Daa hidary scoda nd simpat
@paschalkadama8155
6 жыл бұрын
DJ jaribu kutafuta Instrumental beats kila siku hizohizo badilikeni bhana wasanii wazuri beat mbaya
@danieldavid4398
5 жыл бұрын
heshima kwako Raff mc
@pendaelikilimba2434
6 жыл бұрын
Hip Hop iko Arachuga..
@baretofficial6175
6 жыл бұрын
RAFF MC HOME BOY UMEKALISHA RAIA WOTE..BIG UP BRO
@medantheone2006
6 жыл бұрын
mnakosea xn mnavyopanga hizo top 5 zenu bila kumuweka stosh,,hilo n kosa la jinai
@barakamshiu7146
6 жыл бұрын
RAFF WA MITAMBAO TATA!!! UMEKALISHA SANA MZAZI
@jacksonpinon1600
4 жыл бұрын
Ruff mc you deserve crown of being freestyle king
@zondomkali2205
6 жыл бұрын
Ahsante kwa kutuwakilisha RAF mc.
@brianmafuru1387
6 жыл бұрын
Uliua baba ... Nawaza kama mfuko ungekua bado unauzwa😂
@jeremiahtimothy9375
4 жыл бұрын
Salute nyingi kwa Raff Mc
@domydocta.
6 жыл бұрын
MTU mbayaaaaaa sanaaaaa huyuuu type hiiii ndio 10 zenyewe
@giftngowi1150
6 жыл бұрын
eeeebwanaeeeeeh hiv huyu Raff katokea wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii* nampa 99.9%
@calvinruben3926
6 жыл бұрын
GIFT NGOWI A town ARUSHA
@mohamedbabesh575
6 жыл бұрын
Raff mc.... upo izuri unajua kucheza na maneno....
@emmanueljohn5162
6 жыл бұрын
uyu chalii na boshoo warudi tena
@benmbuya1814
4 жыл бұрын
Haichoshi kusikiliza....Raf Mc mzee wa mitambao tata 💥💥💥
@calvinminja2923
6 жыл бұрын
RAFF MC amezicheza rafu bit zote umetisha kinyama mzee baba this is#HIPHOP
@mospeciol
6 жыл бұрын
ROUGH PUNCH LINES!!! BIG UP RAF MC
@godrickmigella9451
6 жыл бұрын
Natwanga mtapepetwa na chin bees 😂 😂
@paulsamson1070
6 жыл бұрын
Raaaaaf da king. tisha kinouma .... Yhhh A town ndo ivooooooo
@elimukwetu6991
6 жыл бұрын
Huyu Raf MC yani yuko ni mitindo yake, Heshima kwake.
@raymondedson2488
5 жыл бұрын
Wajanja wana lamba asali me namlamba nyuki hii noma sana
@princebruno1924
3 жыл бұрын
Alie Rudi kumuangalia #2021 like hapa
@SennyFleva_1
4 жыл бұрын
Kila mwanahip NA tungo zake raff
@yessekindi4625
6 жыл бұрын
Nasemaaaje Raff MC ni kwikwi, sio poooa🙆♂️🙆♂️
@deepconcept2020
5 жыл бұрын
super tight brother
@stanyshinemusic3347
6 жыл бұрын
Izoo kweli raff hatariii
@joniarraider7534
6 жыл бұрын
Salute budda ruff ure the best keep moving. 💪💪💪💪
@martinrog7100
6 жыл бұрын
Hii ni kali sana lakini ningependa mboreshe kwenye upande wa dj na beat anazoweka asiwe anabadili midundo kupitiliza inamtoa msanii kwenye mpangilio wa maneno na flow. Na kama kipindi kilivyo kumi za maangamizi na midundo iwe ya maangamizi pia isiwe laini hivyo
@shukurumgaya5950
5 жыл бұрын
Ebwanaeeeeeeeeeee moto motoooo hatarii sana raff gonga like
@abuuarushadawg7158
6 жыл бұрын
Sekei is in tha house, A city is in the house, haaaaa this is wat we have been waiting for, Raf can do this all daaay yo, haaaa A city is the house yoooooo 😂😂😂😂 bado sight more, Kings wakamilike apo, usinishike
@kelvinfabian4850
6 жыл бұрын
umetisha
@husseinchiaseeds2653
5 жыл бұрын
dah bongo bahat mbaya jamaa anajua hatariiii mc rrrrrrrrrrrrafffffff
@novatjames2018
6 жыл бұрын
Dah amenitisha xana aisee uyu kwngu ndo da best aiseeee kwenye 10 za maangamizi aiseee wapili Dizasta vinna
@holymoko5058
6 жыл бұрын
Raff mc mwana anajua and ana uandishi wa main stream
@ibrahimnyalaja7011
6 жыл бұрын
Raff mc... weeeee yako 1 bro...
@goodluckkayombo5298
6 жыл бұрын
Waleeeeee kama nawaona
@papalolo9284
Жыл бұрын
Gonga like kama unaangalia leo 19-05-2023
@jimmyolesaitabau7252
6 жыл бұрын
Home boy, big up sana bra
@emmanueljohn5162
6 жыл бұрын
kanyaaaaaaaaaa mbaya he is special to specialized mission like this
@wilfredywilhelm1426
6 жыл бұрын
Asee, mkali balaa asee, unatisha balaa, sema kuna madunya yameshakariri wakali wao wagumu kukubali usoni ila moyoni wanakiri, we mkali balaa Raff ndio mm, hip hop darasa umejaza fom lini? Nazima kwa dozi nyingi, unaweza kukata huwezi kuflow fifi, Sultani maktaba vitabu na droo mingi Yebebee utozi mwingi, kete ua ushindi hivyo sifosi kingi... Anakufuatia boshoo,.. Raaaah
@ellymtima3673
2 жыл бұрын
One of the best dakika kumi za maangamizi...hatariiii Diego ariando maradona
@ommylee728
6 жыл бұрын
Mazda Fantaaa.. . 🗣Umekinnukishaa had kimenuukiaa.. RAF #really story teller
@fazilialex1695
6 жыл бұрын
Raff Mc Tisha sana naomuona Frida monalisa Ameachia Cheko Spesho
@petersimon2115
4 жыл бұрын
2020 bado naicheki hapa #Planetbongo 🔥🔥🔥
@stonerollingmoment3506
2 жыл бұрын
Hii naielewa sana mpaka leo 2021 still my hottest freestyle
@mastaaloneait3411
6 жыл бұрын
asee ichi kichwa no noma...tunasemaga nyota ya jah
@dondully752
5 жыл бұрын
Raff ni habar
@musasimba3689
5 жыл бұрын
Katika ma Mc woooooooote RAF mc alifunika wooooooooote
@nickherman4
6 жыл бұрын
Mlete Dubo Jesus Son Stereo Sir Lu Saluti Zide MC Shule Kongwe Stopa Rhymes
@almandolyrical7372
5 жыл бұрын
Kings #Sightmore #Rafmc #Motra hivi vichea full chugameican
Пікірлер: 473