" Nazibadili DATA kuwa INFORMATION, then INFORMATION kuwa KNOWLEDGE, then KNOWLEDGE kuwa WISDOM" - Dizasta Vina - 2022
@willyprince6825
2 жыл бұрын
BLACK MARADONA
@luganomwambulutukutu5000
2 жыл бұрын
Hatari
@BakariMangoribo
5 ай бұрын
Vina 🙌
@allysaleh2220
2 ай бұрын
Hichi kichwa ni zawazi tumepewa
@meddieversal1591
2 жыл бұрын
Tangu namjua dizasta vina hadi leo haijawai pita siku sijasikiliza ngoma zake... Ntazunguka kote kwenye playlist yanguu nikifika kwa D natuliaaa 🙌🏾🙌🏾
@franciscojonja1164
2 жыл бұрын
😂kwanza ni kujinyima haki zako za msingi siku ikipita bila kumskiliza @dizasta
@meddieversal1591
2 жыл бұрын
@@franciscojonja1164 😂😂 amini masta, kagusia lifestyle ya kila aina utaachaje kumskiza
@yascoguidezanzibar
2 жыл бұрын
Uyu jamaa ni definition ya hip hop tz yan siku ukimuelew nd unajua kun vitamin flani vya hip ulikisaga na unapata kwa uyu jamaa tuu
@goodluckdamian9521
2 жыл бұрын
wimbo usio bora :baada ya kusikiliza ile ngoma niliamin kweli nyimbo zinatibu 🙏🏽
@loisarfene81
2 жыл бұрын
Daaaa Dizasta uko hai bro na unapewa respect yako God bless mzes
@davabackup7767
Жыл бұрын
2023 after battle with RAPCHA 💥💥💣
@nehemiaevarist448
2 жыл бұрын
Ngoma zako iliuskilize kuna utulivu flan inabidi uwe nao so...nakuaaga muoga sana kila ninapoona ngoma zako maana nahofia Akili za watu wataelewa kinachoongelewa...safi sana Bro unafanya kazi kubwa sana mzee.
@mselemamsomba6561
2 жыл бұрын
samewise ninja....nakaaga maskani napiga ngoma kibao ikija ngoma ya divasta nakuwa ba hofu ku play, ila utakuta kuna wahuni wawili au watatu lazima watakuuliza!!! mfano ile ngoma ya money
@patrickpgm6369
Жыл бұрын
kibaha mile 1 kamchana maarifa 8 mile movie ya Eminem( true story )
@baritonetz
2 жыл бұрын
Jamaa ni toleo la mwisho la watu wa aina yake
@mashaurimasolwa2601
7 ай бұрын
🎉
@alliymohamedalliy6524
6 ай бұрын
🤦🏾♂️ 🎉🥂
@franciscojonja1164
2 жыл бұрын
Kuna joto Ila @dizasta ni wa Moto kuliko jua✊🏿
@zakayomwalongo8315
2 жыл бұрын
The really artist in our country
@skm1143
2 жыл бұрын
Scorfied navuka wigo Afu na fly far🔥🔥💪🏽
@chipembelesaid
2 жыл бұрын
Rap masiah is back on earth, back to take what i had to so bow down devils// Conquer like a pirate Nigga, you don't see me coz am writting down in the quantum level// NO BODY IS SAFE✌
@alfredsoso9070
2 жыл бұрын
wasomi tu wanaelewa hii
@alfredsoso9070
2 жыл бұрын
dizasta vina akili kubwaaa
@oswardnelson6679
2 жыл бұрын
Sijawahi choka kukusikiliza,sichoki na sitochoka 🤝Tuishi humo tujifunze jinsi ya kuishi...
@adabokhamis4830
2 жыл бұрын
Ase hum ndan watu wanazngua ety utazan hawajawah kumckia Dizasta!!!anyways new move to hiphop
@nest5787
2 жыл бұрын
Tangu Dizasta alivyotoka kwenye 10 za maangamizi toka siku hiyo namfuatilia saana kupita maelezo
@stiffmenake4700
2 жыл бұрын
Next legend of the whole generation
@meshackkangwe3414
2 жыл бұрын
Dizasta vina ni mkali sana mziki wake ni wakusikiliza tunaomwelewa tunajua shughuli yake c ndogo
@kilayogeyejakobo6688
2 жыл бұрын
Dizasta sisi ambao tunamjua hatushaingai...ila nyie wa mainstream ndo mnamshangaa leo aisee duuh kweli dunia sio fair.
@NiraSaire
Жыл бұрын
Tumeanza kuappreciate good work kabla watendaji hawajafa? Basi tumekua sana kifikra
@fadhilikangusi
2 жыл бұрын
Kwamba Dj Dea hukumjua Dizasta before? Nakumbuka walikuwa wanaitwa Panorama kipindi hicho cha Tamadun Music. Kuna jamaa alikuwa anaitwa Dubo Dyballa.
@siafujohny7687
2 жыл бұрын
Dubo anafanya kazi tanesco ni engineer
@burhandadi9252
2 жыл бұрын
Watu wa media muache unafiki mnasema hamjujui duzastanatukosea sana huyu jamaa ni wq kitambo sana ninaanza kumfuatilia tangu darasa la tatu hadi leo nina miaka 30 bado nasoma ukiona hapewi airtime au show basi wanamuogopa sana hawataki aonekane atawafunika
@jollityjorgan5920
2 жыл бұрын
The black maradona,Prof.tungo, sinaga Shaka n huyu mwamba, yeye ndo Toleo la mwisho kwa watu w aina yake.
@OchoaHomeDecor_
2 жыл бұрын
Mara ya kwanza kumsikia ni 2013 au 14 hivii.. Niliungwa kwenye group moja la whatsapp jamaa akapost ngoma yako ya sister.. Tangu hapo nikawa shabik yako namba moja
@waafrika_graphers3569
Жыл бұрын
#Rapcha kachagua kidole cha kati Chimakeke
@michaelginnerykisura9668
2 жыл бұрын
dizasta vina ndoa ni ........Fumbo nakubali mwanangu
@ezychaser232
2 жыл бұрын
Panorama Moja🔥🔥🔥
@kachabastomc1110
2 жыл бұрын
Daah!! Eh Bana wee Dizasta Madini mengi sana nakubali brother
@clemencengaga5991
2 жыл бұрын
A living Genious
@shenamtukufu1224
2 жыл бұрын
Tunakuhitaji kwenye challenge ya Mr 2,deiwaka hakuna kuacha lolote tukipata nafasi
@hassanhassan1019
2 жыл бұрын
he's so genius....
@mkingasana400
2 жыл бұрын
Jamaa ni genius kma mimi vile
@kulwamkole7400
2 жыл бұрын
God keep alive prof Tungo
@mohammedyjshemweta1390
2 жыл бұрын
Xana 2 mwanang xjawahi kukupinga na unajua dam yang
@mulanmike1997
2 жыл бұрын
Peace kwa one the incredible ,dizasta vina peace kwako
@Davidsylivester
2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni fundi sana, yaani uwezo wake inahitaji uwe umetulia ili uelewa anachokitoa.
@bigdasso2825
2 жыл бұрын
Kibabu na binti season 2 is coming DIZASTA VINA MUNGU NI MWEMA
@japhe_b
2 жыл бұрын
Am a fan of him,Dizasta.
@mossmeer3820
2 жыл бұрын
that man is danger🔥🔥
@ibrahimkanuto3514
2 жыл бұрын
Wa moto kushinda jua
@mushiomary7649
2 жыл бұрын
Mm nilimjua dizasta kwa mala ya Kwanza kwenye dakika 10 uyo jamaa ni noma
@alexyohana4708
2 жыл бұрын
Tunaomba review ya mbeya Boy please
@simbamabande2967
2 жыл бұрын
Dizasta vina 1 nikina joh 70 😍😍😍😍😂😂😂
@ibbuwamichano2959
2 жыл бұрын
Naomba dakika 10 pia
@kanaanrajab1102
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥best rhythm
@allykallys92
2 жыл бұрын
ni mmoja kati ya wachache wazuri..kichwa kama hichi kingekuwa USA ni bonge la tajir mpk sasa.. Hip Hop inalipa kwa wenzetu
@shadrackmgindo3932
2 жыл бұрын
Dah mmetisha sana
@jumazinga941
2 жыл бұрын
Professor tungo👊🏿 🔥🔥🔥🔥🔥
@nawinahke710
2 жыл бұрын
Disasta vina ndio future Yako, ni kijogoo uliemkwepa mtaan alaf ukamkuta kwako
@benpaty
2 жыл бұрын
Nakubali brother
@dullahsimbaulanga6472
2 жыл бұрын
>>>Noma Sana 10 za maangamizi
@nelsonemmanuel2588
2 жыл бұрын
Dizasta vina niwamoto Africa mashariki na kati
@felixnesphory532
2 жыл бұрын
Jasiri john 🔥🔥🔥
@imaramc6802
2 жыл бұрын
Sahihi kabisa
@LugomboMaKaNTa
2 жыл бұрын
SAFI SANA ✊🏿
@ngalakhai9941
Жыл бұрын
New dawn is here....dizasta is the new thing in hip-hop....then madebe lidai Kwa bongo movie
@hassanially1834
2 жыл бұрын
Nakubaree xana aitwe tena aje achane hapy birth day ni ngoma Kali xana ame itoa
@woltamdete3873
2 жыл бұрын
Mtaalamu wa vina na tungo
@mrfreedomfednand2466
2 жыл бұрын
Noma sana huyu jamaa
@abrahammustafa6162
2 ай бұрын
siku zote wakipekeyake
@programtz
10 күн бұрын
Nimeludi 2024🎉
@semenitheclassic
2 жыл бұрын
Dizasta anjuwa sanaa 💪🏽💪🏽💪🏽love him very much
@ndyanabondyanabomkar8703
2 жыл бұрын
Wen janga kwel unakubarika sana karibu bukoba.
@waafrika_graphers3569
Жыл бұрын
Uyo ndo Mungu wa Rap
@anorderastonyondo3726
2 жыл бұрын
Kisu Kikali Egesha govi mbalii.....😊😊😊
@shafiihkaunda7749
2 жыл бұрын
Hakuna km Dizasta vina Tz ukwel ndo huo
@jumaatuwa2599
2 жыл бұрын
Fundi wa hatiaaa huyo ni nomaaaaaa
@damaschisunga-ll3ro
2 ай бұрын
Huyu jamaa huwa nashangaa vijana kama wakina rapcha wanavyo penda kujifananisha nae, huwa wananikera sanaaa☠️☠️☠️☠️☠️
@dullyboyka5918
2 жыл бұрын
FUNdi dizasta Vina🔥🔥🔥
@collinsmakanta6898
2 жыл бұрын
Mtu Mwenye Balaa
@AhmedIbrahim-zu5tv
2 жыл бұрын
Namkubali san huyo mwamba dizasta vina
@onesmobryson8782
2 жыл бұрын
Dizasta vina ni kinajoh sabini so wakazi kazaa mkija njooni makini 💥💥💥
@dullywa9973
2 жыл бұрын
🔥genious
@paulconrad7091
Жыл бұрын
Kiukweli na kukubali sana na wewe ni bora sana kwa hip hap zote....ni star unae kuja....nakutabilia kaka
@louisrugha6908
2 жыл бұрын
Uliuwaga sana
@fredrickkimaro1969
7 ай бұрын
💯✅
@emmas1poet890
2 жыл бұрын
Dizasta ni Dizasta more fire
@fredrickmsomba4123
5 ай бұрын
huyu mwamba anajua adi anakera 🪒
@abdulrazack9577
Жыл бұрын
Genius
@hamisinanyata1237
2 жыл бұрын
dizasta namfaham miaka zaid ya 6 nyuma, mfuatilie mutamuelewa huyu jamaa..
@BarakaYona-pl5yy
8 ай бұрын
unajua mpaka unakela
@saidcoutinhophillipe1845
Жыл бұрын
Dah HIVI Yule #RAPCHA alikusudia nini kwani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abdutarickmohammed4751
2 жыл бұрын
Makn xana dizasta Vina nakuelewa daima rap wa tz akuna kam ww sina hatia
@danieldavid4733
Жыл бұрын
Teacher Wangu
@nattyking.5604
2 жыл бұрын
Mbona sioni hii kumi yake!?
@mikechiphopkid5492
2 жыл бұрын
Wazi
@hip-hopandyou.6992
2 жыл бұрын
🙌
@adamdemarch5565
2 жыл бұрын
Tunakumbuka
@saulstephen4924
2 жыл бұрын
Na me ndo nilipoanza kumjulia hapo
@tumachedi2090
2 жыл бұрын
👌
@edwardhoja
2 жыл бұрын
🙌🏽🙌🏽🎵
@nyotamy3678
2 жыл бұрын
✍️✍️✍️✍️✍️💯♥️🔥
@kaonekacavin6002
2 жыл бұрын
hii ngoma ya kanisa nmeisikia hata before ya dk10,,,,tena kuna mwana tuu nlikua nae nmepanga geto moja tukiwa chuo,,alikua anamkubal saaaaaana huyu mwamba,,,,,,asse jamaa anamichano ya utofaut sana nkimsokilizaga namuonaga kama nash emcee wa mapendo na tabia😂😂
@innocentkifaluka9487
2 жыл бұрын
Dizasta nikina jooh 70
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
2 жыл бұрын
🔥🔥
@salimphiainstallerss2147
2 жыл бұрын
Movie. ..👊
@TimothewKinyogoto-ks4zl
8 ай бұрын
Safiiiiiiii
@ommymsomi4362
2 жыл бұрын
Vinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@fadhilmohamoud
2 жыл бұрын
Uyu dizasta ni kitu kingine kabisaa
@chrisk.efreestylerofficial149
Жыл бұрын
Unyama
@GoldfreeHagai3
8 ай бұрын
Tulio mjua dizasta kitambo ,tunajua mliukosa radha ya nyimbo yake,tunao mjua akitoa tu ,imo jamaa anamavitu ya kweli .
Пікірлер: 131