Dizasta kwetu ni SuperStar kuliko hao wasanii wanaopenda kuonekana. Dizasta akitoa kazi sisi tupo karibu yake atusikilizi tu, mpaka tunanunua.
@zebedayojonathan2257
Жыл бұрын
Sawa kabisa mwamba anajua sana mi nina Album zake tatu
@nickyvanich6214
Жыл бұрын
Mimi huyu jamaa hata akisema album yake ni 50k nanunua kwasababu najua kazi yake, kuliko nimpe malaya nanunua nipate kuusumbua ubongo. Hip hop na dizasta ni kurwa na doto.
@JoshuaaJonathan
11 ай бұрын
Bg up sana
@Damiantuby
2 жыл бұрын
Dizasta vina songs -Verteller Into -A confession of a mad man -A confession of a mad son -A confession of a mad teacher -A confession of a mad philosopher -No body is safe I -No body is safe II -No body is safe III -No body is safe IV -Muscular Feminist -Money -Kesho -Yuleyule -Mlemavu -Shahidi -Hatia I -Hatia II -Hatia III -Hatia IV -Tatoo ya Asili -Kibabu na Kibinti -Siku Mbaya -Maabara -Wild Noise -Losen Angel NGOMA KIBAO SANA ZOTE KALI😂😂💥
@Damiantuby
2 жыл бұрын
Nishasema mara ngapi jaman sitaki Tuzo/ Sitaki kuwa juu alafu nimefua chin....
@msimika_III
2 жыл бұрын
Oyaaaah😂😂😂🙌
@msimika_III
2 жыл бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@chrissjoel7752
Жыл бұрын
Kwenye play list yako + na *MWANAJUA* 🙌🙌🙌🙌🙌
@CoachHafidh
Жыл бұрын
Kibabu na Kibinti....wimbo wangu bora kabisa kutoka kwake...🔥♥️
@chescomwigune7886
2 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza naona Mmeleta Msanii anayejua huyu mwamba Sasa ndo inabid mumplomote sio ndege wengine aseer
@sebastianalbert2857
Жыл бұрын
Mmi nashangaaaa midia zetu zina promote wasio na uwezo wa kuimba aseeee huyu jamaa wakimpa support tuta rudisha heshima ya hip hop
@ritchiedon6808
2 жыл бұрын
From 254 Mombasa Kenya, namkubali Toka harder mpaka mlemavu ...nimebakisha kutimiza ndoto yangu yakumuona live nimpe zawadi
@KelvinEmersonSteven
2 жыл бұрын
Dar kuna joto ila Dizasta Vina ni wamoto kushinda Jua🔥🔥🔥
@GamechangerTz
2 жыл бұрын
Uyu jamaa namuheshimu alichagua njia yake na akaiishi na ana mashabiki zake kabisa na nawakumbusha Album zake ziko boomplay na zina stream zaidi ya Million moja ko unaweza ukaona ni jinsi gani kaweza kutengeneza fan base yake bila promotions za media wala nn He needs some Respect aisee na Heshima yenu clouds kwa kumpa nafasi coz He Deserve
@mugadimon3563
2 жыл бұрын
Huyu mwamba nilikua simfuatilii kabisa ila kunamwanangu anamfuatilia mda sikuwahi mzingatia ila nilimsikia mara moja tu nikaenda kustream album zake zote nyingine nikanunua
@msimika_III
2 жыл бұрын
Sure thing 👍👍👍👍
@livinomugishagwe8904
9 ай бұрын
Mi nimeirudia 2024🎉
@godfreymtweve4539
Жыл бұрын
The guy is so simple in the street, But in his field, Looks like Monster. Pamoja Sana Mwamba VinaDizasta. Appreciated Man.
@t.ikingtz5703
2 жыл бұрын
Kuna ngoma ipo umo inaitwa wimbo usio bola naomba ipigwe Kwangu mm ndio best song naikubal San
@allyomar3498
2 жыл бұрын
Nakubali sana Dizasta shabiki ako tokea kitambo the black maradona
@youngcapitalistburton7627
6 ай бұрын
2024 ayeeeeeee
@dostovan5142
Жыл бұрын
Huyu ndo rapper peke anae rap kuliko fid q
@JamesMunisi
2 жыл бұрын
One of the best, can't wait the next project ....Kwa Spotify naona 3 Album in 2021, zote ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@uniqueboytz8166
7 ай бұрын
DIZASTA VINA atabaki kuwa mc mahiri
@gambalinowilfred8111
2 жыл бұрын
Dah Dah sijui Nmemic vipi hii show. Anyway one of my favorite hiphop artist. Akuna kama wewe Africa Akunaaaaaa✊🏾
@JacksonDominicko-y8v
3 ай бұрын
Like hapa 2024
@fadhiliitambu6210
2 жыл бұрын
Kutoka Hatia I , II , Kanisa, Nyumba ndogo mpk sa hv mlemavu magoma mengine kibao ...One love brother
@augustinomshoro1936
2 жыл бұрын
Dizasta ndo jina logo ya mtaa Ina-shine kuta
@johnrichard5482
2 жыл бұрын
PROFESSOR TUNGO / THE BLACK MARADONA / SHAHIDI Ndiye #DIZASTA_VINA🎤🎧🎵 🇹🇿 IS ON FIRE....💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥
@retechytgaming
10 ай бұрын
Nipo tayari kununua kwa cash kazi yoyote ya mwamba DZSTVN 💯✌
@domijames8601
Жыл бұрын
Katika huu mwaka ndani ya XXL hamkuwahi kupata ugeni wenye heshima katika HIP HOP.. Kama uwo.
@MichaelJohn-lb6uu
2 ай бұрын
2024 narudia interview
@sadikisalumu7965
Жыл бұрын
Master Vina, Rapcha kayakanyaga isikilize Best Friend 🙌🙌
@youngislah6048
13 күн бұрын
Dizastavina mwananGu toKa kitambo goma La sister ndo first time nakuskilza
@nillyjos1203
Жыл бұрын
Nye hamjuituu dizasita vina ni best rapper Tanzania nzima kweli anani expaya kwenye mziki dizasita vina ni mbunifu sana anavo dondokea beat anateka wengi mioyoyao pia anarap vitu hinaitwa #Nilly jos nicheck KZitem
@emanuelyulomi7123
2 жыл бұрын
Mr times two Smarter.. Mdo mdo tutafika mwanangu mwenyewe Vina
@kilimapozimuvinajr.
Жыл бұрын
Yaani mmeni'dissapoint mwanzo kusema hamumjui D ila Tulupa kaja kunifurahisa sana maana na kufuta mlichokionesha maana anamjua sawa alna anavojulikana. Tisha sana James maana unazijua mpaka line za Ipo juu, sema D umeaadatisha na kuokota buku ukabukuka mpaka wamekukatisha hujawajulisha kuwa wewe sio malaika ni Mungu wa rap.
@jaysocrates4127
2 жыл бұрын
Muda ni mrefu nlikuwa naskiliza nyimbo ya shahidi pia nkaanza kuskiliza tasfri na maana ya ule wimbo wa shahidi… lakni dizasta mi nna swali kwako broo mbona unaficha sana jumbe kweny nyimbo zako? Yaan mpaka aje mtu ambayae aidha umefanya naye kaz ndo atuelimishe una maanisha nini….? Huoni kama sisi mashabiki inakuwa inachukua mda sana kuja kujua ulimaanisha nini? Hadi tumskulize panorama ndo tukuelewe broo
@emmanuelpius6387
5 ай бұрын
Kutojua kupenda sio ujanja ni ulemavu... kisaikolojia hawa watu tunawaweka kwenye kundi la watu wenye tatizo la haiba ie personality disorder hasa antisocial au paranoia
@lugazodecoration3262
2 жыл бұрын
Dizasta vina is too hot
@ronaldrichard8825
10 ай бұрын
Dizasta vina nipo na wew since kijogoo, sister kadata✊
@shaddyqualityfurniture3595
2 жыл бұрын
Professor Tungo 🔥🔥🔥🔥
@khamikal
Жыл бұрын
Mimi nime share hili pndi kwa watu wa hip hop weto
@homan_nkwama
2 жыл бұрын
Hakuna mziki una pesa Kama wa underground kwasababu wateja wake wapo huru kununua direct na hii ni sababu watu wanaumiza ubongo na tunatumia muda mrefu kujitengeneza since we know all faking life style many artist they leave
@msimika_III
2 жыл бұрын
How bro, mana me naona hiyo njia anayoipita dizasta na ma underground wenye mawazo kama yake ni ngum sana au Kuna kitu sikijui bro
@joycelugenzi1889
Жыл бұрын
Dizasta ni hatarii xana ...nyie mnamuona Kama underground ..wakati sisi ni aicon ye2
@danieldavid4733
Жыл бұрын
Wao ndio underground wa shule ya hip-hop
@elibarikilukasimakala5534
2 жыл бұрын
Mlemavu, haujui kupenda moyo wako hewa😅
@lowkeybongo
2 жыл бұрын
Dizasta ni mtu na nusu naweza weka reply ngoma zake siku nzima
@petermakoye8918
2 жыл бұрын
Black maradona #hiphop stand up
@mextraveller1946
8 ай бұрын
Here in 2024🔥
@hansmtalikwa9745
2 жыл бұрын
Am a big fun wa huyu jamaa since dakika kumi za maangamizi
@Wauswazi_Ke
7 ай бұрын
Dizasta anahuska vizuri kwenye kile anafanya yani jamaa mnyama sana
@nyotamy3678
Жыл бұрын
Huyu mchizi ni KONYO ✊
@bdmbega1423
Жыл бұрын
G.O.A.T storyteller.
@franklissu589
9 ай бұрын
"Ikumbuke jana au uanze kuifata future, future ni Leo....wanasema tomorrow is a mistry..."wooii sema DJ ungewaanzia wadau na intro ili ambae hawajui misingi ya album waanze sanda.
@mchondojuma7338
Жыл бұрын
Black Maradona is here
@SimbaRemmy-ow4nb
2 ай бұрын
🎉🎉 sina mengi achujuwe tu mauwa yake
@stiffmenake4700
2 жыл бұрын
Today we're so blessed with one of genius
@jastinarts
2 жыл бұрын
Namubali sana brother ...unajua unachokifanya
@idddesire2664
2 жыл бұрын
Anajua sana
@nawinahke710
2 жыл бұрын
Nobody is safe
@saimonkimolo5313
Ай бұрын
Black maradona master mbaya sana
@MussaSaimon-if5we
4 ай бұрын
Noooma kweli kwani wewe huoni
@danielgodfrey2449
2 жыл бұрын
vina vyenye maana #DIZASTA VINA
@rwehumbizajonathan8689
3 ай бұрын
People Fall in Love With Character ....which is not a Person. QuuuumaaaaKibuyuuuuuu. 💪💪💪💪💪💪
@simongod8737
Жыл бұрын
Jamaa ananyimbo ambazo unaweza sikiliza kuanzia dar mpaka kigoma na zisikuboe
@hassankundetejr1310
26 күн бұрын
my day job as my side hustle🙌
@buruanisaidi2411
Жыл бұрын
Mnaandaa Verse wawili and still not enough
@rajabuSaid-hj7fm
2 ай бұрын
Huyu jamaa ni moto sana❤
@hafidhinamputa1457
10 ай бұрын
Genius above all
@mcgeemwamba9303
Жыл бұрын
Nikki mbishi vs kado Kitengo X Gee Mwamba kzitem.info/news/bejne/1a6Eu2ehqXyCaWU
Yoyoyo worup nsome kam dejong mimi sio mwizi ila leo ngoja niwaibie siri disaster is the baddest one big time
@elifarijireward3703
Ай бұрын
hard worker
@chrismnyamwezi6448
Жыл бұрын
Me namjua kitambo
@salehekatoba1353
Жыл бұрын
mwamba achana na mtt mdg rakcha bado sn
@homan_nkwama
2 жыл бұрын
NA HUU NI MZIKI WA KUSIKIZA SIO WAKUSIKIA KAMA ambavyo wengi wanafanya
@winstonrwegalulila4683
2 жыл бұрын
Mwanangu upo clouds ,taratibu wataelewa tu
@BrancaBreez
Ай бұрын
Real goat
@fedealfred5385
Жыл бұрын
Huyu huku mtaani na vitongoji vyake ndo msanii mkubwa wa hip hop anaekimbiza kupita wale wasanii wenuu
@esaumwavika6735
Жыл бұрын
Dzasta vina nimtu asie na makuu japo sjapata mda wa kumwangalia kwa ukalib lakn namfatilia sana ktambo sna sana ila spend tena amjb rapcha yeye nikaka kama dogo kakosea asizdi kubishana atulie kwa ngoma zake hanaga kk dzasta vina ombi langu kwake hilo tu maana kuna watu wanahsi ameaza kutafta kk
@rommyKhalifa
8 ай бұрын
Oya nani huyoo.. aaah kumbe familia
@zombiiUpdates
Жыл бұрын
Legendary vina
@mbeyaboy5225
Жыл бұрын
Mwamba huyu hapa dizasta vina 🔥🔥🔥🔥
@shenamtukufu1224
Жыл бұрын
Umefanya interview na watu wasioelewa vyema hip hop, ila poa um3ishi nao vyemà Dzst
@nasirnassor449
Жыл бұрын
Kituwo cha mistar wew🔥🔥🔥
@AzizMsuya
4 ай бұрын
Dizasta vina
@LeilaNaliaka
10 ай бұрын
Mbona hamuongeleshi vina ...show yakijinga sana
@hashimzashlahmady902
6 ай бұрын
hakuna na hatotokea msanii na mwandishi kama dizasta
@jumazinga941
2 жыл бұрын
Professor tungo 👊🏿
@rashidisanju9628
Жыл бұрын
MNYAMAAAA
@aldophnm
2 жыл бұрын
Black Maradona
@azzahdora3058
2 жыл бұрын
🔥🔥
@teilencedevard9431
Жыл бұрын
Mmefnya n anze ku tune clouds fm nlianza isahau awandio wasanii tunaitaiji waskia
@issaswaleh5143
Жыл бұрын
Dizasta vina, the black Maradona
@esaumwavika6735
Жыл бұрын
Hanaga mda wa kk wala nn bas uwe mwaka wake huu wakupaa mana anangoma kbao sana
@fulgencebeno2969
5 ай бұрын
Leo tar 22/3/2032 nasikiliza 🔥🔥🔥
@Jamal11-t7r
6 ай бұрын
Vina 🔥🔥
@negzerobacteria
2 жыл бұрын
Msanii wetu mtaani
@Damiantuby
2 жыл бұрын
Watu wenye band na T-shirt zao za kijani/ Walisahau kuwa nao wapo ndani/ Walikuwa wote #Shahidi
Пікірлер: 177