Mfano mzuri sana wa kuigwa. Kipo kikubwa sana cha kujifunza hapa. Hongera sana Mheshimiwa DC.
@jacobngasa8110
2 ай бұрын
Mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mtizame Dc huyu na wenzake kwa jicho la tatu 🙏🏼.
@aidankessy1721
2 ай бұрын
Hongera sana Mh. kwa jitihada zako nzuri ya kuweza kubadilisha mandhari mazuri ya ofisi yako ya Ludewa ni mfano mzuri wa kuigwa waliobahatika kupita Ludewa kipindi cha nyuma na sasa hongera sana
@chikujuma18
2 ай бұрын
❤❤❤❤ mashallah hongeren mkuu na wenzako sijawahi kuona kitu Kama hicho ndo Bismillah yangu mola akupe moyo huohuo duniani na akhera ❤❤❤❤ mama samia mwangalie huyu dada kwa jicho la tatu
@overabubakar4590
2 ай бұрын
Wow, wow, woooow😮 amazing, adorable fantastic you kill it, genius and smart i love it😊
@matridamwaituka4377
2 ай бұрын
Saf sn DC
@noeldidas9034
2 ай бұрын
Hongera sana Hon
@kasangagregory5747
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana na kukuinua zaidi mkuu wa wilaya
@ShabaniSaleeh
2 ай бұрын
Mungu mkubwa 🎉🎉🎉🎉🎉 kama napaona huku niliwahi kukaa huko vijiji vya mkiu lupingu liganga chasasa mariza rugalawa nikapita pia mundindi lusitu manga madilu kalanga safali yangu nikiwa naelekea litembo mbamba bay mbaka nyoni kutokea mitomoni kuja kutafuta bara bara ya namtumbo kutokea tundulu masasi nakapanya da maisha safali ndefu sana kila mtu hakisimulia magumu yake sijui hitakuweje 😢😢😢😢😢😢😢😢 kama unaamini mungu yupo usiache kumtegemea❤❤❤❤❤❤
@RoseOdilo
2 ай бұрын
Beautiful with brain ❤❤❤❤❤❤
@ManswetKimario
2 ай бұрын
Kila kitu kinawezekana ni kuamua tu. Hongera Dc wa Ludewa.
@patricknombo6012
2 ай бұрын
Hongera sana DC wetuu
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
2 ай бұрын
Yes anaipenda kazi
@NathaliceMushi
2 ай бұрын
Waooo barikiwa boss wetu
@dmsovela2409
2 ай бұрын
Hongera Mheshimiwa kwa uzalendo mkubwa. Mungu akubariki sana uendelee kuwatumikia wananchi
@miriammwamanda6569
2 ай бұрын
Mnafaa sana Mungu walinde kwa moyo wenu safi.
@zainab8251
2 ай бұрын
Masha Allah hongera sana kwa kazi nzuri
@jameskagulu4228
2 ай бұрын
Anaonekana smart kimwil hadi kiakili safi sna
@jacksonmtonyore9871
2 ай бұрын
Hongera sana yan unaonekana una hofu ya Mungu
@USTAWIWAJAMIITZ
2 ай бұрын
Hongera Sana , Sasa umekidhi Na Usogeee sehemu Nyingine ukalete huuu ubunifu , tunahitaji ubunifu. Huu
@zenj1986
2 ай бұрын
Naomba DC nimchangie laki 1. Atume namba yake haraka. Salute DC
@HilalMohd-m1r
2 ай бұрын
Mashaallah Allah aikuze huruma yako Alf mara ameen
@charzmhindi325
2 ай бұрын
Hongera sana
@newbornhaule
2 ай бұрын
Hongera
@Venas-uh3wz
2 ай бұрын
Mkuu wa wilaya, you are the best. Mheshimiwa rais wetu, una watu waaminifu kama huyu mkuu wa wilaya. Huyu DC ni mfano bora. Tukiwa na viongozi kama hawa nchi yetu itasonga mbele sana.
@maureenmgeni
2 ай бұрын
Safi sana, wewe ni mfano wa kuigwa
@prosperhaule4450
2 ай бұрын
Kweli unastahili pongezi
@davidsingoy7592
2 ай бұрын
From day one toa ukiwa pangani binafsi niliona lulu ya Taifa kutoka kwako kijana wa mzalendo wa Taifa letu. Hongereni sana MH Victoria
@stevenmilton2504
2 ай бұрын
Keep it up dc
@josiacharles2778
2 ай бұрын
Dc uyu mzuri wa sura adi Roho❤
@brunomtweve8073
2 ай бұрын
Mkuu wawilaya ludewa ❤❤
@VedastusSwai
2 ай бұрын
Hapa kunakitu Cha kujifunza kbsa
@shabanimsakuzi9141
2 ай бұрын
Ludewa kaeni mkao wa kula DC mnae
@djtillyonline3788
2 ай бұрын
DC wetu
@subiramwaka9792
2 ай бұрын
Natumai wanao ongozwa wana uona mchango wenu. Mungu awabariki. Hii ni hazina
@BIGBOSS-hl3bu
2 ай бұрын
Na bungeni waige mfano huu watafanya jambo kubwa zaidi ya Hilo❤❤❤❤
@elisantemrita9490
2 ай бұрын
Safi sana uteuzi ulimpata mteuliwa
@omarymkamba3045
2 ай бұрын
Hongera sana DC wewe ni mzalendo sana ,serikali inabidi iwafidie gharama zote mlizotumia.
@ammyabeid9574
2 ай бұрын
Kwanza DC kavaa kwa heshima. Ni mzalendo. Wengine igeni.
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Huyu dada ana onekana yuko vizuri sana kiakili mume wake Ana bahati
@tumahamza8972
2 ай бұрын
Hongera dada wewe ni mfano wa kuigwa. Bila shaka hata akili yako iko salama. Yoyote mnadhifu nje hata kichwa kilo salama. Ni ajabu kubwa ingekuwa ukarabati umefanywa na serikali ungesikia ukarabati umetumia bilioni moja. Hongera tena na tena binti
@johngerald4677
2 ай бұрын
Yani posho2 mnajenga ,serikali wakumbukeni na walimu
@yordanyona1234
2 ай бұрын
waige hapa
@MkisiStylish
2 ай бұрын
Safi DC
@fidelisluvanda3585
2 ай бұрын
Huu ni mfano wa kuigwa, mheshimiwa raisi namwomba amtizame kwa jicho la tatu huyu DC
@tumahamza8972
2 ай бұрын
Nimekupenda bure. Hawa ndio vijana wazalendo sio wale majizi wasiotosheka. Kila anapowekwa anaiba tuuuu mpaka shetani anamshangaa.
@othmantv2654
2 ай бұрын
Halafu utaskia kesho wametumbuliwa kwa sabab wameidhalilisha serikali...😕😕😕
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
Yani Dc mzuri Kwa kila kitu,MUNGU amtunze
@frenkanjele3281
2 ай бұрын
taifa rinataka watu kama Hawa hakika huyo DC ameni bariki sana mama tafuta wengine kama huyu anamoyo mzur
@abumutwaira4892
2 ай бұрын
Mbona hawa ma DC wakike wote ni wazuri yan n pisi kali kuna siri gani??
@mawazoaliselemani
2 ай бұрын
Musianze Sasa tabia za Real Madrid kunyang'anya wachezaji wa wenzao. Mwacheni apige kazi Rudewa. Naona mmeshaanza kumtolea macho..mwacheni aba 6:24 ki Rudewa
@jacksonmtonyore9871
2 ай бұрын
Ludewa wamejariwa utajir mwingi sana why
@kiliantereba6502
2 ай бұрын
Wewe mkuu wa Wilaya bora kabisa, unafaa kwenye mambo makubwa. Tunakuombea upewe ukuu wa mkoa wa Kigoma. Tutafurahi. Una maono mama
@ITACHAMEDIA-zq8hw
2 ай бұрын
Dc mwanziva ni jembe Sana la wanaludewa
@zenj1986
2 ай бұрын
Pia anunuliwe soda ntalipa mie
@yordanyona1234
2 ай бұрын
kuna mbunge pale kichwa na ana nguvu sana na anatabia ya kujitoa hivyo kaaambukiza tabia kwa watumishi hao...kila kitu kinawezekana.. mfano magar ya wakuu wa wilaya yanaweza kujenga au kununua trecta 10 kwa kila wilaya na watu wakalima
@AmaniManase-x1i
2 ай бұрын
Hapa inamaansha kweli wafanya kazi Wa serikali mnapiga pesa Sana kwa kula wenyewe
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Sasa si Ame fanya jambo zuri
@AmaniManase-x1i
2 ай бұрын
@@ilynpayne7491 ndomaana kumbe pesa ipo wakiamua kusevu
@CharlesMasanja
2 ай бұрын
Huyu ni miongoni mwa viongozi wachache wenye uzalendo halisi katika kizazi hiki. Nakiri kuwa Mungu bado ana watu anaoweza kujivunia katika Serikali. Kuna baadhi ya viongozi wanafikiria kuiba fedha za Serikali, lakini huyu anatumia mpaka fedha zake za mfukoni....!!!! Eee Bwana Mungu, umkumbuke mjakazi wako.
Пікірлер: 61