Madadya Jaylan, Madadya Jaylan, Aghithna ya Ghauthu Madadya Jaylan. Hizi Tawasul zinanikumbusha kwetu Mchangani Kwamasharifu. Allah awarham wazazi wetu. Allahuma ghfirlahum warhamhum wamaskanahum min riyadhi L-Jannah.
@rahmanunuu6370
3 жыл бұрын
Leo nimepata chakula cha roho ya rabbi mrehem baba angu na sheikh wangu alonipa ijaza Sheikh Haji na swahibyl makamy sheikh Muhammad Nassor , Uweisu Jailany ( Qaddasa Allah sirrul alziiz)
@dubeh8323
2 жыл бұрын
E
@mtumwenikassim5245
Жыл бұрын
Hongera kwa kunywa ijaza
@hilalhilal8400
4 жыл бұрын
Mashallah. Allahu maswali alaa Muhammad.saw.
@bareduuoromooasnaakuu7151
4 жыл бұрын
Mungu amlipee pepo ustadhi wa baladu islam na kumbuka ulikuwa wa makutiī kwa sasa ni ghorofa mashaallah
@mtumwenikassim5245
Жыл бұрын
Tenaa makutii vyooh nakumbuka tulikuwa tunatoka zawiya ya chumbuni kwa shekhe sufii tunakwenda kupeleka mchanga na kusaidiana mafundii
@bintally4891
4 жыл бұрын
Ya allah tujalie tupende yalobora na tuendendelee kukudhikr dunian wal akhera.amiin
@ShabaniKiheya
2 ай бұрын
Masjid makut zamani sana Allah amrehemu sheikh wetu
@fatihiazung42
2 жыл бұрын
Mashaallah zikri nzur jaman dini ina makundi mingi cha kuomba ni allah kutujalia pepo lkn kua zikri uzush c uzur kusema ivoo ww ukion unafat sw ukion hufat wacha lkn mamb ya kua hivi na hivi c uzur sote njia yetu moja hukuambiwa lazma ufate zikri
@patrickmkude8756
2 жыл бұрын
Njia y kufuta n Quran
@yusufziyacetin
2 жыл бұрын
La ilaha illa Allah Muhammed Rasullallah 🇹🇷
@jumamohamed5495
Жыл бұрын
Hii ndo njia ya kuhudhurisha nyoyo zetu kwa Allah (s.w)
@dhiabmohammed4238
4 жыл бұрын
Ma shall ah nzuri Sana inaburudisha moyo inaleta utulivu Wa nafsi
@nazbibabdullatif7972
2 жыл бұрын
MASHAA ALLAH SUBHANNALLAH ROHO ZIMEFURAHIKA ALLAH AWALIPE
@halimakim9177
Жыл бұрын
Mashaallah dhikri so mchezo namkumbuka marehemu babayangu kila nnaposikiliza dhikri
@ABDALLAHKIMBILILO
Жыл бұрын
kiukweli nimepata sabuni ya roho yangu maana napata furaha ya duniani na pia napata thawabu za kuniweka peponi. mashekhe wangu mwenyezi mungu awazidishie
@farhyaabdallah2089
2 жыл бұрын
Mashaallah
@allysuleiman5376
2 жыл бұрын
napenda sana Mungu atukutanishe one day inshaallah
@omarysimba8350
Жыл бұрын
Mashaallah natamani kupata ya Dhikiri ya miaka ya nyuma kuanzia 2018-2022 naomba msaada ntazipataje ??
@AbduliJuma-p2q
2 ай бұрын
Maashallah
@jasminesuwed-xk5eq
Жыл бұрын
Mashaallah!! Mashekhe wamwenyezi mungu
@ustrashid6778
4 жыл бұрын
MashaAllah....😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😍😍😍😍😍
@jumasungura6312
4 жыл бұрын
masha allah
@azizarashidi4872
Жыл бұрын
Hua naenjoy Sana mungu awarehem wazaz wangu
@zakariyaabdallah3252
Жыл бұрын
Allah huakbar masha Allah napenda dhikr
@salumasaa7933
Жыл бұрын
Wananikumbusha mbalii jaman HV vitu ni hatar tuachen jamaniii
@radjabuminani6366
4 жыл бұрын
Ma sheikh tu muokope Allah sisi wote ni watu wa dhikri apana dhikri kama izo kwenye dini sio nzuri. Dhikri nzuri ni sisi tukaye chini kwa utulivu tumdhukuru Allah kwa utulivu apana kwa hali kama hio Allah atuongoze na atusameh madhambi yetu na tupe mwisho mwema inshaallah
@suleimansaid4244
4 жыл бұрын
Sheikh dhikri zipo za aina nyingi km ww unafanya hivyo waache na wenzio wafanye yao (mbona pale makkah wakisema labaika Allahuma labaika....... wanasema kwa sauti na hawakai chini au ile nini? ) ni bora usome kwanza au waulize wanaojuwa kabla ya kutoa lawama ya jambo ambalo huna ilmu nalo hata kidogo pia ni vizuri kusoma angalau comment ukajuwa ni ushauri gani uliotolewa kwa walikutangulia kabla yako na wamejibiwa vipi, kiufupi sunnah za Bwana Mtume ni nyingi sana na hauwezi kuzifanya zote mtu huyo hayupo duniani zaidi yake yeye mwenyewe watu huchaguwa awezalo kufanya katika sunnah zake mtume na kufanya anazoziona ni rahisi kwake kufanya, ikiwa ww umechaguwa ya dhikri ya pole pole kimnya kimnya sawa wengine wamechaguwa hiyo, soma ndugu uelewe au waulize wenye ilmu pia angalia midahalo utapata ufahamu zaid Allah atujalie ilmu na ufahamu wa hali ya juu inn shaa Allah
@sihakandashidispensary8597
4 жыл бұрын
Kasome jamaa yangu acha kuleta fikra zako za kibinadam
@radjabuminani6366
4 жыл бұрын
Hawa fanya A ho A A ho A aina ushahidi kwenye dini kama unao ushahidi tuilimishe wengine wana cheza kabisaa wai silamu tumuokope allah na ile macca labaika allahu labaika ni sunna ata mtume sww ame fanya apana A hoA
@visharividan7091
4 жыл бұрын
@@radjabuminani6366 wewe ni jahili tuelekeze ulipo tuje tukufundishe
@sajumahege4903
3 жыл бұрын
Hawa wanakohoa wanaumwa? Si wapelekwe hosp jaman maana usikute wanaumwa kifua. Hakuna dini ya hivyo wamche Allah
@JafariAbry-hw1rk
Жыл бұрын
Mashaa Allah
@saidfakih9747
3 жыл бұрын
Ahsanten San kwa dhikr mzur
@himidiselemani4850
4 жыл бұрын
Very strong dhikri
@alisaidi7477
2 жыл бұрын
MashaaaAllah
@aishahasan327
2 жыл бұрын
Mashaaallah
@fatumansabimana5182
Жыл бұрын
mashaallaha malah arhamd lillah
@FatmaJ-v7f
7 ай бұрын
MashaaAllah ❤
@imraniqbal00765
Жыл бұрын
Hakuna anae jua ibada zaidi ya rasul s.a.w ikiwa ibada ya kufanya hivi imo kwenye mafundisho ya mbora wa viumbe s.a.w basi hamna neno ikiwa haya ndio mafundisho alokuja nayo, na ikiwa ni ibada basi wa kwanza kuifanya atakua rasul hakuna anaeweza kufanya ibada zaidi yake yeye
@husseinonacha4111
11 ай бұрын
wendawazimu huu wala sio dhikri tena ndani ya masjid dhikr za fahmika vyema
@aminaissa657
2 жыл бұрын
Mashallah
@imranbanda3963
Жыл бұрын
Masha Allah
@ilyasmremi100
2 жыл бұрын
Samahani ila naomba niulize...je hii I ada imeswihi ktk taratibuu na Sheria yetu ya dini ya kiislamu? Na nyakati za Mtume S.A.W ilithibiti? Naomba usaidizi wa kuelewa tafadhalini ndugu zangu🙏
@kingaisadiki8050
4 жыл бұрын
Jazaakumu llaahul khair
@hafidhamana325
2 жыл бұрын
Jamani hapa kila anaetoka kichwa si kinauma
@nabiljumbe
3 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@haidaryart
Жыл бұрын
❤❤❤
@HasbunaSubeit
4 ай бұрын
Good
@yusuphumazohanya6792
Жыл бұрын
Adhweem mashallah
@yusuphumazohanya6792
Жыл бұрын
Dhekrii tamu sana wahabi kaenimbali msipotoshe watu anatajwa mungu na mtume nawaja wema kunashida gani kwani apo au unataka utajwee ww na baba yako na mama yako wahabia maswalafi kaeni mbali kabisa.
@fatumansabimana5182
Жыл бұрын
mashaallah
@hamidgirrafe3708
3 жыл бұрын
Allahadullahi I like it's
@sittacharlesmaendeleo778
Жыл бұрын
Upuuzi mtupu nan aliesema dhirk ni kufoka au waja wema gani waliotangulia walifanya kitu hiki
@maulidomar3668
Жыл бұрын
Aslm alykm anae ona dhikri hii ni uzushi akae pembeni afanye kile anacho kiona kwake ni sahihi kukashifu ibada za wengini ni laana unaweza kuangamia acha acha by maulid ibn omar
@naimunaimu2312
Жыл бұрын
Allah
@AshiruMude
10 ай бұрын
Mashll
@mussakisope7207
Жыл бұрын
Hawajamaa wazima ile mbaya
@kasimibrahim7770
Жыл бұрын
Haijawahi kuthubutu kwa mtume, wala kwa maswahaba zake wala kwa wema waliotangulia .hii bidaa
@suleimansaid4244
Жыл бұрын
"Ilithibiti kwa mtume au kwa swahaba zake au kwa wema waliotangulia kutume comments KZitem" waache watu na raha zao haya mambo na watu wake na ww shughulika na yako si lazima upende apendayo mwenziwo kila mja na mapenzi yake
@kasimibrahim7770
Жыл бұрын
@@suleimansaid4244 dini haipelekwi kwa matamanio ya mtu yoyote. dini si kwa raha zangu ama raha zako.. dini ni قل الله na قل الرسول. Quran, hadithi na sunnah.
@jumakumala1337
3 жыл бұрын
Tuwacheni shaawa za nafsi zetu , n tufate tulio fundishwa na mtumi Mohammad , hkn mmb kama hayo ktk Dini
@patrickmkude8756
2 жыл бұрын
Hiyo ibada n ya kikafiri aisee
@mzamilundao4786
Жыл бұрын
Wewe mwenyewe kafiri
@ashrafulmulk5599
3 жыл бұрын
Marhaba
@alisaidi7477
2 жыл бұрын
Naaam
@omarikhalifa9413
9 ай бұрын
Lau kama mtu asubuh akiwa sufi haitamfikia yy adhuhur ila atakuwa mpumbavu
@suleimankhamis8298
2 жыл бұрын
wengine naona washapandisha maruhani
@suleimanahmadaali5989
4 жыл бұрын
Mtihani kwel, mambo alotufundisha mtume hatufanyi tunatafuta yetu tunaongeza kwenye dini, Je mtume na maswahaba wamefanya dhikiri iyo hem tupeni dalili juu ya hilo, kama hamna dalili mcheni Allah na ayo mambo yaacheni
@daressalaamtanzania2736
4 жыл бұрын
Shekhe Suleiman nitafute 0712 234 900 uje upate dalili juu ya hii dhikri Shekhe
@hilalhilal8400
4 жыл бұрын
Mwalimu dalili zipo. Na huyo alotajwa hapo karithi koti la Mtume.saw. mpaka alipo ni mtu wa 5 alorithi koti hilo la makarama. Yaani Mtume.saw. said na Ally.kw. sheikh Abdulqadir jailani.ksr. na sheikh Uwesu Ahmad.somalia. ra. Kwaio nikufunze tu huyo ni kipenzi cha Allah.sw. ilikua dua yake hata dakika haicheleweshwi kujibiwa. Angekuwepo fatiha tu yake muamsho wote wangetolewa gerezani. Kwadalili za kufaa hii dhikri namba meona umepewa kwa zaidi mtafute mwanafunzi wake yutub anaitwa khalifa Mussa. Katoa dalili nyingi na khadithi nyingi za Mtume.saw. muhimu tusome tusikate tamaa makafir na mawahabi wakaiangamiza dini. Shukran.
Utazipata wapi hizo dalili na wewe umebweteka tu kusoma hutaki kazi yako ni kufuata mkumbo tu.usiwe mbumbumbu nenda tufuate vyuoni mwetu tukuelimishe.
@swahibually6209
4 жыл бұрын
Suleiman Ahmada Ali, Mambo ya Waisilamu waachie Waisilamu, nyinyi Mawahabi ni watu wa Fitina,na lau sio nyinyi Mawahabi sisi Waisilamu tungekua kitu kimoja mpaka leo,lakini ukweli ni kwamba,hili kundi lenu lilipoanzishwa tuu, Waisilamu wakagawika vikundi vikundi na matusi na vurugu zikaanzia hapo,ona mnavyoaibika sasa,mara leo mjiite Answaari,mara Mujaahidiina,mara Waisilamu wa jihadi,mara Waisilamu wa msimamo mkali,mara Waisilamu wa siasa kali, Mara Waisilamu wa ahlu suna waljamaa,angalia kwenye hili jina la ahlu suna waljamaa mlivyojichanganya maana nyinyi mlidai hamutaki maneno ya ya mwanawachuoni yoyote mwanataka Qur'an na hadithi tuu,mlipoona mmekwama mkajiingiza kwenye ahlu suna waljamaa,mara mwajiita Salafi mara Mawahabi,na leo dunia nzima imewagundua kwamba nyinyi ni khawaariji.mmetumwa na Makafiri kuwagawa Waisilamu, lakini tunawahakikishia kwamba hamtoboi, ALLAH anasema;Kuweni ni wenye kurejea kwake wala msiwe ktk kundi la Makafiri,ambao wameigawa dini yao wakawa makundi makundi, na kila kikundi kinajiona bora KULIKO kingine:;,Suuratu rruum aya ya 32.kwahiyonyinyi Mawahabi mmeleta mfumo ule ule wa Mayahudi na Manaswara.Wa kuwagawa Waisilamu na kuanza kujifaharisha nyinyi kua ndio watu wa peponi,kwa hakika nyinyi ni Walokole wa kiisilamu.
@زنجبار-ز4ث
3 жыл бұрын
Hii si ibada sahihi huu ni uzushi tu munamzulia mtume wazushi wakubwa Kaeni chini musome ata quran hamuijui kuisoma kwa taratibu zake mnazua kukohoa na bidaa zenu izo
@hidhiriabdulkadri7846
Жыл бұрын
Walipokuonahunamana wamekuchunia
@ShekhIddi
23 күн бұрын
We ni mwanga unamungia mpaka shekh abdulqadir jaylan hutoweza zaidi ya ww kuangamizwa
@Salam_sune
2 жыл бұрын
What is this? It's not sunna, it's bid'a
@abuurahma1522
3 жыл бұрын
Shekhe naitaji kitabu cha mana kibu vp naeza nikapata
@ibrahimbakar622
4 жыл бұрын
Safari na music
@thukha5033
3 жыл бұрын
acha masihara sheikh wangu ,, huu ni mziki ??? !!!
@chadomar6464
2 жыл бұрын
ماهاذه البدع ولكل بدعة ظلالة وكل ظلالة في النار ولا يوجد في الاسلام من هاذاالرقص في المساجد والله يهديكم الى الطريق الصحيح للاسلام قال الله تعال في كتابه قل إن كنتم تحبون الله فاتبعوني يحببكم الله ويغفر لكم ذنوبكم والله غفور رحيم.
@ibrahimetale9999
Жыл бұрын
🤣🤣😂😂😂🤣😂🤣😂🤣
@saidkilwa8765
4 жыл бұрын
Saf
@junaidkhan5849
2 жыл бұрын
Mahshallah
@aliigazza5184
3 жыл бұрын
Mashaallah
@deetatu7561
4 жыл бұрын
Mashalah
@FahadAbdallah-zt2xz
Жыл бұрын
Masha Allah
@زنجبار-ز4ث
3 жыл бұрын
Hii si ibada sahihi huu ni uzushi tu munamzulia mtume wazushi wakubwa Kaeni chini musome ata quran hamuijui kuisoma kwa taratibu zake mnazua kukohoa na bidaa zenu izo
@ramangadu6451
3 жыл бұрын
MAN JAHILA SHAIANN A'ADAU" Mtu Hupinga Kitu Akiwa Hakijui. Ukijiangalia Vizuri Nakujichunguza Wewe Mwenyewe Ni Bida'a Kwa Maana Umekuja Mtume Hajui. Kasomeshwe Wacha Khabari Yakujisomeasomea
@adamhasani6468
3 жыл бұрын
Muungwana akivuliwa nguo hasimami hvo bac acha kukashifu kisichokuhusu au ktk muongozo wako unaoupenda wa dini umehalalisha kukashifu amana ya mwenzio?au imekuruhusu kutukana?acha dharau na kebehi kwa maamrisho ya Allah kaoge tia udhu fanya dhikri mstaghfiru mola wako kwa makosa na dhambi ulizozitenda uckae ukatizama maisha na mienendo ya mtu mwengne Allah akunusuru na kukashifu wengne waombee kher waislam wenzio Allah atakuwa kakuridhia
@زنجبار-ز4ث
3 жыл бұрын
@@ramangadu6451 naona hata hufahamiki na wala huna hoja
@زنجبار-ز4ث
3 жыл бұрын
@@adamhasani6468 ndugu yangu nakukebehi wakati nyny mnamzulia mtume mnazua ibada haina hata dalili mnapingana mpka na aya za Quran mupo mupo tu ww unadhani huko kukohoa kungekua ibada basi hata maswahaba wasifanye au tabii au karne tatu bora zisifanye muje kufanya nynyi wa muembe makumbi tokeni hapa wazushi na hamupati thawabu n'goo
@salmafikirini4899
3 жыл бұрын
@@زنجبار-ز4ث sawa hatupati thawabu ng'oo basi utapata ww na sisi hatutoacha kudhikiri kwa ajili ya allah na mtume wetu muhammad s.a.w na yeye allah ndie atakae tuhukumu sisi kama tunakosea na sio mwanadamu .tuombeane kheri na tujitahidi kufanya ibada kikubwa imani inshaallah.
Пікірлер: 128