Tukiachana na mapungufu yake hakuna msanii mwenye UPENDO kama diamond platnumz I'm so emotional najikuta nalia jamani it's big love 😭😭😭😭
@RamadhaniSalumu-r3p
Жыл бұрын
Point 🎉
@yaedlifemedia3203
Жыл бұрын
Ebwna hii nyimbo ata mm imeniumiza sana
@obeydmwemezi3663
Жыл бұрын
Sure!!!ingawa watu wengi hawalijui hili...
@ruwaidamabrouk1797
Жыл бұрын
@@obeydmwemezi3663yah kweli mkuu jamaa anawapenda sana wenzake
@ruwaidamabrouk1797
Жыл бұрын
@@yaedlifemedia3203Hata meme asee
@stanslausjohn8791
10 ай бұрын
Nisiwe Mwongo mbele za Mungu. Kwa hili nmejikuta natokwa machozi. Mondi wewe Mungu atakuzidishia maradufu Wewe ni msanii mkubwa sana kwa mambo makubwa na mazuri unayofanya. Hii ndiyo maana sahihi ya Real love. Hakika hautashuka wala kupungukiwa kamwe bali utazidishiwa zaid! Mungu akupe maisha marefu sana bro You will always stand as my number one artist in Africa and one of the biggest artist in the world ❤❤ H
@sultanmswahilitv4864
Жыл бұрын
Namfurahi kumuona chidi afya yake iko swari...🇰🇪🇹🇿🇰🇪
@antoinebakevya8911
Жыл бұрын
Oooooh my God, uyu Diamond ni bala sana tena sana. Chid Benz hoyi hoyi kweli. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@keishababy-fh2dy
Жыл бұрын
Nyimbo kali sana , long time chidi hajatoa kaa hii
@ibrahimfarha3853
Жыл бұрын
That moment yooooo......Big time kwa Diamond
@GjoeKenya
9 ай бұрын
Hata kama hua sikutambui Diamond walai ungekua mkenya you have a big heart ❤ ume nikumbusha shujaa
@MohammedDimoso
Жыл бұрын
"Ni kweli kabisa kweli hakuna aliyekamilika asonahili analile but kwenye hili rafiki zangu hapana nimeona love nimeona mapenz nimeona jinsi gani mapenz ya mtu yalivyo kwa mwengine nimeona kujitoa nimeona kujali dah nimejikuta nadondosha machozi tu ya furaha unajua nini ndugu zangu maisha ni kuwajali wengine na siwewe peke yako mwenyezi mungu utupe mapenz ya kupendana kama alivyo yeye anavyo tupenda.
@TomjyFreddy
11 ай бұрын
unafanya makubwa sana tuna kupenda sn
@michaeljohn646
Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI BWANA AWE NAWE DANOND PLAT NAMZ🎉❤
@SimonMabula-t4g
9 ай бұрын
kuacha na uteam akuna msanii mwenye kusapoti wenzie Kam diamond endelea kuwa na roho hio hio ata mbinguni utakuwa mweny kit Cha uzima wa milel mf n ata anajibu comments za fans wake ni diamond pekee dia tunakupenda sana
@exop-r7z
9 ай бұрын
Much respect to that bigest support to daimond
@NuruBoyStar
Жыл бұрын
Daaaah brother nasibu hapo umeuwa kweli mrudishe chid benzi bwana katika ubora wake brooo
@khalidmdimu4177
Жыл бұрын
Chd best emcee ever
@ElodieAmani-vm5ut
4 ай бұрын
Wawo Diamond bwanaa anajuwaa sana nakubali sanaa
@MuznaSaid-hw6kz
7 ай бұрын
Love you chid benz ❤❤❤❤❤
@iranezerejeibrahim832
Жыл бұрын
Chid ft Chibu by Tunaishi nao🔥🔥
@erickchitumbi1308
Жыл бұрын
Chid still on fire.
@EsterAssenga-qm7bd
Жыл бұрын
God bless our lion Diamond platnamz
@radjmanofficiel1062
Жыл бұрын
Only his man now how make money in music industry his verry clever diamond about make money his ready to use everybody
@SakinaMaku
Жыл бұрын
Simbq la masimba dangote🥰🥰🥰🔥🔥🔥
@AmosHashaka
Жыл бұрын
DMX wa Tz kabisa i say!
@abuumohammed6292
Жыл бұрын
chidi benz mwenyewe ni mzima au teja siku hizi
@FrancKakumba-rn2vr
Жыл бұрын
Nyoteniwakali ila binafsi nawakubali
@meshackmmbando7748
11 ай бұрын
Sure master, Ukiwanacho watakuja wengi sana kihitaji urafiki nawewe ila ukishafulia hapo ndo utafahamu nani rafiki wa kweli
@BakaryMajo-hz2bl
Жыл бұрын
Kwenye mzk auna zambi kaka umemaliza mwendo wako dimpoz umempa saport chid ndo uyo upo vzr
@JoshuwaPita
3 ай бұрын
Nakubali sana😅😅😅
@jaylazorschannel5681
3 ай бұрын
KING KONG LEGEND ALL DAY EVERYDAY!!!💥
@LazarusWatson
Жыл бұрын
Ngoma hiyo hatali xanaaa big deal
@SaidRamazani-uk3dx
Жыл бұрын
Maasha Allah kichwa cha ?????¿
@AbduMussa-gl5qo
Жыл бұрын
Pw sana simba
@Babudicky-zn1kp
Жыл бұрын
Chidi Benz chuma cha ilala
@abdillahchilai1185
Жыл бұрын
Sijamini kama ngoja itakuwa nzuri
@صفوابنتسعيدباوافد
Жыл бұрын
Apunguze bangi madawa jamani utafika mbali nyimbo kali
@elizabethswai7777
Жыл бұрын
Hakika wanadamu c watu hata wanyama wamewazidi utu
@Kimanzi001
Жыл бұрын
Hii ilimuuma goma lake linchukuliwa na diamond hivi hivi😂😂
@ambakisyemwanjemba5787
Жыл бұрын
Upendo mkubwa Sana mondi
@Tongoto-kr1rh
7 ай бұрын
Nyimbo kali
@sophiayBakali
Жыл бұрын
Unaitwaje huo wimbo
@MohammedDimoso
Жыл бұрын
"Ni kweli kabisa kweli hakuna aliyekamilika asonahili analile but kwenye hili rafiki zangu hapana nimeona love nimeona mapenz nimeona jinsi gani mapenz ya mtu yalivyo kwa mwengine nimeona kujitoa nimeona kujali dah nimejikuta nadondosha machozi tu ya furaha unajua nini ndugu zangu maisha ni kuwajali wengine na siwewe peke yako mwenyezi mungu utupe mapenz ya kupendana kama alivyo yeye anavyo tupenda.
@mabulahadija1802
Жыл бұрын
Amiina 🙏
@magomakabanja480
Жыл бұрын
Diamond Platm Ukimkazia Mtoe Hio Nyimbo Itatambaa Balaa Tena Ambane Asiwe Anavuta Unga Tunamtaka Chidi benz Arudi Kwenye gem Mond please Mshike Mkono Chid Benz Hadi Mwili Unasisimka Haelewi Tena Mzuka Umempanda
@channyanjen9047
Жыл бұрын
Allah akuzidishiye riski diamond ameen
@kinyamal8201
Жыл бұрын
Yaani chidi hamtambui bodyguard wa Simba😂😂😂naye pia anataka kushikiwa tshirt lake na bodyguard😂
@hafidhali4336
Жыл бұрын
Umenichekesha wewe😀😀😀😀😀😀😀
@erickclassic8017
Жыл бұрын
😄😄😄😄😆
@allahisone6386
5 ай бұрын
@tynoblack5996
Жыл бұрын
Hii ngoma heat tayar kabla haijatoka..hii clip namim nimeipakua naishi nayo daily🔥🔥🔥
@MohammedDimoso
Жыл бұрын
"Ni kweli kabisa kweli hakuna aliyekamilika asonahili analile but kwenye hili rafiki zangu hapana nimeona love nimeona mapenz nimeona jinsi gani mapenz ya mtu yalivyo kwa mwengine nimeona kujitoa nimeona kujali dah nimejikuta nadondosha machozi tu ya furaha unajua nini ndugu zangu maisha ni kuwajali wengine na siwewe peke yako mwenyezi mungu utupe mapenz ya kupendana kama alivyo yeye anavyo tupenda.
@oscartvonline2382
Жыл бұрын
This made me really emotional! Chidi Benz is still the top Hip Hop artist in East Africa hands down. I look forward to the day he will return to his senses and be fully sober. And Diamond has really proved that akikupenda amekupenda. One love.
@ruwaidamabrouk1797
Жыл бұрын
Nilichogundua chidi anampenda sana Babu tale
@HamisiSaid-k3p
Жыл бұрын
Nyimbo Kali sana diamond anajua
@john_1trader
Ай бұрын
🙌🙌
@EzzyEddy-il3ce
Жыл бұрын
Hii kitu nimependa sana binafsi mwamba kakunjua moyo wote yaan bonge la surprise hakuna surprise kubwa kama hiyo kwa msanii yaan ata surprise ya gari ikasome yaan
@bigtv4204
Жыл бұрын
Oya oya kwa msanii suprise kubwa ya kwanza inaanzia kwenye mziki wake na simba kapiga kwenye mshono
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
We unaijua gari kweli au
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
@@ikouwasi7644 😁😁😁😁
@KuruPonisa
Жыл бұрын
Yaaani kafurahi sana chid maaana hakuaamini kabisaa yaani ndoto imetimiaa
@hassankhamis7380
Жыл бұрын
Mondi ana roho nzuri sana Msaidie mkongwe huyo
@magomakabanja480
11 ай бұрын
Hapo kweli Chidi benz Yupo Au Ndioo Ungaa 😂😂😂
@elneussimeo1275
Жыл бұрын
Mm ninawaaambiaga ukweli Diamond ndio msanii pekee Tanzania mwenye roho nzr licha ya mapungufu ya kibinadam ambayo kila MTU anayo
@asaadalbusaidi1870
Жыл бұрын
Chidi fanya itolewe bana mnasubiri nini
@Mufti-c7t
Жыл бұрын
Wacheni mchezo chid ni kiboko big up brother chid u are difrant
@juliusabubakar2203
2 ай бұрын
This is true. This guy is a real deal 👌 💯 🙌 👏 😂
@rizagaman_fabulous_BSB
Жыл бұрын
Chid ka beba nguo ya daimond hahaa
@azizayassin3623
Жыл бұрын
😅umeona
@FlyOverboy
Жыл бұрын
Kenya Nairobi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🖐️
@danielnjoroge7493
Жыл бұрын
ila kwa roho aah Diamond Platnumz anayo🇰🇪🇰🇪🔥
@patriciomanuelmwadi525
Жыл бұрын
É mungu we kizur hua hakidumu ila hichi kipemida ili aweze kutufajir zaid samaani kwa ujumbe huuu kama nitamkera yeyote yule
@rostachalle9285
Жыл бұрын
MUNGU,akuongezee siku zakuishi,akuongezee hela nyingi , akuongezee upendo, aendelee kukujaza Amani uliyo nayo, hakika wewe ni mwamba DIAMOND ,unatutoa vijana kwenye tope na kutuweka machoni mwako. sina mengi ila ukweri MUNGU ANAJUA.
@ThobbyDavid
Жыл бұрын
Sema kunawakati simba anakua na moyo sana amsapot jamaaa hongela sana kaka mkubwa
@hassanbakari4525
Жыл бұрын
UBAYA WA DAI,,KITU HADI ATAKE YEYE NA ATAKIPIGANIA KWELI,,,SIO WEWE UTAKE KHA....
@salimalaquimane3077
Жыл бұрын
Ssa wwe usicho kitaka uta kifanya
@salimalaquimane3077
Жыл бұрын
Au ndio wabongo
@BHALEEALI
Жыл бұрын
Platnumz analinda brand yake sio kila ngoma aingize verse zake lazima achague
@hassanbakari4525
Жыл бұрын
@@salimalaquimane3077 😃😃,nimecheka sana
@user-juroboy
Жыл бұрын
Kiukwel nimetaman kulia 😢 chibu anamapungufu yake ila huyu mwamba ni unique
@vipackyummy6916
Жыл бұрын
Nani kaona tukio lachidi na mlinzi wamond 😅😅
@RehemaSaid255
Жыл бұрын
Qahahaha kama kamvimbia ivi ahaha
@evelynemugeni2369
Жыл бұрын
😂😂wanaume wanageuka wanawake kila kukica 😂😂😂
@yaedlifemedia3203
Жыл бұрын
Uyu istukyz mbaya sana hii bit kali sana Dah chid bado yupo kwenye pick 🎉
@PanchoValentino-wh7wt
Жыл бұрын
Chibu dangote Noma saana aisee 🔥👏🔥💥🌟
@bainolatino3412
Жыл бұрын
Mawazo yanafanyaga sita kua saba
@bigtv4204
Жыл бұрын
Kauli mbiu ilala waza pesa
@videozaaj1069
Жыл бұрын
Chid benz,he's god of music(baphomet)....i remember ngwair and just cry alone...😢😢😢😢diamond he's just good soul...got lots of respect to his brother.
@ArnaudAkanakimana-cr4sq
Жыл бұрын
Diamond muacheni ni king wa est africa na africa jumla❤
@AbdullatifMbago-jk9ht
Жыл бұрын
Chid boxe ameipandisha imekuwa kama gagulo
@PENDONYITI
16 сағат бұрын
Nassibu una roho ya peke yako mdogo wangu Mungu akupe furaha kila wakati
@rahmalovelymakeup-xy1qp
Жыл бұрын
Nyiye wasafi ndo mliambiwa muitoe hiyo nyimbo 😢 Tunaitaka 😂
@johnteja329
Жыл бұрын
Mambo mrembo
@williammsigwa8526
7 ай бұрын
Chidy benz Kwa hizi verse Diamond Makin na chorus👏👏👏
@Chief_Mkwetu
Жыл бұрын
Diamond Platnam nina kila sababu ya Kuita Afri-icon. Mond anajua kurudisha Fadhira.... Daaah !. Amenitoa Machozi "Trust me". Daaaaaaaaareeeesaaaalaaam Standup🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@gayanimwansasu
Жыл бұрын
Mwanaume kila siku wanageka wanake..hatali sana 🔥
@GjoeKenya
9 ай бұрын
Am crying can't stop it a love Tanzania music
@Jkone891
Жыл бұрын
King Kong mnyama hatariiii
@medystarter
Жыл бұрын
Uyu jamaa anajua Sana chidi King Kong Lakin sijajua sometime, Anafanya vituko bila kujali yupo na watu gani na sehem gani, more talk Sana, au sitim nyingi side effects
@attainer-jr7494
Жыл бұрын
Money = Power, nyimbo inaingiziwa corous na mwenye nyimbo hajui 😮😮 it was called a surprise whaat!!!
@topclipentertainment7173
Жыл бұрын
Arafu kuna ww mwenye wivu wa maendeleo
@bigtv4204
Жыл бұрын
Kaka kwani hujasikia hapo chidi akisema amekua akimsumbua tale kuhusu kolabo na simba tale anamjibu kumpata simba ni ngumu.
@D-Man.B-Free
Жыл бұрын
Unataka asipate maokoto sio?😜
@attainer-jr7494
Жыл бұрын
@@topclipentertainment7173 fikiri kabla ya kutype mzee
@attainer-jr7494
Жыл бұрын
@@bigtv4204 haha nimecheka sana kama mazuri
@ShadorboyG-zq6xt
Жыл бұрын
Anco inuatu kipaji chake kwa sababu akuna Musani anaweza iyo kazi wewe mwalimu wa nyimbo naimani ifwate mutindo waaa ko💪❤️🌹💯💯
@MohammedDimoso
Жыл бұрын
"Ni kweli kabisa kweli hakuna aliyekamilika asonahili analile but kwenye hili rafiki zangu hapana nimeona love nimeona mapenz nimeona jinsi gani mapenz ya mtu yalivyo kwa mwengine nimeona kujitoa nimeona kujali dah nimejikuta nadondosha machozi tu ya furaha unajua nini ndugu zangu maisha ni kuwajali wengine na siwewe peke yako mwenyezi mungu utupe mapenz ya kupendana kama alivyo yeye anavyo tupenda.
@blandinamyinga9489
18 күн бұрын
Yaaani chid kakaa zake chini very emotional anatingisha kichwa without singing na bado unaweza kumtazama leo hadi kesho na usichoke❤
@EmmmaTembo
Жыл бұрын
Mondi sio wakawaida alafu hakoseikosei wazee wa midia wako kazini wahakikishe imehiti kila mtaa kila kona Na itahiti kweli kwani imekizi vigezo
@JumaMsangi-c1x
Жыл бұрын
Amani sana ndio upendo wa msani mkubwa
@erqmusic5973
Жыл бұрын
So amazing 🔥🔥🔥
@chidibenz226
Жыл бұрын
Chid benz👍👍👍👊👊👊🤘
@tabasamutv24
Жыл бұрын
Hii ngoma natamani itoke hata leo
@Makomando-l8s
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sGZ_p4CQn5edeZg
@hamzaayubu9111
Жыл бұрын
Platnumz is a father of music in TZ brooo endelea kutuonysha my mzur
@magariabdallah8066
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ngoma kali sana
@naimasbuguza2395
Жыл бұрын
Dhiki shida Sannah, Mara nyingi Benz anamsema diamond.
@denniskadhreasternafricatv9583
11 ай бұрын
Dmk kadhr from Nksvegaz city can waite for another Chid benz ft Diamond platinumz moment ❤🎉🎉🎉since enzi zile til now 💯💯💯🇰🇪
@iambaizo
Жыл бұрын
Chid Kama vioe yuko vyombo 😂😂
@MickyPaul-x6f
11 ай бұрын
One love ma big brothers
@RahimKhatry
Жыл бұрын
Babaake iyo verse ya pili 🎉🎉🎉 heshima yko CHID BENZ
@OmarMohamed-zf8dp
10 ай бұрын
Shozeni mnatafuta watu washamna iliwaone kane wamekuja wengi nnjoni zanzibar muone kwa wa toto wa mjini
@JuniorAlinoti
Жыл бұрын
ni Rey boy chui mtoto wa yesu siogopaki chuiii ofDRC nimeikubali iyo 😂😂
@raheematanzania3543
Жыл бұрын
Diamond matambara haya anayatoa wapiii
@azizayassin3623
Жыл бұрын
Simba na roho yke ❤❤❤
@OmarsalimOmar-d7d
7 ай бұрын
Weeeeeeeee chidi benz ududu mwingii sana unyamwezi flani yani uko na zombi shetani
Пікірлер: 282