Masha Allah mashehe wetu kina Salim, Abdirizak na Ustadh Abas. Mola awahifadhi na awalipe na Janatul Firdaus
@Noorein-ws8wk
11 ай бұрын
Bravo masheikh wetu Toeni daawa iwaingie wasije kulaumu siku ya mwisho kama hawakaambiwa, wakikataa watakataa kwa kiburi chao tu.
@MuzammilSaleh-mq4ly
11 ай бұрын
Nabiii musa nabii Ibrahim na nabiii isa wote ni mitume wa Allah..kwa io na qurani ni maneno ya Allah kwa io Allah ndio kamsimulia Muhammad s.a.w habar za manabii waliopita..
Пікірлер: 9