Mjini Ukunda tulipambana na wabishi wawili wa kisabato waliojifanya kama wasomi, ila siku ya mwisho, mmoja aliingia mitini, akabaki wa pili Kauli, lakini Kwa siku hiyo alijiangusha Sana Kwa kulemewa kujibu swali dogo Tu, ambalo lilitilia usomiWake Mashaka, siku hiyo hiyo akaamua kusilimu dada mmoja, fwatilia video hii kupata habari zaidi
Негізгі бет "Ni Nani mwandishi wa kitabu cha Matendo" swali dogo lililomwangusha Kauli...10 October 2024
Пікірлер: 34