Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.
@khalidballeth5957
24 күн бұрын
Gnga LIKE kwa Hayati JPM
@African511
20 күн бұрын
Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm
@zachmaselle6635
24 күн бұрын
Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?
@worldtechlab
24 күн бұрын
Wow beautiful 😻
@anafisuleimani7083
24 күн бұрын
Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu
@charlesmwambinga4355
24 күн бұрын
Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena
@omarybakunda2554
23 күн бұрын
Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji
@ZeProDJay
23 күн бұрын
Hili daraja halijaishaga tu duuh
@samsonmwijage1869
22 күн бұрын
Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.
@msafiriomary893
18 күн бұрын
Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi
Пікірлер: 11