Sio swala la ukishua ndio uwe unapenda kusoma vitabu mimi pia napenda sana kusoma vitabu sana ila sio mtoto wa kishua ni hobbi ya mtu jamani diva
@dianerditto
9 ай бұрын
Tuliokuja moja kwa moja kutokea kwenye app ya mange tujuane
@fatmasaid9400
9 ай бұрын
Inaitwaje hio app napitwa
@starzone0458
9 ай бұрын
She is hard working she deserves a serious man for love
@novasmgode2943
9 ай бұрын
If that’s the only thing you think men wants, u should do more research
@esthermatisho2604
9 ай бұрын
Diva ananipa huzuni kila ninapo msikiliza 😢 she needs help kichwa au akili yake imetigisika kwakweli,especially baada ya kusikiliza voice notes kwa Mange App as woman utalia guys 😢😢
@moffimms8211
9 ай бұрын
Naomba nitumie namimi iyo voice
@kandydgitaltz
9 ай бұрын
utakuta hujawahi kuolewa, kuogea utumbo kama huu sio ajabu
@Josephineexsuper
9 ай бұрын
😅😅😅😅nimecheka hapo akili imetingisika😂😂😂. Huyu dada ana tatizo very serious, she needs help
@user-mr7gl5ox6u
9 ай бұрын
Aan vituko ipo hiv 80% waafrika hatujajielewa akili zetu zimeishia hapo kuonyesha saman za ndan tunachekesha kwakwel 😅😅😂😂😂
@Anzalmidel
8 ай бұрын
😂😂😂
@user-jf6vk1qm2b
9 ай бұрын
Huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia ana tatizo kichwani
@ziadasalimu1730
9 ай бұрын
Haswa
@catherinekiwipa9271
9 ай бұрын
Yeah anastahiri
@fodeabasi
9 ай бұрын
Yani kiukweli ayuko sawa
@elviuskanena6799
9 ай бұрын
Huyu analazimisha kuonewa wivu wakati ni wa kuonea huruma.😅
@tunajaribu
9 ай бұрын
😂😂😂😂 me naona aibu
@godsdaughter2820
9 ай бұрын
Body language,face expression,can tell everything 😂😂😂the woman is forcing everything 😢alafu Diva una ushamba mwingii,matajiri hawajitangazi,miwani kwa nyumba ndo imenimaliza😂😂😂😂😂
@ReshimaaChitende
9 ай бұрын
Miwan nyumban😢mshamba haswaaa😅
@vickyitenyo.
9 ай бұрын
I know right??! Miwani ni za nini kwa nyumba??
@user-vv1te9fu8q
9 ай бұрын
Miwigi na miwani mpk nyumbani tena ndani hujiamini mshamba mkubwa nyumba unazopanga kila kitu unakikuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako hizo nyumba nyumba ni parm village mtu yoyote anakaa
@aminamgaya7511
8 ай бұрын
Kabisa aise halafu ukimwambia ukweli anakublock🤣🤣🤣
@gres1182
9 ай бұрын
Zari ana pesa lakn sija wai kumuona ana ushamba kma huu jamen 😂😂😂😂😂
@ummySheikh72
9 ай бұрын
Kweli maneno yako! Ila kila mtu na Tabia yake😅
@MwanaishaShattry
9 ай бұрын
Mashamba sana katika kwenye maisha ya Chini sasa kama kipofu aliyeona jogoo kila kitu yeye anasema kikubwa kama jogoo
@marthagodson4447
9 ай бұрын
diva ana shida ya afya ya akili
@catherinekiwipa9271
9 ай бұрын
Sana sana
@PriskilaMajengo
9 ай бұрын
Huyu Diva sijui sura yake vizuri anabadilika Kila siku jamani
@kubrymtutala9574
9 ай бұрын
Ana sura 99 bado moja zifike 100
@mozamagaya8618
9 ай бұрын
Kabisa ata Mimi simjui diva hahaha
@myunaniniahmad6463
9 ай бұрын
@@kubrymtutala9574 😂😂😂😂
@rukiakyaka1827
8 ай бұрын
Mashaallah M/Mungu awajaalie kwenye maisha yenu Inshaallah
@tirzahtess3799
9 ай бұрын
Aki am kenyan and I love diva am coming so that she can adopt 💞💞me
@hassanmpemba5747
9 ай бұрын
ilove diva ana slaying nzuri big up diva
@marianabenangodi5522
9 ай бұрын
Demu anajiaibisha, coz ayo sio maisha yake watu tunamjua fika. But anahitaji msaada wa kisaikolojia
@faidhacute
9 ай бұрын
Acha wivu utakuuua 😢
@jacquelineshija2984
9 ай бұрын
We acha tu pengine yuko kwenye tangazo na utoto mwingi sana
@NasraSaid-qc5hf
9 ай бұрын
Hilosofa lamilioni 20 naona silioni hapo niyakawaidatuu
@Josephineexsuper
9 ай бұрын
Kuna muda nawaza hata ndoa na Abdul ilikuwa kiki tuu hamnaga... Yani she is soooo fake
@tunajaribu
9 ай бұрын
Hata yangekuwa yake unayaona yanachochote cha maana kweli
@glorianikiza3940
9 ай бұрын
Huyu atatokaga hapa maiti sababu analazimisha saaana mpaka huruma ulivokua unajigamba eti mwanamke unapaswa kua hivi vile kumbe ilikua utopolo tu pole amka bado mapema
@neemajeremiahs8430
9 ай бұрын
Hivi hizi hela si angejenga nyumba yake jamaniii 😔😔😭.. Kwelii tunatofautiana vision
@awadhisarai4331
9 ай бұрын
Kwani umesauh umsemo wa wenye akili hawana mali na wenye mali hawana......😅😂
@ziadasalimu1730
9 ай бұрын
Mmenichekesha mno Hadi raha
@ziadasalimu1730
9 ай бұрын
Kweli Kwa kabisa angejenga tu
@monadinadi5295
9 ай бұрын
Umeonaeee
@masalakulwa7601
9 ай бұрын
yaani anaona amemal8zaaa
@jazeerajuma5014
9 ай бұрын
Alhamdulillah kwa afya mungu alionijalia mengine ni mapambo tuy ya dunia
@tidyclevertz
9 ай бұрын
Ila hili life la kiwaki sana, tunavyooneshwa hiyo nyumba as if she owns it, yet akiumwa wanaanza kuomba michango kubabeeki
@wardawarda-fp3qe
9 ай бұрын
Kabisaa yaani 😢😢
@jacquelineshija2984
9 ай бұрын
Bwana we mara hizo furniture unazikuta unaingia wewe na begi lako la nguo tu
@tidyclevertz
9 ай бұрын
@@jacquelineshija2984 tunapigwa na vitu heavy 🤣🤣🤣
@TausiOmary-od3my
9 ай бұрын
Kodi yenyewe alichangiwa hapo akwende
@user-mr7gl5ox6u
9 ай бұрын
Matajir hawajionyesh nyumba ake ipo simple sana
@sisifaty9183
9 ай бұрын
Dada pole uko mjinga ,unamajigambo
@btylove1870
9 ай бұрын
Diva anamatatizo ya akili. Kuhusu Abdul hana love kabisa na diva. Wanaume tafuteni pesa please, ukiwa mwanaume hunapesa unakuwa lofa tu.
@nancyg8664
9 ай бұрын
Diva uwa mshamba yan anatumia nguvu nyingi kutuaminisha vitu sijui yupoje asee
@glorianikiza3940
9 ай бұрын
Uyu ameshaga changanikiwa anaongea sana tena hajaulizwa yani ana ka mchangnyiko furani waliyo kua karibu nae wamupeleke kuona mganga wa hakili😅😅😅😅
@Rose-ue2ho
9 ай бұрын
Naona yupo nyuma sana kimaendeleo😂 watu siku hizi hawaeki perfumes na cream kwenye dressing table kuna kabati maalum za perfume..ww mtangazaji njoo ufanye interview kwangu halafu uone the different kwangu na kwake😂😂
@Boaz22
9 ай бұрын
Laptop inawekwa kwenye box la viatu halafu na nyie mnamwamini??😂😂 matajiri hua hawaongei, huyu hana kitu, hivyo vitu vyote unakuta kwa apartments, muongo mkubwa Diva. Hana lolote dada kunuka😢
@queenlinda255
9 ай бұрын
Jama yani mimi nilitaka kusema ivyo ivyo izo nywele zake zenyewe ni feki yani feki sana sana 🤣🤣🤣
@claudiokelly8944
9 ай бұрын
Sio box la viatu mbona ni box lake kabsa
@chany9950
9 ай бұрын
Iyo nikweri👍🏽👍🏽👍🏽
@Boaz22
9 ай бұрын
@@claudiokelly8944kwahio ata wewe ujui box la viatu lilivyo,? Pole sana
Mimi ktk mastaa nampenda sana shilole. Yule ndio staa wa kuigwa jamn yupo kwakeeee. Hata ukiingia kwake kila kitu ni chake.
@MizeKombeSuleiman-id1rp
9 ай бұрын
Aki uyu dem limbukeni acha tu
@Anzalmidel
8 ай бұрын
Divaa wacha pombe ur cute hardworking lady 🎉
@hamidasalum157
9 ай бұрын
Huyu dada aibu hana nyumba ya kupanga ndio anajishauwa hivi du kweli bora ukose mali upate akili tuuu uyu dada hama haya sijui ana nini vitu anavyojishauwa na matendo yake tofauti unaona kabisa anajitututumua ili kutafuta sifa
@fatmaabasi6867
9 ай бұрын
Hyo hela ya kubadilisha furniture mara hii kannue good quality wigs😢
@jacquelineshija2984
9 ай бұрын
For real
@hazimamohammed1340
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatmamdihiri4164
9 ай бұрын
😂 😂 😂 😂
@user-sn6dc9gh8k
9 ай бұрын
Siyo kwa kujisfia huko duh😊😊😊
@aminaaminamayalla3308
8 ай бұрын
Mashaallah
@user-tx6nz4up5h
9 ай бұрын
Nilichojifunza hapo ni kujitahidi kuonyesha maisha ya kitajiri lakini kiuhalisia huyu dada ni mwongo, kwenye appartment huwa mara nyingi zinakuwa na vitu ndani, ila huyu dada anajitutumua kumweka mume kwenye maisha flan ili atulie naye, lakini ana fake life
@samwa9496
9 ай бұрын
Sio zote zingine zinakuwa wazi, au saa ingine wewe mhitaji unaweza waambia huhitaji furniture
@preciouspeter6126
9 ай бұрын
Apartments zipo ambazo ziko wazi pia my darling. Sio zote ni fully furnished
@aishamridy4774
9 ай бұрын
@@samwa9496hizo Appartement nazijua zina kila kitu ndani humo kaongeza tu vitabu tu hvy 😂😂
@samwa9496
9 ай бұрын
@@aishamridy4774 😂😂😂
@ElizabethWamcha
9 ай бұрын
Ni kweli kila kitu unakikuta umo zaid ya nguo zako tu ndio unaongia nazo 😅
@maimunaulotu2075
9 ай бұрын
Diva dada aaangu usitumie nguvu nyingi kuaminisha watu....kuwa huyo kaka unampeleka.....ndomaana watu wanafanya makusudi kukumiza coz ndounaonyesha uzaifu wa ww kupend sanas
@yustamshana-sx8dy
9 ай бұрын
Mwongo, furniture za appartement za hapo amezikuta 😅
@chibandamwende3676
9 ай бұрын
Ila Diva unafosi jamani hivi huyu mhuni bado unamuweka???yani the body language is off !!!alafu dont bother about price alot just give us a tour we will know how much 😅😅😅,good apartment
@khadijab7066
9 ай бұрын
Mungu niweke mie ,unapesa arafu umepanga mtiani jamani master wa bongo pasua kichwa
@Jamila-cz5ge
9 ай бұрын
UNAJIDAI NA NINI PUMBAVU WW WEWE SIIO MZUNGU AU UMEUZA ASILI YAKO. WAJIDAI KUONGE KIZUNGU RANGI JE ? MBONA WW NI MWAFRICA? WAJIDAI NA VITU JE UNGEKUA UNA UTAJIRI WA KINA BAHWANI UNGEFANYA NN. UNASALI ?
@faidhacute
9 ай бұрын
Nakupenda we mdada mpaka naumwa ❤❤❤❤❤ DIVA THE BAWSE ❤❤❤
@salimalaquimane3077
9 ай бұрын
Mashaallah pazur
@rizikiabdalla2501
9 ай бұрын
Ingekuwaa nyumba anamiliki yy hajapanga ningesena pazuri
@rerisamba
8 ай бұрын
Wow 👌 nikuzuri sana jamani nakumekaa expensive
@BrigitaKawau
9 ай бұрын
Mimi sina kitu na haya maisha yako Diva siyapendi ni ushamba kwakweli Yani hata kama huna akili au unavyosema umesoma Kwanini usiwe mwenye uelewa huu ujinga haufanani kabisa wengi wanapesa na maisha mazuri yakukuzidi ila hawafanyi hivi pole sana
@user-tt6jt8pz5m
9 ай бұрын
DIVA MIE HATA UWEJE NAKUPENDA. UKICHEKA LAZMA MIE NICHEKE😂❤❤U MADE MY DAY TODAY WALAH. ILA KWA UTANGAZAJI NI FIRE❤❤my BEST COUPLE IS ABDUL AND DIVA😂😂NAWAPENDAAAA 😂😂😂MNAWACHOMA ROHO WASOWAPENDA
@steveabel5819
8 ай бұрын
Acha unafki😂😂
@mackysuphian
9 ай бұрын
Hata hao matajiri hawabadilishi furniture after three months😂😂😂khaaa! Kama ni hvyo si bora ujenge tuu..na tuna abari zako umetelekeza furniture huko kazilipie kwanza🤣🤣🤣
@zamdamasondole8272
9 ай бұрын
Tumuombe tu baada ya miezi 4 huyu mtabgazaji arudi tena kwake 😅.Diva ni muongo sanaa 😂hao matajiri hawafanyi hiivyi😅.wiki lenyewe fake😅limekakaa km Zombie
@stellahlinusi8215
9 ай бұрын
@@zamdamasondole8272why zombi jamani
@poshsmith4268
9 ай бұрын
😅😅😅😅
@umukulthumu1419
9 ай бұрын
Waarabu wenye hela zao wenye maisha yao hawabadilishi makochi hovyo😂😂😂 labda mpaka sikukuu ikikalibia wanapeleka kwafund kubadilisha kitambaa chanje hawanunui mpya😆😆😆😆😆😆sijui yy anajikuta nani
@user-xo4zc9vu5w
9 ай бұрын
Mungu akusaidie jamani Mumeo awe mkweli abadirike na husiache kumuombea
@cdeleo9336
9 ай бұрын
Diva upo kwenye denial mbaya mno. Huyo atakuja kukupiga tukio baya hutaamini maana hakupendi
@BarbaraPatience-qt9cc
9 ай бұрын
Inakuhusu nini! Si uache apige tuu
@teedullah5708
9 ай бұрын
Kabisa
@omaryntagala3740
9 ай бұрын
Wivu acha wivu
@barikiwa22
9 ай бұрын
Ampige matukio mara ngapi 😂😂😂
@ummySheikh72
9 ай бұрын
Hata mimi nimehisi hasa haya maisha yake hayapendi ila anapata pakutelezea tu! Mungu awasaidie
@happynathan8226
9 ай бұрын
Huyu dada nyie ni mgonjwa wallah😂😂 Diva sio mzima kabisa na wambieni 😢
@ireneimbuhira7759
9 ай бұрын
💯 true
@joycekaguo8476
9 ай бұрын
😃😃
@agnesjohn9382
9 ай бұрын
Mgonjwa kivipi fafanua daktari wake
@awesosaladi3638
9 ай бұрын
Diva the bawser unyama ni mwingi sanaaa😅😅😅😅
@annamontana2854
9 ай бұрын
Wigi limekauka kama limedumbukia kwenye uji
@michaeljohn9070
9 ай бұрын
Palm village na Dar villas apartments gharama zake kwa mwaka unaweza jenga nyumba yako kubwa nzuri tu,,sasa sijui wanafeligi wapi hawa watu,,,
@Anzalmidel
8 ай бұрын
❤❤❤🎉 i love you 😘
@Fear_Allah394
9 ай бұрын
Viongozi wa Tnz M/Mungu anakuoeni. Nchi mmeikandamiza mpkaa mtu anafikia kuita waandishi wa habari ndani ya nyumba kuja kuonyesha vyakula, lotions, creams, shower gels, baby wipes, unbranded bags, viatu, miwani nk. Wkt hvyo vtu kwa maisha ya wenzetu ni kawaida???
@rahmahabibu4727
9 ай бұрын
Mtangazaji kashajua diva hayuko sawa na anaenda nae Ivo ivo 🤣🤣🤣🤣🤣
@umukulthumu1419
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌
@user-uj5wg9mm2t
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@rhexmeer6059
9 ай бұрын
I do furnitures,'amazon ndogo'🤣🤣🤣🤣
@rehemamwandemani5182
9 ай бұрын
Diva usisahau kujenga my det
@user-is7ot7bq9x
9 ай бұрын
Diva adi namuonea huruma Aseee jinsi Anavyompenda uyu kaka afu uyu kaka Amekaa kihuni sana wala hana mpango na mkewe
@joycemuhoja4729
8 ай бұрын
Mkimaliza kwa Diva mje. Kwangu mlekodi jamani😁😁 Hizo fenicha unazobadili kila miezi mitatu naziomba
@HajatAbdul
8 ай бұрын
Jaman diva ukibadilisha izo sofa na iyo tv naomba unipe nakuomba sana shabiki wako sana kwenye lavi davi
@zawadichalale4047
9 ай бұрын
Ferniture 20mil then baada ya miezi 3 anagawa loh!
@matridamwalyoyo1735
9 ай бұрын
Uongo wa kiwango cha rami
@naumikabila5880
9 ай бұрын
Aaaaah sure sure nimeona 😅😅😅
@Rose-ue2ho
9 ай бұрын
Diva ukimaliza nyumba yako nitafute mm nitakufanyia design na kukuwekea vitu vya kisasa mpaka utashangaa..😊
@navyoagrey7523
8 ай бұрын
Kwa kweli mana apo mh! Cjaona cha ajabu sana 😢
@claudiajames2003
9 ай бұрын
Kwahiyo na miwani ya fashion ukiwa umekaa ndani kwako?😅
@fatmaomar1881
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@marianabenangodi5522
9 ай бұрын
Yaan unaita media kutuonyesha vitu vya ndan 😂😂😂
@FatimaAli-of4gh
9 ай бұрын
Tutake radhi Diva house wife ni watu wa chini? Hiyo ni heshima tu ya kumfanyia mumeo watu wana pesa na wanapika sema kweli tu hujui kuoika au unataka na sisi tukuoneshe maisha zetu sisi sio marimbukeni like you
@namsamson3443
9 ай бұрын
Hizi ndio hela zetu tulizokuchangia nini😂
@hazimamohammed1340
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Josephineexsuper
9 ай бұрын
Mlimchangia za nini?
@user-uj5wg9mm2t
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Anzalmidel
8 ай бұрын
Nikkah🎉
@tanzcanmediatv4473
9 ай бұрын
Jamani pazuri mimi binafsi nimependa jinsi ilivyo hasa milango kuelejea balcon
@user-df5mj8pf2q
8 ай бұрын
Nimependa sn maisha yuko acheni kumuonea wifu
@aminaramadhan3815
9 ай бұрын
Unapenda sifa mpk una boa
@SarahKeza-lp1fv
9 ай бұрын
😂😂😂😂 naamuwa kufurahia Tu maisha ya diva
@faidhacute
9 ай бұрын
Roja fala sana eti huea unalewa kabsa 😂😂😂😂😂😂😂 kwahy mtu anakunywa wine anashindwaje kulewa
@user-ez3tk5ry5f
5 ай бұрын
❤
@user-qk9kr5pz3v
9 ай бұрын
It's Expensive life for me😂😂😂😂 ndugu mtangazaji
@hair_by_dayanna
8 ай бұрын
Mbn kawaida sana
@suleimanikirassahassan9711
9 ай бұрын
Dizaini hizi uzee wao huwa wanasumbua sana wajukuu
@neemaberny3598
9 ай бұрын
Yani mtu anaejopanga kudanganya lazima avae miwanii😂😂 dada hajiamini huyu..
@salhambwana6416
9 ай бұрын
😂😂😂😂
@najmasalim-rg6ow
9 ай бұрын
Miwan hiyo ya macho au
@angelgodfrey4870
9 ай бұрын
Aaah kumbe ni apartment mm nkajua kajenga, nimeacha ata kuangalia
@user-su4fm8fb7b
9 ай бұрын
Mmh mkiumwa mnaomba kuchangiwa jaman😢
@nicholauspeter9454
9 ай бұрын
kila kitu very expensive
@umukulthumu1419
9 ай бұрын
Ila diva jaman kwahio huyu mwandish kamwita kwaajili ya kuonesha maisha anayoishi😂😂😂😂
@jacqlinejames7568
9 ай бұрын
Sasa hlo wigi ndo nn mwandishi humwambii mwenzako
@Jamila-cz5ge
9 ай бұрын
MWANAUME ALI SAWASAWA HAWEZI KURIDHIKA AJE MWANAUME KUTEMBEA CHUMBA ANAPO LALA NA MKEO . UNAWAONESHA WATU NYUMBA NA VILIVOMA HUU NIUSHAMBA . NANIASIO KUANAVO. WAPOWATU WAMILIKI MAJUMBA YAMEPAMBWA KWA DHAHABU. NAHAJIGAMBI WALA KUJITANGAZA MITANDAONI. NJOO TUKUONESHE HUKU MAJUMBA NAVILIVOMA UTAZIMIA.
@keyla3641
9 ай бұрын
Diva wewe ni hodari sana unajituma nahitaji mtu sahihi wakuwa nae anaejituma km wewe ishi rahisi useful nyingi ujenge achana na ya dunia kaa kimya fanya yako
@AshaKassim-tu7gz
9 ай бұрын
Muongo diva apartment nyingi hukuta kilakitu..nihiyo ck ya kudaiwa Kodi ndo itajua hujui cjui usowako utauweka wp?
@LuciaUngele-ye6tn
9 ай бұрын
Sawa dada turingishie tuu pesa zetu hizo
@gracegehazi638
9 ай бұрын
😅😂😂 ndo maana unaona naongea sana kiingereza aishhhh
@woah.africa99
9 ай бұрын
Wine na msala wapi na wapi duh
@marianabenangodi5522
9 ай бұрын
😂😂😂 voice si uliongea mwenyewe. Sasa dada etu wa taifa ana husika wapi .
@Keyjop
9 ай бұрын
Ko diva miwani anapikia anaogea ana lalia ana ...in short , question ko miwani Kwa diva ndio Kila kitu
@tunajaribu
9 ай бұрын
Alisema huwa anaona aibu
@lucasernest6012
9 ай бұрын
Ila kwenye kuomba michango unatuonyesha maisha ya sanaa tu
@ngotikongotiko2711
9 ай бұрын
Mshamba huyo ndo uamini kwamba kwa mwanamke ndoa inathamani kubwa sana inampa ukamilifu duniani na hata mbele za mungu
@rehemahassan7475
9 ай бұрын
Uyu anajishaua jaman khaaaa mpk anakela
@happynathan8226
9 ай бұрын
Muhaya huyo😂
@stellahlinusi8215
9 ай бұрын
@@happynathan8226kumbe
@RachelBriervanity1
9 ай бұрын
Jengeni Basi
@estherminnahboaz6956
9 ай бұрын
Diva madawa yamemkolea maskini kama ana ndugu wampeleke kwa mtaalam anatia hutuma sana hayupo Sawa 😢😢😢
@kissamwamunyange1018
9 ай бұрын
Una uhakika unachokiongea? Halafu wewe kumbuka ni mwanamke kumsemea mwanamke mwenzio ni dhambi kubwa
@estherkimario7940
9 ай бұрын
Mmmmh mil ishirin kila baada ya miez 3 nagawa mhhhhh eee mungu na ss lin zam yetu
@user-hp2ix5wp6i
9 ай бұрын
Umejenga umepanga?
@AchouNdao-uf1ud
9 ай бұрын
Abdul anatabia mbaya anatabia y kuingilia watoto wakiume yani diva wew 😂
@rerisamba
8 ай бұрын
Macho macho 👀👀👀👁👁👁ndio huongea hata kumtazama hawezi
@steveabel5819
8 ай бұрын
Apartment ni ya kawaida sanaaaa hamna cha ajabu like for real😅 hata kwenye charts hanusi……huu ni ushamba jmn kusema every worth ya kitu chako cha ndani for what then??!? Huyu hajielewi lol nilikua namwona wa maana kumbe hamna kitu😒 so sad watu wenye expensive life wanajenga mi mansion yeye anatamba na hio cheap apartment😂😂 ndo maana she settle for less kwa huyo mume wake ambae ni queer huh
@teedullah5708
9 ай бұрын
Sasa hufunquwi dhamana kitu huyo Dada WA kazi napika nini huyo mume km humpikii yuwapikiwa kwenqine tusidanqanyane
Пікірлер: 570