DR SULE .SWADAKTAR !👍BIG UP !👋👋👋..ALLAH ! AKUHIFADHWI., USICHOKE KUTU ELIMISHA...NA WEWE MY DAUTHER MTANGAZAJI.HAKUNA SIKU ULIO NIFURAHISHA KAMA LEO.UMELETA MADA ! MZURI SANA👋👋👋🇰🇪
@alsam4881
3 ай бұрын
Yaani tokea uanze kuvaa hijab inakupendeza sana Masha Allah.
@charlesmgonja8689
3 ай бұрын
Sule una uwezo mkubwa wa kujibu maswali hongera sana.
@Issamuemede
3 ай бұрын
Mashaa Allah dr sule I watching from Mozambique
@ramadhanyusuf2401
3 ай бұрын
Huyo demu namkubali sana Allah amlinde kutokna na maadui napenda mbengo tv
@HamisAbdallah-cj2sc
3 ай бұрын
Mziki WA bongo flv nihalali ??? Dk umenyoshaaaaaaaaa akuna kupindisha aya za MWENYEZI. Mungu.zinyooshe iyo nsiyo dawa na haki KWA uma WA kiisilamu
@alanoudalseari7208
3 ай бұрын
Uko sanini shehe 🎉🎉🎉🎉🎉
@nooromar6233
3 ай бұрын
Inshallah mngu amlinde kila mwenye kupenda mazuri na kuepuka mabaya kwa uwezo wake mngu,
@jamilajamila4572
3 ай бұрын
Nimependa watangazaji sasaivi mupo pamoja na mashekh iyo ndo vizur ili watu wajifunze ❤
@Qur-x4i
3 ай бұрын
Sheikh niposee huyo bint anaye kuhoji nampenda sana
@bas2823
3 ай бұрын
UBDOLUTY WRIGHT ALL HE SAID ARE TRUE IM SHAKING HANDS🤝 WITH HIM👍IT IS TRUE N CORRECTS ALL HE SAID👌🙏MARRIED IS A BIG STARA FOR FEMALES N MALES AND ZINAA IS YEDHARA NA HARAM😡😫😩! GOD HELPS ALL OF YR CREATIONS IN THE WORLD TO GET MARRIE IN HALAL WAY N HAVE GOOD LIFE OF FULL STARAH IN THE LIFE TIME😄👌AMEEN🤲🙏🤝👍❤💞💖😄😃😀👌"
@abubakaryomary8059
3 ай бұрын
Duh dada Leo umevaa stara umependeza
@allyadam7355
3 ай бұрын
Yani unachokikataza nisawa umemkuta muislam anakunywa pombe kwa mkono wa kushoto afu unamkataza unamwambia anywe kwa mkono wa kulia kwasabab mtum kakataza kunywa kwa mkono wa kushot wakati ilitakiwa umkataze kua pombe ni haram sasa nawewe wakataze kwanza kuimba miziki kwasababu niharam
@user-oh7gv8zg5y
3 ай бұрын
Safi, Sana ndugu Niko pamoja nawew
@user-oh7gv8zg5y
3 ай бұрын
Huyu jamaa mmmh, sio poa
@ginazngo4317
3 ай бұрын
Asante sana
@user-oh7gv8zg5y
3 ай бұрын
Yaani, mtakavo jua hawa mashekh zenu, WA bidàaa jau, Yani maongezi yote haya hajaazungumzia kuhusu uharamu WA muziki,, waambieni hao wasanii waache kuomba mziki ni haramu,,si Tu zinaa, Kwa sababu Hilo limepatikana Kwa kiasi kikubwa kutokana na muziki
@user-nk4oq4ek9y
3 ай бұрын
Si ambiwa ndo sheria alopewa uko ushetanini sijui lkn naskia tu
@lordenoughforme4417
3 ай бұрын
Huyu sule apenda kujisifu kwa kila clip.eti " mm star"
Mtangazaji unaiuliza ya watu na kumbe hata wewe ni kama wao haujaolewa na Wewe hauna Rafiki sema ukweli,,,waswahili wasema Nyani haoni kundule
@Kabeya410
3 ай бұрын
Huyo Diamond ni mwanaume ana uwezo wa kuoa unamuhukumu huyo dada yeye unamuhukumu wakati hujamuona na mwanaume wala hujaona kama amezaa kabla ya ndoa una chuki tu we peleka posa uone kama atakataa kuolewa. Acheni chuki mi naona ni chuki tu ya uislam hapo mshaona kajistiri mnakasiriiiika kufeni na vijiba vya roho kenge nyie
@ukhtyrayyan7884
3 ай бұрын
Wako niupumbavu huo unaoujadili ovyooooo sasa kama hajampata huyo.mume ila diamond anawanawake anawachezea kila siku
@user-bp4vy6ui4p
3 ай бұрын
Mtangazaji kabla haujauliza ya watu angalia ya kwako😢
@barrynzeyimana6270
3 ай бұрын
Hakuna mambo hayo. Waulize kua zile ndoa za ndani ya ukristo na uislam wamezitoa wapi ikiwa hakuna ambae amefungishwa ndoa vile kwenye vitabu hivyo? Mfano, kwenye bibilia hakuna ndoa ya ndani ya kanisa. Hakuna Muhammad alitamkishwa maneno gani kipindi anafunga ndoa na mtoto Khadija mwenye miaka 9?
@Mbalason
3 ай бұрын
We dada umeolewa?
@user-yn5vo4jr3t
3 ай бұрын
We nimupuzi farA
@user-cr7vi4qp9c
3 ай бұрын
Huyu ni Star wa nini?
@barrynzeyimana6270
3 ай бұрын
Hakuna ndoa kwenye uislam au ukristo. Je, Muhammad alifungishwa ndoa na nani na kafungishwa namna gani na kwautaratibu upi?
@fatma1169
3 ай бұрын
If you don't know what you taking about you better shut up!! Our prophet Muhammad S.A.W was married to khadhija (r.a) and the marriage was conducted by waraqa
@nashnene6326
3 ай бұрын
Kwan ye mwenyewe ni halali? Hata yeye hakupata haki kumrithi baba aliemzaa, muacheni dai aishi maisha yake, pambaneni na harmo mwenye Mungu wake demu
@ukhtyrayyan7884
3 ай бұрын
Sasa kama yeye mwanaharamu ndo nadeleze haramu yani darsalam baadhi yenu muna maneno hayana akili sijuiki kwanini
@nashnene6326
3 ай бұрын
@@ukhtyrayyan7884 we ndio unaakili? Au upo perfect?
@badmanno.1650
3 ай бұрын
Huyu jamaa hajielewi.. sasa mkristo akioa ndio inakuwa ndoa halali? Ndoa halali inayotambulika na Allah ni ya kiislam tu.
@hanifa9153
3 ай бұрын
Kwaiyo hao wakiristu waishi kama ng'ombe au kama hawataki kua waislam je uwashikie bunduki aya nenda darasan ukajifunze😊
@user-cr7vi4qp9c
3 ай бұрын
Mbona kama anamuogopa Diamond 😮😮
@pioado7135
3 ай бұрын
Nauliza dokta sule mm ni mm mama yangu muislam na baba yangu mkristo je nanarthi chochote kutoka kwa baba yangu na awakai pamoja baba kaoa mkristo mwenzake nd ndio chanzo je nina haki gan upande wa baba wa kurithi?
@user-lm5fu5tu5z
3 ай бұрын
Hauna urithi hapo maana huyo kidini sio baba yako hakumuoa mama yako ila huyo Mzee anaweza akafanya chochote Kwa mapenzi yake kwako.
@hanifa9153
3 ай бұрын
@@user-lm5fu5tu5zkabisa hawezi kurithi😊
@user-sn7gy6cd5q
3 ай бұрын
naamini uislam ni dini tumepokea uislam lakini hatukupoa shelia za kiislam tungepokea shelia za kislam hata wewe dk sule usingepona unataka kusema hujawahi kuzini hata sikumoja
@ukhtyrayyan7884
3 ай бұрын
Hata kama kazini ila tunajua Allah ukiacha uzinifu naukawa badi diini yetu inakusamehe
@mashramadhani1989
3 ай бұрын
WEWE MTANGAZAJI ACHA UFUKUNYUKU MUNGU YUPO LKN MAISHA HAYA KILA MTU MASLAHI NI KHERI KUISHI BILA NDOA KULIKO KUISHI NA JOKA NDSNI. WAPO WANAOFANIKIWA LKN WACHACHE SANA.
@ukhtyrayyan7884
3 ай бұрын
Itakua wee chizi inamana mwezenu anahimizwa kuowa kwasababu ndowa ni ibada ila zinaa niuchafu
@ismailmasoud6001
3 ай бұрын
Hujielewi, ila kwa kuwa Kila mtu na maamuzi yake, weye zingatia MASLAHI halafu muasi MUNGU... wakati ukifika utaenda kueleza, kikubwa Sheikh Sule katukumbusha
@s2kizzySnipers11
3 ай бұрын
Nipeni like zeni bwana acheni roooo mbaya ni mm Baba yenu #we Zombie S11😅😅😅 kama wewe ni mtoto wanje Ya ndoa sina aja Ya Like yako sory 😊
Пікірлер: 54