Nazipenda sana interview za Dudu Baya. Najifunza mengi sana. Mustafa Michenje from Pemba Mozambique❤
@Admirah77
5 ай бұрын
Wasalimie wa naz batata spensao na markado kariakoo😊
@Admirah77
5 ай бұрын
Wasalimie wa nas batata imolansao na merkado kariakoo
@AllenMwalimu
5 ай бұрын
Bro wew ni mkubwa Tanzania..be blessing bro
@DonMooSTUDIO_Express
5 ай бұрын
Mtangazaji unapendeza sana ukivaa hivyo. Nimefurahi kuona umeendelea kuvaa mpaka baada ya mwezi wa Ramadhan. Sidhani kama kukaa mwili wazi ndio kupata mafanikio katika jambo lolote. Vaa zako stara, piga kazi unapendeza sana 100% unavutia sana ukiwa umevaa stara ❤ Hongera kwa hilo dumisha stara ❤ Lakini kwenye maswali jitahidini kuuliza maswali ya kimaisha. Anayehojiwa anaonekana anamambo mengi ya kuongea tatizo maswali ndiyo yanamrudisha kuongelea watu... Rekebisheni maswali hatakama mtu ni msanii kama anamambo ya kuongea nje ya sanaa muelekezeni huko huko 🙏
@abelmbijima4324
5 ай бұрын
Dudu baya nakukubali sana kijana wangu you're very very genius fanya tuwasiliane kuna vitu nataka ni share na wewe
@FredwaaMakambo
5 ай бұрын
Muwe mnamlipa bhana
@fadhilimartin-o3h
5 ай бұрын
Kweli kabisa sio Wana patawao tuu
@mosesg.pendael8381
5 ай бұрын
Unataka kumwaribu sasa. Sio maisha yake.
@salumuseif3324
4 ай бұрын
analipwa hafany bure anatoa content
@BarakaJosephat-d1s
4 ай бұрын
chini ya utatu mtakatifu Ameen
@JeremiahElishaMwanyesya
5 ай бұрын
Bigger up dude baya...unajua kuelezea....
@shukranisibale1739
5 ай бұрын
Eti kulinda walevi
@shabansumaiya4770
5 ай бұрын
Umepngea ponti sana
@SamwelEdward-on7if
3 ай бұрын
Dudu baya ana akili nyingi sana ! Na anakipaji Cha kujua mambo m engine sana kongole sana kwake !
@DonMooSTUDIO_Express
5 ай бұрын
Mtangazaji jaribu kuwa unaangalia video zako ukivaa hivyo na zile ukivaa kihuni uone wapi unavutia... Hapo ukovizuri sana dada angu ❤ endelea kuvaa mavazi ya stara. Hata ZUHURA YUNUS aliyekuwa wa BBC alikuwa akivaa stara siku zote na alikuwa maarufu na aloporudi Tz kapata ajira nzuri tu na yupo ktk vazi lake. Raisi wetu mama Samia ❤ hadi raha kwa mavazi yake ya heshima. Hakuna vazi la kiisilamu na la kikristo sote tuvae nguo za heshima kwa wanawake wafunike vichwa vyao wataheshimika ❤
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
5 ай бұрын
Wana tafuta content anatakiwa aanze kuchukuwa malipo
@Tanganyika-w5p
Ай бұрын
Bonge moja ya Interview.. Jamaa yupo very real
@elvisnzovu8282
4 ай бұрын
Nakuelewa sana, kuishi na mwanamke miaka mingi sio kigezo cha kumuoa
@blacksingapore
5 ай бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza eti ku watch,😂😂
@FannySubira
5 ай бұрын
Hapo umekoseya, nenda kamwambiye tayari walishakuwa namawasiliyano kitambo
@farhatfatma12
4 ай бұрын
Bora uvue mtandio usitiri mwili wako dada.
@thebmcblackmiccatcher3949
5 ай бұрын
Kwamba kama mbwa mwenye fangus 😂😂😂
@damianwambura8314
4 ай бұрын
Mbengo TV wanampenda sana dudu
@GeraldSwai-ty1hr
5 ай бұрын
❤ mamba dudu baya
@bahatimanegabe1777
5 ай бұрын
Ninataka number ya Dudubaya
@mariamalongo8803
5 ай бұрын
Du bara ni ❤❤
@mohammedabdullah5895
2 ай бұрын
Dudu ❤❤
@FatmaHassan-t4q
4 ай бұрын
Heee psa ya karatasi imebandikwa Kwa super glue!?😢
@awazioga1823
5 ай бұрын
Oil chafu
@tupomwanjala6535
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimecheka leo hii ila baba wille wee kiboko et anafinywa mpaka wipi
@hamzaismail14
4 ай бұрын
Story Kama ya kwangu
@abashamad9929
5 ай бұрын
Dudu baya unanifunza sana nakusikiliza nipo omani
@yohanaibrahim4128
4 ай бұрын
Sasa unakata wese la nini konk
@SamidaKhamis-vm7od
4 ай бұрын
Yup know how to explain big up
@Yness-vh4yy
5 ай бұрын
Diamond akamuoe Sara kwa kweli
@ABDIKASIM-qe4lc
4 ай бұрын
Konki umepigaje hapo
@milliardere9177
5 ай бұрын
DUDU ni jeshi hanaga ujinga
@D-Man.B-Free
4 ай бұрын
Dudu baya ni level nyingine
@mdbosco1640
5 ай бұрын
🤙🙉
@TuliyaKalunga9
4 ай бұрын
Dudu baya nakukubali
@lucasbatano333
4 ай бұрын
Dudu baya konki master mwamba putin
@namukwayamweshihange8866
5 ай бұрын
Nikweli kabisa
@shaloboy3861
5 ай бұрын
Wana habar bure kabisa amuna maswali ni daimond kila mara dudu apendi maswali ya kimapenzi muulize kuusu harakati
@sifakenga7870
5 ай бұрын
Konki nkubali
@fatumaabdul2278
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂🙌🙌
@Lewinglovbi6699
5 ай бұрын
Acha uwogo ww ndo mkorofi bhana ao wanawake wote akuna ata mmoja mwenye tabia nzuri?
@shukranisibale1739
5 ай бұрын
Konki×3
@Mariam-fm8vq
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@officialK-looh
4 ай бұрын
Wee ndo maria mwenyewe mtoto wa dudu😂
@eriqemarson2362
5 ай бұрын
Sauti imeshaenda mrama! 😂😂😂 Pale leaders sijui kama tutajaa!
Пікірлер: 54