Sio Tanzania tu, mimi natamani nchi zote za Afrika zijiunge na Brics.
@zuwenarajab6675
27 күн бұрын
Mimi natamani nchi zote za Afrika zijiunge na Brics.
@tomleetz3525
26 күн бұрын
Afrika tu bricks
@ezekielphilemon7343
26 күн бұрын
Hongera sana mama yetu,umetuwakilisha vyema
@bakarimakalo7128
26 күн бұрын
Dr Tulia, TULIA Tanzania TUTULIE . Keep it up Young Woman. We feel Proud of Women leaders in Tanzania. ❤❤❤❤😅
@mbarukumakakala4895
27 күн бұрын
Sky leo mi wakwanza hapa😂😂
@Maryc2G
26 күн бұрын
Kazi yako nzuri Dr Tulia
@Inkubutembo7779
26 күн бұрын
Nimeipenda sana hiyo hasa kukutana na Mwamba huyo. Hapendi kabisa sera ya ushoga.
@snkhannassoro2404
25 күн бұрын
Nasisi (🇹🇿) tujiunge BRICS AISEE
@HappyatHome-bn8wm
26 күн бұрын
ila tuache utani kukaa na putin ni robo pepo
@ramamtangi7776
26 күн бұрын
Ni bora tu tanzania kujiunga na brics hao wengine wametunyonya sana
@deusisindwa616
26 күн бұрын
safi sn,, Tanzania tunapaswa kujiunga na BRCS,, Mataifa ya Maghalibi yametunyonya sn,,
@muddypote8377
27 күн бұрын
Pia usisahau kuzungumzia mambo ya kiujuzi zaidi ya technology mpya
@joshuajofrey9832
27 күн бұрын
Rais Putin anapaswa kuwa makini Sana hapaswi kumuaamini yeyote kutoka Africa isipokuwa Ibrahim wa Burkina 🇧🇫 faso pekee
@kubwimanagaspard5841
26 күн бұрын
Aàà
@btsanime6138
26 күн бұрын
Uko sahihi
@inocentlema5574
26 күн бұрын
Nadhani yeye anajua hilo
@deogratiusyudatadei5658
26 күн бұрын
Kabisa
@RynoFiree
26 күн бұрын
Sure wengi ni vibaraka
@kagoyemwambal9061
26 күн бұрын
Asantee Kwa kutuelewesha
@jamesluckson2367
26 күн бұрын
It can make sense Africa to the bricks
@user-hv9sp4ov9k
26 күн бұрын
Mtumwenye msimamo putin hongera mh spika kukutana mtu aliye badili mzunguko wa Dunia ufwate a navyo taka yeye
@EmanuelMinja-fv9dn
26 күн бұрын
Ulimshauri nn Putin
@AmaniMathod
27 күн бұрын
Tulia ackson umetuliya kweli.... Tanzania tujiunge na brics
@AFRICA_D669
26 күн бұрын
Wewe wewe acha shobo wewe unazijua mizimu ya usoviet iwapo siku mki yakanyaga mkamchonganisha na watu wenu marekani tz itapigwa kibuyu, mtakua kama DRC
@hazygardmericho9571
26 күн бұрын
NENDENI TU ILA DOLA IKIADIMIKA BONGO TUTAKAOUMIA NI SISI
Mafta yanapanda bei mnashindwa kuongea ukwel vita hsvituhusu sisi
@pascalmanyama2304
25 күн бұрын
Sasa Dk.Tulia ishauri serikali yetu itulie na huyu mwamba Putin,atatusaidia sana kwa maendeleo ya nchi yetu na teknolojia katika nyanja mbali mbali,tuachane na haya majizi tuliyoyaonyesha hadi uvunguni.
@fidelfidel-jz4iw
27 күн бұрын
Serikali ikusanye dhahabu ya kutosha ili tukiomba kujiunga na BRICKS sio maneno maneno tu
@aboudasilver6541
27 күн бұрын
Jiungeni na Brecs
@AFRICA_D669
26 күн бұрын
Dadeq nyie mna mpango wakututishia ili mkae madarakani endeleeni na marekani yenu urussi tuachie sisi raia mtetezi wa raia sio serikali, 😏😏😏
@kiwangasaidi6284
26 күн бұрын
Safisanaaa
@user-xo9rb7wj7s
27 күн бұрын
Si kuna vita vikubwa huko 😅😅
@jamesselemani4562
26 күн бұрын
Usije ukamchokoza Putin
@user-xc7qj7ze7m
26 күн бұрын
Bado hujafanikiwa kwenye nchi yako hasa bunge
@MAHAN-SMART
27 күн бұрын
Acha tuione Tanzania yetu inaelekea wap
@user-dg7wf6fg2j
27 күн бұрын
Sipati picha angekua mama makinda ungesikiwa wewe putin acha
@AbdillahMnubi-vx8qx
27 күн бұрын
tuliya siyo kwa purtin huyu kwa umoja wenu wa mabunge kama mnaweza kumu amrisha hivyo tafuteni njiya nyingine hiyo haita fanikiwa kwani ana sheriya zake kaweka endapo wata zifata basi watakuwa salama ila hivi hivi mmmmmm 😂😂😂😂😂😂😂
@dn.n4983
26 күн бұрын
MUNGU HAWASIMAMIA KWA KWELI AMANI MUHIMU SANA WOTW TUNAITAJI DUNIA HII rais Putin ni mwanetu alisomeshea wazazi wetu na apendi unevu kuwa na anafanya ubabe kweli hii mbarikiwe wote
@fidelfidel4818
27 күн бұрын
Kwanini umeongea kigereza mbele ya putin? Kwani kiswahili munakisikilia haya kwenye inchi za kigeni?.
@aliijumanne8293
26 күн бұрын
Juu putin haskiii kiswahili 😅😅
@mirajswaleh9498
26 күн бұрын
Mungu atupe umri afya binafsi nimefurahi sasa tumepiga hatua putin namkubali umangi meza kwisha ukoloni mamboleo ubabe kwishi
Пікірлер: 49