mmmh kaka,point zako zote zimegusa maisha yangu ya ndoa, asante kwa somo umenifumbua baadhi ya mambo
@olivanooraladin5436
Жыл бұрын
Hiyo ya mwisho inamuhusu mtu Asante Sana mauki kwakuniongezea experience
@azizakunubwa6902
Жыл бұрын
Asante Sana daktari hakika umekuwa na mchango mkubwa Sana katika Maisha yangu nimekuwa nikijifunza mengi Sana kutoka kwako hakika nami nitakuwa Bora na nitakuwa na mahusiano Bora na ndoa iliyobora Mungu akutunze na kukulinda kwa ajili yetu sote. Nakupenda Sana
@TiffFatma-lw5mf
8 ай бұрын
Ahsante kaka nimejifunza jambo... Mungu akuzidishie
@christinachazy8644
Жыл бұрын
Mungu akubaliki Dr kwa ushauri wako Yani niliye kuwa nae kabadilika sana Niko buys mara maisha magumu nimeamua kumove imebaki Salam tu
@Bernadette-wn4mq
2 ай бұрын
Asante sana ubarikiwe sana kweli 🎉
@winnieakarro5398
Жыл бұрын
Asante dr ndio yananikuta Asante kwa kunifungua
@mackilinapatrick4717
Жыл бұрын
Namba nne niyamtu wangu kabisa na nashindwa kumuacha lkn nikweli najua lazma kunamtu anampa mda wake lkn kumuacha nashndw ,,,,,asanteh doctor tajtaid mana ni miaka miwil sasa lkn mimi ndo napambania sana penzi hili kuonana me niombe,,, kumtafuta mimi ndo nimtafute ye nimara chache sana dah nimevumilia izo tabia zake miaka miwili nw lkn abadiliki
@estabit5630
Жыл бұрын
Tunafanan na ivyo ivyo
@tasokwamichael2433
Жыл бұрын
Tunadanganywa wengi Mapenzi haya
@AnnerSon-cl9vn
2 ай бұрын
Hanampango na wewe,mwache taratbu huku upo naye,hakupendi hata na atakuacha tu hata ipite miaka 6
@noelkaguo736
2 ай бұрын
Daaaaah! Pole Ila daaaah!
@noelkaguo736
2 ай бұрын
Kusema ukwel doctor @chris kuna watu asili yao kubadilika ningumu
@KhadimHydar-si5nt
7 ай бұрын
Yaaani kama unaniongelea Dr Chris Shukran sana
@ButoyiRukiya
5 ай бұрын
Mungu akubariki Doctor hakika umenifunguwa akili yangu niliishi hayo maisha saaana.
@happinesssupila
6 ай бұрын
Najuta kuchelewa kukufahamu doctor mauki dah,, nahitaji ushauri sana Mimi moyo ushakufa ngazi😢😢
@JosephineJacob-zo8sq
4 ай бұрын
Naelewa hii doctor
@Betty864
4 ай бұрын
Asante sana doctor kwa ushaur mzur
@catherinenasambu5366
Жыл бұрын
Thnk boss b blssd for th great msge I hav learned
@محمدعلي-ش3ج8خ
Жыл бұрын
Asante san ..Mungu akubariki
@ELIZAKipasisi-wo2qd
Жыл бұрын
Congratulate to you Dr good job ✌️
@Medical101
9 ай бұрын
Excellent topic
@gloriakawago6223
Жыл бұрын
Haya maisha unaweza dhan kuna mtu amepewa historia ya mahusiano yako, kumbe wala nashukuru niliaamua mwenyewe kuwa huru God bless you Mauki
@VickyPata
7 ай бұрын
Yaani mungu amlinde huyu kaka jamani anamaono na m beba maono hafi lazima yaonekane mbona kama umeingia kwa uhalisia wa maisha magumu wanayoishi watu kwenye ndoa zao? Duh mungu akulinde sana❤❤❤❤
@ChimamiMaryam
5 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Maana najifunza mambo fulani kutoka kwako
@eunicemwalsumo2166
Жыл бұрын
Powerful sms be blessed
@RhodaKanyasa
Жыл бұрын
Be blessed kwa kutuelimisha
@youthssuccesstv3162
Жыл бұрын
1.usinidanganye atabadilika 2.wivu mkubwa ndio kunipenda 3.kukutenga baadhi ya watu 4.busy sanaaa
@ExcitedColourfulShirt-tr7dr
7 ай бұрын
Shukrani sana Dr.Chriss
@happinesssupila
6 ай бұрын
Yote hayo nimeyapitia lakin mpk sasa moyo ushakufa ngazi,,,naomba uzungumze je na hii tabia ya mtu kugombana anakushikia silaha ,, badae anakwambia alikuwa anakutishia tu ni Zaid ya mara Moja sasa nimeamua kumove on kwaz dah,,😢😢😢
@SwaumusaidKilua
Жыл бұрын
Duu kakaumegusa sana maishayangu namumewangu tunavyo ishi nihivyo
@HildaTindwa
6 ай бұрын
Thanks dady
@JovinaJulian-t4h
8 ай бұрын
Asante brother
@gracemasawe7646
Жыл бұрын
Yaan doctor Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu umeniponya tena Sana kuna topic yako uliirusha inasema dalili za mahusiano feki ki ukweli nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalikuwa yakiniumiza sana baada ya zile dalii ulizozitaja mtu nilokuwa naye kwenye mahusiano alikuwa nazo nimejitoa baada ya kunifundisha asante Sana baba kwan umeniponya na sasa niko huru Mungu akupe miaka ya furaha na amani uishi miaka 120 uone wana wa watoto wako
@cheka480
Жыл бұрын
Mungu akubariki saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana Dr.
@JacksonSimoni-j3x
2 ай бұрын
Asante sana
@JacklinaJeremaya-jb3zw
Жыл бұрын
Duh mungu anisaidie mm
@julias.mungai8807
Жыл бұрын
Ubarikiwe umenifundisha kitu
@evemeeshow.
Жыл бұрын
That was my previous relationship...and I thank God mahali niko sai......I professie to God all 3 steps of relationship 🙏 inshallah ❤
@rebeccasamsom5616
Жыл бұрын
Asante sana Dr nimejifunza kitu hapo
@AnneMumbi-t5d
Жыл бұрын
Asante kwa mawaitha ❤❤
@nuruyaufunuoministry
Жыл бұрын
Asante Chris
@mamajj2040
Жыл бұрын
Bora nilikimbia mapemaaa, barikiwa sana,
@yusufomosh5093
Жыл бұрын
Fact sir hii imeshawah tokea kwa life yangu
@SelineBhokeseline-go5eu
Жыл бұрын
ukweli kabisaa,I agree with you 🙏🙏
@AgnesjaneskephaJaneskeph-os7fu
Жыл бұрын
Amina mtumishi namba mbili umenielimisha Sana kwa sababu itakuwa Siri yangu😭😭
@margaretmalandi37
Жыл бұрын
Well said
@happynescostat7420
Жыл бұрын
Kweli ndugu Mauki🙏niliolewa na mwanaume mwenyevtabia za kupiga na kudharau wanawake nilidhani Upo cku atabadilika,ajawai kubadilika ndo amekuwa mbaya zaidi na amenitelekeza na watot 2 na tayari kazoa mwingine,
@SaumuMnubi
8 ай бұрын
Ipo haja ya kusililiza wanasaikolojia kabla ya ndoa😢😢 sasa nivumilie tu mada zako sasa zanigusa kati tayari nimeingia kwenye ndoa😢😢😢😢😢
@nulovepyaar215
Жыл бұрын
Nakupataje we baba nitoe madukuduku yangu
@zawadithomas1008
Жыл бұрын
be blessed pastor
@Jasminemilima-lo9ep
Жыл бұрын
❤god bless u
@Lucymellah-or1wf
29 күн бұрын
ooh mungu wangu mbona hiyo ya kwanza imenichoma mnoo kwaiyo hawezi kubadilika jmn me najua ipo siku ata acha😭
@pascalfranci8399
Жыл бұрын
Tunashukuru ku mafundisho my pasta but hata kama unamupenda usidanganywe hakiwa mulevi hama mushipuko hama mwinzi nibigumu yeye kubadilika je kitu ambayo auvumiliye mu uchumba je mu ndoa unaweza kuyavumiliya kwasababu yote inaziyaka mu uchumba namahana ya upendo ni nini nini kwasababu upendo inavumiliya inasamehe haijivune haisabu mabaya etc
@aishadotto3640
Жыл бұрын
Nimeipenda hii 😭❤ asante sana my brother
@violethroth9076
Жыл бұрын
Thank u
@DosianaLulakuze-bv7fg
8 ай бұрын
Nakuelewa Mauki nakuelewa kaka
@happinessgaspha-iz7ct
Жыл бұрын
Asante baba
@GloryGlory-g8o
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@losaleennjikho7902
Жыл бұрын
Asante
@GraceMichael-ze2oc
Жыл бұрын
Nashukuru sana 🙏
@clintonaward7580
Жыл бұрын
Wewe jamaa Sina neno juu yako ila Mungu akuzidishie sana unanigusa sana mmi
@judithmwambe4767
24 күн бұрын
Na aende tu kwa kweli, ninachoshukuru hata sikuwahi kumpa mwili wangu ,maana angeniachia majanaba ambayo yangenitafsiri sawa nae.
@shangazizaynyenzi3121
Жыл бұрын
Kweli kabisa hz point zote ni sahihi
@KwajaFils88
6 күн бұрын
Kweli
@chrissg4026
Жыл бұрын
Nakubaliana na wewe 100%
@AgnessFred
3 ай бұрын
Docta naomba no yak nikchek make 1,,4 yote umezungumzia mim tayal nipo kwene ndoa au naitaj ushaul
@RukiyaButoyi-sk5nm
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@Lily-xw6hg
9 ай бұрын
Aante sana
@makamgimba5795
Жыл бұрын
Nimekuelewa kaka
@neema2822
Жыл бұрын
😢Asante
@subiraadam2322
Жыл бұрын
Powerful mind 🙏🙏
@anethjoseph355
Жыл бұрын
Dalili ya pili na ya tatu jmn khaaaa Namshukuru Mungu dada angu ametoka kwenye hiyo ndoa
@SidiAm-wn4vb
Жыл бұрын
Very true doctor
@judithnjunwa6668
Жыл бұрын
Somo zuri
@hggvg9809
Жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaaaa
@ShabaniKateva
Жыл бұрын
Somo lako zuri San Yan
@winnieakarro5398
Жыл бұрын
Kaka kris mimi nakutafuta Nina shida sana
@munirakhalidikimaya4267
Жыл бұрын
Kabisa umeongea point
@neemashirima6121
Жыл бұрын
Hakika yote ni ukweli mtupu unaongea ,Mungu akuzidishie maarifa zaidi uzidi kutulea baba .
@getrudecharles8869
9 ай бұрын
Hii ipo kwa mwanaume wangu😢😢😢 kabisaaa
@priscardanier8264
Жыл бұрын
Hizo ndo tabia za mme wngu mtalajiwa Ila ngja nijiongeze mapema
@AishaBigirimana
6 ай бұрын
Kwel De iyonikwel kbs mwanaume wangu iko naizo tabia
@naomidaudi1718
Жыл бұрын
adi kichwa kinaniuma maumivu sana moyo wangu umechomwachomwa yote napitia kwa mchumba wangu natunaishi wote na nishazaa
@judithnjunwa6668
Жыл бұрын
Hahahah kwenye Figo na bandama,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU
@FrenkSongoi-n8y
Жыл бұрын
Kama umeniona jaman
@peacemulokozi773
Жыл бұрын
Yaani hizi tabia za ex husband nashukuru sipo tena huku . Na maisha yanaenda.
@theresiamwacha7845
Жыл бұрын
Da nimeumia Sana yaani Kaka umeongea ukweli mtupu nimejiona nimechelewa kukufwatilia
@MonikaJuma-n8b
2 ай бұрын
Duuh,dr hyo ya 2 na3 inamuhusu mtu wang ila nashukur Mungu nili move on mapema
@veronicamahende3718
Жыл бұрын
Daaaaaaah brooooo
@eliasmajambomwinyihaji1335
4 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@SophiaMatee
Жыл бұрын
Lakwanza nalapili linamuhusu mpenz wanguuu
@HalimaHalimaomary
Жыл бұрын
Naam kwel 😢😢😢😢
@jessicamasepo8320
Жыл бұрын
Jamani Dr Mauki ubarikiwe, nimechoka ghafla niliye nae ana yote uliyoyazungumza
@annamushi1057
Жыл бұрын
Aisee huyu ni wangu
@AbdiJuma-uf1gz
Жыл бұрын
Jaman me nahc nipo kwenye changamoto kubwa kwan nipo na mpenzi ambae hana stor kabisa na mm lakin anamazoea sana na rafik yangu ata anakua mwepesi kumsaidia shida zake kuliko mm nifanyej kwan nampenda san
@zaitunjuma870
Жыл бұрын
kuwa makin sn
@AgnessFred
3 ай бұрын
Uyo tayal wana mausiano
@IrampaLydia
7 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@antidiusalex7389
Жыл бұрын
Very true thanks 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@harosicharo2736
Жыл бұрын
Hapo ni kweli kabsa ex wangu alikua na hiyo tabia hta kwa mmake hataki nikae nae😢😢
@ramanycore
Жыл бұрын
Hii topic ni kubwa
@laylayl5166
Жыл бұрын
Hiyo nikwelii kabisaa mauki MTU yupo busy hata kusoma massage Tu hawezi hiyo siyo kwelii naamini kabisa unayo sema
@neemachriss2605
Жыл бұрын
Hiyo point ya mwisho ni ya wajina wako chriss
@sharonjanery983
Жыл бұрын
Tabia za ex bwanangu hizo😭😭😭
@KhalidAshjaie-cz7vg
10 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@edinaabiudi2382
Жыл бұрын
Hizo tatu tuziache ila hiyo ya nne 🤭ndo penyew hapo nilijua kabisa doctor asante
@katushabedotto2883
Жыл бұрын
Mm mpenzi wangu ana wivu nahisi anipendi Ila uwa naniambia mke wangu nakupenda Sana Ila kuwa makini na wanadamu Ila ana wivu ata kidogo mm huwa najiuliza kwa nn
@Mzeeibnsoud
Жыл бұрын
Ana au hana?
@habibanassoro5732
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 Asante sana Dr Chris nmekuelewa vzr
@judiajudia3796
10 ай бұрын
Ayo yooote mchumba wangu anayo sio kes namtafutia msaidiz naona kama tutachezeana
@WinnerNgowi-qi4wr
Жыл бұрын
Yaan na lain nimevunjiwa mara2
@dafrosamapunda5884
Жыл бұрын
kwakweli namwacha aende inauma lakini 9 ila hakuna nilichopata zaidi ya maumivu ya kumsubiri mtu asome apate kazi na alipopata kazi ndio kuangamia kwangu
Пікірлер: 192