@@beatricemwaiwishi6833 haujapitwa na mavitu vitu 😁
@Kizz1stborn
Ай бұрын
Among
@anithayohana6063
8 ай бұрын
Hii clip imezid mwaka lakin ni ujumbe wangu wa Leo ..thank you sir
@nursechunga4470
Жыл бұрын
Mmh!!!! yaani mume niliyenae anatabia karibia zote, Yesu nisaidie🙏
@blandinamyinga9489
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣nacheka kama mazuri_pole dear
@shilabakari8613
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@thomaspeter2540
Жыл бұрын
Pole my
@QueenSophie-rj7hu
Жыл бұрын
Unasubiri nini hapo au mpa jua lizame lote
@shuwekhasaidsefu8775
Жыл бұрын
Na wangu pia
@SikituKamwambi
14 күн бұрын
Asante San pr chriss Imani Ina michango mkubwa San kwenye ndoa. Pya utofaut wa Imani unaweza kuleta madhara kwenye familia yenu
@edinakyaruzi9226
Жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa kunipa chaguo sahihi Mungu mtunze Mme baba2 wangu mpe maisha marfu zaidi asibadirike tutuze adi wajukuu❤️ uko kote yeye hayupo mapungufu yake naweza kuvumilia🙏
@mwanaherhussani7425
Жыл бұрын
Vina mdaa basi
@roedaniel700
Жыл бұрын
@@mwanaherhussani7425😂😂😂acha roho mbaya
@thomaspeter2540
Жыл бұрын
M pia kipenzi changu
@QueenSophie-rj7hu
Жыл бұрын
@@mwanaherhussani7425😂😂😂😂
@peterkihongosipeterkihongo1154
Жыл бұрын
Barikiweni sana
@absamiaabas799
Жыл бұрын
Asanteee kwa hili somo nimejiuliza kwann mm kisha nikakubali nimuache Aende
@diana23gzo
Жыл бұрын
Bora niliupa moyo nafasi ya kumuacha aende 🙌 Asante Dr.
@stevenomary2933
Жыл бұрын
Hey Diana
@diana23gzo
Жыл бұрын
@@stevenomary2933 Hi Steve
@briandalu-x8g
2 ай бұрын
Mambo
@MerryMussa-m7c
23 сағат бұрын
Asante sana Dr kwa mafundisho mazur ubarikiwe
@abdallahmfinanga996
Жыл бұрын
Shukran sana doctor kwa mafundsho lakn pia umenipa nafasi ya kujua kuwa wanawake ndo wanateseka sana na mapenzi kuliko wanaume...ina maana ndo wenye mapenzi ya dhati kwenye mahusiano
@mishikikoti2948
Жыл бұрын
Ndio
@naomikatharinaandrewmnkai6760
Жыл бұрын
Asilimia kubwa japo majambazi wapo
@mishikikoti2948
Жыл бұрын
@@naomikatharinaandrewmnkai6760 na huo ujambaz anao ufanya mwanamke yeyote yule bas jua ni kwasbb ya maumiv ya mapenzi, mapenzi ni fumbo kubwa sana ambalo halina mjanja.
@khalidinaadam3279
Жыл бұрын
sio wanawake tu ata sisi wanaume tunateseka mfano mm mke wangu yeye ana dada ake wa iyali amechangia kumuacha mke wangu japo nampenda inauma sana kupetezeana malengo dar
@Keyjop
Жыл бұрын
Asilimia 80
@MamkhFau
Ай бұрын
Asante ni kwel hayo unayosema wangu alikuwa nazo hizo tabiya na nimeachana nae amenishinda
@priscakakwaya3399
Жыл бұрын
Haya mafundisho kuna majuto yanayo endelea katika maisha ya watu kila siku.
@gosbertgideon6843
Жыл бұрын
🤪🤣
@lee-xy3lt
Жыл бұрын
Nikiwemo mimi😥😥😥😥
@nadiaharoon9648
Жыл бұрын
Kazi nzuri Chris nimelazimisha penzi myaka kumi na inne hai kuzaa tunda hata Moja nikajitowa.
@slowclimbertothetop4572
9 ай бұрын
Pole
@sennykibambi4269
Жыл бұрын
Asante sana Dr. Nimeamua kupiga hatua nyingine maana uliyoyasema yote almost mume wangu ndo anayoyafanya. Nimekuwa nikiogopa kuwalea wanangu peke angu au kuwaacha akawaletea mama mwingine akawanyanyasa ila naona mwenzangu hawazi juu ya hilo. Hajali kuhusu uwepo wangu,ananitamkia maneno mazito na anapenda sana wanawake na ndugu zake. Kila siku ndo naona yanazidi kwa sasa nimevaa ujasiri na kumove on.
@leilajohn4600
Жыл бұрын
Mbona wewe kama umenizungumzia mimi🥺🥺
@mariamsalum4277
Жыл бұрын
Pole my wanawake tunapitia magumu sana wakati mwingine
@neemamaingo2074
Жыл бұрын
Daaah hata mm ntaweza Jmni , umegusa moyo wangu
@mishikikoti2948
Жыл бұрын
@@leilajohn4600 hata mm ameniongelea mule mule.😪
@neemajelemiah766
Жыл бұрын
Hongera sana Dada,Move on Mungu amekuandalia mahali pazuri sana.
@edinaomary4840
Жыл бұрын
Duh! Kwakweli kuolewa sio kukurupuka maana sio poa Mungu atusaidie2 jaman😢😢
@Damian0312
Жыл бұрын
So perfect DR.MOST of us yanii tunaish na watu wenye imani tofautii uku tukifalijiana aaah tutaona wengi wetu tunaishii umu ilaa kipind cha uchumba hatutaona shida shida itakuja kipind cha ndoaa apoo umenifumbua ...tuishi kwa akili
@Mama-A
10 ай бұрын
Just bumped into this video...New follower from kenya
@kelvinwambura8083
2 ай бұрын
Nimekusikiliza sana your the best nilikua nawasikiliza wazungu sana wewe ndio Mtanzania imara.
@AnnastaziaMazillah
3 ай бұрын
Asante Kwa kunifungua kweli Bora kumuacha sahz aende kuliko kulia maisha yangu yote🙏🙏🙏🙏
@aminakhalid300
Жыл бұрын
My God, My Lord this subject touched me🙆♀😳
@SikituKamwambi
14 күн бұрын
Mm nilikuwa na mchumba wa Iman tofaut alikuwa ananipenda lkn nikamwacha MN roho wa Mungu alinisuta kwel nkaon itakuwa changamoto kwenye ndoa na familia
@neemaryan9947
Жыл бұрын
Umeokoa mahusiano ya wengi Mungu akubariki
@PendoLubango
8 ай бұрын
Ubarikiwe sana dc mwenyezi mungu azidi kukulinda na wabaya
@jacklinenoballa8946
Жыл бұрын
Asante sana bro mimi niko kwa ndoa na ninayapitia yote ulio sema
@Mihoaidan
3 ай бұрын
Yes nilikuwa na ndoa km hii nilitaman dunia inihame but God was with me.nilimsomesha pia ili kujenga maisha kmbe mwanamke hasomeshwi niliishia kuchanganyikiwa yote hayoo ni100%true.udongo na chuma never haviwez ungana
@Happiness.13
Жыл бұрын
Asante doctor Acha niondoke nimekua nikihisi kua mahusiano yetu hayatofika popote kwasababu Imani zetu ni tofauti
@lizione7090
Жыл бұрын
Docta mm Nina mchumba wangu ambaye anatabia namba NNE
@priyabrown2088
Жыл бұрын
Yaaan Kama mm Tu dini tumepishn tukianz kubishan uwiiiiii
@Happiness.13
Жыл бұрын
@@priyabrown2088 Hapo nikutafuta2 njia mapema ya kuondoka
@JanetMusimbi-m6i
9 күн бұрын
Asante sana,, umefanya note machozi,,mume wangu alikua na hizi tabia zote,,ila nlimuacha aende
@magrethmbuma3045
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba unatuponya,unatusaidia saaana saana baba.♥
@alinedushimirimana-ei7jh
3 ай бұрын
Asante san Docter Mung akuzidishie Barak tele na kujuw vit vong zaid 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunakupend
@FaithDalitso
Жыл бұрын
Wooow good teaching.The guy that I loved left me and trust me vile alienda God opened was for me nikapata mtu ananipenda genuinely 🙏
@MdB-i4t
10 ай бұрын
Nina swali
@VirginiamainaMaxwell-bw2me
Жыл бұрын
thanks so much you make me too open my eyes and my and desired to moving on with my life
Dr Mauki Much Respect To You Unatusaidia Sana Kwel Kaka MUNGU Ukusaidie Na Akulinde
@JUMAMASANJA-t7m
Жыл бұрын
hongera sana nashuru kwa mafundisho Yako.
@subiraadam2322
Жыл бұрын
Bora ulizaliwa Mungu akubariki Sana sana.... Good job🙏🙏
@SuzanaMndasha
6 ай бұрын
Kaka unaakili sana sana Mungu akuweke uvushe wengi ninakuombea
@salamasemkuya
7 ай бұрын
Ni kweli kabisa kuna mambo muhimu sana yà kuzingati kwenye mahusino kama upendo ,heshima kujali kama hakuna haya muache aende zake
@MaryBenard-j8v
8 күн бұрын
Thanks for your advice
@carolineunguku9163
Жыл бұрын
Asante kwa ujumbe huu niliyapitia yote, maana Yale alinitendea ni machungu mno,Nikiya kumbuka machozi huwa yanadondoka, lakini nilimwacha aende, naami Mungu atanibariki na mume bora
Asante sana Dr mimi nilimuacha aende zake kwa sasa na amani ya moyo
@neemamzande8547
Жыл бұрын
Tuko wengi ndugu yangu 🙏🙏
@VeronicaNywage
21 күн бұрын
1.Ukilazimsha sana akupende akuamini 2.Tofauti kubwa za ki imani 3.Tofauti kubwa za misimamo na misingi ya maisha 4.Ukiona ana tabia mbaya zilizo sugu 5.Ukiona anaongozwa na mawazoya ndugu,wazaz am marafik
@VeronicaNywage
21 күн бұрын
Awaz chochote kuhus kesho
@asiaswedi8945
Жыл бұрын
Mimi mme wangu alikuwa na tabia karibu zote na hizo nilitumia nguvu kubwa kumshauri na kumrekebisha lkn nilishindwa nikamwacha aende. Nalea mwenyewe. Nae anaishi na mama yake. Halafu jamii yote inayowazunguka inawashangaa mama na mtoto wake. Yaani mtoto wa kiume kukubali kuishi kwa mama yake wakati ana familia yake na mama kukubali kuishi na mtoto wake wa kiume ambae ameacha familia. Cha ajabu yeye na mama yake na familia kwa ujumla wala hawaoni kama ni tatizo. Najuta sana kuolewa na wrong person.
@maryah4601
Жыл бұрын
Pole sana
@raphaelassenga3538
Жыл бұрын
Duu pole madame asiaswedia8945
@abshirohassen5
Жыл бұрын
Pole sana Strong Queen
@jennytugara9470
Жыл бұрын
Dada mpendwa umefanya jambo jema tupo wengi. Mimi niliondoka bila sent nina Watoto wanne sasa ni wakubwa na mjukuu. Nina furaha tele Mungu alinipa maradufu. Kuwa na imani Mungu atakupatia faraja. Yaliyopita yamepita
@gracembogoro90
Жыл бұрын
Mpnz yalinikuta kama yako jamani tupeane pole tu. Pole my.
@JuliusSimba
Жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana kwa ushaur wako nimejifunza mengi na nitayafanyia kazi balikiwa
@saidfatihia1240
Жыл бұрын
Hapa nmeongelewa mimi kabsa nitafanya maamuzi🙏🏽
@Ramadhaniyasini-k2e
Жыл бұрын
Dah brother umenifanya nilie Yani mke wangu Ana tabia zote ulizozita Asante bro ubarikiwe
@fathmaraissa2877
Жыл бұрын
Napenda sana mafundisho yako,wala sitaki kukosa hata sehem yafundisho yako.shukran kwakutupatiya mafundisho haya,kwani yanatukaza moyo tena zaidi
@faithkisio2422
Жыл бұрын
I need counseling Dr Chris,,please nisaindie
@twahabazila8412
Жыл бұрын
umeshindwa kusoma qur-an upate mafundisho unasema hayo ndio mafundisho mungu atusemahe huyu kijana anatafuta hela elimu thabiti ipo kwenye Qur-an
Ahsante Kaka kw Mafundishoazuri kwa kweli wanawake wengi ndio tunateseka, sifa na utukufu tumrudishie Mungu kwa kukuleta wewe hapa duniani.
@elizabethmboya3925
Жыл бұрын
Amina
@neemammbaga716
11 ай бұрын
wanaume wengine hawapendeki
@winfredkavesa6914
Жыл бұрын
Thanks for ur time... Actually i gain alot from you
@nuratihassani2261
Ай бұрын
Nimelia sana nilimpenda ila nimeshindwa mungu anipe mumemwema🙏🙏
@MagiriMgeta
28 күн бұрын
Sawa bint Bwana atakupa tu ila usiache kumwomba
@FatumaYatera
Күн бұрын
Duuh,ni mwaka wa thelathini na sasa,Asante Yesu
@AthuMbeyale
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka Hili somo limekuwa baraka kwangu maana katika uliyoongea haujaacha hata moja ktk yanayojiri kwenye maisha tuliyonayo. Endelea kufungua ubongo mgando nyingine ambazo bado zinaweka tumaini kwenye mahusiano kama hayo. Hata kama ni ndoa hakuna kutoka kimaisha hapo na amani utaisikia kwa watu wengine tu kwako itabaki historia.
@jamilashabani8580
7 ай бұрын
Kaka shukran ❤❤ Ujaliwe kheir
@lidhamunyiva8798
Жыл бұрын
Ukona ujube mzuri sana mungu akubariki
@SarahDavid-nz8ir
Жыл бұрын
Mimi nimepona mungu aliniandalia hilisomo be blessed my brother
@WealthCraftingZone
9 ай бұрын
My story is different. The girl I wanted to marry rejected me, her mother rejected me, her grandmother rejected me, just because I am an orphan 😭😭😭😭😭
@BabyfaiyaSalum
8 ай бұрын
Oooooooh so sorry 😢😭
@Saumani96
6 ай бұрын
If you are a muslim ì can accept your proposal if not NO
@benedictdeodatus8684
6 ай бұрын
Duuh pole sana Bro! So sorry Life shouldnt end there keep up utampata atakayekukubali!
@juliethkatabwa5306
5 ай бұрын
Nimekuelewa saaana IMANI hiyo Mimi nilitolewa kama mbwa sababu ya IMANI. Sasa namuomba Yesu anipe wa kumaliza nae safari ya maisha.
Mungu akupe viwango vya Doctor unatupa dozi kisawa sawa jamani mindoa yangu kwakweli inapumulia mashine nimeichoka
@pilially
5 ай бұрын
😅😅😅
@qessarmarsha-vy6hz
Жыл бұрын
thax vr much
@julianaharrison4356
Жыл бұрын
Mimi nilimuacha aende majukumu yote yangu. Kwenye swala la Imani kwangu ni muhimu sana . Hili somo langu nilimuacha aende tabia yote alikuwa nayo Dr barikiwa sana
@merryalex6779
Жыл бұрын
Naomba unishauri kuhusu hali yangu maana najikuta natengwa kwenye mahusiano
@RoseMbwawa
4 ай бұрын
Mungu wangu kazi ipo amina sana🙏
@mabulakenedy704
Жыл бұрын
Thank Dr for the lesson...no 6 umemaliza kabisa 👏👏👏
@DanielyMteule-w8s
Ай бұрын
Barikiwa sana Dr Najifunza ving kwako
@kitengealmas4085
Жыл бұрын
Maukiiii😭😭😭😭😭😭😭 nimelia sanaaaa nimemuacha ila nimepoteza muda sanaaaa
@PrettySkyler-m7t
Ай бұрын
Pole dear same to me here napanga kumwacha
@stephanomaduhu5426
25 күн бұрын
@@PrettySkyler-m7t Pole Sana
@SallyWanyoike
Жыл бұрын
Thank you so much. Nimeelevuka
@inviolataluena8713
Жыл бұрын
Nzuri sana umebarikiwa na MUNGU BABA
@MayasaMangochi
20 күн бұрын
Asante sana wacha nimuache aende dah nimeweza sana kumvumilia uyu😢😢 moyo umechoka
@georgekipkurui6304
Жыл бұрын
Your content as really transform me,,,, I'm your addict fan from Nairobi Kenya.
Ubalikiwe sana kaka angu nimeyaona hayo yote na nilikuwa nampenda sana ila imefikia mda nikachoka na mimi nimemwacha aende dear x
@hurremskitchen702
Жыл бұрын
Yaani umenigusa, nilimuacha kwa Kwani alikuwa na sababu zote hizo. Now I thank God I get the good one
@jacklinenkane821
Жыл бұрын
Mshukuru Mungu na umuombee pia asije kuwa kama aliyepita mamy
@AishaNgungulu-lq5kb
Жыл бұрын
❤
@ProtasdidasMushi
8 ай бұрын
Mimi niko tofauti na haya mnayoyasema ni mafundisho mazuri...😢 MAANDISHO YANASEMA:USIMWACHE MWENZIO KWA KILA SABABU ILA KWASABABU TU YA UASHERATI UNARUHUSIWA KUCHAGUA KUMWACHA ...NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE
@ProtasdidasMushi
8 ай бұрын
Maandiko samahani
@ProtasdidasMushi
8 ай бұрын
Mama usisahau kuwa tunaishi zama za mwisho na maandiko yanasema kutakua nyakati za hatari kwani kutatokea waalimu wengi makundi makund
@AntoniaAtilioMagehelo
Жыл бұрын
🙏🙏 Asanteee doctor mm nilikuwa na Mwanaume Msabatto tulishindwana coz Imani tofauti,ana amuliwa na wazazi hawezi fanya kitu bila baba yake unacho ongea ni kweli kabisaa 🙌🙌🙌💯
@BlessMasanja-gs6os
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa Doctor wengine tunateseka sana ila tunashindwa Kwa ajir ya watoto
@wardashabani
Жыл бұрын
Shukran sana kw funzo zuri me yote hayo yalinitokea nikawa nalia kila siku mwisho wa siku kanambia nenda kasalime nyumban kwenu niliivyoondoka tu kanambia skutak tena kanitumia talaka kwenye gari niliumia sana ila kwsasa naona nimepunguza maumivu japo mapezi yanauma😭😭😭
@DarweshDarwesh-ef4wu
8 ай бұрын
Pole Sana warda ni kweli mapenzi yanauma
@MaryMusa-d9k
7 ай бұрын
Kama vile nakufaham
@SoniaYunusu-ze7zq
6 ай бұрын
Polee
@SoniaYunusu-ze7zq
6 ай бұрын
Doctor umesema kweli kabisa
@LeilaSpembo
4 ай бұрын
Asante sana doctar mungu akubarik sana
@phoebeadikinyi3441
Жыл бұрын
First time here,av really been attracted to the teachings
@AnnethNellson
7 ай бұрын
Mungu atusaidie sana ...barikiwa bro lkn nahitaji caseling kubwa sana nipo kwenye situation mbaya san
@natashanelvia729
Жыл бұрын
very powerful message God bless you sir
@mdsaid1527
Жыл бұрын
No 5imenigusa Ahsante barikiwa Sana Sana kweli niliondoka na nimeshukuru mpk Leo nipo vzr
@RachelMussa-m7m
4 ай бұрын
Asante mungu niliyagundua haya mapema na akaniacha na mtoto afadhali single mather kuliko kuteseka maisha yako yote
@JudithMunisi-r2u
3 ай бұрын
Mume wangu anatabia ambazo mpaka mama mkwe anampogeza mwanae lakini maisha yangu yakawa ayana fura leo kaoa ameniacha na watoto wawilo
@mohamedrashidy8440
Ай бұрын
daah pole xn
@prisilatarimo7454
Жыл бұрын
Hyo namba 4 inanitesa sana kwa kweli ,nafika stage akili yang sielewi .nashukuru kwa mafundisho haya kka ,Mungu akubariki sana
@maggieshi690
10 ай бұрын
Lack of maturity Lack of responsive Forcing love Forcing honesty Forcing love Forcing honesty Lack of maturity Lack or responsive Relyin on someone decision Lack of vision😢
@FarajaSasuma
4 ай бұрын
😂
@TonyMillanzi
5 ай бұрын
Shukran saana na m/mungu akubariki
@marthaontere
Жыл бұрын
Thanks for sharing this inspiring message.
@tatushundashunda6827
Жыл бұрын
Mm
@AlexiaErasto
4 ай бұрын
Umejifundisha sana.nilikuw na mpenz wang mm nilikuwa nafanya kazi ya bar kaunta.tulipendana san na alikuwa ananisaidia kweny mambo yangu mungu akanijaria nikafungua ofisi angu bado tukawa pamoja lakn nilipata matatizo ya kifamilia hapo ndo akaanza kubadilika.ck nilimfumania na mwanamke mwingine alinipiga lkn akaniomba msamaha lkn baada ya ck tatu nikamfumania tena.yan toka hapo tukawa watu wakugombana san yan dharau,matusi akawa bize na mambo yake mara anifukuze kwake mara anirudishe.yan kwa kweli ikafikia mda akapata mwanamke anafanya nae kaz moja nikamuuliza mbona sikuelew akasema chukua nguo zako nenda.ila kupitia ujumbe wako huu nimekuwa imara japo nasuasua kibiashara ila nimebaki huru.yana watu waliofanikiwa kimaisha sio wa kushindana nao tuwaache waende jaman
@mikeanthonyjr8912
Жыл бұрын
Topic ni nzuri sana Mjomba Chris. Keep it up giving us knowledge.
@NeemaMacmba-cc4rk
Жыл бұрын
Asante doctor nilikuwa na mtu wenye tabia bàadhi ya hizo kiukweli ni ngumu kuvumilia nilimuacha habadiliki hata kidogo
@selekawilliam6766
Жыл бұрын
Ubalikiwe
@suzannecherehani
Жыл бұрын
🙏🏾🙏🏾 It’s Hurts lkn hakuna jinsi namuacha aende 🙏🏾🙏🏾
@emmanueljoseph1453
Жыл бұрын
Barikiwa kaka nimekuelw vyema 🙏
@tabitha363
Жыл бұрын
Haha pole sijacheka kwa ubaya
@Aureliaedith
6 ай бұрын
😅mvumilivu hula mbivu
@MillyJohnxon
6 ай бұрын
Hapo kwenye ndg ss ndio mtihan asee ,mungu akubark
@GloireMukenge-o8g
9 ай бұрын
thank you very much for your advice Mr Chris Mauki
@happynescostat7420
Жыл бұрын
Mungu akuongezee miaka my brother,
@VickKulekana-si1ib
Жыл бұрын
Pole dear kwel watoto wa mama hawo Mara nyingi wanasumbuwa
@bupejimmy8329
Жыл бұрын
Asant sana Dr Chris hakika wewe unastahili kuitwa wa wote maana kilamtu anapata kinachomfaa be blessed 🙏🙏
@bupejimmy8329
Жыл бұрын
Kuitwa baba wa wote☝️
@aminamgema8917
Жыл бұрын
Nilimpenda Sana Yule kiumbe lkn nilimuacha aende lkn nampenda Sana.
@aminamgema8917
Жыл бұрын
Nilimpenda Sana Yule kiumbe lkn nilimuacha aende lkn nampenda Sana.
@barnabazawadi9433
Жыл бұрын
@@aminamgema8917 unampendaje? Ambwene aliimba kwamba “ wakati ambapo waona tabia, kasoro na mapungufu, hapo ndipo upendo hupimwa…”
@MUEMEDESELEMANEAMISSE
7 күн бұрын
Nataka msada mpenzi wangu anitaki sababu simuowi❤
@neemamassawe8091
Жыл бұрын
Well said Dr Mauki👏
@barakamfaume-sy9xf
Жыл бұрын
🔥
@rukia-ry1hg
Жыл бұрын
Aki mm nlikua na mchumba alikuwa na watoto wawili..alipata akiwa shule but he never married...but from there nikampenda ....he promised me to marry me..but during upside down...job yake ikaisha but i promise him i will never leave him..so i used to help him akiwa stranded .buying some gifts to him...but over a sudden akabadilika...akaanza kusema nina kiburi na madharau....so akaanza visirani maraa ee maraa aa..nakamwambia heri tukae apart....mwisho akasema nmemuacha...wat should i do🙏🙏
@elizabethnjiru836
Жыл бұрын
Waaah .......!so blessed with your topic Dr .thumb up
@severinashirima1434
Жыл бұрын
Wanaume,wanaume,wanaume tena mara tatu utatu mtakatifu.Mlikuwa mnategemea adhabu ni mpaka ukifa,siku hizi ni hapa hapa duniani cha moto mtakiona mnavyotufanyia familia mama na watoto.
@joshuaemmanuel3704
6 күн бұрын
Sio wote bana, wapo wanaojielewa
@jacksonmagesa9805
11 ай бұрын
Dr mauki, mungu akubari sana umenisaidia kiasi kikubwa sana kwenye ndoa yangu, na HASA kwa mke wangu , nimejikuta kana kwamba unaniongelea mimi na mke wangu na baada ya masomo yako nimwfanya maamuzi,
@pamellahkufwoyi1224
Жыл бұрын
Ukweli ndoa yangu ilivunjika kwa ajiki ya baba watoto wangu aliongozwa na ndukuze na wazazi hadi ikoporomoka😢😢
@kigomamaranathagospelchoir2642
8 ай бұрын
Wanawake mnapenda kutaka kuwatenga waume na familia yao unakuta unaanza kuwabagua bagua mara huyu simpendi wifi mara mama mkwe hapo mambo hayawezi kwenda
@AishaOman-qz7tn
11 ай бұрын
Fact 👍 Dr chris mauki wew ni zaid ya baraka kwangu kila cku lazima nipitie kwenye page yako
@piuly254
Жыл бұрын
This is more than a scripture may God bless you DR
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Mmmh
@evangelistjohnk7715
Жыл бұрын
Strong but nothing else exceeding scriptures..
@Bambagatz
9 ай бұрын
@@evangelistjohnk7715 I agree
@lisaurio1198
8 ай бұрын
hiv unajua hata maana ya scripture kweli au mnaandikaga tu😢….
@BarnabaSamwel
5 ай бұрын
Asante Dkt umenisadia sana nilimuacha akaenda nimeona
Пікірлер: 1,3 М.