Mungu akuongeze miaka ya kuishi unanibarik sana point ya 1 ni mim kabisa 😮
@muslimakassim8315
10 ай бұрын
Masha Allah yani nakukubali sana brother❤ may Allah bless you and your family
@aminaabdallah5344
10 ай бұрын
Hakika baba…Mimi hofu namba 1. Ya kuhisi kutokupendwa. Inanitesa sana na nikiangalia naona kama mwenzangu amebadilika
@S.motivation-n8s
10 ай бұрын
🎉🎉🎉Ubarikiwe🙏 sana mkubwa…Na mungu azidi kukutia nguvu kweli…lakini hali hiyo himetesa watu wengi kwenye mahusiano ….na mimi pia himesha wahi kunitokea na hinaumiza sana…Asante sana maana umetowa na usahuri 🎉🎉🎉
@happynescostat7420
10 ай бұрын
Mimi nakushukuru Sana nimepona sehemu nyingi,lakini hiyo hofu inanitafuna,mme wangu amezaa na mwanamke mwingine na kazaa nae na anaishi nae Pika pakua na familia ya mme wangu wanamuunga mkono,niliamua kwenda mahakamani kudai taraka na baada ya muda mme wangu alianza kuumwa ugonjwa wa sukari na Hali ikawa mbaya,nikaamua nimesamee tuendelee na Maisha kwa kuwa nimezaa nae watot wawili,najiuliza ivi kweli ananipenda?
@keraryosilasi-lr4kw
10 ай бұрын
@@happynescostat7420 tulio umizwa niwengi dada kuhusu hilo janga inauma sana
Пікірлер: 8