1.kutoaminiana 2.magomvi 3.kutoelewana kwa mambo madogo 4.unapokuwa n furaha bila mwenzako
@user-iz7vh8vy2h
9 ай бұрын
Daah! nimepata kitu kikubwa sana Doctor Asante 🙏🙏
@JescerProsper-hg1bf
10 ай бұрын
Duu mm mtu wangu hana ivi vyote ila yaan aonyeshi kama ananipenda nifanyaje ili nione upendo wake maana vitu vingi nikifatilia kwako vya mtu ambae akupend yeye hana nifanyeje jaman
@monicacyprian9137
10 ай бұрын
Badilisha hiyo negativity mind kuwa positive anza kuona mazuri na sio mabaya
@veonicaanthony-pn9nu
10 ай бұрын
🎉 Asantee sanaaaa kaka Cris,nimejifunza mengi kwako,naamini yatanisaidia.
@wardadallu1820
10 ай бұрын
Mm nishaingia kwenye ndoa na hayo yote mwanaume anayo kwa asilimia 1800/=japo umesema aliekwenyendoa haimuhusu lkn mm namuacha aende japo hua ananambia kuachana mm na ww mbaka kifo kitutenganishe tofauti na hivo nitakuja ua mtu yani pamoja na haya kaka mm ninatafuta njia ya kumuacha
@restfulgence738
9 ай бұрын
Wewe ni mimi kabisaa😢😢
@mbogonijoel5529
10 ай бұрын
Dr Chris MUNGU akubariki maana Kila siku najifunza jambo jipya
@leahmungure6538
10 ай бұрын
May God Almighty bless you abundantly sir.Najifunza mengi mno
@user-ls5iu7bf2e
6 ай бұрын
Ahsante sana
@balihappy5628
5 ай бұрын
God bless you Dr
@AishaOman-qz7tn
10 ай бұрын
Mungu akubariki sana Dc
@LightnessSikoyo-gn5nh
10 ай бұрын
Samahani mm kuna kitu nashindwa kuelewa tupo kwenye uchumba lakini nashindwa kuelewa mchumba wangu mimi ananipenda sana lakini tatizo liko kwangu ata nikiwa naye sina hisia naye kabisa sas nashindwa kuelewa nifanyaje sasa
@angelapella30
10 ай бұрын
Hujampenda huyo , Yan sio wako huyo
@PhinaJose
10 ай бұрын
Asante nimekuelewa vzr sana,km ulijua kuleta hii topic.
@magdalenadaud2656
10 ай бұрын
Allah akutunze🙏
@user-mv8su7ph2z
10 ай бұрын
Thanks so much sir
@mbokamwakaje
10 ай бұрын
Thanks so much
@salomewandya7257
7 ай бұрын
Nimejifunza kitu ubarikiwe sana
@nasrakassim2623
10 ай бұрын
Dr christ Allah akubariki
@dickson6684
10 ай бұрын
Siyo christ ni Chris
@chunanachu2529
10 ай бұрын
@@dickson6684lakini umeelewa au
@nasrakassim2623
10 ай бұрын
@@dickson6684 sawa mwaya shukran
@MarthaGeay-qm4ob
10 ай бұрын
😢😢😢Jamni daaaah!Ukweli mtupu
@sabihaibrahim143
10 ай бұрын
wivu mwingi na kuwa na wasi wasi anapotoka mbali basi ni mapenzi upendo kuwa mwingi ujitahidi kuwa waaminifu na ukaribu hata mukiwa mbali kumtoa hofu mwenza wako ukiona unaaminiwa huulizwi ujuwe hamna kitu yupo tu
@kellyclassic7515
10 ай бұрын
dokta Leo umenigusa mimi kabisa mi na mwenza wangu hatujafunga ndoa lakin tunaish pamoja na tuna mtoto mdogo na mahali katoa lakin vyote ulivyoongelea vipo kwenye maisha yetu na huwa anapenda kweli hata nisafir na akikasirika huwa anasema yan ukiwa haupo mi nakua na Aman sas nifanye nn hapo?
@christinaanatory1962
10 ай бұрын
Vumilia dada
@user-my1lt8qh7h
4 ай бұрын
Tulio nje ya dar es salaam tunapataje kitab
@user-th5xz1fg5t
10 ай бұрын
mung wng dokta mm akujb kt utazan bubu ukikoxea kdg knyongo na atalipiza hatuelewan tena kama mwanzo kwa xx nna Aman at kwa yal anafanya nahc nami nimo aende t
@Zaburi-
10 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@user-dt2dk4uf9i
9 ай бұрын
Unasema kwelii ni wakat wa kumuacha aende.
@user-iz7vh8vy2h
9 ай бұрын
Ntakipataje hicho kitabu Doctor mimi nipo DODOMA
@user-zb9rl6wr4k
10 ай бұрын
Hello doc...nilikua nauliza if i can have private conversation with you,kindly
@ashnaom2270
10 ай бұрын
Samahan nais ujataja Ving ila ACHA aende tu kwakwel
Пікірлер: 34