Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Watoto wengi wanakuwa watu wazima wasio na furaha, walio wapweke na wasio jipenda kwa sababu ya jinsi walivyolelewa na wazazi wao. Kama una kiu ya kumlea mtoto wako aje kuwa mwenye furaha basi video hii inakuhusu. Karibu kuitazama.
#DrChrisMauki#Furaha#Happychild.
Негізгі бет Dr. Chris Mauki: Jinsi ya kumlea mtoto mwenye furaha (Raising a happy child)
Пікірлер: 41