Asante baba kwa kujitowa.utaokowa ndowa nyingi n'a mungu atakubariki
@catherinedaniel2265
4 ай бұрын
Thenkyuu so much nafuatia. Vipindii vyako Ving Sana yane nowdays mumewangu hatoki nyumbani mpk aniulize mkewangu nivae nguo Gani., natak kuenda sehem Fulani. Allah aendelee kuweka inshallah.🙏
@riddedaudi3933
3 ай бұрын
Nyieee🙌Mungu tutetee Najifunzaa mengiii BABA🙏
@stellajohnson3887
2 жыл бұрын
Mimi sijaolewa ila najifunza vitu vingi sana kutoka kwako asante, Dr mungu akupe maisha marefu ili tuzidi kujifunza.
@AnyikaJayden
9 ай бұрын
Asante kwa mafunzo yako mungu akuinue zaidi
@eliachavala2095
4 жыл бұрын
Thankx.....Mungu aendelee kukutumia......Barikiwa na Mungu.
@yvonewere4012
2 жыл бұрын
Thank you for your advice May God bless you and your family
@CarolineMulela
3 ай бұрын
Napenda masomo yako Dr
@syliviadeogratias6835
4 жыл бұрын
Nilivyoelewa, ni kumsifia kwenye maeneo yafuatayo -unamwamini -mwili wake -jitihada zake -mheshimu -unatumaini uwezo wake -unampenda. Asante kwa elimu bora
@madamboss348
4 жыл бұрын
Asante
@amarasoukouna6831
4 жыл бұрын
Kweli
@fhyubhhh2881
3 жыл бұрын
Yes...
@ayshameme4856
3 жыл бұрын
Uyu dokta kapiga kwenye mshonooo
@حسن-ح7م1ق
Жыл бұрын
❤
@asibatikekamwela3439
2 жыл бұрын
Nimeipenda hii sana hii, Asante sana kuna vitu vinaonekana vidogo vina athiri mwanaume pakubwa... Imeniongezewa madini
@jacklinenoballa8946
Жыл бұрын
Nimekuelewa sana daktari ila hakuna cha ada wala anacho kifanya ila namweshimu tu bali watoto ni mimi nawasomesha bali nampenda hivo hivo ❤❤❤❤
@khadijaangore4408
4 жыл бұрын
Hallo Dr hujambo , asante jamani kwa kuniokolea NDOA Yangu. Mungu akujalie afya na umri uzidi kutufunza.💕👍😍😍
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Asante sana
@raphaelhumbi4551
4 жыл бұрын
Dr kwema lakin
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
@@raphaelhumbi4551 kwema ndugu yangu
@norakaaya9166
4 жыл бұрын
Nimemuheshimu sana Na kumpenda sana na kupokea ndugu zake wakija lakini hana shukrani zaidi anakuona huna thamani kwake. Yote hayo unamfanyia lakini haeleweki
@Mohabmts
4 жыл бұрын
Wengine ukimuheshimu na kumpenda sana ndio anazidi kukugandamiza.
@Laila-zl8lj
3 жыл бұрын
😀😀 kweli kbx
@theodoratesha7065
2 жыл бұрын
Usifanye Mambo mazuri kwa kutarajia majibu mazuri kwa unayemfanyia. Bali fanya kama wajibu na kwaajili ya Mwenyezi Mungu. Ukifanya hivyo hauta umia hata kama hautalipwa mema na yule unayemfanyia. Kwasababu utakuwa umefanya kwaajili ya amani ya moyo wako na kwaajili ya Muumba wako. Tufanye mema si kwaajili ya kulipwa mema, Bali kwasababu yatupasa kufanya mema. Mwenyezi Mungu na akubariki
@priscahdiana-praiseworthym5358
4 жыл бұрын
Asante Daktari mafunzo Bora kwetu wanawake
@theresiathadayo3622
3 жыл бұрын
Nimejifuza sana pia mungu akubariki sana DR mauki nimushaur mzuri
@neemalushika8921
2 жыл бұрын
Habari Dr Chris tafadhali naomba mawasiliano yako ili unisaidie binafsi ahsante
@nomidh9828
Жыл бұрын
Napenda sana mafundisho ni mazuri ❤
@HalimaMumbo
Жыл бұрын
Kwa kweli nashukuru sana nimejifunza vitu vingi akh
@mwendelwaaline1444
3 жыл бұрын
Asante Dr. Nitajikaza kupima, ila sijuwi kweli kwamba nitayaweza. Ubarikiwe
@annapiuss6746
Жыл бұрын
Kwelii Dr, unanifundisha mengi.
@annapiuss6746
Жыл бұрын
Nafatilia mafundisho yko, naambiwa nimemloga.
@mgishastide5794
2 жыл бұрын
Asante sana kwa kutupa som
@حسن-ح7م1ق
Жыл бұрын
Asante docta
@jescajulius8023
4 жыл бұрын
Ila wanaume wanapenda San kuheshimiwa,wanapenda ufaulme, hahahaha atar ukimheshim t Kaz umemaliza hiyo ndo Siri kubwa wanawake wenzangu
@pendondossy2158
4 жыл бұрын
Jesca Julius kabisa
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Bora useme ukweli
@jescajulius8023
4 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 ndio ilivyo ukifanya kumheshim tu utakula ata cha uvunguni kwake haha
@mtuwasaayangu6651
4 жыл бұрын
Ni haki yake maana ni mfalme kweli
@dativadamas8214
3 жыл бұрын
Nakwambia kila sk naletewa zaead😭🙌😇😇
@speransaashapira4037
Жыл бұрын
Hakika. Nimejifunza mengi GOD BLESS you
@nahimanabernadette6682
3 жыл бұрын
Wow thank thank u doctar God Bless you
@linahosujack6551
2 жыл бұрын
Shukran kwa somo zuriii
@naomingoti9391
3 жыл бұрын
Somo zuri kwa wanandoa siyo michepuko barikiwa mwalimu
@alexandersumulia8026
2 жыл бұрын
Asanter ubalikiwe
@melymakungu2742
4 жыл бұрын
Asante sana ndugu. Hongera.....nimependa mafunzo yako.....as ante. Nakuheshimu kwa hekima yako....Asante sana.
@angasyegemwampulo8217
4 жыл бұрын
Asante Dr .nimejifunza kitu kipya toka kwako
@glodynkondo9800
2 жыл бұрын
Asante sana mungu akubariki
@winniegwandumi6835
4 жыл бұрын
Ndo kwanza nimeanza maisha ya ndoa...ninamwamini mume wangu lkn ghafla nkajikuta nakagua cm ya mume wangu..tena nilimwambia kabisa kuwa nataka nikague na nikakagua...Alikasirika saaana mi nilikuwa naona kawaida tu..akaniambia najitahidi niwe karibu na Mungu ili nitunze uaminifu bado huniamini,nimekasirika!!..nilimuomba msamaha kwakweli Katika pitapita u-tube ndo nakutana na hili somo...Mungu anisamehe kweli nilimkosea sana mume wangu dah!!..Ubarikiwe Dr.Criss Mungu aendelee kukutumia zaidi!!
@asmaabdallah9103
4 жыл бұрын
Usiwe machosana kutafuta makosa mumy utaumia nauta muumiza mwenzio
@jovithatibatekeleza6598
2 жыл бұрын
Uko vizuri kabisa nimekukubsli
@shopalareen4303
3 жыл бұрын
Asante Dr
@maryodrwebandiza2056
4 жыл бұрын
Asante sana doctor mauki somo zuri sana
@shanihamimu5288
2 жыл бұрын
Mungu.akubariki.sana.akupe.umri.mrefu
@magnifiqueamani7757
4 жыл бұрын
Mwalimu muzuri unafundisha vizuri
@ZuuZulfa
11 ай бұрын
Nayapenda Sana mafunzo yako ❤
@jacqulinemnefi9507
3 жыл бұрын
Asante nimejifunza kitu
@mohammedrashid2906
Жыл бұрын
Upo sawa
@getrudemoshiro2581
4 жыл бұрын
Asanteee kaka ila wanaume wengine ukiwasifia wanaona kama uongo au hakusikilizi kwanza hata ukimwambia Asante anakuambia jukumu langu sasa kesho unaamua kuacha
@fadhilramadhan5342
2 жыл бұрын
Mtambo huo
@jescamwambona2598
2 жыл бұрын
waoooh somo zurii❤
@janetdaniely7945
2 жыл бұрын
Bless you nimejifunza vitu 🙏
@maymatole7382
2 жыл бұрын
Nimepata funzo kubwa Sana walai thanx
@giftmndeme6415
2 жыл бұрын
Thankyu Dr.Mauki nmekuelewa sana
@yustahaule321
2 жыл бұрын
Dr hongera sana
@nomidh9828
Жыл бұрын
God bless you for advice bro
@judithnjunwa6668
Жыл бұрын
Eeee mafunzo mazuri na mimi nayapeleka kwa my husband Martin hasa katika eneo la kumtegemea,. Barikiwa mtumishi
@AnjelaMarenge
11 ай бұрын
Thanks dr
@magrethnestory3562
2 жыл бұрын
Asant Dr kwa ushauli nimejifunza ving xn kwako natumain nitakuwa mpenz bola japo tunachangamoto Kat yang na mpenz wang Ila I hope kupitia mafunzo yako nitalixhinda hl na nitadum na mpenz wang asant kwa mafunz yk dr
@rahimaessa2552
10 ай бұрын
Nime Enjoy 🎉🎉🎉sana bro Dr wangu wa mahabaty❤❤❤❤❤Leo naanza kz kwa My Qalbi 🎉🎉🎉wangu
@shamsahomary597
3 жыл бұрын
thanks mung akulinde
@theresiachigali9482
2 жыл бұрын
Asante dokta umenifuza kitu
@nomidh9828
Жыл бұрын
Coungrats men
@franciscasanta6840
4 жыл бұрын
somo zuri asante sana
@salamaoman8133
4 жыл бұрын
Asante Dr somo nzuri sana
@mconedimple5364
Жыл бұрын
Asante dr Criss
@mutwalesylvie1305
3 жыл бұрын
Asante sana Chris mauki
@carrenlaizer5808
2 жыл бұрын
Dr assntee nimejifunza vingi sana
@rehemaibrahim8758
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana sana unatusaidia sana doctor👍
@everlynewere7154
3 жыл бұрын
I am happy man of God the point is taken God protect.
@witnesssenyagwa5334
4 жыл бұрын
👏👏 dokta barikiwa
@khadijakisingo7920
2 жыл бұрын
Asante sana
@miriamjacob7963
4 жыл бұрын
Mmmmh Asantee kwa kutuelimisha maan huwa tunasahau hayoo
@linetarisi
4 жыл бұрын
Asante Dr Chris . mafunzo mema kweli nimenufaika zaidi na masomo yako. .channel yako no 1
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Nashkuru sana
@nelsonmkonyi4456
4 жыл бұрын
Tnx doctor nmejifnza kitu hpo
@veronicambithe2089
2 жыл бұрын
Napeda sana masomo yko Mungu azindi kukutoa kibali zaidi
@veronicambithe2089
2 жыл бұрын
Kukupea
@juliethngimba7515
2 жыл бұрын
Waoooo thanks Dr for ur lesson for sure am learning a lots
@rebekakalondji2576
4 жыл бұрын
Asante DR Chris kwa hili somo
@rahmacharles5013
3 жыл бұрын
Unafundisha vizur sana
@annasamo7063
4 жыл бұрын
Dr kuna Jambo moja nimejifunza thanks a lot
@willizungu3367
4 жыл бұрын
Nakupata vizuri doctar nimeipenda hiyo kwakweri changamoto ktk ndoa ni kubwa sana ila ni nashukuru kwa kunisaidia
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Nashkuru sana pia
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
Unaweza fanya yote hayo lkn kz bule....mm ndio nimekata tamaa kabisa ya kumpenda mtu maana najikuta kila siku nasaritiwa mm😭😭sijui nimekosea wapi kwa watu wanaitwa wanaume
@gffghgfdd9004
2 жыл бұрын
Asante sana,🥰🥰🥰🥰🥰
@marianapointe3928
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@DeboraUrio-m3i
6 ай бұрын
Wow🎉
@gastonanoldmacha6349
2 жыл бұрын
Ahsant .
@ednamarwa8612
4 жыл бұрын
Respect to you Mauki,you are tha best in advice! Am blessed👏
@pendomangalili7501
4 жыл бұрын
Edna Marwa yuko vizuri
@zulfaibrahim4809
3 жыл бұрын
Thanks doctor
@erickebiath-pq6pd
Жыл бұрын
asante dr
@fides_foundation3177
4 жыл бұрын
I like it and my husband to be is going to be proud of me
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Hongera
@primerosekanguha9755
3 жыл бұрын
Wooow I learnt something,thanks
@priscillapaul595
4 жыл бұрын
Wengine alijua unamfanyia hayo yote anakunyanyasa coz anajua huna pa kwenda
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Fanya nafasi yako kabla ya kukimbilia kujitetea
@anithamallya1104
4 жыл бұрын
Nyamlau Paul hahahaaaa
@ayshameme4856
3 жыл бұрын
Hilo nalo nenoo
@ayshameme4856
3 жыл бұрын
Inabidi u show love kwanza kwa mumeo lzm Ata comedown but akianzaa vulugu naww vulugikaa
@adelaidanyange5896
4 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Chris ubarikiwe sana
@melodyanne3249
3 жыл бұрын
Thanks so much
@rachelmsingi1082
3 жыл бұрын
Asantee kwa mafunzo mazuriii Mungu azidi kukulinda
@happyisaya8184
2 жыл бұрын
Ansate kwaushau
@janeranduunda226
Жыл бұрын
God blessed you
@pwelechristopher3843
4 жыл бұрын
Nafurahia sana dr unamasomo mazuri sana
@happychaula7431
4 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@joycemunyuli1220
4 жыл бұрын
asante kwa somo zuri
@mosesekiprop8451
4 жыл бұрын
Nice one
@emanuelykandola6584
3 жыл бұрын
Barikiwa
@joycelinewilliam5296
4 жыл бұрын
Appreciate Doctor
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Thanks
@nomidh9828
Жыл бұрын
I love it 💓
@ruthmbwilo8361
3 жыл бұрын
Kweli kabsa doctor sjaolewa lkn najitaid sana kufanya hayo yote na nimeona faida zake una sema kweli doctor
@jeanettegloria6244
4 жыл бұрын
Asante barikiwa sana
@neemamwanga4910
4 жыл бұрын
Asante
@neemahfeliciana2657
4 жыл бұрын
Good Dr
@hellenkombe8835
4 жыл бұрын
Duuu Dr. Barikiwa saaana. Sina mengi ila barikiwa sana
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Nashkuru sana
@Jyln_lin
4 жыл бұрын
Hizi zote nilizifanya zikaambulia patubu...am now struggling to settle down my mind but is still aproblem😪😪
Пікірлер: 259