Mweh nashukuru Mamangu kwa kupambana mpaka tukafika hapa tulip. Mungu hakituacha. Ila wa Mama wa hivyo wanaweka maumivu mioyon Kila ukikumbuka.
@ponsyabeid242
Жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu Tunakuombea baba Kimaro mama Maria mwombezi wa wapakwa mafuta azidi kukuinua kiroho na ki mwili milele
@estherlemburismollel5901
Жыл бұрын
Kweli baba, wapo sana. Mungu akutunze uzidi kutufafanulia wababa wafunguliwe
@AnnaMsofe-y3k
Ай бұрын
❤kweli mchunhaji wapo wengi mno
@felistamwashibanda7764
4 ай бұрын
Jamani nomeshindwa hata nisemaje maana kama nimajaribu tunaishi nayo kwakweli😢 yani inasikitisha mwanaume hawazi hata bili ya nyumba jamani mwe Mungu atusaidie
@francjose9596
3 ай бұрын
🙏🏽
@tamranadiya2962
8 ай бұрын
baba unaniongelea mm kbs yani wangu ameridhika na maisha hawazi akipata pesa ya kula tu basi kwanza analala hadi saa4 asubuhi mm naamka naenda kazini yy amelala
@felistamwashibanda7764
6 ай бұрын
pole sana Mungu atusaidie
@stanleymhozi7590
11 ай бұрын
Wanakatisha tamaawatu watu hao nawachukia sijui wapoje nimiziIgoeti
@felistamwashibanda7764
4 ай бұрын
Jamani nomeshindwa hata nisemaje maana kama nimajaribu tunaishi nayo kwakweli😢 yani inasikitisha mwanaume hawazi hata bili ya nyumba jamani mwe Mungu atusaidie
@felistamwashibanda7764
6 ай бұрын
Mwe nikama unayajua maisha ninayoishi,mpaka mme anakutishia mm nitakbia nikuache humu kisa kodi ya nyumba!!! da inasikitisha wanaume wa hivi
@felistamwashibanda7764
4 ай бұрын
Jamani nomeshindwa hata nisemaje maana kama nimajaribu tunaishi nayo kwakweli😢 yani inasikitisha mwanaume hawazi hata bili ya nyumba jamani mwe Mungu atusaidie
@felistamwashibanda7764
4 ай бұрын
Jamani nomeshindwa hata nisemaje maana kama nimajaribu tunaishi nayo kwakweli😢 yani inasikitisha mwanaume hawazi hata bili ya nyumba jamani mwe Mungu atusaidie
@felistamwashibanda7764
6 ай бұрын
Mwe nikama unayajua maisha ninayoishi,mpaka mme anakutishia mm nitakbia nikuache humu kisa kodi ya nyumba!!! da inasikitisha wanaume wa hivi
@lilianaswani5440
Жыл бұрын
Z saa aaw wa zßl😘❤️🙌✌️
@saramsuya
10 ай бұрын
Baba mchungaji nimesikia neno lako naona ndio wa kwangu na amekoka na kiongozi wa fellowshipanasikiliza neno ila halimsaidii hata kidogo ninafanyaje sana sana ni ukati tu ndio mwingi
Пікірлер: 21