Mchungaji Kimaro Baba yetu wa Kiroho hata tulio nje ya Tanzania, Mungu akutumie Sanaa. Unatusaidia sana tunapona bila hata kuombewa Wala kuwekewa mkono.
@RamadhanKhalid-qc7bo
21 күн бұрын
Ahsante mtumishi
@user-fc8cq3pu2g
12 күн бұрын
Mchungaji nampenda mafundisho Yako mungu akubariki sana
@MUTUKUMUNYWOKI
Ай бұрын
Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutumia mchungaji Dr Eliona Kimaro kuokoa wengi kupitia neno
@godlovemrosso5973
Ай бұрын
Neema ya Mungu baba ikawe juu ya watoto wangu na uzao wangu Barikiwa sana Mtumishi
@user-yz5zn4tr6i
Ай бұрын
Asante sana BABA mchungaji kimaro MUNGU akutunze umpendeze MUNGU NA WANADAMU pia ❤❤❤❤❤❤
@lizpallangyo8057
21 күн бұрын
Ubarikiwe mno baba kwa kuponya roho zetu,Mwenyenzi Mungu azidi kukuinua zaidi uendelee kutumika kama chombo
@GodfreyLukumay-ex1nz
Ай бұрын
Asante MUNGU ukaivishe familia yangu neema ya upendo
@peehmuki7271
Ай бұрын
Baba naombo univishe haki yako katika jina la Yesu ....Amen
@MeshackMunuo-yc5ji
17 күн бұрын
Barikiwaaa
@gracembwilo1455
Ай бұрын
Asante Mtumishi wa MUNGU kwa kunifungua AKILI mafundisho yako yana HEKIMA sana naomba kuvikwa HAKI yake
@davidkawesa3594
23 күн бұрын
Amina kubwa
@williammollel97
Ай бұрын
Kwa kweli unaheshimisha jina la yehova ubarikiwe na atukuzwe mungu Alie kupa kipawa na ukawa tayari
@user-gc8vb3gv8c
24 күн бұрын
Ubarikiwe baba Mchungaji, naamini tutavikwa haki yake
@RohiSam
Ай бұрын
Watching from Kenya ,,,,am so blessed 🙏
@ElionaKimaro
Ай бұрын
Wonderful
@tumpemkola6752
Ай бұрын
Mungu akubariki sana baba mchunga kwa neno
@speciozakaloli
Ай бұрын
Mchungaji Kimaro unatumiwa na Mungu asante sana
@JaneMaiga
Ай бұрын
Mungu naomba univike haki yako amina
@user-yl2ir7gv1h
Ай бұрын
Munguakulinde mchungaji Asante kwaneno lako
@BeathaSwai
Ай бұрын
Asant baba mchunguji Mungu aendelee kukutunx
@BeathaSwai
Ай бұрын
Amin Mungu akutunxeee
@elishamwakihaba942
Ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji ❤
@rodgersakaya7158
Ай бұрын
Mchungaji asante sana, ubrikiwee
@user-vi7he4zm2d
Ай бұрын
Amen mungu akutunze
@jessicamasepo8320
Ай бұрын
Amen, ubarikiwe Baba.
@johntemba9477
Ай бұрын
Mungu akubariki sana Baba
@kikiteri7486
Ай бұрын
Amem Amen
@EdinaFelician
Ай бұрын
Mungo akubarikai sana Mchungaji
@sylviachikwindo7263
Ай бұрын
Aameen ameen ameen.
@MariaNdagile-hx5pr
Ай бұрын
Aminaa baba
@VeronicaRugoyi
Ай бұрын
Ameeen Baba ❤❤🎉🎉
@grace-rh3vv
24 күн бұрын
Amen. Amen
@JudthKanyange
Ай бұрын
Nikusikiliza mchunga nabarikiwa
@GRACENyanda-cn3pg
Ай бұрын
Amina
@stephanosospeter1709
Ай бұрын
Ameen
@CHRISTINAYOHANA-oy7vo
Ай бұрын
🙏
@larzagraph9326
Ай бұрын
Mungu watu azidi kukulinda nakukubariki mchungaji Tunabarikiwa sana na mahubiri yako tukowa USA
@irislecha8662
Ай бұрын
Kwa kweli mchungaji umenihubiria Mimi binafsi kwetu nyumbani Mimi ndie Rahabu naomba Mungu anikumbuke, naishi na nembo ya umalaya baada ya kuzaa watoto 6 na wababa tofauti, Mungu nikumbuke
@rammyrallen1473
Ай бұрын
Amen Mungu Ni mwaminifu Amen
@Wamisangi
Ай бұрын
Isaya 1:16-19. Mungu ni Mwema Wakati wate. Omba akupe Nguvu na Maongozi yake uishi sawasawa na Mapenzi yake. Tazama ya kale yamepita na yamekuwa mapya.
@veronicaanosisye4160
Ай бұрын
Ameeeen
@naeema8155
23 күн бұрын
Amen 🙏 🙏
@speciozakaloli
Ай бұрын
Usiangalie ulikotoka tazama unakoenda
@hadijambwambo6833
Ай бұрын
Hallelujah
@Wamisangi
Ай бұрын
Wapelelezi walikuwa ni wawili si 12 . Joshua Mlango wa 2 Rahabu ndiye aliye funga kamba wala si wale wapelelezi wa 2. Hakuna mahali ambapo Biblia inasema ndugu zake Rahabu walimtenga. Na ndio maana aliweza kuwakusanya wakaja kwake kama sharti la wao kuokolewa na mashambulizi. Rahabu alijua nguvu za Mungu wa Israeli na Matendo yake makuu ya kuwaangamiza maadui wa Israeli. Aliwaapiza wale wa pelelezi kwa Mungu wao wa Israeli. Waebrainia 11:31. Rahabu aliokolewa kwa Imani yake kwa kuukiri Ukuu wa Mungu wa Israeli na kwa vile aliwapokea wale wapelelezi wawili kwa Amani. Ni vizuri kuchukua muda kuandika mahubiri kuliko kujiamini na kuhubiri uongo na kweli madhabahuni
@davidkawesa3594
23 күн бұрын
Lakini umeelewa alichomaanisha
@Wamisangi
23 күн бұрын
@davidkawesa3594 Nimeelewa kwamba Mungu ni Roho nao wamuabuduo hufanya hivyo katika Roho na Kweli. Yohana 4:24 Bila ya Roho Mtakatifu utakuwa unachekelea hata ukihubiriwa uongo ulio cha nganywa na ukweli kwa kujua/kutokujua ama kutetea anaye fanya hivyo badala ya kumshauri..
@qatarrarre30
Ай бұрын
😂😂😂Amen 🙏🙏
@witnesssamwely8812
Ай бұрын
Mahubili yako yananibaliki
@edsonnelson4464
Ай бұрын
Kwa hiyo hata kama kakosea usimrekebishe eti usihukumu jamii itasadikaje?
@nemeskilagula3119
Ай бұрын
Fanya maombi juu yake na si vinginevyo, Mungu wetu ni wautaratibu
@Wamisangi
23 күн бұрын
@@nemeskilagula3119 Mungu wetu si muongo wala hahitaji ahubiriwe kwa uongo. Mungu ni Roho. Yohana 4:24
Пікірлер: 55