DR. SULE KUTUMIA MAJINI YUPO SAHIHI KWA MUJIBU WA UISLAMU
Uislamu unayo majini ambayo ni waumini, hawana kitabu ila Quran na hawana mtume ila Muhamad. Hivyo waislamu wa kijini ni ndugu wa waislamu wa kibinadamu, na wanasaidiana.
Wanaopinga hilo si Waislamu wa kweli ama wanaona aibu. Dr. Sule kaweka wazi ambayo mashekhe wengi wanaona haya kuyasema.
Sikikiliza video hii kwa uthibitisho wa vitabu.
Негізгі бет Ойындар DR. SULE KUTUMIA MAJINI YUPO SAHIHI KWA MUJIBU WA UISLAMU
Пікірлер: 23