MashaAllah Dr Sule, elimu unayo na huna choyo nayo Allah akuhifadhi amiin
@zachariaharuna5675
24 күн бұрын
Mimi huwa nafatilia sana mawaidha yako nakuelewa sana Dr sulle nakukubali sana Dr nahitaji pia namba yako ya simu ya mkononi Allah akujalie
@SaadIssa-c9o
Ай бұрын
Hauna tofauti na Mwamposa😊
@She.Othmani
Ай бұрын
😮😮
@marobaraka
Ай бұрын
Mtume hajawah kufanya muujiza wowote kitabu ndio kiwe na muujiza 😂
@SaadIssa-c9o
Ай бұрын
Ewe sulle mche mola wako,wacha kuifikiria dunia ambayo ni mapito tu,wacha kulaghai watu upate pesa,kama kweli unafanya matibabu LiLLAH basi usingechangisha pesa
@MusaRamadhani-wj2dw
29 күн бұрын
Wacha wizi tangaza sawa tu unaleta shilki majini uganga halafu unajificha kwenye dini wewe hata unafaa kufungiwa k akua unapoteza watu sawa
Пікірлер: 7