Ni kwa sababu ya Pendo la Mungu tu ndio maana tunasimama hadi leo.Ni kwa huruma za Bwana kwamba hatuangamii kwa kuwa rehema zake haziko ni mpya kila siku kwetu na uwaminifu wake katika Pendo lake kwetu ni wa milele.
Kwa maana kama Bwana angeyahesabu makosa yetu nani angesimama?Ndiyo maana kwake kuna msamaha ili yeye pekee aabudiwe.ALITUPENDA KIASI CHA MAUTI NA KWA PENDO LAKE TUNAISHI.
Credits:
Audio production,mixing and mastering: G Musics
BGVs.
Faraja Nzali
Lusako Mwangende.
Негізгі бет Dr.Tabitha Massey ft Precious Joseph - Love Melody ( Official Music Audio )
Пікірлер: 30