Konk master vzr nakkbal wakat unazungmza ishu ya nape mm nlkusapoti mpaka nkasema mm sio mwanasiasa lakin kwa utumbo huu wa nape naanza harakati za kisiasa kukomboa nchi ameizalilisha sana chama chetu
@lulanjamd3886
2 ай бұрын
Ukiona mtu yupo Ccm lazima uwe na wasiwasi na uelewa wa akili yake huwenda Kuna masilahi anapata tofauti na hapo ni mjinga wa akili.
@daniellaurent800
2 ай бұрын
Dudubaya....uko very smart. Keep it up msema kweli
Huyu jamaa huwa anaongea point sana.👏🏾👏🏾 Big up Dudu baya
@ndementriavermand8010
2 ай бұрын
walah sikuwahi kidhani huyu msami yupo vizuri hivi keep it up brother umechambua Hadi raha
@Jean-marieNiyonzima-f3e
2 ай бұрын
Hongera sana kaka dudubaya kutujuza mengitusiyoyajua mungu akuweke zaidi
@erickmuli1030
2 ай бұрын
Mungu akusimamie Konki,tuendelee kutetea maslai ya wananchi tutafika tu! Tanzania nchi yetu❤
@jkifutu7936
2 ай бұрын
Msema kweli konk master msulimoto
@simonmwandu2214
2 ай бұрын
Wasukuma ni kbila linauchungu san na hiyo nchi ya tanzania na wazalendo wa kweli
@geey7893
2 ай бұрын
Sure, mwangalie Biteko na Makonda
@augustuss4503
2 ай бұрын
Mimi ni mngoni na nakubali , wasukuma wapo vizuri sana
@majebelemathis9991
2 ай бұрын
Magufuli nitaendelea kumkumbuka kama Rais mwenyemaono ya nchi baba pumzika Kwa amani mchapakazi
@JuliusTanzania
2 ай бұрын
Umeongea vizuri sana brother. Nina imani aliyeteuliwa kusimamia Wizara hii ya Sanaa na Michezo akichukua ushauri wako huu anaweza kufika mbali zaidi.
@judithtitomalyeta4000
2 ай бұрын
Dah uko vizuri sana kaka
@michaelkojesa7741
2 ай бұрын
King konki🙌🙌👑
@cassianhaule3681
2 ай бұрын
😂😂😂ndeza wewe waambiwe ukweli ila uwe makini watakufinya hawachelewi
@clevermgedzi4708
2 ай бұрын
Dudu baya vema sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@ValelianMbuma
2 ай бұрын
Huyu jamaa ana uelewa wa vitu vingi sana safiii
@bonymawenya679
2 ай бұрын
Dudubaya nakukubali Sana mjombaaa Mungu akulinde....
@michaelmshighati8432
2 ай бұрын
Damu ya Magufuli itawalilia Hadi wa Mwisho Kila aliyemsaliti atasalitiwa
@jacksonjamesndyabawe471
2 ай бұрын
Mungu alali... Damu yake... Ipo siku watakuwa kujua.
@ernestsinje9700
2 ай бұрын
Zimwi la JPM halitawaacha salama
@djmurphyoffcial3595
2 ай бұрын
Huyu konk aangliwe Kwa jicho latatu aki tengeneza anaweza kua Kijana Bora Kwa taifa anakitu kikubwa Cha tofauti Anauthubutu pia na akipata sapot Mtaona ujasiri wake katika faida
@chrispinrafael3831
2 ай бұрын
Didubaya uwa sikuelewi ila Leo nimekuelewa uko vizuri Kuna kaukweli frani
@TibihikaGerad
2 ай бұрын
Konk una point sana Mzee baba♥️💯
@EnockChingula-gw1po
2 ай бұрын
Konki apeweuwaziri wa michezo atafanya vizuri
@joshuamuro9494
2 ай бұрын
Hakika huyu jamaa tangu movement za kuteta haki za wasani akimpinga Mwana Fa nilikubali anakitu ilikuwa 2010.... Anafaa kuwa waziri wasekta husika sanaa itapata mtu
@yudanziku6030
2 ай бұрын
Dudu baya uko vizuri sana
@kelvinnassary6165
2 ай бұрын
Konki master ametisha sana ukweli mtupu 🤝🤝🤝
@jitabojilala6162
2 ай бұрын
Your hero bro natamani hata siku moja nikuone live
@HurumaJames-x4i
2 ай бұрын
Konk master umetisha bro
@saviomlelwa
2 ай бұрын
Huyu jamaa anajielewa na anajua Mambo mengi Sana.. Apewe kitengo.
@EliasCosmas-qp6gn
2 ай бұрын
Nape alikua mnafiki Sana maripo ni hapa hapa Duniani konk master shalp bro
@shafiichusi1897
2 ай бұрын
konki master.... fact....👊👊👊👊
@michaelkojesa7741
2 ай бұрын
Huyu mwamba naomba awe anaingia live Instagram tunaongea nae atuone watanzania mana Kuna vitu anavyo vya ziada sanaaa❤
@ZuberJuma-z6g
2 ай бұрын
Respect bro
@aswilekibona9861
2 ай бұрын
Huyu jamaaa ni kichwa sanaaa
@GibsonNtamamilo
2 ай бұрын
Hivi huyu jamaa anaelimu ganu? Kama elimu yake inatosha atafutiwe kitengo cha uchambuzi wa masuala ya kusiasa kokote kule. Lakini pia hata kwenye chama chochote anatosha kukisemea chama. Kiufupi jamaa ana madini yakutosha nimesikia interview zake nyingi yuko vizuri mno.
@MaximilianBabile-j5h
2 ай бұрын
Huyu Jamaa Kichwa Sana, Sio Dudubaya yule wa enzi zile. Jamaa Kawa mtu nanusu, namfatilia Sana interview zake skuizi
@starjay3052
2 ай бұрын
😁😁 baba paloko
@samsonhaule3647
2 ай бұрын
DuDu Baya Anawanyosha kikweli kweli.
@habibamfaume9013
2 ай бұрын
Hongera mama kwa kufumbuwa macho hao walikuharibia sana
@Alpha-ff5sf
2 ай бұрын
Nakukubali sana Mr konki ila Yale matusi uliyomtukana Shetta duh hatari sana
@Kenethkalinga
2 ай бұрын
Safi sana konk
@DonDesdery
2 ай бұрын
Alikua wazir wa habari,na sio habari sanaa na michezo
@ansilangatoluwa2894
2 ай бұрын
Yaani mungu akupiganie, umeongea ukweli,
@AnethMushi-c3e
2 ай бұрын
Mungu hutumia mtu usiyemdhania kukuokos/kushaur/kukussa nk😅😅😅
@FredrickMatiku-xf2uk
2 ай бұрын
Jamani Dudu baya apewe uteuzi ata mkuuu wa wilaya au wizara ya sanaaaa hiki kuchwa kinajua mambo Mengi kina siriiiii nyingi sana
@annasimon9296
2 ай бұрын
Kapime kichwa chako ndugu
@albertjames6845
2 ай бұрын
Huyu jamaa yuko woke kuliko wanavyomchukulia baadhi ya watu. Yuko vizuri kichwani
@starjay3052
2 ай бұрын
wanaomba omba nguo 😁😁 naijua iyo ndio zao umepiga kwenye mshono
@shabanimbega40
2 ай бұрын
Konki master una busara sana
@AsBd-r8u
Ай бұрын
Kweli hapo nimempongeza Raisi
@mkalimala3564
2 ай бұрын
Mamba una kichwa kitamu kwa ushaur unafaa Vijaya wadogo waje kwako kupewa ushaur mpya wa maisha kabla hajaamua kupiga hatua
@dojachomoka7643
2 ай бұрын
Suku moja dudu baya akifa ndio watagundua uwezo wake waku changanua mambo ila sasaivi wana mchukulia poa. Ndio ugumu wa nchi hii
@merinakassembe118
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉dudubaya🔥🔥🔥🔥👍👍👍
@ShehaHaji-k8t
2 ай бұрын
Kichwa sna segment ya siasa inakufaaa jipange ugombeee ubunge
@gabrieltheodory4090
2 ай бұрын
Ww ni Jembe
@OswardMhagama
2 ай бұрын
Jamaa yupo vzr sn kichwani
@AmiriShabani-p9n
2 ай бұрын
Duuh huyu jamaaa kumbe ni intelligent 🧠 kias hiki 🤭
@Japhetmrema-e5n
2 ай бұрын
Mama upo sahihi❤
@FrancisNgereja
2 ай бұрын
Mama ampe dude baba shavu ht awe mkuu wa wilaya bunda atetee wachimbaji,uchumi wa bunda umeshuka cna,
@peterkayanda5782
2 ай бұрын
Akili nyingi sana konki
@barakalukeha6184
2 ай бұрын
Mimi kwa maoni yangu namshauri raisi asitengue tu kama mtu ameiibia serikali pesa nyingi bali atengue na kutaka pesa zirudishwe ila asimfunge ili akafanye kazi zingine za kutunza watoto kama wengi tunavyo fanya kazi huku .sio mtu ana teuliwa ili akaibe kwakuwa hazirudishi eti ata tenguliwa tu..
@JoshuaSabu-r2p
2 ай бұрын
Poa
@francismgusi5388
2 ай бұрын
Baba Wile huyo.
@mcyudasicqo9610
2 ай бұрын
Dudu baya unajua sana,,sanaa yetu Inge fika mbari sana. ,,,DJs wanamaisha magumu sana
@modestamakoye9319
2 ай бұрын
Ulo sswa❤
@nemesapollo4846
2 ай бұрын
dah kumbe, hapo nimekuelewa
@sijaonalujinama
2 ай бұрын
Hata mkomenti matusi ila konki kaongea point.
@ShehaHaji-k8t
2 ай бұрын
Makabila nayo ttizo muangalieni sna wa wapi yule?
@EmanuelMwamwaja
2 ай бұрын
Umeeleweka vizur sana
@IsaKinyonga
2 ай бұрын
Duuuh uaga nakutukana ilaa leo nimesalenda uko vizuli
@rehemarehemanassoro973
2 ай бұрын
Aisee kumbe hili jamaa linajua sn. Leo nimemkubal rasmi.
@HusseinSaguti-sj9nh
2 ай бұрын
Nape hana akili kbsa Yaan kila wakt hana haya anajicfia kua ni bngwa wa kuiba kura Tn anasaidiwa na tume ya uchaguzi? Hii tume ynyw pia ilitakiwa ijiuzulu
@ShabaniKindaile
2 ай бұрын
Dudu unajua kweli waandishi watangazaji wananyonywa sana huo ndio ukweli maslahi kidogo
@Mima-cl2im
2 ай бұрын
Tanzania ni tajiri watu wanateseka kwasababu ya uongozi mbaya
@ZephaniaMashimba
2 ай бұрын
Wasukuma asilimia80 wako vzuri kwanza cyo wanafiki hawawezi kujpendekeza
@dn.n4983
2 ай бұрын
Ni ukweli mtupu Makufuli aliona mbali jamani
@lucygodwin7590
2 ай бұрын
Safi sana
@FrancisNgereja
2 ай бұрын
Francis nyamborya nakushukuru cna konki,huyo nape hafai
@kingkendrickk
2 ай бұрын
Konki master mwaga moto
@TALLUBOY
2 ай бұрын
Inatakiwa hata wasiludi tena Hawa jamaa wanae jifanya Ccm yakwako kuitia mifukoni Ikiwemo nape na January Wasilud tena KAKA DUDU BAYA UPO MAKINI SANAAAAAAAA MUNGU AKULINDE SANA KAKA YETU WA TAIFA TUTETEE PIA NAWEW FUNGUA CHANNEL YAKO ONLINE TV UTAKUWA UNAINGIZA PESA ITHINK KAMA NIMEIYONA SEHEM DUDUBATA TV SJUI IPO IVYO
@akilimalimali253
2 ай бұрын
Daah
@PeterSamo-g7j
2 ай бұрын
Godfrey Tumaini A.K.A DuduBaya
@simongwandu7392
2 ай бұрын
Hayati Magu alimwondoa na akaomba msamaha lakini alitupwa pembeni hakurudishwa kazini
@apollokayungi4090
2 ай бұрын
Apollo Kayungi wa Uhindini Dodoma M'kiti na Wajumbe Asalaam Aleykhum WWB natumaini mmeamka Salama,Watumishi wa Umma tuwahudumie Wananchi kwa kuzingatia "Mkataba kwa Mteja" Maendeleo ya Nchi yapo Mikononi Mwetu.
@alphoncewilliam4325
2 ай бұрын
Kuusu nape niefurahi kwa sababu alimponda sana magufzmuli pia
@ommyj-four6463
2 ай бұрын
sawa konk nape hamna kitu
@SweertbertPhilimon
2 ай бұрын
Konki tatu big up
@shabanimbega40
2 ай бұрын
Mama mruhusu konki master awe mshauri wa mwana FA kuondoa dhuruma kwa wasanii
@othumanomari1589
2 ай бұрын
Wakufe kabisa wezi wakubwa
@bahatisaimon6019
2 ай бұрын
Kwann mama asikubali ushauli wako
@Jean-marieNiyonzima-f3e
2 ай бұрын
Kwanini rais samia asikuteue utajuzemengi maana unatujuzaa zaidii
@IsaKinyonga
2 ай бұрын
Dudu bay da nisahe san kwakukusema vibay ukovizuli
@SalumRamadhanj-fz2mw
2 ай бұрын
We we uko Tanzania gani cheo cha pili kutoka kwa rais ni kipi kama si waziri hawo mama kafanya mazuri hakuna lawama hawafai tena tangia mwanzo siwapendi nape ni mwipwa wangu lakini mdomo umemponza
@augustinemainde
2 ай бұрын
Konki bwana haishiwi!🎉🎉🎉
@ShabaniOmary-nf6qu
2 ай бұрын
Tusubili mbelen tutainyoosha CCM weight time will tell 😢😢
@HAPPYSULE
2 ай бұрын
Kumbe jamaa anaongeaga point hivi sijawahikumsikiliza et.
@emmynoby9806
2 ай бұрын
Sa anaongea kip Ch maan
@rockcitynative9985
2 ай бұрын
Uko vizuri ila tatizo umakufuli umekukaa sana japokuwa alikuwa wa hoooovyo.
@samtuga6480
2 ай бұрын
Hata wewe kuna watu wanakuona wa hovyo!!
@kinigarm8239
2 ай бұрын
Nadhani Ile radio ya chawa wa diamond ni ya Nape.
@HappinessMsham
2 ай бұрын
❤🎉
@AdamHamis-s2o
2 ай бұрын
Mimi ningependa kujuwa kuhusu dudu je yeye ni mwanaharakati au ni msemaji au ni mwanasiasa Kwasababu naona kila jambo anajitokeza na kulisemea liwe la kisiasa aidha mziki ebu tuweke wazi tujuwe uko upande gani bwana dudu
@kelvinmhanga3052
2 ай бұрын
Huyu ni mzalendo, kiufupi mzalendo anatakiwa kuifaham vyema nchi yake na huyu anaifaham kiasi chake
@Yangaone-h8j
2 ай бұрын
Konki kama Konki napenda sana kufuatilia interview zako mdogo wangu
Пікірлер: 170