"Hata hivyo nilikua na kichupa kweli kweli nashukuru nimekitua"😂😂😂 Joti Msenge sana
@aishatanzania1194
2 жыл бұрын
🤣🤣🤭🤭🤭🤭🤭
@mattanofficemusc3535
3 жыл бұрын
😂😂😂niliwahi kumuona jamaa mmoja kwenye dara dara akimng'a ng'ania mdada nilicheka sana leo joti kanikumbusha sijuw wanakuwaga na vichupa vya miaka mingapi😂😂😂
@deewyzeeofficial3512
3 жыл бұрын
Blaza makoti katika ubora wake alie sikia Nani like zangu jamani😂😂😁😁
@puridangote2701
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@dutchsafari7562
3 жыл бұрын
Kabla sijaangalia nshacheka 😂😂..haya wale team Nishai tuliowahii kufika hapa nakusanya mahudhurio hapo chini 👇
@seifmohamed836
3 жыл бұрын
Joti ulivoona zigo unabambia kinoma na mzigo ulivoo jazia nomaaaa👌👌👌👌 mulichofeli ugejaza gar wanaobambia husubir gar ijaye sio hivo wazi
@nancyjonas3484
3 жыл бұрын
Jamani naombeni like kumi tu sijawahi hata kupewa naombeni watanzania wezangu
@eliya56richard96
3 жыл бұрын
KONDAEEE KONDAEEE HIYO SAUTI NIYA MNAZI NINI.. Ila Jot unavituko Sana'a yani Umekitua kichupaa.
@malakimoses6115
3 жыл бұрын
😂😂😂 eti alikuwa nakichupa joti bigup episode nimeipenda na washikiri wote big up kazi nzuri nimecheka sana
@blackpanther4825
3 жыл бұрын
Joti umezingua umetoboa siri yetu. Wadada wengine wanaumiza roho ukiwatazama walivyoumbika nyuma
@hamzaathumani6393
3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@elinanassary2782
3 жыл бұрын
Hahahaa
@katinila
3 жыл бұрын
joti brother comedy yako inazidi kua dark as days go.angalia.its funny though😂😂
@anganilekajigilikajigili2641
3 жыл бұрын
Joti ukiwa unatazama comedy zake lazima ucheke kwa sauti saluti mzee Kaka🤣🤣🤣
@ibrahimkasim6041
3 жыл бұрын
😂😂😂😂from Kenya ... Loved the video
@rashidibamangwe7022
3 жыл бұрын
Wangapi tumeipenda saut ya sopa😁😁😁
@respiciusjohn9936
3 жыл бұрын
Joti ww kiboko, king'ang'anizi mpaka umekitupa, ahahahahaa
@rizikisaid6812
3 жыл бұрын
Aaaaah..hakuna ubaya kwenda mbele na kurudi nyuma gari likifunga break😃😃
@ahmedanwar1210
3 жыл бұрын
Brekiiiii zimezidiiiii wee gusaaa tuuuu mjubaaa na makotiii yakooo hahahha
Пікірлер: 789